NONGWA ZA MSIMU (Ep 3) | Simba bila Chama; Kambi ya Yanga Avic Town; Mashabiki washikana mashati

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 240

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 3 месяца назад +30

    Namkubali sana huyu mzeee walah konga laiki hapa

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 месяца назад +35

    Kwa wanokubali kipindi cha nongwa za msimu tujuane kwenye like❤

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 3 месяца назад +10

    Mzee said atatuua kwa fulaha ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MeddyRaymond
    @MeddyRaymond 3 месяца назад +15

    😂😂😂😂😂 Watu woote tunamsikiliza mzee said

  • @dreamleague-uq2gx
    @dreamleague-uq2gx 3 месяца назад +3

    Mzee said 💥💥

  • @kimmusic7090
    @kimmusic7090 3 месяца назад +13

    Mm kiukweli aliye nogosha huu mdaharo ni mzee sadi nampendaga sana

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 3 месяца назад +7

    Mzee saidi nakukubali

  • @rynesawaya7043
    @rynesawaya7043 2 месяца назад +2

    Tupo hapa kwa ajil ya mzee said 🔥🔥🔥🔥

  • @ChangaNdorobo
    @ChangaNdorobo 3 месяца назад +8

    Mzee said ananifulahusha sana la

  • @youseph-tz
    @youseph-tz 3 месяца назад +6

    Mzee said💥💥

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад +2

    Rahaaaa sana mzee said jmn

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 месяца назад +10

    Big up sana DODI unatufurahisha sana..Creativity nzuri sana ya kipindi lkn punguzeni Makelele yataleta kutokuheshimiana...

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 3 месяца назад +8

    Mzee said😂😂😂🎉❤❤

  • @soudally1448
    @soudally1448 3 месяца назад +4

    Mzee side wa motoo 🔥🔥🔥

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje7640 2 месяца назад +2

    Mzee said MAN OF THE MATCH

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 3 месяца назад +3

    Mi ni yanga lakini nampenda sana mzee saidi huwa ananifurahisha sana

  • @SaidSalum-fl9mb
    @SaidSalum-fl9mb 3 месяца назад +4

    Mzee saidi 💯💯💯

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 3 месяца назад +8

    Hapo station ukifanya masihara waweza kuchelewa job aisee😀😀

  • @AgathaYandu
    @AgathaYandu 3 месяца назад +5

    Mnafurahisha sana endeleeni

  • @PetroEmmanuel-v2b
    @PetroEmmanuel-v2b 3 месяца назад +3

    Kiukwel hiki kipind kimenikoshaa sana❤

  • @Bquality
    @Bquality 3 месяца назад +4

    Asante kwa kutuletea mzee saidi napenda kumona alivyo mbishi khaaaa😅😅😅

  • @elishajohn455
    @elishajohn455 3 месяца назад +11

    Nilivyoona picha ya mzee said tu, nikachoma ndani npate burudanii😅

  • @amosmgaya4240
    @amosmgaya4240 3 месяца назад +5

    Kwa Mzee said mmetishaaa san azam

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 3 месяца назад +5

    Simba dam❤

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 3 месяца назад +7

    Hichi ndicho kipindi bora chamizo Azam tv

  • @SmilingCherryDumplings-np2wl
    @SmilingCherryDumplings-np2wl 3 месяца назад +3

    Kazi

  • @KhalidJuma-k2n
    @KhalidJuma-k2n 3 месяца назад +4

    Hichi kipindi sio poa Asanter azm Muna ubunifu wa hali ya juu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 3 месяца назад +4

    🎉yanga rushwa sanaaa

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 3 месяца назад +5

    Mzee saidi 😂😂😂😂 kubali sanaaa

  • @jimmymakwega3872
    @jimmymakwega3872 3 месяца назад +6

    Duh, hilo zengwe mimi mwenyewe hoi😂😂

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 2 месяца назад

    Good yanga💚

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho2356 2 месяца назад

    Asanteni saana jameni kweli tumeburusishwa na hiki kipindi, woote waliochangia mubarikiwe

  • @isackphilipo5132
    @isackphilipo5132 3 месяца назад +2

    ❤❤❤ i like this guess

  • @bahatisanga8664
    @bahatisanga8664 3 месяца назад +4

    Ila mzee SAID bwana nampenda bure

  • @Nkwera9186
    @Nkwera9186 3 месяца назад +3

    Mbona mzee magoma simuoni hapa

  • @HemedSeleman-qs4rh
    @HemedSeleman-qs4rh 3 месяца назад +1

    Baba Dodi hlo jambo kubwa sana bonge la creativity naomba niongezee kdogo hapo kaka hcho hcho kjwe kinabid kiwe na magazine ya michezo ya cku huska pamoja kijewe cha kahawa

