MBOWE,CHALAMILA,MCHUNGAJI KIMARO WANENA HAYA MSIBANI /BABA MZAZI WA HALIMA MDEE AFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 81

  • @ZuberyAlly-m2n
    @ZuberyAlly-m2n 2 месяца назад +4

    Pole sana dada yangu halima mdee mm binafsi hua nakuelewa sana ukiwa bungeni pole kwakweli halima hiyo ndio njia yetu sote mamaetu apumzike salama emeni

  • @suzanestomihikiwelu8043
    @suzanestomihikiwelu8043 2 месяца назад +5

    Pole sana professor mdee mwl wangu,Mungu wa mbingu na nchi akawe mfariji wako..

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 2 месяца назад +1

    Pole sana kwa Wafiwa. Mwenyezi Mungu awape NGUVU na Faraja ktk kipindi hiki kigumu.

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 2 месяца назад +1

    Pole sana kipenz harima pole jembe mungu akutue nguvu mpendwa

  • @AsifiweMchome
    @AsifiweMchome 2 месяца назад +2

    Pole sana halima mdee mungu akutie nguvu

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 2 месяца назад +2

    Pole sana Halima Mdee🙏🙏

  • @NGAMBAKIMTEI
    @NGAMBAKIMTEI 2 месяца назад

    Pole sana Dada Halima Ee Mwenye Mungu awapatie baraka, nguvu na faraja kwa family na ndugu na jamaa wako wote.Mwenye Mungu amulaze marehemu mwl Mdee mahali pema na raha ya milele umwangazie ampuzike salama. RIP

  • @basilisawilbroud
    @basilisawilbroud 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu amjalie pumziko jema mama yetu. Pole kwa familia

  • @SelemaniFihoma
    @SelemaniFihoma 2 месяца назад +4

    Asante mbowe

  • @NGOMELE1976
    @NGOMELE1976 2 месяца назад +2

    Poleni kwa msiba mzito.
    Bwana Awafariji.
    Lakini kuhusu ZAKA ni lazima kuweka sawa kwamba, hiyo si sadaka ya kusaidia wahitaji; inatakiwa kufika madhabahuni ikiwa kamili. "Leteni zaka kamili" Asema BWANA (Malaki 3:10).
    Kama mtu ana roho ya ukarimu basi atoe msaada kutokana na pesa zake tofauti na zaka

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 2 месяца назад

      Hakukisea. Ni kadiri Roho wa Mungu atakavyokuelekea kuitoa, madhabahuni au kwa wenye kuhitaji wajane, wagane, yatima nk

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 месяца назад

    Pole sana halima mdee Mungu akutie nguvu amina

    • @siamollel9725
      @siamollel9725 2 месяца назад

      poleni wanafamilia,,Ila chalamila msiwe mnapa nafasi kwenye mazingira magumu kama haya

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад +1

    Pole Sana halima mdee kuwa na mama. Mungu akutie nguvu

  • @OmbeniMollel
    @OmbeniMollel 2 месяца назад +5

    Pole sana kamanda wetu halima mdee

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 2 месяца назад +1

    Poleni sana

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад +3

    Hatuna chama Tanzania wote chawa wa ccm mumesahau mulema dr.silaa musilete siasa musibani mungu amulehemu mama yetu mwana siasa Gani chawa wa ccm

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 2 месяца назад

    Pole sana kwa familia kwa msiba huu, roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani.
    Pili napenda kusahihisha wanaosema "Baba Padre". Neno "padre" ni la lugha ya kilatini na tafsiri yake ni "baba". Kwahiyo ukisema "Baba Padre" ni sawa na kusema "Baba Baba". Msemo sahihi ni "Mheshimiwa Padre" (kiingereza ni Reverend Father, ambayo ni sawa na kusema Baba Mheshimiwa) na kama ni Paroko anaweza kutajwa kama "Baba Paroko".

  • @allymohamedclaud7626
    @allymohamedclaud7626 2 месяца назад +8

    Mbowe ni mkomavu kwenye siasa..kwa kipindi kile cha mwendazake wanaume walikimbia hapa Tanzania.kwahiyo hatuwezi kuwalaumu kabisaa wala kuwakataa kina Mdee na Matiko na Bulaya

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 месяца назад

      Acha unafiki walikimbilia wapi.

