MIRAJI | JIONI ITAINGIA KIBU ATARUDI SIMBA | MPANZU HATUTAKI YA MAYELE |GAMOND VS NABI SIO YA KUKOSA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 66

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    Simba nguvu moja🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-lq1ui5ic8h
    @user-lq1ui5ic8h Месяц назад +32

    Miraji we n mfalme WA soka....mm nko Dubai ila natokea Kenya ...mwakani narud Kenya ila inshaallah ntakuja Tanzania kuitembelea Yanga ila sitokusahau lazma nkutafute

  • @StevenMwangobora
    @StevenMwangobora Месяц назад +3

    Mnafanya jambo jema sana kuwakumbuka yatima mwenyezi mungu awazidishie mlipo pungua amin

  • @daudzabron5514
    @daudzabron5514 Месяц назад +9

    Nipeni like zangu Kwa ajiri ya Elia mpanzu.

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Месяц назад +2

    Kati ya siku nimefurahi ni kusikia miraji unataka kusomea ukocha❤❤❤❤

  • @MuddyAlly-jt8rn
    @MuddyAlly-jt8rn Месяц назад

    Miraji baba uko sawa somea ukocha baba

  • @rebecamalekana
    @rebecamalekana Месяц назад

    Mungu akubariki 😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @frankmisana1133
    @frankmisana1133 Месяц назад

    Mungu akusaidie🎉🎉🎉

  • @IssaMshomary
    @IssaMshomary Месяц назад +2

    Miraji ni Noma sanaa mwenyezimugu Awatangulie katika Kazi yenu Mie ndo Familia

  • @Fredmbawala-hq3pd
    @Fredmbawala-hq3pd Месяц назад +1

    Miraji the perfect man

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Месяц назад +1

    Miraji na Mzee said ni noma

  • @DevidMwaisumo
    @DevidMwaisumo Месяц назад +5

    Miraji Mara moja na chagamba pamoja sana wazeeee

  • @DamianMsuya
    @DamianMsuya Месяц назад +1

    Miraji mnyamaa unaongey fact Sanaa broo

  • @enockjlory1814
    @enockjlory1814 Месяц назад +2

    Miraji mara Moja ni mmoja tu tanzania na Kenya nzima 🎉

  • @jumajoseph6241
    @jumajoseph6241 Месяц назад

    Familia nawakubari sana aisee hakuna sehemu napata madini ya kimchezo kama finest mko sawa mungu awaweke sawa gamba na maramoja nawapata vyema pande za kenya hapa

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Месяц назад +1

    Yanga wana jezi kali ......ila SANDAKALAWE duuuh 😅

    • @officialtenendejr360
      @officialtenendejr360 Месяц назад

      Maswala ya jezi na kuhusu miraj yametokea wap tatz hamfikirii mnaandika tu ujinga ujinga na ww uonekane

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy Месяц назад +1

    Miraji nakuelewa sana mwamba

  • @BrasiusMwashalula
    @BrasiusMwashalula Месяц назад

    Miraji utamvunja mwenzio mkono sio kwa mbata hizo😂😂😂

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman Месяц назад +1

    miraji asipo kupiga haongei au sio fresh familia.

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Месяц назад

    Chagamba KANZU siyo VAZI la KIISLAM ni VAZI la KIARABU. UISLAMU unapenda na kusisitiza vazi lolote la kujistili. AMESIFIKA MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. TAKBEER. ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR. 🙏🙏🙏

  • @SwediKiluvia
    @SwediKiluvia Месяц назад +2

    Miraji, Mzee Saidi Na Mtitu Wametupumguzia Stress za Wanaojita Wachambuzi

  • @givensikali959
    @givensikali959 Месяц назад

    Maatangazo mengi sana chagamba

  • @charlesmtamala4912
    @charlesmtamala4912 Месяц назад

    dah Leo interview nimeiona fupi ,🎉🎉All in all nawakubal sana familia

  • @michaelginnerykisura9668
    @michaelginnerykisura9668 Месяц назад +2

    Wa pili leo jah bless tukutane uzeeni

  • @hamzaharuna2053
    @hamzaharuna2053 Месяц назад

    Sisi watanzania huwa tunamkubali mtu pindi anapokuwa hayupo leo nabi ni mzuri kwa sababu hayupo kwenye ligi yetu na ndo kocha aliyeongoza kutukanwa na hawa wachambuzi pindi aliposhindwa kuingia group stage ya caf champions league na siku miguel gamond akiondoka mtamuimba kwa mazuri yake tuheshimuni kazi za watu wanangu

