Ukweli ni semaji na sio afisa habari ndio maana alimsifu sana jobe , chikwende, sawadogo Babar sar najua hatujasahau kuhusu wimbo wake kuhusu mlete mzungu ama kesha sahau jinsi alivyo ropoka kumsifu hayo nkwake ni mafanikio makubwa na huenda akaweka rekodi ya kuwa msemaji aliyefeli zaidi katika historia
Naipenda simba naitaji furahaa kwa vifaa vilivyo sajiliwa
Simba nguvu moja 😢😮
Nlopojaji subiri ngoma ianze..boli c mdomo ni uwanjani
Goli 5 pale pale
Simba ngu Moja lakin ahmedi ali tunataka kuona uwezo wako wakujiamisha mkuu tumechoka
Simba ngu Moja lakin ahmedi ali tunataka kuona uwezo wako wakujiamisha mkuu tumechoka 3:53
Our team
Ukweli ni semaji na sio afisa habari ndio maana alimsifu sana jobe , chikwende, sawadogo Babar sar najua hatujasahau kuhusu wimbo wake kuhusu mlete mzungu ama kesha sahau jinsi alivyo ropoka kumsifu hayo nkwake ni mafanikio makubwa na huenda akaweka rekodi ya kuwa msemaji aliyefeli zaidi katika historia
Xav mtupu
Huyu jamaa ni kiboko kwa kujibu majibu ya uweledi.
LAMECK LAWI ACHEZE SIMBA COASTAL HAITAMFIKISHA MBALI VIONGOZI WA COAST WANAMHARIBU
Semaji🎉
Mwaka huu Vipi kibegi kipooo