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 2 месяца назад

      walikimbizwa na nini,walitaka umaarufu kutaka kuonekana ni wakimbikizi wa kisiasa yamewashinda wakarudi nyimbo zile za hatuwezi kurudi hadi tuambiwe usalama wetu yako wapi wamerudi wote kimya kimya

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад

      ​@@elizabethmassi7327Akili zako Zipo makanyagioni

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад

      Kumbe halima anafanana na Baba yake?

  • @yohanachiristopher3087
    @yohanachiristopher3087 2 месяца назад

    Pole dada yetu mdee a super women

  • @EmanuelIdd
    @EmanuelIdd 2 месяца назад

    Pole sana halima

  • @mikemwanga2860
    @mikemwanga2860 2 месяца назад

    pole sana Halima na familia apunzike kwa Amani

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 2 месяца назад

    Pole sana wanafamilia wote poleni sana😢

  • @JackSanga-n6r
    @JackSanga-n6r 2 месяца назад

    Pole san halima mdee kwa kuondokewa namama

  • @erenwesmgeni4837
    @erenwesmgeni4837 2 месяца назад +2

    Pole sana dada angu halima mdee pole saana

  • @wegesawaryoba3316
    @wegesawaryoba3316 2 месяца назад +1

    Pole sana Halima kuondokewa na mama mpendwa.

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 2 месяца назад

    Rest in Paradise Mom 🙌

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 2 месяца назад +1

    Pole dada angu mdee

  • @chiizadomician3775
    @chiizadomician3775 2 месяца назад

    Pole sana Halima Mdee na Famila yako

  • @SaigiluSankale
    @SaigiluSankale 2 месяца назад +1

    Mungu amlaze pahali pemaa

  • @FedrickwKingo
    @FedrickwKingo 2 месяца назад

    Apunzike kwa amani

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 2 месяца назад

    Pole sana dada halima mdee na familia yote

  • @BahatiMahenge
    @BahatiMahenge 2 месяца назад +2

    Mungu awatie nguvu wafiwa wote

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 2 месяца назад

    Pole sana wanafamilia

  • @JosephLymo-j8x
    @JosephLymo-j8x 2 месяца назад +3

    Nyie waandishi mue makini kwakile mnacho andika mnaandika baba wakati nimama hiyo nitaaluma muwe makini

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 2 месяца назад +1

    Pele sana wana family mungu awatie nguvu.

  • @EmmanuelyRema
    @EmmanuelyRema 2 месяца назад +1

    Dada halima pole sana

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko 2 месяца назад +1

    Naomba mwenyekit wangu wapokee tu hawajakinenea vibaya chadema binadamu yeyote anakosea.mwekiti nakuaminigi sana.ndo maana maadui wataka uachie kiti ili chama kiwe kama cha caf wabunge 19 ludini kwenye cham nawapenda san

  • @MWAKIPESA
    @MWAKIPESA 2 месяца назад +2

    Kifo ni fumbo wakat wote tunasafiri mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 месяца назад

    Pole sana mtani Mungu akupe wepesi

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад +6

    Makalio analeta maneno ya siasa

  • @ErickAlipipi
    @ErickAlipipi 2 месяца назад +2

    Pumzika kwa Aman mama

  • @RobertBitambaOfficial
    @RobertBitambaOfficial 2 месяца назад

    Makonda Yuko wapi

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 2 месяца назад +9

    Kwa hiyo chalamila umekuj sababu ya utundu wa halima isimgekuwa utundu usingekuja wee jamaa wewe huna ubinadamu kabisa hufai kabisa kuwa kiongozi

    • @esthergambi8058
      @esthergambi8058 2 месяца назад +2

      Jaribu kuchukua muda kidogo kutafakari misemo,huyu jamaa ukiwa mkurupukaji huji kumwelewa hata siku moja.

