KAY MZIWANDA & LAXY: WAELEZA MAANA YA SANDA, "TUTAWAZIKA SANA MSIMU HUU'' | JEZI ZAO MBAYA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv

Комментарии • 40

  • @ceedanstan6780
    @ceedanstan6780 2 месяца назад +1

    Simbaaaa raha kama unafurahia maneno yahawa wadau weka mau❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @AdactusKatima
    @AdactusKatima 2 месяца назад +7

    Mziwandaaaaa mmeuaaaaaa😂😂😂

  • @Saidaabdu
    @Saidaabdu 2 месяца назад +1

    Mdada kadamshi na Uzi mwekundu wa uhakika❤❤❤❤❤ I love Simba, tukutane Simba day

  • @alphoncehazole4457
    @alphoncehazole4457 2 месяца назад +5

    Nilichogundua yanga wameona rangi zao azipendezi ndiyo maana wanatumia rangi za team zingine mfano NYEUPE

  • @righitkileo
    @righitkileo 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤Simba jaman Nakupenda❤❤❤❤sana❤❤❤❤❤hatuna presha❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 месяца назад

    😂😂 Kweli matenge.:madera Mimi zinanitibua hatari.Jenzi za mnyama ni hatari sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏

  • @righitkileo
    @righitkileo 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤Mziwanda❤❤❤Umenena ❤❤❤❤❤

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 2 месяца назад +2

    😂😂😂 Vile vinaitwa waxi za kigoma

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 2 месяца назад +1

    Hiyo system ipo advance tunalipa wenyewe 😂😂

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 2 месяца назад +2

    😂😂😂 Aah Kai bhn kumbe btk au kijora hhhh

  • @aminaabdalla-uo9zq
    @aminaabdalla-uo9zq 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂jmn mziwandaa

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 2 месяца назад

    Hiyo system ipo tuma advance,tajiri usikae na vitu

  • @AminaElisha-b2u
    @AminaElisha-b2u 2 месяца назад

    Haoooo wakigoma hawana Jipya wao was waendelee kuvaa batiki zao

  • @VedasElly
    @VedasElly 2 месяца назад +1

    Chagueni sanda ya tarehe 8😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AshuraJuma-y3c
    @AshuraJuma-y3c 2 месяца назад

    Jamani simba nguvu moja

  • @MarthaMichael-ix5pb
    @MarthaMichael-ix5pb 2 месяца назад

    Ety sanda bora sisi sanda nyie jez ni pendi iliyotumik miezi 3 haijatupwa mnanuka hatari kaogen😮😮

  • @WanterMsuya
    @WanterMsuya 2 месяца назад

    mmejua kunikosha jaman😂🤣🙌

  • @koyogakizangwa9252
    @koyogakizangwa9252 2 месяца назад

    Makolo msijitie uwande wazim sanda mmesha zivaa sasa mnasemaje mnamzikia mtu wakati avaae sanda ndo azikwae

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 2 месяца назад

    mtani ukisha kula goal tunaulz tukuzikie wapi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 2 месяца назад

    Kibu yupo mjichanganye

  • @AloyceAlex-pm7rm
    @AloyceAlex-pm7rm 2 месяца назад

    Kwer mashbk wa yanga weng n wa e2017 ndo maana

  • @righitkileo
    @righitkileo 2 месяца назад

    Hatumtaki Kibu wa nini sasa?? Kaqoli kamoja Mwaka.mzima .kazi kukimbia kama swala .mpira ni maqoli sio mbio .mbio tunamwachia Kibu

  • @StephanoCharles-nq8tf
    @StephanoCharles-nq8tf 2 месяца назад

    Key...Inabidi asadiane ahmedy...😂😂😂

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 месяца назад

    HUYO MDADA MNAMUITA MZIWANDA MPIRA KAUJULIA WAPI NJAATU INAMPATABU MWABIENI AEDE TANGA AKAUZE MANDAZI

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 2 месяца назад

    Yaani nakwambia k mziwanda utaanza kuzikwa wewe tarehe 8 na utakufa kweli shauri yako. Nakuona unaongea huku unatetemeka

  • @Saidaabdu
    @Saidaabdu 2 месяца назад

    Hiyo sio waxi ya kigoma ni batiki hawana jipya, wanahaha km mbuzi wahitima

  • @Veni584
    @Veni584 2 месяца назад

    Wanajifariji maskini

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂eehehe msije mpiga mo vibao tena mwisho wa msimuu

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 2 месяца назад

      Mwisho wa msimu au baada ya mechi 5 tu, Mangungu hatumtaki.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 2 месяца назад +1

    We uvae sanda halafu ufikirie asiyevaa ndio umzike? Wa kuzikwa ndio mvaa sanda!

    • @aminaabdalla-uo9zq
      @aminaabdalla-uo9zq 2 месяца назад +2

      Uliona sanda ikawa na rangi mbili😂😂😂ukwendree n vitenge vyako😂😂😂na nguo z mazikon

    • @aminaabdalla-uo9zq
      @aminaabdalla-uo9zq 2 месяца назад +2

      Yuhuhu vitengee vyenu

    • @RahimaMatebe
      @RahimaMatebe 2 месяца назад

      🐸🐸🐸🐸😜😜😜