ALLY KAMWE ATEMA CHECHE BAADA YA KUWAFUNGA WABABE WA SIMBA KAIZER CHIEFS/KOMBE TUTALITEMBEZA USIKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 90

  • @daudmasare
    @daudmasare Месяц назад +28

    Like za Max wekeni hapa

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Месяц назад +1

    Dar Yani sitaki kusikia ALLY anasepa❤❤❤ tuachieni kamwe wetu❤❤❤❤tunataka tutambe nae

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g Месяц назад +3

    Tuachie Ally kamwe wetu ndo kijana mwenzetu tunaenda sawa manara abaki afisa muamasishaji group litapwaya priva Alwatan na Ally kamwe wana machi vzr

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 Месяц назад +2

    Ally usiondoke Yanga. Usitishwe. Uko juu. Jiamini usijipe unyonge, utoto.

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Месяц назад +5

    KUNA WATU WANASEMA KAIZER ALIYEFUNGWA GOLI 4-0 NI KIBONDE JE ALIYE FUNGWA GOLI 5-1 TUMWIITEJE NAOMBENI JIBU😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @leonidangimbwa1526
      @leonidangimbwa1526 Месяц назад

      Shangaa🙄🙄 wanasema kwwnye ligi ilikuwa nafasi ya 10, Je, wale waliokula 5 walikuwa nafasi ya ngapi? Maneno ya mkosaji

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 Месяц назад +8

    Yanga hii kaz ipo msim ujao

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge Месяц назад +2

    Yanga ni hatari kama unaipenda yanga weka like zako😅🧡💛💚💚💚

  • @pacifiquemlengwa3886
    @pacifiquemlengwa3886 Месяц назад +2

    wote is anaojitafuta tutawakanda, kwaiyo simba ni kama😂kaizer chief

  • @user-le5ll1xe7b
    @user-le5ll1xe7b Месяц назад +5

    Bola asingetualika maana sijui tarehe 8 itakuwaje

  • @RamadhaniKrjunior
    @RamadhaniKrjunior Месяц назад +1

    Aly kamwe unaakili sana tena akili ya biashara leo tutakuja kununua usiku. sanda fc wamelala wote

  • @neemamollel6972
    @neemamollel6972 Месяц назад +1

    Ukweli tunaomba viongozi wetu watuachie Ally wetu manara wamtafutie kitengo

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g Месяц назад +1

    Atunaga jambo dogo 💚💚💛💛💛💚💚💚💚💚💚

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Месяц назад +4

    Wa Oman 🇴🇲 zipo mabela rials 10

  • @lukasmnyethi5903
    @lukasmnyethi5903 Месяц назад +1

    Wapo nafasi ya ngap kwenye ligi yao

    • @angelkomba7162
      @angelkomba7162 Месяц назад

      Kwani kolo alipopigwa 5 alikuwa nafas ya ngap

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT123 Месяц назад +1

    Mimi nilikuwa napiga hesabu 25000× 45000 plus contena LA wholesalers.. Daaaah football is money 😂😂😂

  • @SmilingBamboo-jc1rt
    @SmilingBamboo-jc1rt Месяц назад +2

    Nakukubali ali kamwe

  • @HoseaNguge
    @HoseaNguge Месяц назад +1

    Ally kamwe ulikuwa mnyonge kumbe ulijua usiku utaachia ngazi kiivo, sisi tunakukubali manara hatumtaki bhn 😢😢😢😢

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Месяц назад +1

    Hii jezi ya kijani kali san

  • @castrocastro9615
    @castrocastro9615 Месяц назад +1

    Acha uhuni dogo.
    Kwani we mara ya mwisho kumfunga Ahly ni lini???? Hadi ujilinganishe na Ahly?

  • @abubakarnsolo908
    @abubakarnsolo908 Месяц назад +1

    Kwaiyo hii ndi inakuwa interview yake ya mwisho daah

  • @OmaryPinda
    @OmaryPinda Месяц назад +2

    nyie simba mlishawi pigwa 4 naawaawa wachov

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Месяц назад +1

    Wewe James kamwe jumanne3

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Месяц назад +3

    Nimekubaliana nawewe, hii ni Gear namba 2, hapo sawa.
    Tarehe 08/08/2024 tutaangalia tutumie Gear namba gani?

  • @japhetsilungwe4719
    @japhetsilungwe4719 Месяц назад +2

    Where is man ara, let him go don't allow him to come and disturb this young man

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад +2

      They can work together though!

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад +3

    Mbona makolo walishangilia eti kuifunga timu ya daraja 4 goli 3 wakajiona wanaweeza!!! Kaaa!! Leo wanakula chuma huko

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m Месяц назад

    Kila jambo lenu simba inaonesha simba kweli ni top 5 africa 😅😅😅😅😅nguvu moja

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад +2

    Xav mtupu

  • @LoyceMathias
    @LoyceMathias Месяц назад +1

    Na hizo Sanda zenu mtaziita anda

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Месяц назад +1

    Mbona nyie mechi zenu hamtangazi mliocheza nao ni daraja la ngapi??

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 Месяц назад +2

    Kennedy Msonda wapi?

