🔴LIVE: HAJI MANARA ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MCHELE YEYE NDIO ALINIANZA KUNICHOKOZA NA AKANIFUKUZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июл 2022
  • Share, Support, Subscribe!!!
    Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
    RUclips: / hzbtv
    Twitter: / harakatizabongo
    Facebook: / harakatizabongo
    Instagram: / harakatizabongo
    Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
  • СпортСпорт

Комментарии • 192

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 Год назад +4

    Pole sana papa from France 🇨🇱

  • @carolinemasaki2020
    @carolinemasaki2020 Год назад +4

    Tunakuelewa sana kaka yetu haji manara sisi wana udsm hakika si kila mtu anapenda mafanikio yako

  • @eddysimba6829
    @eddysimba6829 Год назад +3

    Kwenye rizki kuna majungu sana mwacheni mwenzenu mungu kampa kipaji. Hizi chuki binafsi zinaboa.

  • @kawembasaady2934
    @kawembasaady2934 Год назад +1

    Pole kaka hayonimaisha muombe mungu atakusimamiya yeye ndie muweza kaka

  • @allysalumu8240
    @allysalumu8240 Год назад +3

    Mwisho wa ubaya ni aibu Manara! Bado unazidi kuchafua sio safi kaka.

    • @karmalyshaft9742
      @karmalyshaft9742 Год назад

      Anachafua kweli na hawa yanga wasipo angalia wataingizwa cha kike

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Год назад +5

    Karia ana wivu mnoo

  • @patrickmkunda3666
    @patrickmkunda3666 Год назад +3

    Ana sanaa ya Ulumbi

  • @mailonitz4901
    @mailonitz4901 Год назад +5

    Ila. Huyu talented kwenye speech kama unampa hajielezee umfungi ata kama ameua

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +5

    Mi nakuelewa xanaa haji izo chuki nazielewa!huyo rais hafai!haji ameongea Mambo ambayo kila mahali kwny kazi watu km uyo rais wenye vyeo kunyanyasa watu wa chini!adi haji anaamua kumropokea ujue amevumilia mengi Kama Ayo na atimae yamemfika kibinadaam lazma moyo uchoke rais mbayaaa

  • @abdallahhuseinkabale7534
    @abdallahhuseinkabale7534 Год назад +2

    Kwa sababu ni fundi wa kuzungumza wasipo kujibu huwa inaonekana kweli..

  • @amulikemwaweza5370
    @amulikemwaweza5370 Год назад +5

    Kumbe amewahi kukukemea mara nyingi siyo kwa sababu upo yanga bali ata ulipokuwa Simba,hivyo geuza ruga ya kusema kwa sababu ya wiki ya mwananchi

    • @aminaally8475
      @aminaally8475 Год назад

      Hyo week ina nni cha mno hpo kakacrik 2 kuwa atafanyia wapi Tambo zake

  • @devotharobert5420
    @devotharobert5420 Год назад +2

    Kwangu Mimi manala nili kupenda sana ukiwa Simba ulikua una hama sisha mashabiki wana itikia

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +6

    Kwaiyo inaeleweka haji nimekusoma uyo rais ana chuki ya mda mrefu na wewe kimya kimya!lakn iko wazi iyo

    • @MgangaMasudi
      @MgangaMasudi 8 месяцев назад

      Acha ungo na wewe msenge nini

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 Год назад +4

    Maisha ndivyo yalivyooooooo

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Месяц назад

    Kuna Haji Sunday manara na stive Nyerere Hawa watu wanakitu kikubwa xana ndani Yao washabarikiwa na mwenyezi mungu chuki mnazowachukia zitawafikia pabaya xana 😢 Hawa ni talented

  • @enockboidy4458
    @enockboidy4458 Год назад +2

    Shida nikwamba unaweza ukawa kalibu na viongozi wakubw lakin ukataka kujikweza ndio shida we nimgonjwa wa akili

  • @dravioanjelomgulunde6332
    @dravioanjelomgulunde6332 Год назад +2

    Ise hongera unapambana hatar unaweza kuja kuwa rais

    • @nahanakadiri3969
      @nahanakadiri3969 Год назад

      Na icho ndio karia anachokiona kwa haji na Sasa anapanga kumshusha kabisa haji km haji anafaa anafaa tu ataaibika cku moja uyo karia akae akijua cheo ni zamana

  • @ramadhanipadon3577
    @ramadhanipadon3577 Год назад +2

    Daah viongozi wa tff wanatakiw wajiangalie wasitumie vyeo vyao kuathirin Waliochini.

