JESHI LA GAMONDI LILIVYOFANYA MAZOEZI YA KIBABE COCO BEACH | CHAMA, PACOME HAWASHIKIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • СпортСпорт

Комментарии • 362

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 17 дней назад +45

    Nani mwengine anaangalia huku anatabasamu 😊😊😊

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 17 дней назад +20

    Hii imekaa poa sana , inatangaza pia fahari ya Tanzania ❤

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 17 дней назад +14

    All the best INSHAALLAH my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t 17 дней назад +9

    Mungu awe pamoja nanyi wachezaji bench la ufund na viongozi wetu Amen🙏🙏🙏

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 17 дней назад +12

    Nawependa sana jeshi langu Mungu awalinde na awape afya njema🥂💚

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 17 дней назад +2

    Kila la heri young Africans kwenye mandalizi na mazoezi kuelekea msimu ujao Hawepo ata mmoja kumia amen Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔰🇹🇿💯

  • @julianasimon5518
    @julianasimon5518 17 дней назад +3

    Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 17 дней назад +18

    Niwatakie maandalizi mema wapambanaji wetu💚💛💚💛🖤

  • @lukwagopaul6572
    @lukwagopaul6572 17 дней назад +14

    Am happy that pacome and Aziz ki are back

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 17 дней назад +9

    Familia ya furaha💚💚💪💚💚💪🔥🔥🏆🏆

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 17 дней назад +45

    Allah akawaongoze wapambanaji wetu,, ukawe msimu bora ndani kwa league ya ndani na kimataifa.
    Kila la kweli wananchi 💗💗

  • @AhmadSahabu
    @AhmadSahabu 17 дней назад +4

    Hadi nashindwa nifurah kwa njia gani big up sana

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu 17 дней назад +10

    Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤ mpaka 2030

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri9854 17 дней назад +23

    OMG I LOVE THIS TEAM😊❤

  • @EvaristJosiah
    @EvaristJosiah 17 дней назад +22

    Chama ameanza kung'aa kweli yanga maisha mazuri

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 17 дней назад +4

    The Biggest team in AFRICAA Nyie hamuogopiiii....

    • @Purity-l2v
      @Purity-l2v 17 дней назад

      😂. Dah tunaogopa

  • @MohamedibakariBakari
    @MohamedibakariBakari 17 дней назад +7

    Nimeuona ulafiki wa chama na msheli balaa

  • @user-qn1ot2bx8b
    @user-qn1ot2bx8b 17 дней назад +20

    Mamae kocha ashaanza kumpa madini chama

    • @IsaacNkonu
      @IsaacNkonu 17 дней назад

      Hahaha wapinzan wajinyonge

  • @chieframadhani4976
    @chieframadhani4976 17 дней назад +10

    Baba karib.🎉kwa wanainchi utanenepa baba kunaraha zote

  • @SIKUDHANISHIRINITZ
    @SIKUDHANISHIRINITZ 17 дней назад +4

    Yani wachezaji wanang'ara adirahaa🎉 naipenda sana yanga yangu jamani❤❤

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 17 дней назад +1

    Asante jeshi letu Mungu akupeni afia njema amini toka zenji

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 17 дней назад +9

    Yanga sc bingwa🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 17 дней назад +2

    Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g 16 дней назад +2

    Jamani kumbe Chama ni handsome hivi jamani na amsemi 💛💛💛💛💛💚💛💚💛💚💛💚 siku tatu tu kanawili

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 17 дней назад +11

    Mambo ni fire pit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MeryFrancey-fs4qm
    @MeryFrancey-fs4qm 15 дней назад

    Naipenda yanga na naitakia msimu mwema one day nataman niitumikie tim yangu from kigoma

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 17 дней назад +9

    Tuliorudia kuangalia zaidi ya mara moja tujuane hapa 😂😂🔰💛💚

  • @binmohammed7171
    @binmohammed7171 17 дней назад +40

    Ligue iyanze naona Makolo washaanza kunenepa

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 17 дней назад +3

      😂😂😂😂😂kwahiyo haitakiwa hata kanyama kaziada kaongezeke?

