UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 426

  • @PhilipoNjalika
    @PhilipoNjalika 3 месяца назад +15

    Crown 👑 for life

  • @mathewbundu235
    @mathewbundu235 3 месяца назад +21

    Kiba alicheza sana kumleta Jeff Lea Crown Media.Ila nilitamani jina la kipindi kiitwe CROWN MICHEZO badala ya CROWN SPORTS

    • @muddyhamza9606
      @muddyhamza9606 3 месяца назад +3

      😂 Sasa michezo si ndo sports 😂😂

    • @nkoydavid9658
      @nkoydavid9658 3 месяца назад

      😂😂😂​@@muddyhamza9606

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +3

      MSIGOMBANE BASI KIITWE CROWN RIYADHA 😂😂😂😂😂 YOTE SAWA TU

    • @DismasGeraldi-i2s
      @DismasGeraldi-i2s 3 месяца назад +2

      Michezo ni sports na sports ni michezo kilicho kuchanganya wewe ni lugha tu😅

    • @gblessabell2046
      @gblessabell2046 3 месяца назад

      Unajua unacho kiongea

  • @edwincain849
    @edwincain849 3 месяца назад +31

    Hongera sana crown 👑 media,nawapata vizuri kutoka Tokyo Japan

  • @JamesPhiri-sz5qn
    @JamesPhiri-sz5qn 3 месяца назад +6

    Crown Media nawafata nikiwa Zambia lusaka 👑🇿🇲🇹🇿🇹🇿

  • @AslamNyama
    @AslamNyama 3 месяца назад +13

    Kwa uchambuzi huu smalizi MB kwa media yoyote za ya hapa NYUMBANI mmetisha sana

  • @andrewmagelewanya5124
    @andrewmagelewanya5124 3 месяца назад +18

    Expert wa mambo ya usajili😂

  • @HassanHassan-dk5db
    @HassanHassan-dk5db 3 месяца назад +16

    Crown MPO vizuri Sana kuchambua Mpira big up nakupeni nyota Tano.

  • @fireboyfireboy-ib3of
    @fireboyfireboy-ib3of 2 месяца назад +1

    hiv hiz microphone haziwaumiz maskio mpk mnapomaliz kipnd na kila cku mnazivaa na vip haziwakel

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +23

    mnatish crown ,mnatembea nakiwanja

    • @directorwizard7310
      @directorwizard7310 3 месяца назад +3

      😅😅😅😅😂😂😂😂 Kaka Hawa Watu Nihatari Sana Wanatembea na Kiwanja 😂😂😂

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 3 месяца назад +11

    Mm naamin fei anaogopew na yanga na akienda simba yanga wote watamkalie fei mpk mashabiki 😂😂😂

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 месяца назад

      Kwani huko aliko Azam Fei hakutani na Yanga? au umeongea bila kujua ulichoongea?

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 2 месяца назад

      Ikikutana na azam wachezaji viongiz mashabiki wooote machoyao kwa fei🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 3 месяца назад +28

    Mupo vizuri sana

  • @lwengephillip7516
    @lwengephillip7516 3 месяца назад +11

    Mko vizuri sana, mnatakiwa muwe huru msifungamane na upande wowote hata kama mna mapenz yenu binafsi ya timu lakn kazi kwanza.

  • @ElishaMgaya
    @ElishaMgaya 3 месяца назад +9

    Mnajua adi mnjua tena walahe.....Hans wew pepon moja kwa moja through analysis ov footbal events especially in transfer👏

  • @amidubebedou3637
    @amidubebedou3637 3 месяца назад +29

    Crown sports nomaa nawafatilia kutoka Qatar 🇶🇦

    • @WalterJosephat
      @WalterJosephat 3 месяца назад +1

      Kuhusu habari ya fei nakukubali saana hance

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 3 месяца назад +24

    Wa kwanza mm

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 3 месяца назад +14

    Nawapata pande 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 3 месяца назад +1

      Beira nampula maxixe emquilemane montepuez pemba nacala em tete au PAnde zipi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад +71

    Hao viongozi wanachuki na Simba huyo cy kiongozi wa Azam ila ametumwa na viongozi wa Yanga. Kwann waseme Fei hatakiwi kujiunga Simba?

