Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kama unaamin miraji ni mtu wa ball gonga like
Mimi uwa simpendi kumsikiliza uyu kisugu
Miraji Uwaga Anatema Fact Tu❤🎉🔥🇹🇿👊
Mimi nampenda sana miraji Uko mkweli
God namkubalii kinoma
Kisugu ni bure kabisa 😂. Miraji big up sana bro
Miraji unajua sio kwangu mimi tu kila mtu analijua ilo
Miraji huwa anaujua sana mpira
Miraji unajua sana mpira. Ila huyu kisugu na msema hovyooo tu
Miraji awe na redio yake , jamaa anajua sana kuongea point
Kisugu hayupo sawa
Huyu miraji ni mtu bora sana anaujua mpira penye nyeupe anaweka nyeupe na nyeusi anaweka nyeusiBig up sana broo
Huuyo kisugu ana nongwa mbaya! Anashindana na ukweli mwambieni sio msimu huu tu ata msimu ujao yanga bingwa tena.
Yanga bigwa
Nimependa hii debate
Mr tenge
Miraji big up bro
Miraji
Kisugu Ndiyo huwa simuelewi kabisa anabisha hata kinacho onekana
Kabla ajaendelea ataje timu yake mwenzake tayali😂😂😂
hao washabiki azam wote nwashaniki wa simba
Miraji nomaaa
kipindi bora sana
Kisugu huyo ana laana ya mama yake sio mzima kichwani
Ila kisugu li ziro kuliko ziro yenyewe hohohoho
Haaaa
miraji jembe
Kisugu kama mlevi hayuko sawa
Safiii
ndo uzuri wa amani ya Tanzania na mpira wake tumeinjoy sana
Miraji yuko sawa kabisa
God yanga mropokaji
Nilichogunduwa miraji sio mlevi kisugu mlevi
😂😂😂😂😂
Milaji nimwana michezo c mshabiki
Kisugu anafeli ni sna😅😅😅
kisugu ajui soka ila ni mshabiki maandazi
ila Dodi
Simba haiwezi kuendelea ikiwa nawatu kama kisugu
😂😂kisugu ameumbuka kwa miraji miraji anajua sana mpira kisugu mpiga kelele tu
Kisugu nakuelewa sana wengi hapo hawajui hoja
Ila kweli nimeamini Yanga ni mambumbu. Katika huo mjadara ukisikiliza unagundua Yanga wana tatizo kubwa kwenye ufahamu wa soka...
Miraj ni mchambuzi wa mpira hakuna wa kumfikia apooo
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Huyu jamaa Miraji si shabiki tu! Miraji anaujua mpira!!!
Sanaaa
Broo miraji mkimnya san
mitahira ya yanga utaijuwa tu hayajui kuongea
Kisugu hajiwi mupira musiwe munamuhoji hajuwi chochote
Michezo ni urafiki
Mnafeli simba haikupungua kiwango ila yanga kazid ubora hoja yangu simba alipokua bora mbona alikua anafika robo fainal mara hii kafika robo simba haikupungua kiwango ila yanga kawa bora ndomana simba wanachachawa
Kumbe Azam ni Simba inayoikamia Yanga
Duh. kumbe god yanga nae alikuwepo😂😂😂😂
Kisugu kila cku unazalilika
Mchome anasemaga jamaa ajasoma naamini ss😀😀
Yani nimewasikiliza chakushangaza akuna cha maana mlichokiongea.
Kisugu chawa huyo haongei fact mda wote anabadilikabadilika
hao Azam wamefata nn hapo😂😂
Xavi mtupu
😂😂😂😂😂kisugu akilizake ndogo sana
😂 bongo raha sana
Kisugu ni takataka tu
Chama ni msaliti na jezi yake ichomwe moto hadharani
Kisugu bado ana machungu ya 5G😂😂😂😂
Miraji ukosawa kabisa
Yan huy dodi ni mnafki kinyama
Kisigu kinachomsumbua ni education na hekima.
HIV kisugu Huwa zimetimia kwel anaongeaga Kwa mihemko
Tatizo la Azam ni mashabika. Azam Ina mashabiki wachache mno wanakosa motisha katika mechi kubwa kubwa
Mamelod mbona anafanikiwa?
KISUGU UNATAKA KUWAFUNDISHA NN WATU KWAMBA TIMU 9 ZIMEPIGWA GOLI 5 IKIWEMO SIMBA ZIMEPIGWA NA YANGA...BADO AIAMINI HIYO YANGA ?
Kuna jamaa limetipika apo san
Iki kipnd kirembo kama mobeto
ANGALIENI VIZURI MKONO WA KUSHOTO WA KIPRE AKIMSHIKA BEGA BEKI WA MTIBWA ANGALIENI KWA MAKINI
hahahahahha
Huyu kisugu anatakiwa afungiwe kwenye pipa anaiharibu simba. Mitaj anaongea ukwel kuijenga simba
HILO JAMAA LENYE KIPARA LINAONA AIBU SASA ,LIMEZODOLEWA VIZURI SANA.