  • @fatmasaaed144
    @fatmasaaed144 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂 mzee saidi khaaaaà

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 месяца назад +3

    Kuwa shabiki wa Simba ni bahati kubwasana watu wa Simba ni waelewa mnooo na mpira wanaujua🦁🦁🦁🦁

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 2 месяца назад

    Aaaaaah side kapatikana 😊😊😊😊😊😊😊

  • @JenniferMjie
    @JenniferMjie 3 месяца назад +7

    Mzee said😂😂😂

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 3 месяца назад +4

    Mzee said kanogesha mdahalo sana

  • @LaizerSalumu
    @LaizerSalumu 3 месяца назад +5

    Mze said chukuwa mahuwa Yako💐💐💐💐

  • @Karembeuchristian
    @Karembeuchristian 3 месяца назад +4

    Hizi team ukiangalia kwa ukaribu zimekaaa kisiasa sana,mpira umefunga akili za watu sana aisee,hasa hizi simba na yanga

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 2 месяца назад

    Mwalimu Yanga ana kitu🔥🙌🏽

  • @NavukaTV
    @NavukaTV 3 месяца назад +5

    kipindi kizuri sana. kiendelee

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад +1

    Mzee said oyee

  • @nasraahmed5834
    @nasraahmed5834 2 месяца назад

    Jamani mnatufurahisha wanayanga

  • @Hancy_barrow
    @Hancy_barrow 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mzee saidi nimecheka kwa sautiii

  • @fesalhumud6762
    @fesalhumud6762 3 месяца назад +4

    Mwanaume 1 tuu Mzee saidi😂😂😂

  • @abasschuru3755
    @abasschuru3755 2 месяца назад

    Mjadala uko vizuri

  • @HamisMathias-b9u
    @HamisMathias-b9u 2 месяца назад

    Yanga

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 3 месяца назад +2

    Watovu wa nizamu fc😂😂😂wazee African

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 3 месяца назад +3

    Mzee Said bhanaah😂😂😂

  • @samleadertz5280
    @samleadertz5280 3 месяца назад +1

    Kwa mara ya kwanza nacoment mzee said kanifanya nicheke bila kujizuia mzee hatar

  • @Zuubaby-lp9uj
    @Zuubaby-lp9uj 2 месяца назад

    Mzeee saideeeeeeeeeeee😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 3 месяца назад +2

    Mwenye kazi Hana akili kichwani ana takwimu za watu😅😅😅

  • @jumamkuchutito1121
    @jumamkuchutito1121 3 месяца назад +6

    😂😂😂😂😂mzee said ukirudi tu sauti hana daah

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 3 месяца назад +2

    Kipindi kimechangamka 🤗🤗🤗🤗🤗

  • @AmirliAmirli-p1z
    @AmirliAmirli-p1z 2 месяца назад

    Hutubia km unahutubia serikali... Mzee said checheiiiii

  • @bonnytv9263
    @bonnytv9263 2 месяца назад +1

    God yanga anaongea kishabiki

  • @farajikitihu4558
    @farajikitihu4558 2 месяца назад

    Mwalimu😂😂😂😂😂 Big up

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 3 месяца назад +5

    Mjadara mzuri

  • @MeddyRaymond
    @MeddyRaymond 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂Mzee said ❤❤❤❤❤

