Miraji we n mfalme WA soka....mm nko Dubai ila natokea Kenya ...mwakani narud Kenya ila inshaallah ntakuja Tanzania kuitembelea Yanga ila sitokusahau lazma nkutafute
Familia nawakubari sana aisee hakuna sehemu napata madini ya kimchezo kama finest mko sawa mungu awaweke sawa gamba na maramoja nawapata vyema pande za kenya hapa
Sisi watanzania huwa tunamkubali mtu pindi anapokuwa hayupo leo nabi ni mzuri kwa sababu hayupo kwenye ligi yetu na ndo kocha aliyeongoza kutukanwa na hawa wachambuzi pindi aliposhindwa kuingia group stage ya caf champions league na siku miguel gamond akiondoka mtamuimba kwa mazuri yake tuheshimuni kazi za watu wanangu
Jembe langu sijawahi kuwa natim Tanzania ila tim utakayo ifundisha kama kocha mkuu mm ndio itakayokuwa tim yangu Tanzania kila lakher katka masomoyako yaukocha ulikuwa umechelewa xana
Toka nimeanza kuwafuatilia kila mnapo peleka misaada ya uhitaji kwenye vituo husika, mbona mmekuwa huo uhutaji mmekuwa mkiupeleka upande mmoja tu wa shilingi? Acheni ubaguzi.
Simba nguvu moja🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Miraji we n mfalme WA soka....mm nko Dubai ila natokea Kenya ...mwakani narud Kenya ila inshaallah ntakuja Tanzania kuitembelea Yanga ila sitokusahau lazma nkutafute
Karibu TZ kaka
Mnafanya jambo jema sana kuwakumbuka yatima mwenyezi mungu awazidishie mlipo pungua amin
Nipeni like zangu Kwa ajiri ya Elia mpanzu.
Kati ya siku nimefurahi ni kusikia miraji unataka kusomea ukocha❤❤❤❤
Miraji baba uko sawa somea ukocha baba
Mungu akubariki 😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Mungu akusaidie🎉🎉🎉
Miraji ni Noma sanaa mwenyezimugu Awatangulie katika Kazi yenu Mie ndo Familia
Miraji the perfect man
Miraji na Mzee said ni noma
Miraji Mara moja na chagamba pamoja sana wazeeee
Miraji mnyamaa unaongey fact Sanaa broo
Miraji mara Moja ni mmoja tu tanzania na Kenya nzima 🎉
Familia nawakubari sana aisee hakuna sehemu napata madini ya kimchezo kama finest mko sawa mungu awaweke sawa gamba na maramoja nawapata vyema pande za kenya hapa
Yanga wana jezi kali ......ila SANDAKALAWE duuuh 😅
Maswala ya jezi na kuhusu miraj yametokea wap tatz hamfikirii mnaandika tu ujinga ujinga na ww uonekane
Miraji nakuelewa sana mwamba
Miraji utamvunja mwenzio mkono sio kwa mbata hizo😂😂😂
miraji asipo kupiga haongei au sio fresh familia.
Chagamba KANZU siyo VAZI la KIISLAM ni VAZI la KIARABU. UISLAMU unapenda na kusisitiza vazi lolote la kujistili. AMESIFIKA MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. TAKBEER. ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR. 🙏🙏🙏
Miraji, Mzee Saidi Na Mtitu Wametupumguzia Stress za Wanaojita Wachambuzi
Maatangazo mengi sana chagamba
dah Leo interview nimeiona fupi ,🎉🎉All in all nawakubal sana familia
Wa pili leo jah bless tukutane uzeeni
Sisi watanzania huwa tunamkubali mtu pindi anapokuwa hayupo leo nabi ni mzuri kwa sababu hayupo kwenye ligi yetu na ndo kocha aliyeongoza kutukanwa na hawa wachambuzi pindi aliposhindwa kuingia group stage ya caf champions league na siku miguel gamond akiondoka mtamuimba kwa mazuri yake tuheshimuni kazi za watu wanangu
Kama kawa na miraj msema ukweli siyo Kama chawa wengine washeee
Ila chagamba hayo makofi unakula kwenye hilo Bega aki 😂😂😂😂😂
BABA uyo utakufunja bega maana mmh
Kaka miraji we mwamba unaujua mpira
Xavi mtupu
Basi kama ndo Ivo kumpata Elie mpanzu ni ngumu sana
Yeah somea ukocha maana unalijua boli
Duh hakika mungu anakuona
Vipi kaka Naitwa Almasi nikiwa Nairobi Kenya huyo braza milaji namkubali sana
Miraji
Meraji ukiwa kocha Kuna madini tutayakosa😅😅😅
😂😂
Makofi hayo sasa utamuua chagamba hyoooo😅
Watatu leo npen Maza yangu
Nyny simba kinachowafungisha kelele nyingi hmn mpanzu hmn lofoten nyinyi timu mbili igeni Azam mbona hawasajili kishamba nyie wkwnz lkn mpk leo mko nyuma
Issue ya Mpanzu ni propaganda tu hamna kitu. Subirini tarehe 08 mtapigwa kama ngoma
Kwan aliekuambia yupo nani
TAtizo kuandkka tu ujinga kufikiriia aaaaha
🎉🎉
Jembe langu sijawahi kuwa natim Tanzania ila tim utakayo ifundisha kama kocha mkuu mm ndio itakayokuwa tim yangu Tanzania kila lakher katka masomoyako yaukocha ulikuwa umechelewa xana
Miraji usmpige Leo Bega chagamba linamuuma sawa
Milaji hamisi mala moja
SASA MO MAYELE VPI?NA MAYELE JEEE! MNADANGANYA MASHABIKI MARA MANZOKI MARA MAYELE MARA MPANZU TUAMINI LIPI?
Kwan mpanzu yeye ninanii?
Milaji nakukubali Sana
Mkimupa Elie basi mtakuwa mumepata muchezaji 1 tu wa maana
Kila kocha amefanya kazi yake kwa wakati... kwa sasa mwalimu wa yanga ni gamondi 'master', tuko naye kesho. Nabi ni mpinzani wetu kesho, tutamfunga
Miraji angalia utamtoa Bega Chagamba😂
Masikini bega la chagamba limesha anza kupigwa pigwa😅
Acha tu familia😂
MCHEZO WA KESHO NI FAINALI TOYOTA CUP KOMBE UWANJANI MSIPOTOSHE SIYO WA KIRAFIKI NI MASHINDANO KUSHINDANIA KOMBE
Wasituletee habari za yanga na azam
dili la mpanzu hawo watu wanataka pesa ndefu san ndoman ishu nzito san
Toka nimeanza kuwafuatilia kila mnapo peleka misaada ya uhitaji kwenye vituo husika, mbona mmekuwa huo uhutaji mmekuwa mkiupeleka upande mmoja tu wa shilingi? Acheni ubaguzi.
Hongera kwa kupata uwezo wa kucomment samahani sana kama tumekubagua pia samahani kama tumekataa kupokea mchango wako uliotaka kutoa 🙏
Inaonesha wewe utakuwa mdini mbobezi au una maslahi binafsi katikahili
@@user-zn4jl5wy3d asante sana familia🙏
@@user-zn4jl5wy3d Fikra na uelewa wako tu.
Milaji magoma wewe nikiboko unalijuwa soka
😂😂