MZEE MASATU:AGEUKA MBOGO KWA CHAMA | NIULIZE KUHUSU JOSHUA MUTALE | TUNASHUSHA VYUMA HATARI SIMBA SC
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Naam kuipenda simba ni neema wamemchukua chama kwa mbwembwe kama okra, msimu mmoja tu okra tupa kule na chama msimu mmoja tunae tupa kule mtayaona tu haya
SIMBA KALA NYAMA MAFISI YANAFURAHIA MIFUPA 😂😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tumekula nyama tumetupa mfupa mmeukimbilia, haya kuleni makombo sisi haooooo
Sisi tunaona kelele jamani:chama ndio nani bw?mwacheni aende jamani tulikuwa na wachezaji wangapi. Ende kauze mechi huko kama alivyokuwa anafanya simba.
Baba waambie hao wachambuzi wasikuchoze na maswala ya chama hao hao ndio wali kuawa wakisema chama kazeeka Leo Yuko yannga wanaona kazaliwa upya!
Masatu anajisahau ni moja Kati ya mashabiki waliokuwa wanamponda MO na uongozi
Wachezaji hawana timu wao wanatizama pessa tu kwahiyo mchezaj anahak ya kwenda kokote
Katika timu zilizoomba hapo mutachagua mbovu kuliko zote
We ndio huna akil akiachwa wapo Zaid ya Cham wewe nyie si wababa makapi mbon okra mmemuacha tena
Mashabiki bwana chama mwacheni kafanye yake ameifanyia simba makubwa jamani mpeni mauwayake
Jamani yote hayo yann chama namtakia kiralaher akafanye makubwa kama aliyoifanyia simba hata mm napenda kazi yake
Ni m2 kwako simba h2taki wasaliti,mache masatu aseme ukweli.
Huyu mzee yuko sawa ww ndo hauna akili chama anaenda kumalizia kalia yake ya mpira.
mzee masatu ww rudi makojo ukale furu umbea wachie watu wa mwambao
chama amebaki jina tu,amekua wa kawaida sana na nina uhakika ataenda kusugua benchi yanga
Huyu mzee atunzwe ana kitu kikubwa Sana nimekukubali mzeee Wang
Asante sana mzee
Nakubali Sana mzee masatu
Mzee masatu chukua maua Yako umejibu kisomi
We ndo huna akili masatu waambie ukweli
saivi watu Wana taka Vijana ndoo ukweli wanaumia wasio Juan mpila
Ww ndo auna akili masatu a naongea ukweli
Masatu kwenye ubora wake😂😂
Mzee toa no yako tukutumie za suupuuu
Mnao mtukana huyu mzee ni kuma
Mzee umeongea nakupongexa
atakimbia huyo tarehe 8
masatu mauayako chukuwa
Ira nikweri maana chama umuri umendaa
Anaongea ukweli
Jama akibaki
Kŵeli
MZEE WANGU SISI WOTE NI WANA SIMBA ILA KWA CHAMA WEKA AKIBA YA MANENO... LIGI HAIJAANZA BADO TUSIJE TUKAMTAFUTA MCHAWI!!
Huyu muuza kahawa wa kwny hicho kijiwe anauza sana kahawa mana kijiwe hakikauki watu na ofa za kununulia watu kahawa yote ndo kibao,usihame ichi kijiwe ndg yng😂
Hongera sana mzee masatu kwa kuwapa ukweli usiopindika mchezaji akiwa simba mzee akienda Yanga kijana bila kujuwa wanaenda kuchukuwa pensheni zao wakina Mkude
Kitaalamu inaitwa "SIZITAKI MBIVU HIZI"
Wewe ndo huna akiri kabisaaaaa usimkashifu Mzee wetu
AAA Masatu wambie hao.maana hawajui . Ooo Chama.chama ninani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Mashabiki wa mpira Bongo,sometimes mnakuzaga mambo bila uhalisia --- Class ya Mutale ni ya dataja la kati --- tungekuwa na maskaut proper,wachezaji class ya Mutale,hapa hapa Bongo unaweza kuwapata hata 200.
Ili uwe na ukumbuko,nitakuja kukuulizi hili ulililisema
UPO SAHIHI SANA MZEE WAPO WACHEZAJI BORA WAMEHAMA NA KWENDA MECHI KUBWA HATUSHITUKU KABISA
🎉🎉🎉🎉🎉
Ni ukweli mzee masatu,akale penshen
Mzee wang unakitu mkubwa😅😂🙌
unateumia na chama wew ni bwege kweli
masatunakukubalisana hongera sana
Mze masatu upo juu sana good
Huna akili masatu
Nakubar msinbaz
Mzee masatu ongera
Mm namtaka Mzee said
😂😂😂😂😂 mzee masatu umeua kabisa
Ukovizur baba
😂😂😂
Lll
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Ahsant mzee wetu
Safffi mzee masatu chukua mauwa yako🎉🎉🎉🎉
Mim mwansimb nawapogeza kwausajil mnaofan 🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee anajua mpira
San
Waaaambieeeeemzeeeee
Mzee safi sana ira nashanga sana taifa letu linawatu wa ajabu na ndio taifa ra kwanza kuwa na watu mtindo huu wanafanya kazi ya kununua bando kwa aajiri ya kutukuna watu kwenye mitandao hongera sana mzee masatu
Nimemuona masatu leo
Wewe masato akiri ndogo sana jieshim ww ndio mama unaliwa weee
Mzee masatu namkubl Sana mzee wangu ❣️🇹🇿
Safi sana Mzee masatu una madini sana baba
Daah nimependa sanaa majibu ya uyu mzeeee
Hawa wazee kama huyu mzee masatu hana akili ya mpira na huyu ndo wale mizee Haina akili chama bado mtu sisi tunaumia waandishi msiwe mnahoji mizee mjinga hapa mzee saidi ndo anajua mpira
Wew ndo hauna akili, kwan Chama atacheza milele? Zwazwa wew kama mumeo mfate aliko
Kwani Chama mulianza kumtaka leo ndoto zenu sisi kama tungemuhitaji angebaki mbona kipind yuko dogo mbona mlishindwa kumchukua ...ACHENI KUOKOTAOKOTA
Chama sio Simba
Hana akiri baba akhooo ila mzee masatu ana akiri
kua na adabu kijana hayo ni maoni yake toa nawewe maoni yako usitukane mjomba chama siyo mwanachama wa simba bali chama ni mchezaji anaweza kucheza timu yoyote duniani kumbuka tumekosa ubingwa mara tatu mfululizo na chama akiwemo hiyo ndo football
Manshaallah mzee 🎉🎉🎉🎉🎉
Unajuwa sana Mzee wangu
CPA = CHAMA -- PACOME --- PRINCE -- AZIZ --- Huo moto mtakimbiana " Kariakoo Derby, itakuwa nafuu sana kwenu madunduka,kama hamtapeleka timu Lupaso "
Waligombania na simba
Huyu alikuwa mchezaji wa simba kwaiyo alihitajika na nani na nani nje ya simba ?
Mbona mbogo