MIRAJI|MADHARA YA HERSI NI MAKUBWA SANA |VAR ITAONGEZA MATUKIO |SIMUAMINI AISHI HATA LIGI DARAJA 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024

Комментарии • 75

  • @AllyJofrey-mg6ri
    @AllyJofrey-mg6ri Месяц назад +10

    Namb moja leo like ata 3

  • @eliaminrashid9317
    @eliaminrashid9317 Месяц назад +5

    Chagamba na miraji nawakubali 80% mnafanya vizuri alafu naomba mfate mzee said umuulize ashaona think you ya jobe

  • @PASCHALPETER-gp8ek
    @PASCHALPETER-gp8ek Месяц назад +16

    Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Месяц назад +2

      Hahahah😂😂😂 mnajifaliji nabado

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy Месяц назад

      Mwambie akuelewe ongeza sauti naona hakusikii

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 Месяц назад +1

      Hajabisha 😂😂😂

    • @lazaroaloyce6649
      @lazaroaloyce6649 Месяц назад +1

      Ombeni mgogoro wenu uishe kabla hatujakutana,make naona maumivu kwenu nyinyi yanga,trh 8 so mbali jiweke tayari Kwa lolote make dabi haitabiriki..

  • @KajingaFuraha
    @KajingaFuraha Месяц назад +5

    Namba 2 leo

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani Месяц назад +4

    Nimeamini kweli viyongozi wanachama mashabiki wote hao wanamuwogopa injiniya heris bilayakuondoka hawana jeuri ya ubingwa

  • @deviskahamba8234
    @deviskahamba8234 Месяц назад +1

    Hivi wee Miraji huweziongea bila kumtandika mwenzio vibao mabegani😂

  • @lourykibudu6180
    @lourykibudu6180 Месяц назад

    SEMA chagamba anavumiliaga sana yaani anakula sana kipigo kwa miraji
    Mda wote anakula migumi ya mabega kinoma
    😂😂😂😂

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 Месяц назад +2

    miraji umeonyesha utoto sana yaan kisa goli tano poleni sana miraji umeonyesha udhaifu sana mbona magoli wengi wanafungwa gol nyingi tu

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Месяц назад +3

    Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako

    • @RamadhanNgadalh
      @RamadhanNgadalh Месяц назад

      Kwan wanao fatilia hayo mamb ni viongzi wa simba au wachezaj wa simba watajichanganya wao kwan huy ni kiongzi wetu au mwana chama wetu😂😂😂

  • @mhehejrtv9637
    @mhehejrtv9637 Месяц назад +4

    Wa kwanza leoo

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Месяц назад +2

    Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 Месяц назад +3

    Kumbe na wewe miraji ni mshamba baadhi ya matukio ety mpila haupo hivyo unapotea kwenye raman

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Месяц назад

    Miraji pandishakofia mimi kipezi chako japo mwa yanga babaagu

  • @Bangan-yu6sm
    @Bangan-yu6sm Месяц назад

    Miraji mpira unaujua na pia ukwrli wa injinia na mtu mafia mpaka mnalia Simba unaujua na ndo maana leo fraha teleee😂😂😂❤

  • @user-xq8pq2ey6t
    @user-xq8pq2ey6t Месяц назад +1

    Familia unyama sana💪💪💪💪

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Месяц назад

    Timu Rasta Huu Ndio Muda Wao Sahihi Wakufurahi Baada Yahapa Ligi Ikianza Nimauziko Nakuendelea.

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Месяц назад +2

    Chagamba Mzee saidi Leo jamani chonde chonde

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Месяц назад +2

    Leo ninapata laha sana mabega yanapigwa sana😅😅

  • @MuddyAlly-jt8rn
    @MuddyAlly-jt8rn Месяц назад

    Milaji uko zizuli baba

    • @MuddyAlly-jt8rn
      @MuddyAlly-jt8rn Месяц назад

      Miraji wahambie ukweli wapinzani wetu awajitambui

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l Месяц назад +2

    Chagamba mfate mzee Said Pa Omary Jobe kashapewa thanks

  • @phirimrishomandari692
    @phirimrishomandari692 Месяц назад +1

    Yanga ana mchome,Simba ana Magoma. Ubaya Ubwela.

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson Месяц назад

    Yaan Mahakama ishatoa hukumu lakini watu bado wapo we huogopi halaaa!!😂

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u Месяц назад

    Miraji maramoja

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Месяц назад +1

    Ila RASTA noma sana wanae

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 Месяц назад +2

    Chagamba Leo lazima uchapwe makofi ya mabega 😅😅

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Месяц назад

    Kweli Chagamba hajafurai😂

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 Месяц назад

    Hakuna cha ubaya ubwela wala ubila!!

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Siyo kilaisi hovyoo uoni kama Simba amedhalishwa kingine waandishi wameibeza sana Simba mara viongozi wasimba wahuni .

