MBWEMBWE ALLY KAMWE BAADA YA AZIZ KI KUSAINI MKATABA MPYA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • СпортСпорт

Комментарии • 185

  • @JitihadaRashidi
    @JitihadaRashidi 17 дней назад +51

    NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 17 дней назад +19

    Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans

  • @bodyaman
    @bodyaman 17 дней назад +19

    Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa.
    Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 17 дней назад +11

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 17 дней назад +2

    Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w 17 дней назад +2

    Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 17 дней назад +2

    Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana

  • @user-gf2jq8mf8j
    @user-gf2jq8mf8j 17 дней назад +3

    Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @upendogidion5167
    @upendogidion5167 17 дней назад +3

    Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 17 дней назад +3

    Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 17 дней назад +19

    Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor7068 17 дней назад +12

    Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c 17 дней назад +6

    Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 17 дней назад +3

    Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 17 дней назад +3

    Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 17 дней назад +2

    Semaji mwenye cv kubwa

  • @HusnaOmarry
    @HusnaOmarry 17 дней назад +18

    Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺

  • @ndakijoseph8341
    @ndakijoseph8341 17 дней назад +3

    Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️

  • @user-eo8tb2js5v
    @user-eo8tb2js5v 17 дней назад +4

    Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey7105 17 дней назад +10

    Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko

    • @HusnaOmarry
      @HusnaOmarry 17 дней назад +1

      Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge 17 дней назад

      Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅

  • @hyy4114
    @hyy4114 17 дней назад +10

    Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika

  • @JohnAlfred-k8f
    @JohnAlfred-k8f 17 дней назад +23

    Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 17 дней назад +5

    Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 17 дней назад +1

    Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛

  • @AbubakarKales
    @AbubakarKales 17 дней назад +6

    Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia

  • @batilda4920
    @batilda4920 17 дней назад +6

    Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 17 дней назад +3

    Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏

  • @AMIRIRAJABU-ld5ry
    @AMIRIRAJABU-ld5ry 17 дней назад +12

    Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever

  • @SalomeEdward-ch4pk
    @SalomeEdward-ch4pk 17 дней назад +13

    Naipenda yanga

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 17 дней назад +4

    💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 17 дней назад +3

    Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n 17 дней назад +4

    Hongera kwa raisi

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo 17 дней назад +5

    Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 17 дней назад

      Aho wagaya avae....

    • @LukindoMchome-qv3vo
      @LukindoMchome-qv3vo 17 дней назад

      @@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 17 дней назад

      @@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 17 дней назад +3

    Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 17 дней назад +4

    Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk 17 дней назад +3

    Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga

  • @TausiKitundu
    @TausiKitundu 17 дней назад +10

    yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @CharlesDanielnyanda
    @CharlesDanielnyanda 17 дней назад +1

    Hongera sana ENG HERS SAIDI

  • @emanuelromanrc9782
    @emanuelromanrc9782 17 дней назад +6

    Wa kwanza Leo💚💚💚

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n 17 дней назад +3

    Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 17 дней назад +4

    Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri

  • @emmanueljohn4571
    @emmanueljohn4571 17 дней назад +9

    Yanga🙌🏻🙌🏻

  • @user-kk7ni6cp7p
    @user-kk7ni6cp7p 17 дней назад +3

    Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan

  • @Justinaombay
    @Justinaombay 17 дней назад +1

    Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge 17 дней назад +1

    Hongera yako president
    Kwa aziz ki

  • @JayWizzy-iq8ed
    @JayWizzy-iq8ed 17 дней назад +1

    Naipenda yanga yangu❤

  • @BabatStarkid
    @BabatStarkid 17 дней назад +8

    Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅

  • @vinnyjr-n1g
    @vinnyjr-n1g 17 дней назад +1

    Yanga mpaka nakufa❤❤

  • @samwelsanyura-iw9nr
    @samwelsanyura-iw9nr 17 дней назад +4

    Yanga for life

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 17 дней назад +7

    💛💚💛💚yanga

  • @MwaniPh
    @MwaniPh 17 дней назад +7

    Yanga bingwa

  • @tonymwakalenga388
    @tonymwakalenga388 17 дней назад +4

    Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.

