MZEE MASATU:AGEUKA MBOGO KWA CHAMA | NIULIZE KUHUSU JOSHUA MUTALE | TUNASHUSHA VYUMA HATARI SIMBA SC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 95

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 3 месяца назад +2

    Naam kuipenda simba ni neema wamemchukua chama kwa mbwembwe kama okra, msimu mmoja tu okra tupa kule na chama msimu mmoja tunae tupa kule mtayaona tu haya

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    SIMBA KALA NYAMA MAFISI YANAFURAHIA MIFUPA 😂😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej 3 месяца назад

      Tumekula nyama tumetupa mfupa mmeukimbilia, haya kuleni makombo sisi haooooo

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 месяца назад

    Sisi tunaona kelele jamani:chama ndio nani bw?mwacheni aende jamani tulikuwa na wachezaji wangapi. Ende kauze mechi huko kama alivyokuwa anafanya simba.

  • @AthumaniMsuya
    @AthumaniMsuya 3 месяца назад +2

    Baba waambie hao wachambuzi wasikuchoze na maswala ya chama hao hao ndio wali kuawa wakisema chama kazeeka Leo Yuko yannga wanaona kazaliwa upya!

  • @almasmanumbu7945
    @almasmanumbu7945 2 месяца назад

    Masatu anajisahau ni moja Kati ya mashabiki waliokuwa wanamponda MO na uongozi

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo 3 месяца назад

    Wachezaji hawana timu wao wanatizama pessa tu kwahiyo mchezaj anahak ya kwenda kokote

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 3 месяца назад

    Katika timu zilizoomba hapo mutachagua mbovu kuliko zote

  • @abdallahchande1467
    @abdallahchande1467 3 месяца назад

    We ndio huna akil akiachwa wapo Zaid ya Cham wewe nyie si wababa makapi mbon okra mmemuacha tena

  • @IsayaShokaulaya
    @IsayaShokaulaya 2 месяца назад

    Mashabiki bwana chama mwacheni kafanye yake ameifanyia simba makubwa jamani mpeni mauwayake

  • @GRECEIPULI
    @GRECEIPULI 2 месяца назад

    Jamani yote hayo yann chama namtakia kiralaher akafanye makubwa kama aliyoifanyia simba hata mm napenda kazi yake

  • @ELIYAMAGEMBE
    @ELIYAMAGEMBE 2 месяца назад

    Ni m2 kwako simba h2taki wasaliti,mache masatu aseme ukweli.

  • @AbelDaniel-u4s
    @AbelDaniel-u4s 2 месяца назад

    Huyu mzee yuko sawa ww ndo hauna akili chama anaenda kumalizia kalia yake ya mpira.

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf 3 месяца назад

    mzee masatu ww rudi makojo ukale furu umbea wachie watu wa mwambao

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 2 месяца назад

    chama amebaki jina tu,amekua wa kawaida sana na nina uhakika ataenda kusugua benchi yanga

