Baba Dodi hlo jambo kubwa sana bonge la creativity naomba niongezee kdogo hapo kaka hcho hcho kjwe kinabid kiwe na magazine ya michezo ya cku huska pamoja kijewe cha kahawa
Vocês Tanzanianos discutem o futebol como deve ser, por isso em termos de Ckubes estao indo para outro nivel daqui 2 anos estarão no mesmo nivel do Egito
Namkubali sana huyu mzeee walah konga laiki hapa
Kwa wanokubali kipindi cha nongwa za msimu tujuane kwenye like❤
Mzee said atatuua kwa fulaha ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂 Watu woote tunamsikiliza mzee said
Mzee said 💥💥
Mm kiukweli aliye nogosha huu mdaharo ni mzee sadi nampendaga sana
Hhiki. Kipindi kiendeleee
Mzee saidi nakukubali
Tupo hapa kwa ajil ya mzee said 🔥🔥🔥🔥
Mzee said ananifulahusha sana la
Mzee said💥💥
Rahaaaa sana mzee said jmn
Big up sana DODI unatufurahisha sana..Creativity nzuri sana ya kipindi lkn punguzeni Makelele yataleta kutokuheshimiana...
Mzee said😂😂😂🎉❤❤
Mzee side wa motoo 🔥🔥🔥
Mzee said MAN OF THE MATCH
Mi ni yanga lakini nampenda sana mzee saidi huwa ananifurahisha sana
Mzee saidi 💯💯💯
Hapo station ukifanya masihara waweza kuchelewa job aisee😀😀
😂😂😂😂🙌🙌
Mnafurahisha sana endeleeni
Kiukwel hiki kipind kimenikoshaa sana❤
Asante kwa kutuletea mzee saidi napenda kumona alivyo mbishi khaaaa😅😅😅
Nilivyoona picha ya mzee said tu, nikachoma ndani npate burudanii😅
Mzee Said ni Sumu sana..💪💪
Kwa Mzee said mmetishaaa san azam
Simba dam❤
Hichi ndicho kipindi bora chamizo Azam tv
Kazi
Hichi kipindi sio poa Asanter azm Muna ubunifu wa hali ya juu
🎉yanga rushwa sanaaa
Mzee saidi 😂😂😂😂 kubali sanaaa
Duh, hilo zengwe mimi mwenyewe hoi😂😂
Good yanga💚
Asanteni saana jameni kweli tumeburusishwa na hiki kipindi, woote waliochangia mubarikiwe
❤❤❤ i like this guess
Ila mzee SAID bwana nampenda bure
Mbona mzee magoma simuoni hapa
Baba Dodi hlo jambo kubwa sana bonge la creativity naomba niongezee kdogo hapo kaka hcho hcho kjwe kinabid kiwe na magazine ya michezo ya cku huska pamoja kijewe cha kahawa
😂😂😂😂😂 mzee saidi khaaaaà
Kuwa shabiki wa Simba ni bahati kubwasana watu wa Simba ni waelewa mnooo na mpira wanaujua🦁🦁🦁🦁
Mzee saidiii😂😂😂😂
@@wizzyfernando8655 🦁🦁🫶🫶
Aaaaaah side kapatikana 😊😊😊😊😊😊😊
Mzee said😂😂😂
Mzee said kanogesha mdahalo sana
Mze said chukuwa mahuwa Yako💐💐💐💐
Hizi team ukiangalia kwa ukaribu zimekaaa kisiasa sana,mpira umefunga akili za watu sana aisee,hasa hizi simba na yanga
Mwalimu Yanga ana kitu🔥🙌🏽
kipindi kizuri sana. kiendelee
Mzee said oyee
Jamani mnatufurahisha wanayanga
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mzee saidi nimecheka kwa sautiii
Mwanaume 1 tuu Mzee saidi😂😂😂
Mjadala uko vizuri
Yanga
Watovu wa nizamu fc😂😂😂wazee African
Mzee Said bhanaah😂😂😂
Kwa mara ya kwanza nacoment mzee said kanifanya nicheke bila kujizuia mzee hatar
Mzeee saideeeeeeeeeeee😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
Mwenye kazi Hana akili kichwani ana takwimu za watu😅😅😅
😂😂😂😂😂mzee said ukirudi tu sauti hana daah
😂😂😂
Kipindi kimechangamka 🤗🤗🤗🤗🤗
Hutubia km unahutubia serikali... Mzee said checheiiiii
God yanga anaongea kishabiki
Mwalimu😂😂😂😂😂 Big up
Mjadara mzuri
😂😂😂😂😂😂Mzee said ❤❤❤❤❤
m bado Simba inajipanga m sijuwi rini itakaa viziri
Ila Mzee said 😂😂😂😂😂😂 kipind kinanoga Sana ❤❤❤
Mzeee saidi oyeeeee
Mzee said bhana dah 😂😂❤
Jamani mzee magoma awepo
Mimi Yanga Ila mpenzi mwenzetu wa Yanga dosa kuongea mpira hajui bana
Mwalimu Yanga watakuja kumpiga eti Simba alifungwa goli 90 nimecheka sana aiseee
Mngekua mnatumia nguvu kubwa km hii kwenye dini raha sanaa
Mzee side daaaa anateseka sana chama😂😂😂😂
Dobi huwe na filimbi,na kadi
Za Njano,Nyekundu,Nyeusi na nyeupe
Doddy anaendana na mada na jukwaa lenyewe
❤
Mzee said anajazba sana
Safi jiamini kunawatu wanateseka na chama wapeni
Mzee saidi yupo ki shariii na ki vita vita 2 😂😂😂
Dosa, mzee said, nayule jamaa anapenda kuita chagamba, wanajua sana😊
Anaitwa Miraji 😅
😂😂 Salute salute @@DonatLwabanya
Sante saana tupo pmj
Tunaomba gb64 aalikwe hapa
BONGE LA SHOW. HONGERENI WATANI😄🤣
Alafu mmiliki wa avic sio club ya yanga team yoyote inaruhusiwa kwenda
Mada ya chama haiishi wallah 😂😂😂😂😂ikiisha inaanza upyaa😅😅
Amaa kweli!!
naona pamechangamka.
Mashabiki wa simba waliopo apo mzee said ty nd anaakili
😂😂😂😂😂😂😂😂 dah Mzee side anachekesha
Mm ananichekesha dodi😂😂😂
Hicho kimwalimu kinatinyanga kina mihemuko 😅😅😅
Huyu Gody akili Hana in short kizobo tuu😅😅
Mwalimu yanga😂😂, utamuuwa mzee saidi😂😂😂
Next mjadala yanga wanavyo muongelea chama kama kaesaedia simba wanaeza muongelea fei km kaesaedia yanga
Mzee Said maua yake namkubal sana cos yupo straight
Huyu mzee said hapo hapakufai. Kumbe mgomvi sana.
Mashabiki wa yanga Leo ndo wanajua chama ni bola 😂
Nashangaaa
Vocês Tanzanianos discutem o futebol como deve ser, por isso em termos de Ckubes estao indo para outro nivel daqui 2 anos estarão no mesmo nivel do Egito
Obrigado 👏
Sikiliza kwa makina mwalimu
Mbona wanasimba wote sioni wenye ndevu
Chama kaumiza wengi
Daaaaaaaah kunawatu wako hapo duuuuu
Nimeamini ukweli mashabiki wa makolo awana akili kabisa wanaumia sana ila awasemi