🔴LIVE: HAJI MANARA ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MCHELE YEYE NDIO ALINIANZA KUNICHOKOZA NA AKANIFUKUZA
HTML-код
- Опубликовано: 24 июл 2022
- Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
RUclips: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo Спорт
Pole sana papa from France 🇨🇱
Tunakuelewa sana kaka yetu haji manara sisi wana udsm hakika si kila mtu anapenda mafanikio yako
Kwenye rizki kuna majungu sana mwacheni mwenzenu mungu kampa kipaji. Hizi chuki binafsi zinaboa.
Pole kaka hayonimaisha muombe mungu atakusimamiya yeye ndie muweza kaka
Mwisho wa ubaya ni aibu Manara! Bado unazidi kuchafua sio safi kaka.
Anachafua kweli na hawa yanga wasipo angalia wataingizwa cha kike
Karia ana wivu mnoo
Tena ana wivu na chuki hafai
Ana sanaa ya Ulumbi
Ila. Huyu talented kwenye speech kama unampa hajielezee umfungi ata kama ameua
Mi nakuelewa xanaa haji izo chuki nazielewa!huyo rais hafai!haji ameongea Mambo ambayo kila mahali kwny kazi watu km uyo rais wenye vyeo kunyanyasa watu wa chini!adi haji anaamua kumropokea ujue amevumilia mengi Kama Ayo na atimae yamemfika kibinadaam lazma moyo uchoke rais mbayaaa
Kwa sababu ni fundi wa kuzungumza wasipo kujibu huwa inaonekana kweli..
Kumbe amewahi kukukemea mara nyingi siyo kwa sababu upo yanga bali ata ulipokuwa Simba,hivyo geuza ruga ya kusema kwa sababu ya wiki ya mwananchi
Hyo week ina nni cha mno hpo kakacrik 2 kuwa atafanyia wapi Tambo zake
Kwangu Mimi manala nili kupenda sana ukiwa Simba ulikua una hama sisha mashabiki wana itikia
Kwaiyo inaeleweka haji nimekusoma uyo rais ana chuki ya mda mrefu na wewe kimya kimya!lakn iko wazi iyo
Acha ungo na wewe msenge nini
Maisha ndivyo yalivyooooooo
Kuna Haji Sunday manara na stive Nyerere Hawa watu wanakitu kikubwa xana ndani Yao washabarikiwa na mwenyezi mungu chuki mnazowachukia zitawafikia pabaya xana 😢 Hawa ni talented
Shida nikwamba unaweza ukawa kalibu na viongozi wakubw lakin ukataka kujikweza ndio shida we nimgonjwa wa akili
Ise hongera unapambana hatar unaweza kuja kuwa rais
Na icho ndio karia anachokiona kwa haji na Sasa anapanga kumshusha kabisa haji km haji anafaa anafaa tu ataaibika cku moja uyo karia akae akijua cheo ni zamana
Daah viongozi wa tff wanatakiw wajiangalie wasitumie vyeo vyao kuathirin Waliochini.
bwwege huyo hajui kuomba radhi. kila anapokosea anaanza kutaka kuongea povu. yanga kueni makini siku akikosea atakuja tena kwenye midia kuyamwaga. hilo box tu
Viongozi wa Simba walishakushitukia, viongozi wa TFF walishakushitukia, bado UTOPOLO nao watakuchoka mie nipo paleeeee
Dah jamaa yani afanya wa Tanzania mazumbumbu kweli mpaka spitl ya mchongo dah
Wanaotoa mawazo yao kwa kutoa hukumu dhidi ya manara, nadhani hatuhitaji mawazo yao.mpo wengi sana ambao hamumpedi manara .
Uyo presda Tff anachuki na yanga yetu eeh sawa baba lababa utajua hujui alah
We kalia kumbe wew kumas tu
tunakumisi sana haji
True
Polesana manara
Mdomo wako unakuponza unatumia vibaya ,kuwa na kiasi sio lazima uongee
Pole Haji
Jinga tu tu linajikweza jeuri
Haji ni muongo sana tena sana
Haji hawezi kua muongo uongo inaeleweka mtu anapoongea na ukweli inaeleweka mtu anapoongea,izo ni chuki kwny kazi viongozi wengi wanakuaga nazo uyo rais ana chuki na haji na ameona haji anakubalika na uyo rais hajui maana ya icho cheo ni kikubwa anafoka foka nn Kama rais eti rais!kwaio karia kwanza mda mrefu na ujue mtu akikufata data xn na kukukera ikifikia mwsho wa uvumilivu unaamua acha iwe mby unamropokea tu ndio kilichotokea kwa haji!uvumilivu umemshinda haji nae akamropokea
Karia ni mjinga sio kionfozisafi fala sana
Acheni kumpa fulsa huyu zeruzeru, tumechoka naye! Ni kichaa siyo mwenzetu Huyu mbwa koko.