    • @nehemiakiswaga1819
      @nehemiakiswaga1819 17 дней назад

      😂😂😂😂😂😊

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n 17 дней назад +2

      Umetutabilia mazuri ...ni mwendo wa kunenepa tu zamu yenu kukonda uto😅😅

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 17 дней назад

      @@user-zs4qz4wm2n Yanga kuna raha jamani...hadi chama katakata😅😅

    • @yassinchuwa8824
      @yassinchuwa8824 17 дней назад

      😂😂😂😂😂

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 17 дней назад +1

    MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @LightMeck
    @LightMeck 17 дней назад +4

    Chama na gamond 💛💛

  • @kisaveryraphael432
    @kisaveryraphael432 17 дней назад +10

    Alooh yanga likes apa✅

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 17 дней назад +3

    Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko

  • @OmaryzingZing-jd3xm
    @OmaryzingZing-jd3xm 17 дней назад +13

    Nawatakia maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yo tutakayo shiliki Biidhinila by Ronaldo Jr apa flom Bagamoyo❤

  • @MauBonde
    @MauBonde 17 дней назад

    Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 17 дней назад +2

    Kumbe chama ni hesamu boy walimtesa Sana kolo

    • @neemadavid7587
      @neemadavid7587 17 дней назад

      Umeona hesamu wa maan kabisa makolo hawajui kutunza kabisa😂😂😂❤

  • @veronicapius3476
    @veronicapius3476 17 дней назад +12

    Tulimiss haya mambo😊😊😊

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 17 дней назад +1

    WOTE HAO KATI YA CHAMA, PACCOME NA AZIZ WATATAFUTA NAMBA LKN MAX NAMBA YAKE NI 100%, LABDA TU SIKU MECHI IWE RAHISI

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 17 дней назад +9

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @bravoremy
    @bravoremy 17 дней назад +10

    Yanga 🔥🔥🔥

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 17 дней назад

    Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wajaalie afya, nusra waondoshee Khusda Inshaallah

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 17 дней назад +1

    Gamond bwana eti anamwambia chama "uje uwapelekee moto makolo mpaka wakuite baba wa Lusaka

  • @levislwamba5695
    @levislwamba5695 17 дней назад

    Nawatakia kila la heri kwa msimu huu uwe msimu wa.mafanikio makubwa sana my best team in Africa , nawafatilia sana nikiwa nyumbani kwangu marekani,

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 17 дней назад +1

    Yanga inaipa hadhi kubwa sana nchi na ligi yetu Africa

  • @ommykiss7049
    @ommykiss7049 17 дней назад +1

    Yn kila nikimuangalia chama natabasam peke yng😊

  • @zaynabhabib770
    @zaynabhabib770 17 дней назад

    Mungu ayongoso yanga msimu ujao iwebora ndani na nje hongera sana aziz k kuendelea kubak yanga

  • @Togolay
    @Togolay 17 дней назад +1

    YANGA 4 LIFE

  • @mningoiman9916
    @mningoiman9916 17 дней назад +1

    Yanga raha saaaanaaa hiyo ndio daima mbele nyuma mwiko hiki kikosi mwaka huu kuna mtu atakimbiza timu uwanjani

  • @safiaothman7506
    @safiaothman7506 17 дней назад +9

    Mashallah❤❤

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 17 дней назад +7

    Asha Ngedele wanakifa 10😅

  • @cchuwa6980
    @cchuwa6980 17 дней назад +1

    Familia ya yanga 🧡 inaishi kwa upendo sana

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 17 дней назад +2

    Wachezaji wote wa YANG'A watoke TIMU LKN Kama rais wa mahiri engineer Haris bado yupo Yanga naamini TIMU Bado Moto ule ule.

  • @BARAKAMADUHU-nf1kr
    @BARAKAMADUHU-nf1kr 17 дней назад

    Good kudadeki anachoelezewa chama niupasuaji wa odi ya akina mama

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b 17 дней назад

    Master gamondi🎉🎉🎉🎉💚💚🤩🤩💚🏆💪🏿✅

  • @DejacoDejoh
    @DejacoDejoh 17 дней назад +1

    Yanga ni timu kubwa Sana na msimu hujaaao sijui😂😂❤❤❤

  • @angelathanas5993
    @angelathanas5993 17 дней назад +1

    Team ya ushindi💚💛🔥🔥

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 15 дней назад

    Yanga tamu💛💛💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @neemadavid7587
    @neemadavid7587 17 дней назад