  • @allymavunyila8549
    @allymavunyila8549 Год назад +2

    bwwege huyo hajui kuomba radhi. kila anapokosea anaanza kutaka kuongea povu. yanga kueni makini siku akikosea atakuja tena kwenye midia kuyamwaga. hilo box tu

  • @elishanziku8725
    @elishanziku8725 Год назад +1

    Viongozi wa Simba walishakushitukia, viongozi wa TFF walishakushitukia, bado UTOPOLO nao watakuchoka mie nipo paleeeee

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Год назад +1

    Dah jamaa yani afanya wa Tanzania mazumbumbu kweli mpaka spitl ya mchongo dah

  • @PendoKweka-cg8cd
    @PendoKweka-cg8cd 16 дней назад

    Wanaotoa mawazo yao kwa kutoa hukumu dhidi ya manara, nadhani hatuhitaji mawazo yao.mpo wengi sana ambao hamumpedi manara .

  • @khamisihussein8777
    @khamisihussein8777 Год назад +1

    Uyo presda Tff anachuki na yanga yetu eeh sawa baba lababa utajua hujui alah

  • @imamurashid512
    @imamurashid512 Год назад +1

    We kalia kumbe wew kumas tu

  • @gubabumatege6904
    @gubabumatege6904 Год назад +1

    tunakumisi sana haji

  • @anordymwenda6053
    @anordymwenda6053 Год назад

    True

  • @francisibrahim9010
    @francisibrahim9010 Год назад

    Polesana manara

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 12 дней назад

    Mdomo wako unakuponza unatumia vibaya ,kuwa na kiasi sio lazima uongee

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Месяц назад

    Pole Haji

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Год назад +1

    Jinga tu tu linajikweza jeuri

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 Год назад +2

    Haji ni muongo sana tena sana

    • @nahanakadiri3969
      @nahanakadiri3969 Год назад

      Haji hawezi kua muongo uongo inaeleweka mtu anapoongea na ukweli inaeleweka mtu anapoongea,izo ni chuki kwny kazi viongozi wengi wanakuaga nazo uyo rais ana chuki na haji na ameona haji anakubalika na uyo rais hajui maana ya icho cheo ni kikubwa anafoka foka nn Kama rais eti rais!kwaio karia kwanza mda mrefu na ujue mtu akikufata data xn na kukukera ikifikia mwsho wa uvumilivu unaamua acha iwe mby unamropokea tu ndio kilichotokea kwa haji!uvumilivu umemshinda haji nae akamropokea

  • @user-mm6no9kp1s
    @user-mm6no9kp1s Месяц назад

    Karia ni mjinga sio kionfozisafi fala sana

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 месяцев назад

    Acheni kumpa fulsa huyu zeruzeru, tumechoka naye! Ni kichaa siyo mwenzetu Huyu mbwa koko.

  • @user-nt6bh5zm8x
    @user-nt6bh5zm8x 8 месяцев назад

    Huyu ndio alikuwa msemaji na muhamasishaji hakuwahi kushika kispika na uwanja uliokuwa unakaa sio huyo Kuma anaebana sauti muimba tarabu

  • @marywattamathias9252
    @marywattamathias9252 Год назад

    Mtu Moja anaye pitia changamoto du polee

  • @rahimkomba3149
    @rahimkomba3149 Год назад

    Shirikisho la mpira wa miguu Tff mbele kwa mbele na mkimfunguria haji Manara basi na wale wariotenda makosa na mkawafungia na faini pesa juu nao muwafungurie sawa jmn haki kwa wote