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t Месяц назад

      Nenda kwenye vyanzo vya habar vya tim utapata majibu

  • @NasanNyungu
    @NasanNyungu Месяц назад +1

    hatli sana

  • @HeliethJustine
    @HeliethJustine Месяц назад +1

    Timu yenyewe ilimaliza nafasi ya 10

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Месяц назад

      Mbona kolo kamaliza nafasi ya tatu na alikula Kono la nyani?😂😂😂😂😂

    • @rahelnamonde
      @rahelnamonde Месяц назад

      Wew ulikuw nafac y ngap ukala tano

  • @hawajohn749
    @hawajohn749 Месяц назад +1

    Hata kama nafasi ya 10 lkn uwanjani si mmewaona? Jamaa siyo wa mchezo

  • @user-rh2cu6id1y
    @user-rh2cu6id1y Месяц назад

    Huyo wa 5 ni kibonden na bonde kazi yake unaifaham unamwagia2 ulichopanda

  • @user-vu5td9dw4f
    @user-vu5td9dw4f Месяц назад +1

    Kimbe nawewe unaisemea timu yako ukiwa tz??

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +2

    MMEKUTANA NA VIBONDE KEIZA CHEF

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Месяц назад

      Kibonde kaizer kala nne na kibonde wewe ulikula kono nani bora hapo 😂😂😂😂😂😂

    • @ManirambonaBashiri
      @ManirambonaBashiri Месяц назад

      5 Fc ndio bora

  • @user-gy5fo6zv6w
    @user-gy5fo6zv6w Месяц назад +1

    Huyo wa nyuma mbona kanuna ivo

  • @NasanNyungu
    @NasanNyungu Месяц назад +1

    kama ni mbovu ww ulikula gap?

  • @LoyceMathias
    @LoyceMathias Месяц назад +1

    😅😅😅😅

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад +1

    huna mvuto mwongo

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Месяц назад +1

    Ilayanga 😂😂😂

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Месяц назад +1

    Tarehe 8 subiri vijana wakuvishe sanda

    • @dr.allyahmada
      @dr.allyahmada Месяц назад

      Subiri nawe tuje tukuvishe his sandals yenu

    • @MkaliZuberi-rt3gb
      @MkaliZuberi-rt3gb Месяц назад

      @@dr.allyahmada ile sanda ni kwaajili yenu. Na ile kaizer ni mizoga kwasasa hawana maajabu nafasi ya 10 kwenye ligue we subiri vijana tukukande

  • @HenryNdaigaTanzania
    @HenryNdaigaTanzania Месяц назад +2

    Kazi ipo tarehe 8

    • @user-kr2zi7du7y
      @user-kr2zi7du7y Месяц назад

      Derby aitabiriki tusiende na matokeo

    • @abubakaliyahaya2968
      @abubakaliyahaya2968 Месяц назад +2

      Ss yanga hatuamn kweny maneno mpira nimchezo wawaz tumewekeza haswaaa

  • @ChristopherSwenya
    @ChristopherSwenya Месяц назад

    Yaan yanga mamb yen yakitt kitt

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Месяц назад

      Weee yanakuhusu nini? Nyinyi mambo yenu ni ya kikubwa ndo maana mnacheza na timu za kikubwa 😂😂😂😂

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Месяц назад +7

    Kaizer nafasi ya kumi ligue ya south afrika bado wanajitafuta

    • @AyubuJuma-df4pn
      @AyubuJuma-df4pn Месяц назад

      Kwani yanga haijitafuti?

    • @MkaliZuberi-rt3gb
      @MkaliZuberi-rt3gb Месяц назад

      @@AyubuJuma-df4pn yanga haijitafuti na kama unajua mpira nazan unaelewa na kama shabik andazi uwezi kuelewa

    • @AyubuJuma-df4pn
      @AyubuJuma-df4pn Месяц назад +1

      @@MkaliZuberi-rt3gb majibu ni tareha 8 ndio tutaiona Tim mbovu

    • @MkaliZuberi-rt3gb
      @MkaliZuberi-rt3gb Месяц назад

      @@AyubuJuma-df4pnhilo ndilo jibu la mwanasoka

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Месяц назад +1

      We kolo fuatilia mulipopigwa 4g na Kaizer walikuwa katika nafasi ya ngapi katika ligi?

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 Месяц назад +2

    Endeleeni kujiamini na hao wachovu miaka Tisa hawajawahi chukua ubingwa

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Месяц назад +2

      Shida nn Bro we 3 ulifunga team ipo Daraja gani?

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Месяц назад +1

      Wewe kolo miaka mitatu haulijui kombe na ulikula tano mbona wao hawajasema?😂😂😂😂

    • @ismailsputta4420
      @ismailsputta4420 Месяц назад

      Nyie mliochukua ubingwa Mara nne mfululizo waliwatomba vinne ndani ya hio hoo miaka Tisa ambao bado wanajitafuta na yangu nakutomba bao tano

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Месяц назад

    Nasikia Wanatumia Dawa za kusisimua Misuli kama ni kweli wamekwishaa

  • @MelisaWilfred
    @MelisaWilfred Месяц назад

    Ally kamwe Hana hata furaha

  • @alitante4279
    @alitante4279 Месяц назад

    Acha mbwebwe ali simba kamwe kunja kunja usepee mwenye timu yke manara kakufukuzaa 😅😅😅😅