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Месяц назад

    Hapa naona ngogwe wa kijani wanaongea uji wakati izo Gori Tano za kununua Simba walishawapiga sitaki Tano nne mabwabwa nyie

  • @JumaLembile
    @JumaLembile Месяц назад +1

    Milaji manula atuache tunamshukuru Kwa aliyotutendea amini nakwambia akirudíshwa kundini makipa wengine wote tutawatukana

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania Месяц назад +2

    hizo mambo za Yanga zitawavuruga mpk timu itayumba sana huku mnyama ndio anakuja kukiwasha zaidi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Месяц назад

      Ndio kawaida ya Bongo hiyo hakuna siku wataruhusu team zote mbili ziwe kwenye ubora lazima wadhoofishe moja

    • @allykawambwa
      @allykawambwa Месяц назад

      Sahau

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato Месяц назад

      Oya Rafa acha kuota Mwanangu😂😂😂

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Месяц назад

    Tuko pamoja miraji mpaka mwisho huyo manura aende TU.

  • @hamisimtupa7327
    @hamisimtupa7327 Месяц назад +1

    Hukumu ina mwaka sasa toka ilivyotoka tatizo waandishi wa tz sio watafiti hua wanakurupuka tu sasa sijui tatizo lugha au

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад

    Kingine miraji unajadili leo kishabiki hao watu walighushi saini za wadhamini

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 Месяц назад +2

    Ha Leo 6 hahahahahahaay

  • @kadirichannelonlinetv4258
    @kadirichannelonlinetv4258 Месяц назад

    Mtasubir sana kugawanyika kwa yanga yanga ipo imara kama chuma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад

    Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Месяц назад

    Watajibeba wawape chochote waze wao

  • @JumaKigambo
    @JumaKigambo Месяц назад

    Kuna watuuu wanalipenda bakuli inawezekana wanafaida nalo miraji (mwanakulitafuta mwanakulipata)

  • @HusseinIdrissa-ed6tl
    @HusseinIdrissa-ed6tl Месяц назад +2

    Mm wa nne

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад

    Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi

    • @user-yz6ds9hn9l
      @user-yz6ds9hn9l Месяц назад

      Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 Месяц назад

    Kweli Ata mm simwamini aende tu

  • @user-gy6ru6dw1b
    @user-gy6ru6dw1b Месяц назад

    Miraji bega la chagamba litadondoka 😅😅

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel Месяц назад +1

    Na nyie kumbee mikunduu et,,mnaongea kishabikii kwenye suala la yanga

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Месяц назад

    Nssf hoi kwa magoma

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco4311 Месяц назад

    Manula. Mtu taja goal alofungwa la kwake. Pale. Katika 5. Zile Tano. Chuki sio miraji. 😂

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Месяц назад

    Miraji ana ndoto za alinacha ,yaaani wana simba wana tamaaa ya fisi

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Месяц назад +1

    Uakika

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike Месяц назад

    Punguza shobo milaji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад

    Tena amechelewa mno tunasubili lini tunaambiwa anatoka

  • @saidikalendo5117
    @saidikalendo5117 Месяц назад

    Chagamba mfate mzee said pa omary jobe ametoka fanya mambo bro

  • @benadethajohn2696
    @benadethajohn2696 Месяц назад

    maramoja unatisha kaka madini yenyewe kabisa

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Месяц назад

    Mgawanyiko utokee wapi miraji wakati hakuna atayekubali Hersi ashuke?!

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Месяц назад

    Mzeee saidi alisema chagamba ni yangaaa haaaaah haaaaah

  • @ArafaHamadiFonda
    @ArafaHamadiFonda Месяц назад

    sa yale mamilion ya chama atamlipa nani kweli ubaya ubwela

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike Месяц назад

    Tukutane saa nane

  • @abdulazizmpilla5605
    @abdulazizmpilla5605 Месяц назад +1

    😂😂😂

  • @DindoAbwe-ze8yx
    @DindoAbwe-ze8yx Месяц назад

    Twambie kuhusu clamon yupo kikosini au?

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Месяц назад

    Ivi nyie wenzangu hua mnawaambia nini wanawake adi wanakubali kua wapenzi wenu 🤔 nataka nioe

  • @user-dy7pc4tm6u
    @user-dy7pc4tm6u Месяц назад +1

    Ongea kama mtu wa mpila wewe.unamuongelea mchezaji aliyekupa mafanikio miaka minne.sasa mtafungwa mpaka matako yenu yapige filimbi

    • @dicksonmapunda7836
      @dicksonmapunda7836 Месяц назад

      0 🧠

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Месяц назад

      Matusi hayajengi brother

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 Месяц назад

      Heeeh jamani hivi kukoment ni lazima kaaaah

    • @denischemba
      @denischemba Месяц назад

      Yatapiga filimbi ya babaako

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Месяц назад

      Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana