Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪
Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.
Nani mwengine anaangalia huku anatabasamu 😊😊😊
😊😊😊yn mpk nimechk kwasaut
😂😂😂
Tupo wengi mno
Mimi
Hii imekaa poa sana , inatangaza pia fahari ya Tanzania ❤
All the best INSHAALLAH my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR
Mungu awe pamoja nanyi wachezaji bench la ufund na viongozi wetu Amen🙏🙏🙏
Nawependa sana jeshi langu Mungu awalinde na awape afya njema🥂💚
🙏🙏🙏
Kila la heri young Africans kwenye mandalizi na mazoezi kuelekea msimu ujao Hawepo ata mmoja kumia amen Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔰🇹🇿💯
Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪
Niwatakie maandalizi mema wapambanaji wetu💚💛💚💛🖤
Am happy that pacome and Aziz ki are back
Familia ya furaha💚💚💪💚💚💪🔥🔥🏆🏆
Allah akawaongoze wapambanaji wetu,, ukawe msimu bora ndani kwa league ya ndani na kimataifa.
Kila la kweli wananchi 💗💗
Amina
Hadi nashindwa nifurah kwa njia gani big up sana
Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤ mpaka 2030
OMG I LOVE THIS TEAM😊❤
Nmekumoyo asee❤
We all love this team 💚
Chama ameanza kung'aa kweli yanga maisha mazuri
Mmh umenichekesha 😅😅😂
Keki kumi na saba si mchezo 😂😂😂😂😂
Hahahaha ❤❤
The Biggest team in AFRICAA Nyie hamuogopiiii....
😂. Dah tunaogopa
Nimeuona ulafiki wa chama na msheli balaa
Mamae kocha ashaanza kumpa madini chama
Hahaha wapinzan wajinyonge
Baba karib.🎉kwa wanainchi utanenepa baba kunaraha zote
Yani wachezaji wanang'ara adirahaa🎉 naipenda sana yanga yangu jamani❤❤
Asante jeshi letu Mungu akupeni afia njema amini toka zenji
Yanga sc bingwa🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆
Nice
Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Jamani kumbe Chama ni handsome hivi jamani na amsemi 💛💛💛💛💛💚💛💚💛💚💛💚 siku tatu tu kanawili
Mambo ni fire pit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Naipenda yanga na naitakia msimu mwema one day nataman niitumikie tim yangu from kigoma
Tuliorudia kuangalia zaidi ya mara moja tujuane hapa 😂😂🔰💛💚
Kumbe 2ko weng😂😂😂
Ligue iyanze naona Makolo washaanza kunenepa
😂😂😂😂😂kwahiyo haitakiwa hata kanyama kaziada kaongezeke?
😂😂😂😂😂😊
Umetutabilia mazuri ...ni mwendo wa kunenepa tu zamu yenu kukonda uto😅😅
@@user-zs4qz4wm2n Yanga kuna raha jamani...hadi chama katakata😅😅
😂😂😂😂😂
MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Chama na gamond 💛💛
Alooh yanga likes apa✅
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko
Nawatakia maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yo tutakayo shiliki Biidhinila by Ronaldo Jr apa flom Bagamoyo❤
❤❤
P1 kazi kazi
Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.
Kumbe chama ni hesamu boy walimtesa Sana kolo
Umeona hesamu wa maan kabisa makolo hawajui kutunza kabisa😂😂😂❤
Tulimiss haya mambo😊😊😊
Umeona eee❤
WOTE HAO KATI YA CHAMA, PACCOME NA AZIZ WATATAFUTA NAMBA LKN MAX NAMBA YAKE NI 100%, LABDA TU SIKU MECHI IWE RAHISI
Daima mbele nyuma mwiko
Yanga 🔥🔥🔥
Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wajaalie afya, nusra waondoshee Khusda Inshaallah
Gamond bwana eti anamwambia chama "uje uwapelekee moto makolo mpaka wakuite baba wa Lusaka
Nawatakia kila la heri kwa msimu huu uwe msimu wa.mafanikio makubwa sana my best team in Africa , nawafatilia sana nikiwa nyumbani kwangu marekani,
Yanga inaipa hadhi kubwa sana nchi na ligi yetu Africa
Yn kila nikimuangalia chama natabasam peke yng😊
Mungu ayongoso yanga msimu ujao iwebora ndani na nje hongera sana aziz k kuendelea kubak yanga
YANGA 4 LIFE
Yanga raha saaaanaaa hiyo ndio daima mbele nyuma mwiko hiki kikosi mwaka huu kuna mtu atakimbiza timu uwanjani
Mashallah❤❤
Asha Ngedele wanakifa 10😅
Familia ya yanga 🧡 inaishi kwa upendo sana
Wachezaji wote wa YANG'A watoke TIMU LKN Kama rais wa mahiri engineer Haris bado yupo Yanga naamini TIMU Bado Moto ule ule.