    • @anathshabani2952
      @anathshabani2952 3 месяца назад +12

      Kwani kiongozi wa yanga anahusika vipi kwenye administration ya azam

    • @AliyussufMakame-js5dp
      @AliyussufMakame-js5dp 3 месяца назад +4

      Vita vinaendelea bado

    • @salamSalehhhhh
      @salamSalehhhhh 3 месяца назад +3

      Simba tuna vita kubwa Sana tufanyeni maombi ndugu

    • @TheMrisho
      @TheMrisho 3 месяца назад

      @@anathshabani2952kwasababu huyo kiongozi ni wa Azam ila shabiki wa Yanga

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 3 месяца назад +1

      Yanga tenaa 😅,, hivyo vipengele mbona kawaida tu, Kwanza biashara Yanga aliijua mapema kuhusu Fei,, ndio maana Azam wamegoma

  • @sakaraboy8951
    @sakaraboy8951 3 месяца назад +1

    WATANGAZ NDIO MASHABIKI.... 😂😂😂😂😂
    WANAUMIA KINOMA FEI KUBAK AZAM FC.
    FEI AMEKUWA CONTENT SASA HIVI

  • @mangeneralsupplies4910
    @mangeneralsupplies4910 3 месяца назад +19

    Mayele na fei toto inakuaje iyo Simba mpya

    • @onekisstv8412
      @onekisstv8412 3 месяца назад +5

      Ila wewe kichaa Kwa kweli mayele kutoka uko Aje hapa tunaweza kumlipa 82 million Kwa mwezi

    • @AngelmackieCharity
      @AngelmackieCharity 3 месяца назад +2

      ​@@onekisstv8412 kichaa niwew Kwan ww ndo unayelipa hizo pesa😂

    • @onekisstv8412
      @onekisstv8412 3 месяца назад

      @@AngelmackieCharity Ngoja tuone

    • @kigodolotv
      @kigodolotv 2 месяца назад

      😂​@@onekisstv8412

    • @RamadhaniKombo-l7w
      @RamadhaniKombo-l7w 2 месяца назад

      Ex

  • @georgenomaawejamaa4472
    @georgenomaawejamaa4472 3 месяца назад +3

    Habar sahih kutoka CLOWN 👑Spots / wanasimba tupunguze weng huu mwaka miwetu 👏👏

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад +24

    HANSI UPO SAWA HUWA UNAONGEA UKWELI

  • @MuhidinMohamedi
    @MuhidinMohamedi 2 месяца назад +1

    Na bado mtaona mengi kwa huyu jomba ni hatar coz hakurupuki ni mtu mmwenye mtazamo wa tofaut

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 3 месяца назад +2

    Upepo wa chama umeshazimwa!signing za Simba siyo za kitoto.chama alipata jina wakati alipokuwa Simba,Simba ni zaidi ya chama

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 2 месяца назад +1

    Ivi studio iyo ni ya nani watanzania wenzangu nikiwa London KY jamani naombeni mniambie mbona sijawahi kuiona nimetoka tanzania juzi tu 2023 oh hongera tunawapa mimi na mtoto wangu

  • @AllyAcudo
    @AllyAcudo 3 месяца назад +6

    Simba tunawezankulipa hata dola laki 6

  • @QareemAlly
    @QareemAlly 2 месяца назад

    Yoooooh King kiba Big up xana umetisha wangu hii ndo crown kiba hawakuwezi tena!!!.

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo4302 3 месяца назад +4

    Crown Media hapa ni nyumban you're welcome Beg up to the King kiba sio redio ya familia hii hapa ni nyumban

  • @ibrahimsalim7247
    @ibrahimsalim7247 3 месяца назад +12

    Hapa ni nyumbani

  • @asifreds8787
    @asifreds8787 3 месяца назад +18

    atlest hawa wanajua kufatia ishu za mpra big up brothers

  • @MuhidinMohamedi
    @MuhidinMohamedi 2 месяца назад +1

    Kiba is King Ivo ni kitu Cha kawaida kwake huyu mwamba

  • @TatuLumola
    @TatuLumola 2 месяца назад +1

    Tunawapata na tunawaelewa Sana mmetisha safi

  • @kingofdecember
    @kingofdecember 2 месяца назад +1

    Hii ndio redio yangu ...hapa ni nyumbani

  • @goodluckbenson5869
    @goodluckbenson5869 3 месяца назад +2

    Wamuuze nje then wamrudishe Simba ndani ya dirisha moja hili hili kwani haiwezekani kumuza mchezaji mara 2 ndani ya dirisha moja

  • @Djhansmonstertss
    @Djhansmonstertss 3 месяца назад +9

    Crown Media mpo vizuri san

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 2 месяца назад

    Simba imesajili wachezaji wengi wazuri sana. Watasahau Chama na Fei Toto na hata Kibi Denis. Vyuma vilivyopo vinatosha sana.

