😳BREAKING: YANGA SC GUMZO ULAYA! RAISI HERSI AMEIPELEKA YANGA KIMATAIFA! WAITABIRIA MAKUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #yangaSc #yanga #Hersi #said #RaisiYangasc #caf #simbaSc #ahmedally #alikamwe #yangasc
    RAISI WA YANGA SC
    HERSI SAID
    YANGA SC CAF
    YANGA
    ALIKAMWE, AHMED ALLY
    SIMBA SC
    HERSI SAID

Комментарии • 48

  • @deuspastory1814
    @deuspastory1814 5 часов назад +2

    Huyu qnayetukana mchango mkubwa tibia hii.
    1. Malenzi
    2. Elimu
    3.kutokuwa na hofu ya MUNGU.
    4. Kutokuwa na baba anaye eleweka.
    Mtu mwenye madili mazuri, hofu ya MUNGU, hawezi tukana katika haya. Lipi mbaya. TAFAKARI

  • @GeraldEzekiel-x1x
    @GeraldEzekiel-x1x Час назад +1

    Nijiona nanenepa hata Sina Hela yanga aaa naipenda sana

  • @AmecChee
    @AmecChee 2 часа назад +2

    Unaetukana tutakukamata na utakuwa funzo Kwa wengne kwanza kutukana ni kosa kubwa Sheria za mitandao ni pamoja na kutumia lugha safi

  • @elijawilbert-ei9oy
    @elijawilbert-ei9oy 5 часов назад +3

    Makofi kwa yanga tafadhali

  • @yilodhasunga3967
    @yilodhasunga3967 6 часов назад +4

    Hizi simu wamezipata hata wasiostahili sim zingemilikiwa kwa mashart kama bunduki wengine wangezisikia kwa majiran😂😂

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 3 часа назад +2

    Tanzania nayo ijulikane Utalii Huo
    Mungu IBARIKI Tanzania.

  • @WesleyMcKeown
    @WesleyMcKeown 20 минут назад

    Brown Betty Garcia Larry Jones Gary

  • @PeterJumla
    @PeterJumla 3 часа назад +2

    Huyo anaetukana humu siyo kosa lake msameheni bure tu,Tatizo malezi bora.0

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 2 часа назад +1

    Mm nadhani sio Young Africans tu hata cecafa itajulikana huko majuu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 6 часов назад +3

    Huyo anayetukana inaonyesha wazazi wake walikuwa machokola na walitelekezwa na wazazi wao. Hivyo na huyo cha matusi kalelewa vibaya na kufata tabia za zilezile za wazazi wake na shule sifuri (0 + 0)

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 3 часа назад +2

    Nimekuelewa mwandishi kiukweli.

  • @nyungurehassan2779
    @nyungurehassan2779 7 часов назад +2

    Nafikiri ni punguani huyo mwenye matusi

  • @christopherngiga9349
    @christopherngiga9349 7 часов назад +2

    Hv unamtukana mtangazaji wakati anafafanua faida zitakazo patikana Africa na pia Tanzania kwa yy kuwepo kule ww unaleta upinzani wa Simba na Yanga kumbe ww ni kolo Yani kolo ni kolo tu.

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 4 часа назад +2

    Nimekuwa naona kila mahala ktk kuchangia tunapewa onyo kuwa tutumie lugha yenye staha! Sasa hawa wanaokiuka si hii mitandao inao Admns zi wazitoe hizi takataka zao kabla wasomaji hawajaziona? Aidha, tuwabaini kwa kufuatilia simu zao ili tushughulike nao kwa kuwapiga stop kuchangia ktk haya majukwaa wabaki huko kwenye vijiwe

  • @razacklazaro6678
    @razacklazaro6678 8 часов назад +1

    Hata top ten baran Africa haiipo ila Ina kiongozi anaejitambua,,anapenda kujifunza Toka kwa wanaojua...huwez kujifunza kwa mbumbumbu mwenzio...kaa au ishi sambamba na mtu aliekuzid utagain mengi....

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 7 часов назад +1

    Kamahuwezi kuchangia nivizuri ukaacha siodhambi

  • @kenedmwashilindi4925
    @kenedmwashilindi4925 5 часов назад +1

    Matusi hayafai humu

  • @MohamedBakar-s3j
    @MohamedBakar-s3j 5 часов назад +1

    Niwa simba hanaakili

  • @WilliamuMgomba
    @WilliamuMgomba 5 часов назад +1

    Kusoma laha

  • @195941233
    @195941233 4 часа назад +2

    Hakuna cha ajabu kutokana na nafasi yake kuhudhuria vikao hivyo.

