NONGWA ZA MSIMU (EP 02) | Mashabiki wacharuana ishu ya wachezaji kuuza mechi na kiwango cha Feitoto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • Azam TV
  • СпортСпорт

Комментарии • 78

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 17 дней назад +7

    Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 16 дней назад +2

      Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 18 дней назад +3

    miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 18 дней назад +3

    Wanauza mech wachezaji tena

  • @kazembeally1619
    @kazembeally1619 17 дней назад +5

    Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.

  • @user-bj6lx9ss6n
    @user-bj6lx9ss6n 17 дней назад +1

    Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 17 дней назад +3

    Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 14 дней назад +2

    Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂

  • @MoshiMrisho-e6m
    @MoshiMrisho-e6m 12 дней назад +1

    😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya 13 дней назад +1

    Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 9 дней назад

    Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 17 дней назад +2

    Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅

  • @sajigwelunogelominga2446
    @sajigwelunogelominga2446 17 дней назад +2

    Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki

  • @osimtawa5392
    @osimtawa5392 18 дней назад +2

    Mzeee said 😅😅😅😅😅😅

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 18 дней назад +2

    Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 13 дней назад

    Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali

  • @saidjuma-j3r
    @saidjuma-j3r 14 дней назад +1

    Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 17 дней назад +1

    Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 11 дней назад

    Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c 17 дней назад +1

    Timu nzuri hii

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 18 дней назад +1

    Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 18 дней назад +1

    Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 15 дней назад +2

    Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 13 дней назад

      Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 17 дней назад +1

    Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik

  • @ToshNester
    @ToshNester 14 дней назад +1

    Hiki kipindi kizuri sana.

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 17 дней назад +1

    Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 11 дней назад

    2nataka part3 dodi🎉🎉

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 14 дней назад +1

    ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui

  • @emasonindowo5321
    @emasonindowo5321 11 дней назад

    Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 17 дней назад +1

    Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb 14 дней назад +1

    Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani

  • @ramadhanrashidmthailand9553
    @ramadhanrashidmthailand9553 14 дней назад +1

    Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 13 дней назад

    Huyo wa Azam bwege kweli

  • @chiddmullo3241
    @chiddmullo3241 10 дней назад

    Oya milaji salut Sanaa kaka

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 17 дней назад +1

    Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 18 дней назад +2

    Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 12 дней назад

    Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 17 дней назад +7

    Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 17 дней назад +5

      Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu

    • @abelimaganga417
      @abelimaganga417 17 дней назад +1

      @@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 16 дней назад

      Acha matusi​@@abelimaganga417

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 12 дней назад

      god bwege tuu kaona simba

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e 17 дней назад +1

    noma sana

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 10 дней назад

    Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 11 дней назад

    Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha,
    Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h 13 дней назад

    Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 11 дней назад

    Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣

  • @user-ee8tm4du8h
    @user-ee8tm4du8h 14 дней назад +1

    Uyo anaongelea uxhabiki

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 13 дней назад

      Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga

  • @drallan6879
    @drallan6879 11 дней назад

    waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 17 дней назад +1

    Unawatee Kwa sababu ww niyanga

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 17 дней назад +2

    Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira

    • @bone102
      @bone102 16 дней назад

      Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira

    • @abelimaganga417
      @abelimaganga417 16 дней назад

      @@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958 17 дней назад

    Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu

  • @BibeLunangela
    @BibeLunangela 17 дней назад +1

    Hakuna rushwa niku zidiwa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 17 дней назад +1

    Xavi mtupu

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 18 дней назад +1

    Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 17 дней назад

      Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje

    • @HassanRamadhanPashua
      @HassanRamadhanPashua 17 дней назад

      @@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 11 дней назад

    Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara

  • @leeobite2507
    @leeobite2507 11 дней назад

    CJamuona mikoi kisugu hApo

  • @user-hi6hf2wt1u
    @user-hi6hf2wt1u 14 дней назад

    😂😂😂😂😂😂 kimeumana

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 17 дней назад +1

    Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.

  • @bone102
    @bone102 16 дней назад

    Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 16 дней назад +1

      Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 14 дней назад +1

    😂😂😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 17 дней назад +1

    😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu

  • @saidabdul832
    @saidabdul832 12 дней назад

    Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 17 дней назад

    Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu

    • @bone102
      @bone102 16 дней назад

      Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 16 дней назад

      ​@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 17 дней назад

    Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.