MIRAJI |KI ASHAMALIZANA NA YANGA |KAGOMA KALETA NOUMA ZAKE MSIMBAZI | BOKA NI BEKI MTU KAZI KITAWAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024

Комментарии • 83

  • @zuhuranasoro8923
    @zuhuranasoro8923 19 дней назад +6

    Wote wenye kumuulizia mzee saidi, chagamba yuko saba saba na mzee saidi yuko kwenye mishe mishe zake❤

  • @CharlesKatuli
    @CharlesKatuli 19 дней назад +2

    Interview mlikuwa mnafanyia ukutani saizi ni sehemu moja hivi imejaa matangazo balaa ,hongera chagamba na miraji kwa kudaka madili

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 19 дней назад +6

    Aisees nimesachi sana mzee saidi bila mafanikio chagamba vpeeee yupo wp huyo mzee bhana kwa usajiri huu wa mnyama sijamsikia

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq 19 дней назад +4

    Chagamba mzee saidi hatujamuona muda sana

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 18 дней назад +1

    Mimi nimekuwa mwana finest online kwa sababu Mzee Saidi na Miraji ila hasa hasa Mzee Saidi

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 18 дней назад +1

    Chagamba umechoka kupigwa makofi 😂😂😂😂😂 umeona isiwe tabu ukatafuta kijiwe kizuri nice bro

  • @user-wc2gs5xs1r
    @user-wc2gs5xs1r 17 дней назад

    Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother

  • @mathiasdaud7842
    @mathiasdaud7842 17 дней назад +1

    Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-zd3wy8dd6w
    @user-zd3wy8dd6w 19 дней назад +15

    chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2

    • @Sebastianrichard253
      @Sebastianrichard253 19 дней назад +1

      Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote

    • @jamesmaneno2281
      @jamesmaneno2281 19 дней назад

      Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 19 дней назад

      😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 18 дней назад

      Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni

    • @user-uh2em3og8w
      @user-uh2em3og8w 17 дней назад

      We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 19 дней назад +2

    Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq 19 дней назад +2

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅

  • @wilemajani
    @wilemajani 19 дней назад +4

    Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 19 дней назад +3

    Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi

  • @ngwilunyiga2447
    @ngwilunyiga2447 17 дней назад

    Simba nguvu moja💥🔥🔥

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 18 дней назад +1

    miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 19 дней назад +2

    Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ChristianeMahendekaJr-mo6ze
    @ChristianeMahendekaJr-mo6ze 19 дней назад +1

    Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana

  • @kaizermgawa
    @kaizermgawa 19 дней назад +2

    anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂

  • @elizabethywinnie1090
    @elizabethywinnie1090 19 дней назад +4

    Mzee Said yuko wapi jamn😢

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 18 дней назад

    Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 17 дней назад

    UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen6008 18 дней назад

    Matola mbna amumzungumzii

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula9472 16 дней назад

    Mwananchi

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 19 дней назад

    Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba

  • @samsonlusheleja8809
    @samsonlusheleja8809 19 дней назад +4

    Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa

  • @MzeeMzee-lv7sv
    @MzeeMzee-lv7sv 19 дней назад

    Shabalala asije kumroga mwenzake

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 17 дней назад

    Ww chagamba tupe Mzee saidi bana

  • @jamesmarumbo6820
    @jamesmarumbo6820 19 дней назад +1

    Mzee said yupo wapi chagamba

  • @msongeomary6195
    @msongeomary6195 18 дней назад

    Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa

  • @mosesnjenga-jc2to
    @mosesnjenga-jc2to 18 дней назад

    Namba ya miraji ama chagamba tafadhali

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 19 дней назад

    Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.