  • @mrajani786
    @mrajani786 Месяц назад

    Haji unakumbuka rais stafu kikwete katika harusi yako alikusi kutulia
    Na mimi nakuomba uende kwa mama samia akusaidia

  • @mujosmujobigwa5269
    @mujosmujobigwa5269 Год назад

    Mpira wa Tz hauna viongozi , Bali una washsbiki wa timu zao

  • @amiriishengoma5016
    @amiriishengoma5016 Год назад

    Genius

  • @hassanmasoud5602
    @hassanmasoud5602 Год назад

    Wkt uliwadhalilisha waliokupa heshma aaaahhhhh bwana haji huna lako jambo tena utaharibu kila pahala ww

  • @saidseif4753
    @saidseif4753 Год назад +1

    Kocha Minziro kafanywaje na huyo raisii,,, mmesahau,,..

    • @salehhemed9388
      @salehhemed9388 Год назад

      Kwani huyu Haji ni mara yakwanza kuadhibiwa he is not first offender he supposed to be punished severely

  • @browndz9966
    @browndz9966 Год назад

    Ndugu uyo alikuweka kiporo maan upolo unapashwaaa

  • @eleuteriusmmuru8624
    @eleuteriusmmuru8624 Год назад

    Duu mungu akusaidie tu haji

    • @wilsongeorge1353
      @wilsongeorge1353 Год назад

      Mnataka aende simba ndio mkaona mumfungie wajinga nyie ndio maana mpira wa tanzania unadorora . Rais wa Tff hana akili huyo tunajua ni mshabiki wa simba tunalifahamu hilo . Na ninavomjua manara mmechokoza wenyewe namiambieni kabsa mtateseka sna nyie machoko mmetibuwa wenyewe.

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya5148 Год назад

    2 Samweli 22:
    6 Kamba za kuzimu zilinizunguka; Mitego ya mauti ikanikabili.
    7 Katika shida yangu nalimwita BWANA, Naam, nikamlalamikia Mungu wangu;
    Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake,
    Kilio changu kikaingia masikioni mwake.
    *MATESO, AIBU, WASIWASI, HOFU NA TAABU VIKITUSHIKILIA, TUMTAFUTE BWANA, TUMLILIE, TUMLALAMIKIE NAYE ATASIKIA NA KUTUOKOA!!!*

  • @ramaameir3035
    @ramaameir3035 Год назад

    Nimependa sana uliposema japo kamchango wako kidogo ktk soka,nikweli uliitwa nani vile kipindi uganda wanatuachia ndugu zao?

  • @Userog254
    @Userog254 Год назад

    Hiyo press yako haipunguzi hukumu yako, nyundo 2 na milioni 20 ziko palepaleee🤣🤣🤣

  • @abdalahmsigwa5032
    @abdalahmsigwa5032 Год назад

    Barbra ni genius

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Месяц назад

    Hapo manara anamsingizia Raisi wa Tff. Mimi nilikuwepo sijasikia hayo maneno machafu akiyatamka Raisi wa Tff. Huyu anatafuta kuwachonganisha yanga na Karia. Na hii ndiyo tabia ya manara.

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 Год назад

    Wewe umapotea soon anza kuandaa kutengeza mgahawa kama Shishi maana kinavhofwata wote wanaekudanganya watakuwacha.

  • @azizially6114
    @azizially6114 Год назад

    Acha uongo ulisha tuambia hujawahi kuwa simba sasa simba gani hiyo unayo izungumzia ww zeruzeru ufungiwe tu maisha

  • @edwinmhema3191
    @edwinmhema3191 Год назад

    Kichwa gani muwongo mkubwa kwani hapo huoni aibu kuyasema hayo wewe Kiki ,inakutesa

  • @hassanmasoud5602
    @hassanmasoud5602 Год назад

    Ukimya wako ingekua dawa lkn kwa vile unaweza kuongea kuliko kila mtu ww nimuongo Kwa nn hukuyaongea napema haya?