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 месяца назад +4

    Huyu mzee atunzwe ana kitu kikubwa Sana nimekukubali mzeee Wang

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 3 месяца назад +1

    Mzee masatu chukua maua Yako umejibu kisomi

  • @vilaboy3675
    @vilaboy3675 2 месяца назад

    We ndo huna akili masatu waambie ukweli

  • @SaidOmary-nh5kr
    @SaidOmary-nh5kr 3 месяца назад +1

    saivi watu Wana taka Vijana ndoo ukweli wanaumia wasio Juan mpila

  • @BarakaJiroli
    @BarakaJiroli 3 месяца назад

    Ww ndo auna akili masatu a naongea ukweli

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 3 месяца назад +1

    Masatu kwenye ubora wake😂😂

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 2 месяца назад

    Mzee toa no yako tukutumie za suupuuu

  • @DottoJohn-ku9fq
    @DottoJohn-ku9fq 2 месяца назад

    Mnao mtukana huyu mzee ni kuma

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 2 месяца назад

    Mzee umeongea nakupongexa

  • @abdallahchingua1630
    @abdallahchingua1630 2 месяца назад

    atakimbia huyo tarehe 8

  • @charles-lc4pp
    @charles-lc4pp 2 месяца назад

    masatu mauayako chukuwa

  • @GidionPeter-k8y
    @GidionPeter-k8y 3 месяца назад

    Ira nikweri maana chama umuri umendaa

  • @ELIACHOMOLA
    @ELIACHOMOLA 2 месяца назад

    Anaongea ukweli

  • @SelinaNana-f1z
    @SelinaNana-f1z 2 месяца назад

    Jama akibaki

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8w 2 месяца назад

    Kŵeli

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 3 месяца назад

    MZEE WANGU SISI WOTE NI WANA SIMBA ILA KWA CHAMA WEKA AKIBA YA MANENO... LIGI HAIJAANZA BADO TUSIJE TUKAMTAFUTA MCHAWI!!

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 3 месяца назад

    Huyu muuza kahawa wa kwny hicho kijiwe anauza sana kahawa mana kijiwe hakikauki watu na ofa za kununulia watu kahawa yote ndo kibao,usihame ichi kijiwe ndg yng😂

  • @ernestmkila9356
    @ernestmkila9356 2 месяца назад

    Hongera sana mzee masatu kwa kuwapa ukweli usiopindika mchezaji akiwa simba mzee akienda Yanga kijana bila kujuwa wanaenda kuchukuwa pensheni zao wakina Mkude

  • @richardmaimu9596
    @richardmaimu9596 3 месяца назад

    Kitaalamu inaitwa "SIZITAKI MBIVU HIZI"

  • @Shaban-d6l
    @Shaban-d6l 2 месяца назад

    Wewe ndo huna akiri kabisaaaaa usimkashifu Mzee wetu

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 2 месяца назад

    AAA Masatu wambie hao.maana hawajui . Ooo Chama.chama ninani

  • @Hasnspop
    @Hasnspop 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 3 месяца назад +2

    Mashabiki wa mpira Bongo,sometimes mnakuzaga mambo bila uhalisia --- Class ya Mutale ni ya dataja la kati --- tungekuwa na maskaut proper,wachezaji class ya Mutale,hapa hapa Bongo unaweza kuwapata hata 200.

    • @abdallahshariff6555
      @abdallahshariff6555 3 месяца назад

      Ili uwe na ukumbuko,nitakuja kukuulizi hili ulililisema

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад

    UPO SAHIHI SANA MZEE WAPO WACHEZAJI BORA WAMEHAMA NA KWENDA MECHI KUBWA HATUSHITUKU KABISA

  • @RehemaRamadhani-i9z
    @RehemaRamadhani-i9z 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DesdetyDesderymjwauzi
    @DesdetyDesderymjwauzi 2 месяца назад

    Ni ukweli mzee masatu,akale penshen

  • @DenisiMeja
    @DenisiMeja 2 месяца назад

    Mzee wang unakitu mkubwa😅😂🙌

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 3 месяца назад

    unateumia na chama wew ni bwege kweli

  • @charles-lc4pp
    @charles-lc4pp 2 месяца назад

    masatunakukubalisana hongera sana

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor 3 месяца назад +4

    Mze masatu upo juu sana good

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy 3 месяца назад

    Huna akili masatu

  • @Malack-p7j
    @Malack-p7j 3 месяца назад

    Nakubar msinbaz

  • @AbushirVicent
    @AbushirVicent 3 месяца назад

    Mzee masatu ongera

  • @JuhudiChunga-br5gh
    @JuhudiChunga-br5gh 3 месяца назад

    Mm namtaka Mzee said

  • @bonshag1
    @bonshag1 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂 mzee masatu umeua kabisa

  • @SarahAthumani-yr3fm
    @SarahAthumani-yr3fm 3 месяца назад

    Ukovizur baba

  • @Aloycepastory
    @Aloycepastory 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @MapangaMapanga
    @MapangaMapanga 3 месяца назад