  • @Danielmayunga
    @Danielmayunga Месяц назад +1

    Kama kawa na miraj msema ukweli siyo Kama chawa wengine washeee

  • @JumaAlly-fb3xq
    @JumaAlly-fb3xq Месяц назад

    Ila chagamba hayo makofi unakula kwenye hilo Bega aki 😂😂😂😂😂

  • @moodymoodyboy740
    @moodymoodyboy740 Месяц назад

    BABA uyo utakufunja bega maana mmh

  • @user-eu8ci6ot6q
    @user-eu8ci6ot6q Месяц назад +1

    Kaka miraji we mwamba unaujua mpira

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Xavi mtupu

  • @hassanismail1931
    @hassanismail1931 Месяц назад

    Basi kama ndo Ivo kumpata Elie mpanzu ni ngumu sana

  • @israelnibigira4990
    @israelnibigira4990 Месяц назад +1

    Yeah somea ukocha maana unalijua boli

  • @UmbwidSelemani
    @UmbwidSelemani Месяц назад +3

    Duh hakika mungu anakuona

  • @AlmasiMaliki-eq8rw
    @AlmasiMaliki-eq8rw Месяц назад

    Vipi kaka Naitwa Almasi nikiwa Nairobi Kenya huyo braza milaji namkubali sana

  • @Maulidsobbo007
    @Maulidsobbo007 Месяц назад +1

    Miraji

  • @user-lq1ui5ic8h
    @user-lq1ui5ic8h Месяц назад +1

    Meraji ukiwa kocha Kuna madini tutayakosa😅😅😅

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Месяц назад +1

    😂😂

  • @GoodluckFaustin
    @GoodluckFaustin Месяц назад +2

    Makofi hayo sasa utamuua chagamba hyoooo😅

  • @user-gb9ez3rq8j
    @user-gb9ez3rq8j Месяц назад +2

    Watatu leo npen Maza yangu

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Месяц назад +1

    Nyny simba kinachowafungisha kelele nyingi hmn mpanzu hmn lofoten nyinyi timu mbili igeni Azam mbona hawasajili kishamba nyie wkwnz lkn mpk leo mko nyuma

    • @ernestkamata2555
      @ernestkamata2555 Месяц назад

      Issue ya Mpanzu ni propaganda tu hamna kitu. Subirini tarehe 08 mtapigwa kama ngoma

    • @officialtenendejr360
      @officialtenendejr360 Месяц назад

      Kwan aliekuambia yupo nani
      TAtizo kuandkka tu ujinga kufikiriia aaaaha

  • @CarlitoNvita
    @CarlitoNvita Месяц назад +1

    🎉🎉

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 Месяц назад

    Jembe langu sijawahi kuwa natim Tanzania ila tim utakayo ifundisha kama kocha mkuu mm ndio itakayokuwa tim yangu Tanzania kila lakher katka masomoyako yaukocha ulikuwa umechelewa xana

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew Месяц назад

    Miraji usmpige Leo Bega chagamba linamuuma sawa

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k Месяц назад

    Milaji hamisi mala moja

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    SASA MO MAYELE VPI?NA MAYELE JEEE! MNADANGANYA MASHABIKI MARA MANZOKI MARA MAYELE MARA MPANZU TUAMINI LIPI?

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Месяц назад

    Kwan mpanzu yeye ninanii?

  • @princemesha9611
    @princemesha9611 Месяц назад +1

    Milaji nakukubali Sana

  • @kayandaabwe2976
    @kayandaabwe2976 Месяц назад

    Mkimupa Elie basi mtakuwa mumepata muchezaji 1 tu wa maana

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад

    Kila kocha amefanya kazi yake kwa wakati... kwa sasa mwalimu wa yanga ni gamondi 'master', tuko naye kesho. Nabi ni mpinzani wetu kesho, tutamfunga

  • @edsonhiza8519
    @edsonhiza8519 Месяц назад

    Miraji angalia utamtoa Bega Chagamba😂

  • @user-gy6ru6dw1b
    @user-gy6ru6dw1b Месяц назад +1

    Masikini bega la chagamba limesha anza kupigwa pigwa😅

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад +3

    MCHEZO WA KESHO NI FAINALI TOYOTA CUP KOMBE UWANJANI MSIPOTOSHE SIYO WA KIRAFIKI NI MASHINDANO KUSHINDANIA KOMBE

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc Месяц назад

    Wasituletee habari za yanga na azam

  • @viccentbenard3710
    @viccentbenard3710 Месяц назад +1

    dili la mpanzu hawo watu wanataka pesa ndefu san ndoman ishu nzito san

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Месяц назад +1

    Toka nimeanza kuwafuatilia kila mnapo peleka misaada ya uhitaji kwenye vituo husika, mbona mmekuwa huo uhutaji mmekuwa mkiupeleka upande mmoja tu wa shilingi? Acheni ubaguzi.

    • @Finestonline
      @Finestonline  Месяц назад +1

      Hongera kwa kupata uwezo wa kucomment samahani sana kama tumekubagua pia samahani kama tumekataa kupokea mchango wako uliotaka kutoa 🙏

    • @user-zn4jl5wy3d
      @user-zn4jl5wy3d Месяц назад +1

      Inaonesha wewe utakuwa mdini mbobezi au una maslahi binafsi katikahili

    • @Finestonline
      @Finestonline  Месяц назад

      @@user-zn4jl5wy3d asante sana familia🙏

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 Месяц назад

      @@user-zn4jl5wy3d Fikra na uelewa wako tu.

  • @MarianoMantula
    @MarianoMantula Месяц назад

    Milaji magoma wewe nikiboko unalijuwa soka

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Месяц назад +1

    😂😂