Good kudadeki anachoelezewa chama niupasuaji wa odi ya akina mama
Master gamondi🎉🎉🎉🎉💚💚🤩🤩💚🏆💪🏿✅
Yanga ni timu kubwa Sana na msimu hujaaao sijui😂😂❤❤❤
Team ya ushindi💚💛🔥🔥
Yanga tamu💛💛💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Kwan huyu n chama au macho yng jmn❤❤
Yanga bingwa
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
Tuko wengi wananchi daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚
Usajili tulio fanya uko vizuri sana naipenda yangaa❤❤
Dah sijamuona mwanangu musonda na ibra bacca😢
Afu kweli na diarra
Eh na aucho pia
Halafu haka kawimbo kanamatumaini makubwa 😄😄kanaitwaje jamani
My team🎉 daima mbele nyuma mwiko💚🖤💛
Kwahyo Tena chama anavaa jezi no 20
Makolo bado misimu mitatu kuijenga timu yao kazi wanayo😂😂
Much ❤️
Aziz k c amexhalud nayey aungane nawenzake mapema
Gamond na Mwamba wana agenda gani😂😂😂
I love you yanga❤❤🎉🎉
Hata wachezaji wetu wamempokea vizuri
My lovely team ever
That is a real meaning of team
Gamond hana kazi ngumu,maana shughuli yote inamalizwa na kocha wa viungo.
Timu kubwa inajipanga kuchukua makombe yote 🎉
Mm mwanasimba naomba wanasimba tujitoe mapema ligi kuu la sivyo tunakuwa magori kama mvua ya Hanang😅😅😅😅
😂😂😂😂
Mpaka raha Yan 🍀🌼🍀🌼
Subscribers wapya karibuni sana
Huyu yao yao ni noma sana saninaaa
Fitinessss 😅😅😅😅😂😂 daima mbelee nyuma mwikooo
Walifanya vizuri kabisa
Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉
Hivi mmegundua sahv video zetu zinafuatiliwa sana
No 20 chana 24 mzize 26 pacome 27 muda 29 princ muuwaji anae tabasam 😂 ❤❤
Hatari Kwanza jez ilivo mupendeza ya wanainchi
All the best my team🔰🔰🔰🏆🏆🏆🥇🥇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
YANGA TAMU BANA!!!!
Dube ana aibu sana 😂
Ivo ayo mabelt uwa mnawaza Kama mimi😂😂😂😂😂😂
Nimeipenda hii
🎉GooD luck young african
YANGA DAIMA MBELE
Dube na Chama wanaonekana walikuwa hawanyiwi mazoezi magumu huko walikotoka,maana wanaonekana ni wazito sana.
Viva mwananchi chama langu ❤❤❤
😂😂😂kama naliona ilo shazi kinachoitajika ni pumzi … focus … nyoka wengi .. ma breaker😂🔥
🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu mastaa wetu
Yuko sehem salama hawez tena omba omba juice sema alikuwa njaa sana
😂😂😂😂😂
Jmn mziki huu unatia 😢 machoz Kila navyomwamgalia chama jmn
Upendo kwetu❤❤
Nakubal twendn avic town tukafanye arakat za kutwaa ubingwa mana kuna ngumbalu kaenda kupiga picha ma pyramid shinyanga