Huyu ndio alikuwa msemaji na muhamasishaji hakuwahi kushika kispika na uwanja uliokuwa unakaa sio huyo Kuma anaebana sauti muimba tarabu
Mtu Moja anaye pitia changamoto du polee
Shirikisho la mpira wa miguu Tff mbele kwa mbele na mkimfunguria haji Manara basi na wale wariotenda makosa na mkawafungia na faini pesa juu nao muwafungurie sawa jmn haki kwa wote
Haji unakumbuka rais stafu kikwete katika harusi yako alikusi kutulia
Na mimi nakuomba uende kwa mama samia akusaidia
Mpira wa Tz hauna viongozi , Bali una washsbiki wa timu zao
Genius
Wkt uliwadhalilisha waliokupa heshma aaaahhhhh bwana haji huna lako jambo tena utaharibu kila pahala ww
Kocha Minziro kafanywaje na huyo raisii,,, mmesahau,,..
Kwani huyu Haji ni mara yakwanza kuadhibiwa he is not first offender he supposed to be punished severely
Ndugu uyo alikuweka kiporo maan upolo unapashwaaa
Duu mungu akusaidie tu haji
Mnataka aende simba ndio mkaona mumfungie wajinga nyie ndio maana mpira wa tanzania unadorora . Rais wa Tff hana akili huyo tunajua ni mshabiki wa simba tunalifahamu hilo . Na ninavomjua manara mmechokoza wenyewe namiambieni kabsa mtateseka sna nyie machoko mmetibuwa wenyewe.
2 Samweli 22:
6 Kamba za kuzimu zilinizunguka; Mitego ya mauti ikanikabili.
7 Katika shida yangu nalimwita BWANA, Naam, nikamlalamikia Mungu wangu;
Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake,
Kilio changu kikaingia masikioni mwake.
*MATESO, AIBU, WASIWASI, HOFU NA TAABU VIKITUSHIKILIA, TUMTAFUTE BWANA, TUMLILIE, TUMLALAMIKIE NAYE ATASIKIA NA KUTUOKOA!!!*
Amen 🙏
Nimependa sana uliposema japo kamchango wako kidogo ktk soka,nikweli uliitwa nani vile kipindi uganda wanatuachia ndugu zao?
Hiyo press yako haipunguzi hukumu yako, nyundo 2 na milioni 20 ziko palepaleee🤣🤣🤣
Barbra ni genius
Hapo manara anamsingizia Raisi wa Tff. Mimi nilikuwepo sijasikia hayo maneno machafu akiyatamka Raisi wa Tff. Huyu anatafuta kuwachonganisha yanga na Karia. Na hii ndiyo tabia ya manara.
Wewe umapotea soon anza kuandaa kutengeza mgahawa kama Shishi maana kinavhofwata wote wanaekudanganya watakuwacha.
Acha uongo ulisha tuambia hujawahi kuwa simba sasa simba gani hiyo unayo izungumzia ww zeruzeru ufungiwe tu maisha
Kichwa gani muwongo mkubwa kwani hapo huoni aibu kuyasema hayo wewe Kiki ,inakutesa
Ukimya wako ingekua dawa lkn kwa vile unaweza kuongea kuliko kila mtu ww nimuongo Kwa nn hukuyaongea napema haya?
Broo nakuomba urudi nyumbani
Kalia mwachie mwamba huyu atupe amasa
Rasmi siyo tetesi usajili yanga n'a Simba
Wewe sasa unataka kusema unakata rufaa au mimi hadi sasa sikuelewi
Tulisha sema Karia hafai mtayaona mengi
Achana nao simba wachawi ndomana lana inawavaa sasaiv
Wanazitaka 20k walipe deni wanalodaiwa na Bay
Huyu jamaa ukimfutilia mambo yake unaweza kufa mapema. Alitutukana Sana wanayanga kuwa wote hatuna akili isipokuwa Baba yake na Kikwete tu. Na alisema hawezi kuwa Yanga labda akiwa Amaiti. Simba wamelifukuza likaletwa na GSM leo ndio haya linashida linatukana watu. Walifunfie maisha mrudisheni NUGAZI wetu.
