NONGWA ZA MSIMU Juni 30, 2024 | Mashabiki wa Azam, Yanga, Simba wacharuana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июл 2024
  • Usikose kutazama kipindi cha Nongwa za Msimu kila Jumapili saa 3:30 usiku Azam Sports 1 HD.
    #NongwaZaMsimu #WataniWaJadi
  • СпортСпорт

Комментарии • 84

  • @user-qe1sn1lf9v
    @user-qe1sn1lf9v 6 дней назад +28

    Kama unaamin miraji ni mtu wa ball gonga like

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 6 дней назад +5

    Mimi uwa simpendi kumsikiliza uyu kisugu

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 6 дней назад +2

    Miraji Uwaga Anatema Fact Tu❤🎉🔥🇹🇿👊

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 6 дней назад +2

    Mimi nampenda sana miraji
    Uko mkweli

  • @user-sf5xt4io4s
    @user-sf5xt4io4s 3 дня назад +1

    God namkubalii kinoma

  • @Ericford02
    @Ericford02 6 дней назад +2

    Kisugu ni bure kabisa 😂. Miraji big up sana bro

  • @wilbartkiyeyeu7885
    @wilbartkiyeyeu7885 4 дня назад +3

    Miraji unajua sio kwangu mimi tu kila mtu analijua ilo

  • @harunamakullah
    @harunamakullah 6 дней назад +2

    Miraji huwa anaujua sana mpira

  • @rizmarkabraham3921
    @rizmarkabraham3921 6 дней назад +2

    Miraji unajua sana mpira. Ila huyu kisugu na msema hovyooo tu

  • @fredrickwiliam6176
    @fredrickwiliam6176 6 дней назад +1

    Miraji awe na redio yake , jamaa anajua sana kuongea point

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri 2 дня назад +1

    Kisugu hayupo sawa

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 дня назад

    Huyu miraji ni mtu bora sana anaujua mpira penye nyeupe anaweka nyeupe na nyeusi anaweka nyeusi
    Big up sana broo

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 6 дней назад +2

    Huuyo kisugu ana nongwa mbaya! Anashindana na ukweli mwambieni sio msimu huu tu ata msimu ujao yanga bingwa tena.

  • @hassaniramadhani1263
    @hassaniramadhani1263 6 дней назад +2

    Yanga bigwa

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga 6 дней назад +1

    Nimependa hii debate

  • @BrayanChacha-vo2uw
    @BrayanChacha-vo2uw 6 дней назад +1

    Mr tenge

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 6 дней назад

    Miraji big up bro

  • @NassorRashid-kx2vk
    @NassorRashid-kx2vk 6 дней назад +1

    Miraji

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 6 дней назад +2

    Kisugu Ndiyo huwa simuelewi kabisa anabisha hata kinacho onekana

  • @geofreyanania1108
    @geofreyanania1108 5 дней назад +2

    Kabla ajaendelea ataje timu yake mwenzake tayali😂😂😂

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht 6 дней назад

    hao washabiki azam wote nwashaniki wa simba

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 4 дня назад

    Miraji nomaaa

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 6 дней назад

    kipindi bora sana

  • @alhajichamshama5612
    @alhajichamshama5612 День назад +1

    Kisugu huyo ana laana ya mama yake sio mzima kichwani

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 3 дня назад +2

    Ila kisugu li ziro kuliko ziro yenyewe hohohoho

  • @CastorChalse
    @CastorChalse День назад

    Haaaa

  • @zuhuraakida3041
    @zuhuraakida3041 6 дней назад +2

    miraji jembe

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 3 дня назад +1

    Kisugu kama mlevi hayuko sawa

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j 6 дней назад

    Safiii

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 6 дней назад +1

    ndo uzuri wa amani ya Tanzania na mpira wake tumeinjoy sana

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 2 дня назад

    Miraji yuko sawa kabisa

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 6 дней назад

    God yanga mropokaji

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 5 дней назад +3

    Nilichogunduwa miraji sio mlevi kisugu mlevi

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi 5 дней назад +1

    Milaji nimwana michezo c mshabiki

  • @ShafiiAnafi
    @ShafiiAnafi 5 часов назад

    Kisugu anafeli ni sna😅😅😅

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 5 дней назад +1

    kisugu ajui soka ila ni mshabiki maandazi

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 5 дней назад +1

    ila Dodi

  • @MalakiaMwantage
    @MalakiaMwantage 6 дней назад

    Simba haiwezi kuendelea ikiwa nawatu kama kisugu

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 6 дней назад

    😂😂kisugu ameumbuka kwa miraji miraji anajua sana mpira kisugu mpiga kelele tu

  • @issagota
    @issagota 4 дня назад

    Kisugu nakuelewa sana wengi hapo hawajui hoja

  • @chandekasita6695
    @chandekasita6695 5 дней назад

    Ila kweli nimeamini Yanga ni mambumbu. Katika huo mjadara ukisikiliza unagundua Yanga wana tatizo kubwa kwenye ufahamu wa soka...

