AMBOKILE: YANGA HII SIMBA ISIPELEKE TIMU UWANJANI/ CHAMA AMEISHA HANA UWEZO/ MO SIO MUWEKEZAJI SIMBA
HTML-код
- Опубликовано: 11 окт 2024
- Mchambuzi wa Soka nchini Ibrahim Ambokile, ametoa maoni yake kuelekea kwenye mchezo wa Derby ya Kariakoo Yanga Sc dhidi ya Simba Sc, ambapo ameeleza kuwa Simba asipokuwa makini goli tano walizofungwa Novemba 5 mwaka jana basi zinaweza kujirudia tena Jumamosi hii.
#yangatv #kondegang #singidafountaingate #diamond #simbasc #wcb #kingmusicofficial #yangasc #live #singidafountaingate #simbatv #kondegang #kondegang #yangatv #kondegang #simbatv #singidafountaingate #live #yangasc #simbasc #wcb #kingmusicofficial #yangasc #kondegang #simbatv #singidafountaingate #singidafountaingate #live #yangasc #diamond #simbasc #wcb #kingmusicofficial #yangasc #live #singidafountaingate #simbatv #kondegang #yangatv #simbatv #singidafountaingate #live #yangasc #diamond #diamond #wcb #simbasc
Napenda sana sauti ya uyu jamaa iko safi sana anachambua mpira vizuri kama ni kizuri utapenda ila kikiwa kibovu utamchukia
Yanga 4
Saf sana huyu jamaa
Mm huyu jamaa na msikilizaga sana ila cjawah kumuona na kwa saut yake nilijua n mzee kumbe n kijana 😅😅😅😅
Chondechonde Yanga tafadhali tuachane ma sifa hizi za mashabiki.Twendeni kwenye mhezo kwa tahadhari kubwa.Simba sio mbovu hata kidogo.