  • @elishajusto1182
    @elishajusto1182 8 месяцев назад

    Broo nakuomba urudi nyumbani

  • @upendonelson3941
    @upendonelson3941 Год назад

    Kalia mwachie mwamba huyu atupe amasa

  • @DjumaEvariste
    @DjumaEvariste День назад

    Rasmi siyo tetesi usajili yanga n'a Simba

  • @alfredjoseph1015
    @alfredjoseph1015 Год назад

    Wewe sasa unataka kusema unakata rufaa au mimi hadi sasa sikuelewi

  • @abdulkihanza5911
    @abdulkihanza5911 Год назад

    Tulisha sema Karia hafai mtayaona mengi

  • @NelsonMatambo-ob5zm
    @NelsonMatambo-ob5zm 15 дней назад

    Achana nao simba wachawi ndomana lana inawavaa sasaiv

  • @abdulkihanza5911
    @abdulkihanza5911 Год назад

    Wanazitaka 20k walipe deni wanalodaiwa na Bay

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад +2

    Huyu jamaa ukimfutilia mambo yake unaweza kufa mapema. Alitutukana Sana wanayanga kuwa wote hatuna akili isipokuwa Baba yake na Kikwete tu. Na alisema hawezi kuwa Yanga labda akiwa Amaiti. Simba wamelifukuza likaletwa na GSM leo ndio haya linashida linatukana watu. Walifunfie maisha mrudisheni NUGAZI wetu.

    • @kijanisaini5688
      @kijanisaini5688 Год назад

      Makolo mnwa wewe kadanganye makolo wenzio c anakukera halafu una act ka litoto wakat watu tunaelew we likolo zilipendwa Kuma ww

    • @danielnyangasi8808
      @danielnyangasi8808 Год назад

      Bro huyu jamaa ni msakatonge

    • @Userog254
      @Userog254 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @binshukurimuhamed140
    @binshukurimuhamed140 8 месяцев назад

    Duuh kipaji kibaya saana

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Год назад

    Tatizo lako ni kimbelembele chako. Ulipomwomba Kangi Lugora kuwa mgeni rasmi hukuwa na kibari cha Tff. Yule ni Waziri hawezi kualikwa na mtu baki bila kuishirikisha Tff. Uliyatafuta mwenyewe.

  • @saidndaki9783
    @saidndaki9783 Год назад +1

    ss ile juisi mliyokunywa

  • @sophiasaidy3914
    @sophiasaidy3914 Год назад

    Huyu jamaa Kama unataka kumfunga usimpe nafasi ya kujitetea no talent mbaya Yani ni Makini na hasahau neno la mwanzo Ila haimaanixhi hajafanya kosa

  • @aminaally8475
    @aminaally8475 Год назад

    Hzo Media zote kaziteka yye mbona tff ha2waoni wakisema na wao

  • @neddon5822
    @neddon5822 Год назад

    Kwan TFF inaongozwa na sheria za nchi ama FIFA?

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 Год назад

    Nyinyi waandishi wa habari kila anapotaka kupiga porojo huyu jamaa mnakeenda sasa siku mtakayotukanwa nyinyi kwa ujumla ndio mtamuona huyu jamaa hana adabu maana alipokua simba alimtukana yule dada muandishi wa habari hamkuchukua hatua ila ngojeni awape mitusi siku ndio mtamjua kama haji hamnazo

  • @uklife5232
    @uklife5232 Год назад

    Wasomali wanariho mbaya sana

  • @kuruthummuhsin870
    @kuruthummuhsin870 Год назад

    Yaan ww baba ni mnafiki mnoooo

  • @edwinmhema3191
    @edwinmhema3191 Год назад

    ivi kwa maelezo ya manara ugovi ulianza mwaka gani au Kuna nyuma ya pasia wanatuficha............. Mtu akushauti tu sijuwi Kama ni kweli

  • @adijahusseni9061
    @adijahusseni9061 Год назад

    Aombe radhi amekutombea mama ako kengewe

  • @atibundonga7667
    @atibundonga7667 Год назад

    Uwanjanya

  • @azizaally3839
    @azizaally3839 8 месяцев назад

    We Haji Manara tulia na maneno yako ihache Simba yetu😂

  • @ClepineTeophil-ne2lk
    @ClepineTeophil-ne2lk 11 месяцев назад

    Sawa

  • @abedileite4725
    @abedileite4725 Год назад

    Huyo rais wa Tff si mtutsi lkn! kwaiyo arudi kwao Rwanda!! Sijuwi somalia!!