Makolo mnwa wewe kadanganye makolo wenzio c anakukera halafu una act ka litoto wakat watu tunaelew we likolo zilipendwa Kuma ww
Bro huyu jamaa ni msakatonge
🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh kipaji kibaya saana
Tatizo lako ni kimbelembele chako. Ulipomwomba Kangi Lugora kuwa mgeni rasmi hukuwa na kibari cha Tff. Yule ni Waziri hawezi kualikwa na mtu baki bila kuishirikisha Tff. Uliyatafuta mwenyewe.
ss ile juisi mliyokunywa
Huyu jamaa Kama unataka kumfunga usimpe nafasi ya kujitetea no talent mbaya Yani ni Makini na hasahau neno la mwanzo Ila haimaanixhi hajafanya kosa
Hzo Media zote kaziteka yye mbona tff ha2waoni wakisema na wao
Kwan TFF inaongozwa na sheria za nchi ama FIFA?
Nyinyi waandishi wa habari kila anapotaka kupiga porojo huyu jamaa mnakeenda sasa siku mtakayotukanwa nyinyi kwa ujumla ndio mtamuona huyu jamaa hana adabu maana alipokua simba alimtukana yule dada muandishi wa habari hamkuchukua hatua ila ngojeni awape mitusi siku ndio mtamjua kama haji hamnazo
Wasomali wanariho mbaya sana
Yaan ww baba ni mnafiki mnoooo
ivi kwa maelezo ya manara ugovi ulianza mwaka gani au Kuna nyuma ya pasia wanatuficha............. Mtu akushauti tu sijuwi Kama ni kweli
Aombe radhi amekutombea mama ako kengewe
Uwanjanya
We Haji Manara tulia na maneno yako ihache Simba yetu😂
Sawa
Huyo rais wa Tff si mtutsi lkn! kwaiyo arudi kwao Rwanda!! Sijuwi somalia!!
Lakini karia ndo alikusamehe alivyopata urahis pili kipindi unatoka simba press zako unadai kisa umaarufu je ni kweli mo unamzidi umaarufu leo karia akuchukie kisa umaarufu wako kweli wakati crip inaonesha wew ndo ulikuwa mkali kwa picha tu
Kulu Haq laukana muraa
Hatuwezi kukuamini ww ni muongo hata kwa brbrb uliwahi kumshutumu
WAZIRI WA MICHEZO NDIO ALIE TOA UAMUZI
Pambana Manara hawa jamaa wanajifanya miungu watu
Kesi la ajimanala
Muongo wwe unauhuma nyingi acha kuwadanganya watu
Wewe msemaji wa timu moja nchin Karia ni rais wa mpira nchini unamdharau kwasababu uliambiwa na hayati useme kidogo ikulu
Vip b wakamuingiizia....
Wananchi iiiiiiiiiiii
Kama Laila amekuwa lais tunakuombea uwe rais wa tff manara
Hta iweje hawez kupewa urais
Una maneno mengi sana wewe kiasi cha kua sasa unaelekea kuiharibu hata sifa ya yanga hiyo miaka miwili naona haikutoshi unatakankuingezewa adhabu kwa dharau zako
Manala amehaza kualibu yanga tena
Acha kulopoka utafungiwa milele
WW ulimdhalilisha barbara kushaenda kumuomba radhi?? Haji bobo umekwisha tusalmie kazi yako iliyobaki nikufitińisha watu haji goyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Unataka huruma au sio .
Kwahiyo ule msamaha umefuta?
Uyo kidau mshamba tu najopo lake watatoka tu tff sio yao wala yababa zao
Apige chini amelewa madaraka
Kaka gombeya urais wewe na yeye msimu ujao ili sumu yake ya nyoka imuuwe yeye mwenyewe
🤔
SEMA ULICHO MWAMBIA AU SEMA ULICHO ANZIA
Mti wenye matunda ndo sikuzote hupigwa mawe
Mtu wa kuonewa Kila siku Kila mahali na Kila mtu jitafakari