  • @chidimsafi1279
    @chidimsafi1279 3 месяца назад +8

    Hansi unajuaa Sanaa mpakaa anakeraa

    • @malimoya
      @malimoya 3 месяца назад

      Jamaa anajua uchambuzii mpaka anaboa yaaaan😂😂

  • @simaoguambe3295
    @simaoguambe3295 3 месяца назад +5

    Safi 👉 sana kutoka Moçambique

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад +4

    TATIZO LA MABEKI WA SIMBA WANAHAMA WOTE KWENYE LANGO LAO. NI WAZITO KURUDI KUKABA HADI WANAFUNGWA. KUENIMAKI I KWENYE LANGO LENU

    • @kenyzach9124
      @kenyzach9124 3 месяца назад

      😂😂😂 nimecheka. wanahama wanafata mpira unapoenda

  • @sidesidekhamiss-uv6kn
    @sidesidekhamiss-uv6kn 3 месяца назад +16

    Napenda sana

    • @twahakabajemi9716
      @twahakabajemi9716 3 месяца назад

      Habari za uongo msemaji wa Azam kaisha kanusha hamsikii

  • @MarryStephano-p5g
    @MarryStephano-p5g Месяц назад +1

    Fei lazma tutaishi nae Simba 👍👍👍

  • @JamesSamweli-y6m
    @JamesSamweli-y6m 3 месяца назад +8

    Kaka ansi mnajua kuchbuaaa

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 3 месяца назад +1

    Hakuna kingine zaidi ya chuki

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 3 месяца назад +1

    Mie. Mnaona. Bora. Sjmba. Itafute. Ata. Vyombo. Vyahabarivyao. Mnaiskma. Simba. Kma. Mabwanazemu. Nyie. Mashuwen. Kwel

  • @ngomasniper4949
    @ngomasniper4949 3 месяца назад +15

    Leo mmeongea sana na huyo
    Jamaaa ameipanga tamu vizuri sanaaaa viongozi wafanye uhakika

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 3 месяца назад +4

    Simba wakimsaini Fei Lazima Yanga wafaidike na Bilioni Moja
    Hayo ndiyo matakwa ya mkataba Wa fei kutoka Yanga kwenda Azam😂

  • @godfreyyaya816
    @godfreyyaya816 3 месяца назад +5

    Crown sports mnajuwaaaa sanah kuliko mfano

  • @alfredingogo604
    @alfredingogo604 2 месяца назад +1

    Muda wa michezo ni sagapi

  • @JumaBonye-j8f
    @JumaBonye-j8f 2 месяца назад

    JUMA BONYE kutoka VIKINDU Kaka Hans Feii TOTO Awezi KUCHEZA KOMBE LA LUDHA

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 3 месяца назад +1

    Mie. Mnaona. Bora. Sjmba. Itafute. Ata. Vyombo. Vyahabarivyao. Mnaiskma. Simba. Kma. Mabwanazemu. Nyie. Mashuwen. Kwel

  • @Bandugu-b5p
    @Bandugu-b5p 3 месяца назад +5

    Huyu Hans anajua boli

  • @OmanOman-gu1wy
    @OmanOman-gu1wy 3 месяца назад +2

    Waongo t nawivu wanao kwann kiongoz asikubali fei asiend smb kiukweli nafurah san fei kuchez simb

  • @benardhezron5191
    @benardhezron5191 3 месяца назад +25

    Mko vizuri mpaka mnaboa. Hatari tupu, pure football analyses.❤❤❤

  • @charleslulandalah9785
    @charleslulandalah9785 3 месяца назад +8

    Na mm nipo jmn😂😂😂😂

  • @JumaBonye-j8f
    @JumaBonye-j8f 2 месяца назад

    Juma bonye kutoka VIKINDU 2p0 pamojA KAKA HANS YOU THE BEST

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 2 месяца назад

    Kuna wachezaji wengi sana wazuri.Simba waachane na Fei Toto watafute mchezaji sehemu nyingine tofauti na Fei,hizo bil.1.3 wakauze huko

  • @MushuRwega-qp4zm
    @MushuRwega-qp4zm 3 месяца назад

    Huyu dogo ushabiki unamzidi. Eti akiuzwa kwenda Simba kutoka Azam Yanga wanapaswa kulipwa 1b. Uliwahi kuona wapi? Halafu eti anajiita expert wa masuala ya usajili. Duuh!