  • @BinbbasBinbbas
    @BinbbasBinbbas 19 дней назад +1

    Chagamba unazingua nenda kwa mzee said

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq 19 дней назад

    Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi

  • @MchanaLive
    @MchanaLive 19 дней назад

    milaj nakukubari sana

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 19 дней назад +1

    Mzee saidi yuko wapi chagamba😭

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b 19 дней назад

    Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 18 дней назад

    Kramo yupo jamani

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 18 дней назад

    Chagamba please tuletee mzee saidi nawafatilia nikiwa dubai

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 19 дней назад

    Mirajiii bhn kumbe mutuuu 😂😂😂😂😂😂

  • @josephmandala2225
    @josephmandala2225 19 дней назад

    Chagamba watu tumetoka Shinyanga au Kigoma huko tunatafuta banda hata tuwasalimie hata simu hupokei . Sisi ndio familia ujue sio poa

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 19 дней назад

    Kabisa

  • @user-od4hl3rp3p
    @user-od4hl3rp3p 19 дней назад

    Familia mzee said yup wap talifa za ki amezipokeaje

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 19 дней назад +1

    Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone

  • @mikidadymanga1346
    @mikidadymanga1346 19 дней назад +1

    Nkubal @miraji

  • @jamesmakaranga1170
    @jamesmakaranga1170 19 дней назад

    Chagamba tunamuomba mzee said

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga 19 дней назад

    Leo chagamba makofi hajapigwa sijapenda kabisa😂

  • @josinatrderss
    @josinatrderss 19 дней назад

    Chagamba mkisimama ndiyo maongezi yanakuwa na mzuka! Ukipigwa pigwa kidogo

  • @Shadia544
    @Shadia544 19 дней назад

    Chagamba mlete mzee saidi sasa ili tucheke jamaniii maana azizi ki yupo Kwa makolo 😢 😂

  • @user-lm4bu9ys1r
    @user-lm4bu9ys1r 19 дней назад

    Miraji uiisema kuna wachezaji wakiachwa utafurai mbona kimya

  • @birundula
    @birundula 19 дней назад

    Leo memkaa pazuri😂😂😂😂😂

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani 19 дней назад

    Chagamba miraji haipendezi tunataka msimame maana kunavitu tunavikosa juu yenu ukipigwa pigwa makofi sisi huku tunafurahi kweli

  • @hekimarizik6599
    @hekimarizik6599 19 дней назад

    Chagamba nakubali wananguu

  • @BarakaJoseph-ij2hc
    @BarakaJoseph-ij2hc 19 дней назад

    Chagamba tume miss kuona unapigwa mabega

  • @Fundirichie
    @Fundirichie 19 дней назад

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 19 дней назад

    Watalaumiwa wachezaji sawa mmkome mangungu wa watu

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu7596 19 дней назад

    Tunawapataje wekeni namba za sim

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 17 дней назад

    Ninyi wawili naomba niwaulize swali hivi!?huyu jamaa anayeitwa mchome anajifanya kama ni Simba ni Simba kweli huyu jamaa!?

  • @williamjames5267
    @williamjames5267 19 дней назад

    Chagamba tuna muomba na mzee wetu mzee saidi umfate alipo maana alipo tupo

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 19 дней назад

    Pia viongozi we2 wawalinde bas wachezaji we2 isije yakatoke ya yule kramo

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 19 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 19 дней назад

    Chagamba mtafute mzee said na masatu

  • @mnabukulakasaka
    @mnabukulakasaka 19 дней назад +2

    Naomba kuungwa kwenye group la simba changamb

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 18 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @elishagregory1595
    @elishagregory1595 19 дней назад

    Eth yanga ya kipindi cha bakari

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 19 дней назад

    Xavi mtupu

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 19 дней назад

    Kwani wewe Chagamba ni Kolo au mwananchi

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 19 дней назад

    MUNGU IBARKI CHAMA LANGU SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 19 дней назад

    Nakubal

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu7596 19 дней назад

    Wwkeni namba ya sim jinsi ya kuwatumia chochote

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula9472 16 дней назад

    Niunge kundin

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 19 дней назад +1

    Huyu sio boka muite boyka

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 19 дней назад +3

    Vi Mzee saidi jamani wiki sasa hatujamuona