  • @DulaMudi
    @DulaMudi 2 месяца назад +1

    m bado Simba inajipanga m sijuwi rini itakaa viziri

  • @magdalenapeter4851
    @magdalenapeter4851 2 месяца назад

    Ila Mzee said 😂😂😂😂😂😂 kipind kinanoga Sana ❤❤❤

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 2 месяца назад

    Mzeee saidi oyeeeee

  • @YustinaMasatu
    @YustinaMasatu 2 месяца назад

    Mzee said bhana dah 😂😂❤

  • @albabaly8297
    @albabaly8297 3 месяца назад +2

    Jamani mzee magoma awepo

  • @nasirabdalla8646
    @nasirabdalla8646 3 месяца назад +2

    Mimi Yanga Ila mpenzi mwenzetu wa Yanga dosa kuongea mpira hajui bana

  • @gosachumatv
    @gosachumatv 3 месяца назад +3

    Mwalimu Yanga watakuja kumpiga eti Simba alifungwa goli 90 nimecheka sana aiseee

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 месяца назад

    Mngekua mnatumia nguvu kubwa km hii kwenye dini raha sanaa

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 2 месяца назад

    Mzee side daaaa anateseka sana chama😂😂😂😂

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 3 месяца назад +1

    Dobi huwe na filimbi,na kadi
    Za Njano,Nyekundu,Nyeusi na nyeupe

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 3 месяца назад +2

    Doddy anaendana na mada na jukwaa lenyewe

  • @farajikitihu4558
    @farajikitihu4558 2 месяца назад

  • @adelamtenjele9391
    @adelamtenjele9391 2 месяца назад

    Mzee said anajazba sana

  • @mohammedbariki5400
    @mohammedbariki5400 8 дней назад

    Safi jiamini kunawatu wanateseka na chama wapeni

  • @mecklion4710
    @mecklion4710 3 месяца назад +2

    Mzee saidi yupo ki shariii na ki vita vita 2 😂😂😂

  • @ToshNester
    @ToshNester 3 месяца назад

    Dosa, mzee said, nayule jamaa anapenda kuita chagamba, wanajua sana😊

  • @AbdillahNassor-ku9eo
    @AbdillahNassor-ku9eo 3 месяца назад +2

    Tunaomba gb64 aalikwe hapa

  • @salimrajab3266
    @salimrajab3266 3 месяца назад +4

    BONGE LA SHOW. HONGERENI WATANI😄🤣

  • @NiceMussa
    @NiceMussa 3 месяца назад +1

    Alafu mmiliki wa avic sio club ya yanga team yoyote inaruhusiwa kwenda

  • @BrackPetharm
    @BrackPetharm 3 месяца назад +1

    Mada ya chama haiishi wallah 😂😂😂😂😂ikiisha inaanza upyaa😅😅

  • @AyubuJuma-df4pn
    @AyubuJuma-df4pn 3 месяца назад

    Amaa kweli!!
    naona pamechangamka.

  • @wizzyfernando8655
    @wizzyfernando8655 3 месяца назад +1

    Mashabiki wa simba waliopo apo mzee said ty nd anaakili

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 dah Mzee side anachekesha

  • @jjpenternumztz
    @jjpenternumztz 2 месяца назад

    Mm ananichekesha dodi😂😂😂

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 3 месяца назад +2

    Hicho kimwalimu kinatinyanga kina mihemuko 😅😅😅

  • @Emerson99-o6l
    @Emerson99-o6l 3 месяца назад +4

    Huyu Gody akili Hana in short kizobo tuu😅😅

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 3 месяца назад +3

    Mwalimu yanga😂😂, utamuuwa mzee saidi😂😂😂

  • @aliabdulrahman1202
    @aliabdulrahman1202 3 месяца назад +1

    Next mjadala yanga wanavyo muongelea chama kama kaesaedia simba wanaeza muongelea fei km kaesaedia yanga

  • @Sadick-vb5gg
    @Sadick-vb5gg 3 месяца назад

    Mzee Said maua yake namkubal sana cos yupo straight

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 месяца назад +3

    Huyu mzee said hapo hapakufai. Kumbe mgomvi sana.

  • @magambochaz609
    @magambochaz609 3 месяца назад +2

    Mashabiki wa yanga Leo ndo wanajua chama ni bola 😂

  • @arlindozacarias4588
    @arlindozacarias4588 3 месяца назад +3

    Vocês Tanzanianos discutem o futebol como deve ser, por isso em termos de Ckubes estao indo para outro nivel daqui 2 anos estarão no mesmo nivel do Egito

  • @AngelMwalukunga
    @AngelMwalukunga 2 месяца назад

    Sikiliza kwa makina mwalimu

  • @nasraahmed5834
    @nasraahmed5834 2 месяца назад

    Mbona wanasimba wote sioni wenye ndevu

  • @abasschuru3755
    @abasschuru3755 2 месяца назад

    Chama kaumiza wengi

  • @RebiamMwilike-ru8te
    @RebiamMwilike-ru8te 2 месяца назад

    Daaaaaaaah kunawatu wako hapo duuuuu

  • @RECODEFamily
    @RECODEFamily 3 месяца назад +1

    Nimeamini ukweli mashabiki wa makolo awana akili kabisa wanaumia sana ila awasemi