    • @lusticendokole9385
      @lusticendokole9385 2 месяца назад

      @@esthergambi8058 ni sahihi kabisa

  • @johnmanase2874
    @johnmanase2874 2 месяца назад

    Pole kwa familia ya dada Mh. halima mdee

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 2 месяца назад +2

    Huyu jamaa wa ilala na temeke anajichanganya halima poleni

  • @Banzok700
    @Banzok700 2 месяца назад

    Yaani we Mbowe unasikitisha sana , yaani umeshindwa hata kumtaja jina Halima kwenye msiba ? Kwel chuki zako za kisiasa zimepiliza ... Hongera sana Mheshimiwa Chalamila

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 2 месяца назад

    Chalamila umjui Alima mdee vizuri, hizo sifa unazompa mdee Hana hizo sifa

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 2 месяца назад

    Kweli kabisa walimu wa Shule ya msingi waheshimiwe

  • @ndaroGamba
    @ndaroGamba 2 месяца назад +3

    Kwamba umemfuata Halima kwa sababu ya utundu wa siasa alionao😮
    Kumbe mlimpa utundu ili aisaliti Chadema na leo mnaneemeka na huo utundu?

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 месяца назад +1

      Amenikera sana Chalamila Albert, RC wa Dar, anasema sababu za kwenda msibani kuwa ni sababu tatu za kumpenda Halima Mdee na SIO mama yake(Marehemu), amegeuza msiba kuwa sehemu ya kampeni, imeniuma sana.
      Eti mwishoni ndio anasema ameenda Kwa dhamana ya uongozi, very stupid.

    • @ndaroGamba
      @ndaroGamba 2 месяца назад +1

      @@illomowerner7690 This is kind of stupid and idiot leaders we have in the country!.Nchi inaongozwa na walevi!

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 2 месяца назад

      ​@@ndaroGambakwakweli ni shida

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 месяца назад +1

      @@ndaroGamba kweli kabisa ndugu yangu

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 2 месяца назад

    Mpoki aksema "Wasifu wa marehemu hata uwe mnene kiasi gani, huwa haupigiwi makofi.."😮

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 2 месяца назад

    Chamila ni kuku wa kisasa Ana lelewa na mama samia ila hafai kua kiongoz kali zake azina tija kwenye taifà

  • @ErickAlipipi
    @ErickAlipipi 2 месяца назад

    Mungu akupe nguvu kamanda mh. Mdee

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 2 месяца назад

    R.I.P. Mama.

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 2 месяца назад

    Hivi huyu chalamila kwanini mama anamlea sana huyu hafai kua hàta balozi wa nyumba kumi

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 2 месяца назад

    Mawazo ya changizo

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 месяца назад

    Yaani hata wewe kimaro unaongelea halima kuchangia gari huo ni ujinga na uache ujinga unapokuwa kwenye mambo mhimu kama hili

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад +1

    Kwakweli nashindwa kuelewa halima ni ccm au chadema lissu aliwakataa kabisa Hawa COVID 19 ila mwenyekiti anaona hakuna haja ya kuwakazia

    • @ThobiasMarandu
      @ThobiasMarandu 2 месяца назад

      Nyie Ma- Sycophants Wa Lissu Mnakuwa Kama Maga Cult...So Msiba Una Uhusiano Gani Na Siasa.. Walioenda Msiba Wa Lowassa Wote Walikuwa CCM? Kajifunzeni Siasa Kabla Kabla Hamjaanza Makundi Uchwara... Its Ok Kumshabikia Lissu na Kumtaka Yeye Kwa Nafa Yoyote BUT ITS NOT OK KUDHALILISHA WATU NA KUFANYA KILA KITU NI ABOUT LISSU... WOW! Inakera Hasa Mnapowakosea Respect Watu Wengine in The Name of Lissu... IT MAKES ME SICK! Ukizingatia Hao hao Kwa Ground 90% Atawahitaji.

    • @FikiriniMwaluko
      @FikiriniMwaluko 2 месяца назад

      Hawa imani yangu naona kama bado wapo chadema na wanakipenda chama sioni wakijiunga na ccm ila ni mazingira tu wasamehew

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 2 месяца назад

      Ukijiunga ccm saiv wanapoteza ubunge​@@FikiriniMwaluko

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 2 месяца назад

    Huyu Cheif Odemba ninani??

  • @MouriceChacha-d3v
    @MouriceChacha-d3v 2 месяца назад

    Amebadrika tena na kua baba? !!!!!!!

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад

    Siasa nitakuja tu watanzania siyo wajinga kama munavyo Dhani SS watoto wa wakulima machinga tutaleta mabadiliko siyo chadema Wala ccm

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx 2 месяца назад

    Pole sana halima mdee mungu akutienguvu

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 2 месяца назад

    Chalamila umjui Alima mdee vizuri, hizo sifa unazompa mdee Hana hizo sifa