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 Час назад

    Ukiona mtu anatukana ujue ni mtu asiyejitambua na ameharibika ufahamu pia Hana sifa yoyote nzuri kwa jamii

  • @muhudharimohamed
    @muhudharimohamed 7 часов назад +1

    matusi hayakusaidii unapata dhambi za bure

  • @FatawiSheha
    @FatawiSheha 6 часов назад +2

    Hizo ranks unazozitaka wewe ni za makaratasi tu watu wako tupo kwenye currently sasa hio ranking yako haikusaidii kwa sasa mbona mo hakuitwa?

  • @GodloveLauwo
    @GodloveLauwo 7 часов назад +1

    Hao wachambuzi Kila siku wapo happy hapo

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 7 часов назад +1

    Matusi sii hekima tumia hekimana busara

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 5 часов назад +1

    Madunduka wanatedeka😂 wanataman kama angekua mud😂😂 inginia oyeeee

  • @DIVINEPROMISE-c1n
    @DIVINEPROMISE-c1n 7 часов назад +3

    Anatengeneza network we Kaa hapo na hasira zako ukitukana mwenzako anatengeneza cv yake na anatanua Tanzania na Yanga kujulikana kwenye mataifa mengine we naakili yako fupi inawaza .magimbi tukana

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 4 часа назад

      Pamoja na ushauri wako kwa huyo anayetukana, msamehe tu usimlipe kwa matusi mwelekeze tu iko siku atabaini eneo alipo na kuamua kufanya juhudi kutoka hapo

    • @PaiivanMustafa
      @PaiivanMustafa 4 часа назад

      Anae tukana muache mjinga MPE cheo

    • @PaiivanMustafa
      @PaiivanMustafa 4 часа назад

      Anae tukana muache mjinga MPE cheo

  • @FrankMasala-z1n
    @FrankMasala-z1n 5 часов назад +1

    Chuki ni mbaya sana ninauhakika huyu anayetukana Ana chuki na hataki kujifunza,lakini pia hana familia yaani baba na mama wala watoto ajitadhimini atajua umbumbumbu alionao

  • @tonnyojambo1731
    @tonnyojambo1731 9 часов назад +1

    Waandishi wa kibongo bhana! Africa anaijuwa nani?

    • @nyungurehassan2779
      @nyungurehassan2779 7 часов назад +1

      Wewe ndohujui unafikiri hawajui kama weweee

    • @nyungurehassan2779
      @nyungurehassan2779 6 часов назад +1

      Matusi yanini mwandishi anaeleza kilichopo wewe unamdhalilisha akili matope hayooo

  • @mkongwijudith8457
    @mkongwijudith8457 6 часов назад +1

    Yanga mbumbumbu kweli

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 5 часов назад +1

      Aden Rage alishajuza umma mbumbumbu ni kina nani, akaja mjeshi mstaafu akasema ni mabata! Hivyo kuhemkwa na matusi si ajabu

    • @LeylaSaria
      @LeylaSaria 3 часа назад +1

      😂😂😂😂pole dunduka

  • @BarakahMsafiri-f9h
    @BarakahMsafiri-f9h 2 часа назад +2

    Tukana lakini ukwel utabaki kuwa ukwel na matusi hayajengi na siyo vizuri kutoka lugha chafu kama izo

  • @FilimoniSilo
    @FilimoniSilo 5 часов назад +1

    Acha matusi wewe

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 9 часов назад

    Hivi we mtangazaji mkundu wako utaosha lini ili uwe na akili?? Yanga hata top ten Africa haipo itakuwaje gumzo ulaya???

    • @Asia-p5r
      @Asia-p5r 6 часов назад

      Matusi ya nini?

    • @Asia-p5r
      @Asia-p5r 6 часов назад

      Ungeeleweka bila ya kuingizia matusi hp....

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 6 часов назад

      Hayo Nimatatizo Ya Afya Yaakili

    • @saidmabanga388
      @saidmabanga388 5 часов назад

      Kumavww

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 3 часа назад

      Wewe ni kichaa au ! umekata tamaa na maisha, ndugu msaidieni huyu, kuna siku atavua nguo! Sio akili ya Kawaida kutoa mazusi bila sb!