    Kwan huyu n chama au macho yng jmn❤❤

  • @InnocentArchery-zi6vu
    @InnocentArchery-zi6vu 16 дней назад +1

    Yanga bingwa

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp 17 дней назад

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆

  • @RashidAhmad-op9yi
    @RashidAhmad-op9yi 17 дней назад

    Tuko wengi wananchi daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚

  • @JamesJamesphares-db3uh
    @JamesJamesphares-db3uh 17 дней назад

    Usajili tulio fanya uko vizuri sana naipenda yangaa❤❤

  • @augustinohongoli8088
    @augustinohongoli8088 17 дней назад +2

    Dah sijamuona mwanangu musonda na ibra bacca😢

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w 17 дней назад +1

    Halafu haka kawimbo kanamatumaini makubwa 😄😄kanaitwaje jamani

  • @JumaMngumba
    @JumaMngumba 17 дней назад

    My team🎉 daima mbele nyuma mwiko💚🖤💛

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w 17 дней назад +1

    Kwahyo Tena chama anavaa jezi no 20

  • @JofreyYohana
    @JofreyYohana 17 дней назад +1

    Makolo bado misimu mitatu kuijenga timu yao kazi wanayo😂😂

  • @laizerlstvchannel
    @laizerlstvchannel 17 дней назад +7

    Much ❤️

  • @KennedyJohn-p1i
    @KennedyJohn-p1i 17 дней назад +1

    Aziz k c amexhalud nayey aungane nawenzake mapema

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 17 дней назад +3

    Gamond na Mwamba wana agenda gani😂😂😂

  • @DaudiIpyana
    @DaudiIpyana 17 дней назад +1

    I love you yanga❤❤🎉🎉

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy 17 дней назад

    Hata wachezaji wetu wamempokea vizuri

  • @nelsonbenitho8050
    @nelsonbenitho8050 17 дней назад

    My lovely team ever

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 16 дней назад

    That is a real meaning of team

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 17 дней назад

    Gamond hana kazi ngumu,maana shughuli yote inamalizwa na kocha wa viungo.

  • @amohmark97
    @amohmark97 16 дней назад

    Timu kubwa inajipanga kuchukua makombe yote 🎉

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 17 дней назад +2

    Mm mwanasimba naomba wanasimba tujitoe mapema ligi kuu la sivyo tunakuwa magori kama mvua ya Hanang😅😅😅😅

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 17 дней назад +1

    Mpaka raha Yan 🍀🌼🍀🌼

  • @eliudhezron181
    @eliudhezron181 17 дней назад +4

    Subscribers wapya karibuni sana

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 17 дней назад +2

    Huyu yao yao ni noma sana saninaaa

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 16 дней назад

    Fitinessss 😅😅😅😅😂😂 daima mbelee nyuma mwikooo

  • @daudtegemeo
    @daudtegemeo 16 дней назад

    Walifanya vizuri kabisa

  • @eliudhezron181
    @eliudhezron181 17 дней назад +3

    Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉

  • @suzan4200
    @suzan4200 16 дней назад

    Hivi mmegundua sahv video zetu zinafuatiliwa sana

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 17 дней назад

    No 20 chana 24 mzize 26 pacome 27 muda 29 princ muuwaji anae tabasam 😂 ❤❤

  • @AlexIsa-e8q
    @AlexIsa-e8q 17 дней назад

    Hatari Kwanza jez ilivo mupendeza ya wanainchi

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 17 дней назад

    All the best my team🔰🔰🔰🏆🏆🏆🥇🥇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @hamisathuman2729
    @hamisathuman2729 17 дней назад

    YANGA TAMU BANA!!!!

  • @hk_ballers
    @hk_ballers 16 дней назад +1

    Dube ana aibu sana 😂

  • @chollejr_
    @chollejr_ 16 дней назад

    Ivo ayo mabelt uwa mnawaza Kama mimi😂😂😂😂😂😂

  • @JohnMkumbo-e4e
    @JohnMkumbo-e4e 15 дней назад

    Nimeipenda hii

  • @Sumamnazalety
    @Sumamnazalety 17 дней назад

    🎉GooD luck young african

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 17 дней назад

    YANGA DAIMA MBELE

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 17 дней назад

    Dube na Chama wanaonekana walikuwa hawanyiwi mazoezi magumu huko walikotoka,maana wanaonekana ni wazito sana.

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 17 дней назад

    Viva mwananchi chama langu ❤❤❤

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 17 дней назад

    😂😂😂kama naliona ilo shazi kinachoitajika ni pumzi … focus … nyoka wengi .. ma breaker😂🔥

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n 17 дней назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu mastaa wetu

  • @fabiancharles6258
    @fabiancharles6258 17 дней назад +1

    Yuko sehem salama hawez tena omba omba juice sema alikuwa njaa sana

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 17 дней назад

    Jmn mziki huu unatia 😢 machoz Kila navyomwamgalia chama jmn

  • @mikwilemyovela3382
    @mikwilemyovela3382 16 дней назад

    Upendo kwetu❤❤

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 16 дней назад

    Nakubal twendn avic town tukafanye arakat za kutwaa ubingwa mana kuna ngumbalu kaenda kupiga picha ma pyramid shinyanga