    Lll

  • @tellyandrew7030
    @tellyandrew7030 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AyubuMajahasi
    @AyubuMajahasi 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @MuhamedKhamis-ip6tm
    @MuhamedKhamis-ip6tm 3 месяца назад +1

    Ahsant mzee wetu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 3 месяца назад +3

    Safffi mzee masatu chukua mauwa yako🎉🎉🎉🎉

  • @AyubuMajahasi
    @AyubuMajahasi 2 месяца назад

    Mim mwansimb nawapogeza kwausajil mnaofan 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ibadimohamedi9756
    @ibadimohamedi9756 3 месяца назад +3

    Mzee anajua mpira

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t 3 месяца назад +1

    Waaaambieeeeemzeeeee

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 3 месяца назад

    Mzee safi sana ira nashanga sana taifa letu linawatu wa ajabu na ndio taifa ra kwanza kuwa na watu mtindo huu wanafanya kazi ya kununua bando kwa aajiri ya kutukuna watu kwenye mitandao hongera sana mzee masatu

  • @YohanaMboma-vz3sl
    @YohanaMboma-vz3sl 2 месяца назад

    Nimemuona masatu leo

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 3 месяца назад

    Wewe masato akiri ndogo sana jieshim ww ndio mama unaliwa weee

  • @japhetmwangwa2145
    @japhetmwangwa2145 3 месяца назад

    Mzee masatu namkubl Sana mzee wangu ❣️🇹🇿

  • @rashidikusaga9719
    @rashidikusaga9719 2 месяца назад

    Safi sana Mzee masatu una madini sana baba

  • @AISHAALLY-zl8rz
    @AISHAALLY-zl8rz 2 месяца назад

    Daah nimependa sanaa majibu ya uyu mzeeee

  • @maxmia100
    @maxmia100 3 месяца назад +8

    Hawa wazee kama huyu mzee masatu hana akili ya mpira na huyu ndo wale mizee Haina akili chama bado mtu sisi tunaumia waandishi msiwe mnahoji mizee mjinga hapa mzee saidi ndo anajua mpira

    • @andekisyenasibu312
      @andekisyenasibu312 3 месяца назад +2

      Wew ndo hauna akili, kwan Chama atacheza milele? Zwazwa wew kama mumeo mfate aliko

    • @mussakinkon5252
      @mussakinkon5252 3 месяца назад +1

      Kwani Chama mulianza kumtaka leo ndoto zenu sisi kama tungemuhitaji angebaki mbona kipind yuko dogo mbona mlishindwa kumchukua ...ACHENI KUOKOTAOKOTA

    • @AbdulshakurAthuman
      @AbdulshakurAthuman 3 месяца назад

      Chama sio Simba

    • @michaeltilusasila2992
      @michaeltilusasila2992 3 месяца назад +2

      Hana akiri baba akhooo ila mzee masatu ana akiri

    • @issakikwazi-jm5rq
      @issakikwazi-jm5rq 3 месяца назад +2

      kua na adabu kijana hayo ni maoni yake toa nawewe maoni yako usitukane mjomba chama siyo mwanachama wa simba bali chama ni mchezaji anaweza kucheza timu yoyote duniani kumbuka tumekosa ubingwa mara tatu mfululizo na chama akiwemo hiyo ndo football

  • @kasolesambula1678
    @kasolesambula1678 3 месяца назад

    Manshaallah mzee 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @samsonpaul-uz6nq
    @samsonpaul-uz6nq 3 месяца назад

    Unajuwa sana Mzee wangu

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 3 месяца назад

    CPA = CHAMA -- PACOME --- PRINCE -- AZIZ --- Huo moto mtakimbiana " Kariakoo Derby, itakuwa nafuu sana kwenu madunduka,kama hamtapeleka timu Lupaso "

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 3 месяца назад

    Waligombania na simba

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 3 месяца назад

      Huyu alikuwa mchezaji wa simba kwaiyo alihitajika na nani na nani nje ya simba ?

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 3 месяца назад +1

    Mbona mbogo