  • @KimSaidi
    @KimSaidi 17 дней назад +1

    🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa

  • @nurhatkheir1935
    @nurhatkheir1935 17 дней назад +7

    Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛

  • @anyisilejaphet2658
    @anyisilejaphet2658 17 дней назад +6

    Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma 17 дней назад +3

    Yanga hii mwaka huu litakufa jitu

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 17 дней назад +1

    For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏

  • @AntidiusiZindemba
    @AntidiusiZindemba 17 дней назад +1

    MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k

  • @habibuabuu9609
    @habibuabuu9609 17 дней назад +1

    Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 17 дней назад +3

    Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊

    • @Justinaombay
      @Justinaombay 17 дней назад

      Ulimsainisha ww au

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 17 дней назад

      Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 17 дней назад +1

      @@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 17 дней назад +1

      @@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 17 дней назад +2

    Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno

    • @user-ds3oi3tt8u
      @user-ds3oi3tt8u 17 дней назад

      Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu

    • @user-ds3oi3tt8u
      @user-ds3oi3tt8u 17 дней назад

      Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 17 дней назад +1

    HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU

  • @KizingiliRamadhani-gh5gq
    @KizingiliRamadhani-gh5gq 17 дней назад +4

    Wambie hawooo manyonyo fc

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 17 дней назад +2

    Nakubali sana ❤

  • @islamsaid9587
    @islamsaid9587 17 дней назад +2

    Onger eng hers said na menejiment yote

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq 17 дней назад +1

    nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 17 дней назад +1

    Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @GraceFesto
    @GraceFesto 17 дней назад +3

    Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 17 дней назад +3

    Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂

  • @kasandabulilo564
    @kasandabulilo564 17 дней назад +2

    Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂

  • @abuumfunda
    @abuumfunda 17 дней назад +2

    Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤

  • @barakahmichaels1631
    @barakahmichaels1631 17 дней назад +1

    Author✌🏿✊🏿❤️

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 17 дней назад +3

    MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢

  • @GodfreyLipumba-ds6jl
    @GodfreyLipumba-ds6jl 17 дней назад

    Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 17 дней назад +4

    The first one, today

  • @DieudonneNdiho-yf5sq
    @DieudonneNdiho-yf5sq 17 дней назад +3

    Safi sana

  • @faidhasaid4084
    @faidhasaid4084 17 дней назад +3

    mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa

  • @julietmshana1962
    @julietmshana1962 17 дней назад +3

    Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛

  • @Dartonjuma
    @Dartonjuma 17 дней назад +5

    Nice

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 17 дней назад +3

    Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 17 дней назад

      Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona

  • @sulehyanajma3399
    @sulehyanajma3399 17 дней назад +1

    Moyo wangu umetulia sasa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 17 дней назад +2

    Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K

  • @eliudmwanalusi3907
    @eliudmwanalusi3907 17 дней назад +1

    Huyu jamaa huwa anaongea fact sana

  • @jivankulikwa24
    @jivankulikwa24 17 дней назад +2

    Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂

  • @twaribuidrissa9900
    @twaribuidrissa9900 17 дней назад +8

    Asalam aleykum wananchi wenzangu

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer382 17 дней назад +1

    #Yanga ni lidude kubwa sana😂

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 17 дней назад +8

    💚💛💛💛💚l Love You yanga

  • @tumainimremi3461
    @tumainimremi3461 17 дней назад +3

    Ushindi muhimu

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 17 дней назад +1

    Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉

  • @KonjiKabasa
    @KonjiKabasa 17 дней назад +3

    Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe

  • @JumaJabibu
    @JumaJabibu 17 дней назад

    Hongera rais

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala 17 дней назад

    Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮

  • @julietmshana1962
    @julietmshana1962 17 дней назад +3

    💚💛💚💛💚💛

  • @jumamzelela4207
    @jumamzelela4207 17 дней назад +1

    Sure😢

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 17 дней назад +2

    Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n 17 дней назад +1

    Tujipongeze wana yanga wote.

  • @mansouromary9246
    @mansouromary9246 17 дней назад

    Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌

  • @eliadahmhina4125
    @eliadahmhina4125 17 дней назад +2

    3 one today😊

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 17 дней назад +1

    Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 17 дней назад +1

    Sasa ww dogo mchezaji yupo frre sasa mchezaji hahotaji ushawishi