  • @adamsonsimon189
    @adamsonsimon189 Год назад

    Lakini karia ndo alikusamehe alivyopata urahis pili kipindi unatoka simba press zako unadai kisa umaarufu je ni kweli mo unamzidi umaarufu leo karia akuchukie kisa umaarufu wako kweli wakati crip inaonesha wew ndo ulikuwa mkali kwa picha tu

  • @khamismtanga4848
    @khamismtanga4848 Месяц назад

    Kulu Haq laukana muraa

  • @azizially6114
    @azizially6114 Год назад

    Hatuwezi kukuamini ww ni muongo hata kwa brbrb uliwahi kumshutumu

  • @abdulkabirabdul2636
    @abdulkabirabdul2636 Год назад

    WAZIRI WA MICHEZO NDIO ALIE TOA UAMUZI

  • @saidjumasaid3924
    @saidjumasaid3924 Год назад

    Pambana Manara hawa jamaa wanajifanya miungu watu

  • @rabiaallymshamumshamu9374
    @rabiaallymshamumshamu9374 Год назад

    Kesi la ajimanala

  • @zakarialusambo4299
    @zakarialusambo4299 Год назад

    Muongo wwe unauhuma nyingi acha kuwadanganya watu

  • @tansisoliambingu9307
    @tansisoliambingu9307 Год назад

    Wewe msemaji wa timu moja nchin Karia ni rais wa mpira nchini unamdharau kwasababu uliambiwa na hayati useme kidogo ikulu

  • @husenhamisi8390
    @husenhamisi8390 Год назад

    Vip b wakamuingiizia....

  • @abdallahselemanimnaukemnau8417

    Wananchi iiiiiiiiiiii

  • @jumamataro4870
    @jumamataro4870 Год назад

    Kama Laila amekuwa lais tunakuombea uwe rais wa tff manara

  • @aminaally8475
    @aminaally8475 Год назад

    Hta iweje hawez kupewa urais

  • @karmalyshaft9742
    @karmalyshaft9742 Год назад

    Una maneno mengi sana wewe kiasi cha kua sasa unaelekea kuiharibu hata sifa ya yanga hiyo miaka miwili naona haikutoshi unatakankuingezewa adhabu kwa dharau zako

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 2 месяца назад

    Manala amehaza kualibu yanga tena

  • @omarysalehe8572
    @omarysalehe8572 Год назад

    Acha kulopoka utafungiwa milele

  • @hassanmasoud5602
    @hassanmasoud5602 Год назад

    WW ulimdhalilisha barbara kushaenda kumuomba radhi?? Haji bobo umekwisha tusalmie kazi yako iliyobaki nikufitińisha watu haji goyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @oscardickson1336
    @oscardickson1336 Год назад

    Unataka huruma au sio .

  • @salehhemed9388
    @salehhemed9388 Год назад

    Kwahiyo ule msamaha umefuta?

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 8 месяцев назад

    Uyo kidau mshamba tu najopo lake watatoka tu tff sio yao wala yababa zao

  • @faisalkamanga8870
    @faisalkamanga8870 Год назад

    Apige chini amelewa madaraka

  • @bennyjohn1412
    @bennyjohn1412 Год назад

    Kaka gombeya urais wewe na yeye msimu ujao ili sumu yake ya nyoka imuuwe yeye mwenyewe

  • @ellysantemoshy4039
    @ellysantemoshy4039 Год назад

    🤔

  • @abdulkabirabdul2636
    @abdulkabirabdul2636 Год назад

    SEMA ULICHO MWAMBIA AU SEMA ULICHO ANZIA

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Год назад +3

    Mti wenye matunda ndo sikuzote hupigwa mawe

  • @geofreymhina3472
    @geofreymhina3472 Год назад

    Mtu wa kuonewa Kila siku Kila mahali na Kila mtu jitafakari