😳KUMEKUCHA! TFF IMETANGAZA RASMI MPANZU ATACHEZA LIGI KUU! MECHI YA TAREHE 19 ATACHEZA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024
  • #simbaSc #Simba #mpanzu #ElieMpanzu #yangaSc #simbasc #ahmedally #Alikamwe #simbasc
    SIMBA SC
    ELIE MPANZU
    SIMBA NA YANGA TAREHE 19
    SIMBA LIVE
    AHMED ALLY LIVE
    ALIKAMWE LIVE
    SIMBA SC

Комментарии • 13

  • @absm8084
    @absm8084 39 минут назад

    Nileteeni Faisal❤

  • @Cristiano.UR123
    @Cristiano.UR123 2 часа назад

    Mmmmh! Atacheza kweli mpanzu?

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Час назад

    WAANDISHI MTUAMBIE UKWELI KAMA HAKUNA UHAKIKA NI BORA MNYAMAZE TU❤

  • @johnkalikisha2770
    @johnkalikisha2770 4 часа назад

    Acheni kutudanganya

  • @AmonTibayeita
    @AmonTibayeita Час назад +1

    Ebu nyie mnaopinga waandishi mbona nyie hamtupi zakwenu

  • @KaifaNgonyani
    @KaifaNgonyani 19 минут назад

    Awa niwamchongo sana.

  • @AnyosisyeKiluswa-fe2eu
    @AnyosisyeKiluswa-fe2eu 3 часа назад

    Kichwa cha habari kiendane na habari.

  • @FundiKami-dv5ix
    @FundiKami-dv5ix Час назад

    Mpangeni hata Nani kipigi tu

  • @HenryKanyika
    @HenryKanyika 2 часа назад

    Mnazingua taarifa za uongo hatuwezi kusabscribe leteni za ukweli

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 3 часа назад

    Ulinzi kushoto na kulia Kuna matatizo makubwa ni eneo linahitaji kuimarishwa.

  • @MathiasTarimo-e8z
    @MathiasTarimo-e8z 3 часа назад

    Uliona wapi kitu kama how cho

  • @ntulloboy2916
    @ntulloboy2916 4 часа назад

    Uhongo wa nn mnajiharbia

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 2 часа назад

    Hivi nyie waandishi wa habari hamna hata akili japo tu kidogo ya kufikiria mpaka mtukanwe?Makanjanja nyie!