YANG Z WAVUNJA REKODI HII USIKU HUU UTAMU BEACH/HAKUNA KULALA,UKILALA UTAKUA NA KAZI ''ALLY KAMWE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 22

  • @Dizzoboy-u2c
    @Dizzoboy-u2c 8 дней назад +4

    Yanga yetu naion mbale san Mungu atutangulie pamoj na team yetu pendwa yanga

  • @RaphaelKandege-l4h
    @RaphaelKandege-l4h 8 дней назад +1

    Good ally shaban kamwe

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 8 дней назад

    Mbona makasiriko....chuki haijengi....kama mnaweza igeni yaliyo mazuri😊

  • @olaliaandrea5198
    @olaliaandrea5198 8 дней назад +2

    Yang z oyeee

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 8 дней назад

    Vijana,vijana wazee wako wapi?

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 8 дней назад

    Vitenge vimewappendeza kweli lakini usajiri mnaiga tuu hamtoifikia simba

    • @NuruSeif-uf2ge
      @NuruSeif-uf2ge 8 дней назад

      Wivu unakufurukuta chevu una haya pyeeeee

    • @LuqmanIddi-cb8me
      @LuqmanIddi-cb8me 8 дней назад

      Simba alifanya lini hivi mpaka muigwe tukumbushwe.

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 8 дней назад

      Mpira ni makombe sio blaaablaa, usajili sio makombe subiri turudi kwenye ligi tukuporomoshe hapo kwenye baridi yetu ndipo utajua Simba mmesajili au mmebugi.

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 8 дней назад

    Hawana lolote hao kz ushirikina wanachama wa kufoji hao.

  • @PeterJumla
    @PeterJumla 7 дней назад

    Hayo ni mawazo ya watu waliofeli, Wewe unaesema huo ni uongo, lete data zako wewe, Wenzenu wanapasuwa mawimbi wanasonga mbele nyie mnabakia oo hao wanachama wa kufoji, kuna timu hata data base yao tu haijui Ina wanachama wangapi ,halafu mnataka kubishana, YANGA ikiingia tu kwenye data base yao unapata idai ya wanachama wake mpaka Sasa,

  • @amanizavala
    @amanizavala 8 дней назад

    Utopolo wana mbwembwe sna

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 8 дней назад +2

      Kumbe unafatilia 😂😂! utateseka saaana huku Sheikh

    • @Abubakarkatana
      @Abubakarkatana 8 дней назад

      😅😅😅​@@errydeo8865

    • @EdisoniKisenya
      @EdisoniKisenya 8 дней назад

      Anahangaika huyu😅😅😅😅

    • @moshielfesty7992
      @moshielfesty7992 8 дней назад

      Mbona shughuli sio yako umeivalia kibwabayaa ww endelea kuteseka kolo😂😂😂

    • @Muba581
      @Muba581 8 дней назад

      Hhhhjj