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +15

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @MarthaMlemeta-cm3xk
    @MarthaMlemeta-cm3xk 3 месяца назад +3

    Siasa za mpira. Simba kwa nn hawaipendi na ndio timu iliyoonyesha njia kwa mpira wa Tanzania. Itafikia tu mafanikio yake.

  • @Giaraa
    @Giaraa 3 месяца назад +1

    Hamna kipenge cha hivyo eti ukimuuza Simba, Yanga alipwe 1B😂😂

  • @elizabetPaul
    @elizabetPaul 3 месяца назад

    Aacheni kuongea uongo wapumbavu nyie ndio maana umefukuzwa wasafi...mbwaa nyie aacheni kuaharibu watu kisaikologia

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 3 месяца назад +1

    Nilichokiona kuna tofauti kjbwa kwenye uchambuzi crown mmetulka sana sio makelele na mazogo kama media nyengine nyingi kwenye uchambuzi wao

  • @lameckgideon8188
    @lameckgideon8188 3 месяца назад

    Kipindi kizuri fanye mpango mpatikane kweny ving'amuz vya Azam Ili tuwapate

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 3 месяца назад

    Huo mfumo wa kijinga aliuleta Robertinho na ubrazil wake..hao watu hawawekezagi kwenye ulinzi sana .. ni kupeleka moto tu

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Tufikishie ujumbe mgunda asaidiane na huyo kocha maana anajua mpira wetu, timu zimejipanga maadii ni wengi chondechondea kama mlivyosema wachezaji wazuri lakini je kocha

  • @wavinonoclassic1274
    @wavinonoclassic1274 3 месяца назад +3

    simba pia isisahau kusajir beki na kiugo mkabaji hpo ili yasiwe yaleyale

  • @hustler8395
    @hustler8395 2 месяца назад

    Jamn mbona sielewa fei si walichangiwa ili kuvunja mkataba yanga? Uo mkataba wa yanga kwenda azamu yenye hicho kipengele ulitoka wap

  • @ALLIHosseni-vz5up
    @ALLIHosseni-vz5up 3 месяца назад

    bruoh's and c*s hapo grown mnatisha hao jamaa wawil g.lea na mwenzie nilikuwa nawachki tangu wapo tvE

  • @HospiaceMata
    @HospiaceMata 3 месяца назад

    Viongozi wafanye chochote kumpata fei toto ataongezeza kitu pale simba

  • @MohamediBinabdi
    @MohamediBinabdi 3 месяца назад +1

    Hii ndo media ya kueleweka sasa sio hizo za kuchambua kishabiki😢

  • @PrinceJeremia-t3o
    @PrinceJeremia-t3o 2 месяца назад +1

    Mko vizur

  • @geraldtulugenda4117
    @geraldtulugenda4117 3 месяца назад

    Kwahiyo nafasi ya akina Chasambi, mzamiru, ngoma, kibu haipo tena? Maana naona kinapangwa kikosi kipya chote

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Hans unatukosea chama yake yamepita inamaana hatuwezi kusajiri mpaka upepo wa chama aaa hans punguzeni zalau zalarau, chama aliamua muda mrefu kuwa msariti wa pesa za injinia ,ndicho kimponza mbona hamsemi kwa kuwa nyie yanga hans, na mkija kutusifia kwa umafiki tutawachamba kama mmetoka kunya mavi,

  • @Sesakwaukweli3
    @Sesakwaukweli3 2 месяца назад

    Jaman tunaomba Na kisiwani Pemba tuipate hii radio maana radio nyingi zinaishia Unguja tu kuskilikana huku Pemba tunahitaji pia

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu 3 месяца назад +1

    Anakuja fei mzigo upo tunakimbiza mwizi kimya kimya simba nguvu moja

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 3 месяца назад

    Hapo swala la kwenda au kubaki linategemea pia mchezaji kama mchezaji kaonyesha nia ya kutoka Azam wakimbakisha km anataka kutoka anaweza asi perform

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 месяца назад +1

    Iyo ngum

  • @InnocentMashauri-l6y
    @InnocentMashauri-l6y 3 месяца назад +4

    vzr

  • @SebastianMahendeka
    @SebastianMahendeka 3 месяца назад

    Boss tunaomb tumsajir Feisal simb ilud kwenye fom yake

  • @MelkioryDigha-ry8nu
    @MelkioryDigha-ry8nu 2 месяца назад

    Kipindi Cha michezo Huwa sangap crown FM?