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l 6 дней назад +1

    Miraj ni mchambuzi wa mpira hakuna wa kumfikia apooo

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 6 дней назад +1

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Huyu jamaa Miraji si shabiki tu! Miraji anaujua mpira!!!

  • @NassorRashid-kx2vk
    @NassorRashid-kx2vk 6 дней назад

    Broo miraji mkimnya san

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 6 дней назад +1

    mitahira ya yanga utaijuwa tu hayajui kuongea

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 6 дней назад +1

    Kisugu hajiwi mupira musiwe munamuhoji hajuwi chochote

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 6 дней назад

    Michezo ni urafiki

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 3 дня назад

    Mnafeli simba haikupungua kiwango ila yanga kazid ubora hoja yangu simba alipokua bora mbona alikua anafika robo fainal mara hii kafika robo simba haikupungua kiwango ila yanga kawa bora ndomana simba wanachachawa

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 2 дня назад

    Kumbe Azam ni Simba inayoikamia Yanga

  • @mwamvuarashid290
    @mwamvuarashid290 6 дней назад

    Duh. kumbe god yanga nae alikuwepo😂😂😂😂

  • @user-fu7zs9cd1x
    @user-fu7zs9cd1x 6 дней назад

    Kisugu kila cku unazalilika

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i 6 дней назад

    Mchome anasemaga jamaa ajasoma naamini ss😀😀

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 6 дней назад

    Yani nimewasikiliza chakushangaza akuna cha maana mlichokiongea.

  • @khamismasms6095
    @khamismasms6095 6 дней назад

    Kisugu chawa huyo haongei fact mda wote anabadilikabadilika

  • @jonathanmaganga3819
    @jonathanmaganga3819 6 дней назад

    hao Azam wamefata nn hapo😂😂

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 5 дней назад

    Xavi mtupu

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 6 дней назад

    😂😂😂😂😂kisugu akilizake ndogo sana

  • @assumedprivacy3940
    @assumedprivacy3940 6 дней назад

    😂 bongo raha sana

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 День назад

    Kisugu ni takataka tu

  • @user-jf4bj7gt4b
    @user-jf4bj7gt4b 6 дней назад

    Chama ni msaliti na jezi yake ichomwe moto hadharani

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 2 дня назад

    Kisugu bado ana machungu ya 5G😂😂😂😂

  • @user-if2mj2sy8i
    @user-if2mj2sy8i 5 дней назад

    Miraji ukosawa kabisa

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 3 дня назад

    Yan huy dodi ni mnafki kinyama

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 6 дней назад

    Kisigu kinachomsumbua ni education na hekima.

  • @EsterClement-f1c
    @EsterClement-f1c День назад

    HIV kisugu Huwa zimetimia kwel anaongeaga Kwa mihemko

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 2 дня назад

    Tatizo la Azam ni mashabika. Azam Ina mashabiki wachache mno wanakosa motisha katika mechi kubwa kubwa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 6 дней назад

    KISUGU UNATAKA KUWAFUNDISHA NN WATU KWAMBA TIMU 9 ZIMEPIGWA GOLI 5 IKIWEMO SIMBA ZIMEPIGWA NA YANGA...BADO AIAMINI HIYO YANGA ?

  • @mrtallentsgp2623
    @mrtallentsgp2623 4 дня назад

    Kuna jamaa limetipika apo san

  • @rajabsaid8310
    @rajabsaid8310 6 дней назад

    Iki kipnd kirembo kama mobeto

  • @tintin0019
    @tintin0019 6 дней назад +2

    ANGALIENI VIZURI MKONO WA KUSHOTO WA KIPRE AKIMSHIKA BEGA BEKI WA MTIBWA ANGALIENI KWA MAKINI

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 6 дней назад

    hahahahahha

    • @magrethmakauki235
      @magrethmakauki235 6 дней назад

      Huyu kisugu anatakiwa afungiwe kwenye pipa anaiharibu simba. Mitaj anaongea ukwel kuijenga simba

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 6 дней назад +1

    HILO JAMAA LENYE KIPARA LINAONA AIBU SASA ,LIMEZODOLEWA VIZURI SANA.

    • @leeobite2507
      @leeobite2507 5 дней назад

      😅😅😅😅😅 et sisi simba wakat amevaa jez ya AZAM.,.DAH😅😅

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 дня назад

    Miraji anafatilia mpira kuliko Kisugu..? MIRAJI anatafuta Sifa kutoka kwa watu wa Yanga aonekane anajua..Hoja ya Kisugu ni sahihi

  • @ExaveryLukas
    @ExaveryLukas 5 дней назад

    Bonge la brudani

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 День назад

    Hili shabiki lijinga sijui hua mnalihoji la nini Katika mashabiki wajinga, washamba ndio huyo hapo kisugu

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 3 дня назад

    Xavi mtupu

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 День назад

    Lijinga hilo yaani sijawahi kuona shabiki mjinga kama huyu