KAY MZIWANDA & LAXY: WAELEZA MAANA YA SANDA, "TUTAWAZIKA SANA MSIMU HUU'' | JEZI ZAO MBAYA.
HTML-код
- Опубликовано: 17 окт 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Simbaaaa raha kama unafurahia maneno yahawa wadau weka mau❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mziwandaaaaa mmeuaaaaaa😂😂😂
Mdada kadamshi na Uzi mwekundu wa uhakika❤❤❤❤❤ I love Simba, tukutane Simba day
Nilichogundua yanga wameona rangi zao azipendezi ndiyo maana wanatumia rangi za team zingine mfano NYEUPE
😂😂😂😂😂
umesema
😂😂😂😂umegundua kumbe eeeh
❤❤❤❤❤Simba jaman Nakupenda❤❤❤❤sana❤❤❤❤❤hatuna presha❤❤
😂😂 Kweli matenge.:madera Mimi zinanitibua hatari.Jenzi za mnyama ni hatari sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤Mziwanda❤❤❤Umenena ❤❤❤❤❤
😂😂😂 Vile vinaitwa waxi za kigoma
Hiyo system ipo advance tunalipa wenyewe 😂😂
😂😂😂 Aah Kai bhn kumbe btk au kijora hhhh
😂😂😂😂😂jmn mziwandaa
Hiyo system ipo tuma advance,tajiri usikae na vitu
Haoooo wakigoma hawana Jipya wao was waendelee kuvaa batiki zao
Chagueni sanda ya tarehe 8😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani simba nguvu moja
Ety sanda bora sisi sanda nyie jez ni pendi iliyotumik miezi 3 haijatupwa mnanuka hatari kaogen😮😮
mmejua kunikosha jaman😂🤣🙌
Makolo msijitie uwande wazim sanda mmesha zivaa sasa mnasemaje mnamzikia mtu wakati avaae sanda ndo azikwae
mtani ukisha kula goal tunaulz tukuzikie wapi🤣🤣🤣🤣🤣
Kibu yupo mjichanganye
Kwer mashbk wa yanga weng n wa e2017 ndo maana
Hatumtaki Kibu wa nini sasa?? Kaqoli kamoja Mwaka.mzima .kazi kukimbia kama swala .mpira ni maqoli sio mbio .mbio tunamwachia Kibu
Key...Inabidi asadiane ahmedy...😂😂😂
HUYO MDADA MNAMUITA MZIWANDA MPIRA KAUJULIA WAPI NJAATU INAMPATABU MWABIENI AEDE TANGA AKAUZE MANDAZI
Wewe umeujulia wp??
Yaani nakwambia k mziwanda utaanza kuzikwa wewe tarehe 8 na utakufa kweli shauri yako. Nakuona unaongea huku unatetemeka
Hiyo sio waxi ya kigoma ni batiki hawana jipya, wanahaha km mbuzi wahitima
Wanajifariji maskini
😂😂😂😂eehehe msije mpiga mo vibao tena mwisho wa msimuu
Mwisho wa msimu au baada ya mechi 5 tu, Mangungu hatumtaki.
We uvae sanda halafu ufikirie asiyevaa ndio umzike? Wa kuzikwa ndio mvaa sanda!
Uliona sanda ikawa na rangi mbili😂😂😂ukwendree n vitenge vyako😂😂😂na nguo z mazikon
Yuhuhu vitengee vyenu
🐸🐸🐸🐸😜😜😜