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 2 месяца назад

    Hizo ni chuki binafsi za young kama fedha inatolew vp ss wanambania tena

  • @barakamalemi
    @barakamalemi 3 месяца назад +3

    Nimekubari kazi nzuri I respect you guys

  • @AdaBoyzzy
    @AdaBoyzzy 3 месяца назад

    Hapo studioni majina ya wachambuz nitajieni mbona Kama walikuwa wasafi

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 3 месяца назад

    Ila ikumbukwa akienda SIMBA lazima walipe Bilioni 1 ndio mkataba

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 3 месяца назад +1

    Kipengele gani hicho Cha bilioni Moja kwa mchezaji ambaye ushamnunuwa? Hili shoga huwa hbr zake sio kweli .
    Huyu hawezi akaisungumzia Simba kwa mazuri manake basha wake anae mlea yupo utopolo

    • @AbubakariRamadhani-fj8ff
      @AbubakariRamadhani-fj8ff 3 месяца назад

      Mohammed ww ni mtoto wa kiislam matus ya nn

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      ​​@@AbubakariRamadhani-fj8ffSASA KAMA ANA BASHA LAKE HUKO MATOPOLO MACHOGO FC ASISEME???

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      TUAMBIE BRO KATIKA HAO SENGE GANI HILO TUPATE KUMJUWA 😂😂😂😂

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 3 месяца назад +2

    Mnavotamka neno chama mnaharibu media

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад +1

    We hans huna jipya unamtafutia crown wasikilizaji tu ila hakuna kitu kama hicho. Hizo habari umezitoa wapi kama sio kwa Momo? Mnabumba habari mwisho wa siku mtakuwa kama udaku tu

  • @IbrahimPetroMollel
    @IbrahimPetroMollel 3 месяца назад +4

    Habar za hapo studio simba wamesajili wangapi

  • @AbrahmaniIbrahim
    @AbrahmaniIbrahim Месяц назад

    Uchambuzi wa crown sports unafanyika muda gn

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 3 месяца назад

    Baraaa linakwenda kutokea msimu ujao Kwa Wana lunyans tutulie mna yajao yanafrahisha

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад

    ZA NDAAAAANI WASIO IPENDA SIMBA NI MATOTO YA HARAMU HAYO 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @AmaniRamadhani-rw8jp
    @AmaniRamadhani-rw8jp 2 месяца назад +1

    Tuko pamoja ❤❤❤

  • @johnstonemasabile4620
    @johnstonemasabile4620 3 месяца назад +1

    Haipo Sheria ya namna ya kumfunga mchezaji asiende timu anayooo takaaa

  • @EmanuelSangija
    @EmanuelSangija 3 месяца назад +1

    Uto tu wanasababisha

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 3 месяца назад

    Huyo kiongozi ni Popat tu wala sio mwingine. Kwani huyu ndio anavi nasaba na Yanga.

  • @BoniphanceChitulo
    @BoniphanceChitulo 3 месяца назад +2

    Fei toto lazm aje Simba

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 3 месяца назад

    Hiyo ni ngumu... Fei haeindi Simba.. labda alimaliza mkataba..

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 месяца назад

    jamaa kachangamka huku na kujipa ma vyeo 😢😢😢😢 kule mbona alikuwa mnyonge sana

  • @SostenesyMngongo
    @SostenesyMngongo 2 месяца назад

    Msemaji wa simba ni tapeli halafu ni mwongo kwa kifupi hakuna mayele wa fei toto

  • @tubonemahalack7505
    @tubonemahalack7505 2 месяца назад +3

    Crown media hapa ni nyumbani mko vizuri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад +1

    Simba tunahitaji m'badala, ni aibu kubwa kukosa ushindi msimu ujao.