😅😅😅😅😅 et sisi simba wakat amevaa jez ya AZAM.,.DAH😅😅
Miraji anafatilia mpira kuliko Kisugu..? MIRAJI anatafuta Sifa kutoka kwa watu wa Yanga aonekane anajua..Hoja ya Kisugu ni sahihi
Bonge la brudani
Hili shabiki lijinga sijui hua mnalihoji la nini Katika mashabiki wajinga, washamba ndio huyo hapo kisugu
Lijinga hilo yaani sijawahi kuona shabiki mjinga kama huyu
Kama unaamin miraji ni mtu wa ball gonga like
Mimi uwa simpendi kumsikiliza uyu kisugu
Miraji Uwaga Anatema Fact Tu❤🎉🔥🇹🇿👊
Mimi nampenda sana miraji
Uko mkweli
God namkubalii kinoma
Kisugu ni bure kabisa 😂. Miraji big up sana bro
Miraji unajua sio kwangu mimi tu kila mtu analijua ilo
Miraji huwa anaujua sana mpira
Miraji unajua sana mpira. Ila huyu kisugu na msema hovyooo tu
Miraji awe na redio yake , jamaa anajua sana kuongea point
Kisugu hayupo sawa
Huyu miraji ni mtu bora sana anaujua mpira penye nyeupe anaweka nyeupe na nyeusi anaweka nyeusi
Big up sana broo
Huuyo kisugu ana nongwa mbaya! Anashindana na ukweli mwambieni sio msimu huu tu ata msimu ujao yanga bingwa tena.
Yanga bigwa
Nimependa hii debate
Mr tenge
Miraji big up bro
Miraji
Kisugu Ndiyo huwa simuelewi kabisa anabisha hata kinacho onekana
Kabla ajaendelea ataje timu yake mwenzake tayali😂😂😂
hao washabiki azam wote nwashaniki wa simba
Miraji nomaaa
kipindi bora sana
Kisugu huyo ana laana ya mama yake sio mzima kichwani
Ila kisugu li ziro kuliko ziro yenyewe hohohoho
Haaaa
miraji jembe
Kisugu kama mlevi hayuko sawa
Safiii
ndo uzuri wa amani ya Tanzania na mpira wake tumeinjoy sana
Miraji yuko sawa kabisa
God yanga mropokaji
Nilichogunduwa miraji sio mlevi kisugu mlevi
😂😂😂😂😂
Milaji nimwana michezo c mshabiki
Kisugu anafeli ni sna😅😅😅
kisugu ajui soka ila ni mshabiki maandazi
ila Dodi
Simba haiwezi kuendelea ikiwa nawatu kama kisugu
😂😂kisugu ameumbuka kwa miraji miraji anajua sana mpira kisugu mpiga kelele tu
Kisugu nakuelewa sana wengi hapo hawajui hoja
Ila kweli nimeamini Yanga ni mambumbu. Katika huo mjadara ukisikiliza unagundua Yanga wana tatizo kubwa kwenye ufahamu wa soka...
Miraj ni mchambuzi wa mpira hakuna wa kumfikia apooo
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Huyu jamaa Miraji si shabiki tu! Miraji anaujua mpira!!!
Sanaaa
Broo miraji mkimnya san
mitahira ya yanga utaijuwa tu hayajui kuongea
Kisugu hajiwi mupira musiwe munamuhoji hajuwi chochote
Michezo ni urafiki
Mnafeli simba haikupungua kiwango ila yanga kazid ubora hoja yangu simba alipokua bora mbona alikua anafika robo fainal mara hii kafika robo simba haikupungua kiwango ila yanga kawa bora ndomana simba wanachachawa
Kumbe Azam ni Simba inayoikamia Yanga
Duh. kumbe god yanga nae alikuwepo😂😂😂😂
Kisugu kila cku unazalilika
Mchome anasemaga jamaa ajasoma naamini ss😀😀
Yani nimewasikiliza chakushangaza akuna cha maana mlichokiongea.
Kisugu chawa huyo haongei fact mda wote anabadilikabadilika
hao Azam wamefata nn hapo😂😂
Xavi mtupu
😂😂😂😂😂kisugu akilizake ndogo sana
😂 bongo raha sana
Kisugu ni takataka tu
Chama ni msaliti na jezi yake ichomwe moto hadharani
Kisugu bado ana machungu ya 5G😂😂😂😂
Miraji ukosawa kabisa
Yan huy dodi ni mnafki kinyama
Kisigu kinachomsumbua ni education na hekima.
HIV kisugu Huwa zimetimia kwel anaongeaga Kwa mihemko
Tatizo la Azam ni mashabika. Azam Ina mashabiki wachache mno wanakosa motisha katika mechi kubwa kubwa
Mamelod mbona anafanikiwa?
KISUGU UNATAKA KUWAFUNDISHA NN WATU KWAMBA TIMU 9 ZIMEPIGWA GOLI 5 IKIWEMO SIMBA ZIMEPIGWA NA YANGA...BADO AIAMINI HIYO YANGA ?
Kuna jamaa limetipika apo san
Iki kipnd kirembo kama mobeto
ANGALIENI VIZURI MKONO WA KUSHOTO WA KIPRE AKIMSHIKA BEGA BEKI WA MTIBWA ANGALIENI KWA MAKINI
hahahahahha
Huyu kisugu anatakiwa afungiwe kwenye pipa anaiharibu simba. Mitaj anaongea ukwel kuijenga simba
HILO JAMAA LENYE KIPARA LINAONA AIBU SASA ,LIMEZODOLEWA VIZURI SANA.
😅😅😅😅😅 et sisi simba wakat amevaa jez ya AZAM.,.DAH😅😅
Miraji anafatilia mpira kuliko Kisugu..? MIRAJI anatafuta Sifa kutoka kwa watu wa Yanga aonekane anajua..Hoja ya Kisugu ni sahihi
Bonge la brudani
Hili shabiki lijinga sijui hua mnalihoji la nini Katika mashabiki wajinga, washamba ndio huyo hapo kisugu
Xavi mtupu
Lijinga hilo yaani sijawahi kuona shabiki mjinga kama huyu