Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8
Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako
Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.
Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku
Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi
Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu
Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana
Namb moja leo like ata 3
Chagamba na miraji nawakubali 80% mnafanya vizuri alafu naomba mfate mzee said umuulize ashaona think you ya jobe
Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8
Hahahah😂😂😂 mnajifaliji nabado
Mwambie akuelewe ongeza sauti naona hakusikii
Hajabisha 😂😂😂
Ombeni mgogoro wenu uishe kabla hatujakutana,make naona maumivu kwenu nyinyi yanga,trh 8 so mbali jiweke tayari Kwa lolote make dabi haitabiriki..
Namba 2 leo
Nimeamini kweli viyongozi wanachama mashabiki wote hao wanamuwogopa injiniya heris bilayakuondoka hawana jeuri ya ubingwa
Hivi wee Miraji huweziongea bila kumtandika mwenzio vibao mabegani😂
SEMA chagamba anavumiliaga sana yaani anakula sana kipigo kwa miraji
Mda wote anakula migumi ya mabega kinoma
😂😂😂😂
miraji umeonyesha utoto sana yaan kisa goli tano poleni sana miraji umeonyesha udhaifu sana mbona magoli wengi wanafungwa gol nyingi tu
Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako
Kwan wanao fatilia hayo mamb ni viongzi wa simba au wachezaj wa simba watajichanganya wao kwan huy ni kiongzi wetu au mwana chama wetu😂😂😂
Wa kwanza leoo
Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.
Kumbe na wewe miraji ni mshamba baadhi ya matukio ety mpila haupo hivyo unapotea kwenye raman
Miraji pandishakofia mimi kipezi chako japo mwa yanga babaagu
Miraji mpira unaujua na pia ukwrli wa injinia na mtu mafia mpaka mnalia Simba unaujua na ndo maana leo fraha teleee😂😂😂❤
Familia unyama sana💪💪💪💪
Timu Rasta Huu Ndio Muda Wao Sahihi Wakufurahi Baada Yahapa Ligi Ikianza Nimauziko Nakuendelea.
Chagamba Mzee saidi Leo jamani chonde chonde
Leo ninapata laha sana mabega yanapigwa sana😅😅
Milaji uko zizuli baba
Miraji wahambie ukweli wapinzani wetu awajitambui
Chagamba mfate mzee Said Pa Omary Jobe kashapewa thanks
Yanga ana mchome,Simba ana Magoma. Ubaya Ubwela.
Yaan Mahakama ishatoa hukumu lakini watu bado wapo we huogopi halaaa!!😂
Miraji maramoja
Ila RASTA noma sana wanae
Chagamba Leo lazima uchapwe makofi ya mabega 😅😅
Kweli Chagamba hajafurai😂
Hakuna cha ubaya ubwela wala ubila!!
Siyo kilaisi hovyoo uoni kama Simba amedhalishwa kingine waandishi wameibeza sana Simba mara viongozi wasimba wahuni .
Hapa naona ngogwe wa kijani wanaongea uji wakati izo Gori Tano za kununua Simba walishawapiga sitaki Tano nne mabwabwa nyie
Milaji manula atuache tunamshukuru Kwa aliyotutendea amini nakwambia akirudíshwa kundini makipa wengine wote tutawatukana
hizo mambo za Yanga zitawavuruga mpk timu itayumba sana huku mnyama ndio anakuja kukiwasha zaidi
Ndio kawaida ya Bongo hiyo hakuna siku wataruhusu team zote mbili ziwe kwenye ubora lazima wadhoofishe moja
Sahau
Oya Rafa acha kuota Mwanangu😂😂😂
Tuko pamoja miraji mpaka mwisho huyo manura aende TU.
Hukumu ina mwaka sasa toka ilivyotoka tatizo waandishi wa tz sio watafiti hua wanakurupuka tu sasa sijui tatizo lugha au
Kingine miraji unajadili leo kishabiki hao watu walighushi saini za wadhamini
Ha Leo 6 hahahahahahaay
Mtasubir sana kugawanyika kwa yanga yanga ipo imara kama chuma
Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku
Watajibeba wawape chochote waze wao
Kuna watuuu wanalipenda bakuli inawezekana wanafaida nalo miraji (mwanakulitafuta mwanakulipata)
Mm wa nne
Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi
Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu
Kweli Ata mm simwamini aende tu
Miraji bega la chagamba litadondoka 😅😅
Na nyie kumbee mikunduu et,,mnaongea kishabikii kwenye suala la yanga
Nssf hoi kwa magoma
Manula. Mtu taja goal alofungwa la kwake. Pale. Katika 5. Zile Tano. Chuki sio miraji. 😂
Miraji ana ndoto za alinacha ,yaaani wana simba wana tamaaa ya fisi
Uakika
Punguza shobo milaji
Tena amechelewa mno tunasubili lini tunaambiwa anatoka
Chagamba mfate mzee said pa omary jobe ametoka fanya mambo bro
maramoja unatisha kaka madini yenyewe kabisa
Mgawanyiko utokee wapi miraji wakati hakuna atayekubali Hersi ashuke?!
Mzeee saidi alisema chagamba ni yangaaa haaaaah haaaaah
sa yale mamilion ya chama atamlipa nani kweli ubaya ubwela
Tukutane saa nane
😂😂😂
Twambie kuhusu clamon yupo kikosini au?
Ivi nyie wenzangu hua mnawaambia nini wanawake adi wanakubali kua wapenzi wenu 🤔 nataka nioe
Ongea kama mtu wa mpila wewe.unamuongelea mchezaji aliyekupa mafanikio miaka minne.sasa mtafungwa mpaka matako yenu yapige filimbi
0 🧠
Matusi hayajengi brother
Heeeh jamani hivi kukoment ni lazima kaaaah
Yatapiga filimbi ya babaako
Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana