AHMED ALLY"DEBORA NI BORA KULIKO CHAMA?/ANAKUJA KUTOA SOMO KWA VIUNGO WA MPIRA/KOCHA AMEPAGAWA MISRI
HTML-код
- Опубликовано: 27 авг 2024
- EXCLUSIVE INTERVIEW NA SEMAJI LA SIMBA, MASHINE YA KUONGEA @ahmedally_ itakujia Saa 2:30 usiku huu kupitia Chaneli ya RUclips ya @mpenjatv_
Mwamba ametapika🤣🤣🤣, Semaji ameshusha Madini kuhusu @simbasctanzania 🔥
Kuna stori nyingi sana katika Mahojiano haya ambayo yameongozwa na New Boy ndani ya Mpenja TV @tom_machupajr
Subscribe mapema kabisa🔥🔥🔥🔥
Sawasawa semaji la CAF 👍Simba SC nguvu Moja 💪
Jamani jeni yuko wapi?? Semaji ukihojiwa na jeni mnanoga sana jeni fanya huo mpangi unihojie semaji nicheke kidogo
Semaji noma hasubr umhoji anajihoji mwenyew na kujielezea vzr tuu 😂😂🎉🦁
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwana umenifurahisha sana nikweli kama anatunga kitabu au muhubiri flani
Huyu ndo semaji sasa ❤❤❤
Na maua yako nakupa💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Maisha yangu ya mpira yanaongozwa na semaji la caf. Like za mo ni hapa.
Nakubali broo unatupa hamasa sana ukweli ww ndio namba 9 simba
Simba nisimba tuuu kaka
Hatali sana ongera sana Ally🎉🎉🎉
😂😂😂 semaji hatar moto sana
Hongera mzee wetu
😂😂😂sema ahmed ally anajua sana kutamba
Semeji kama semeji hongera
Joshua anakwenda babaaaa😅
😂😂😂😂😂Ahmed ally wa moto
Nakukubali kaka barikiwe
Hatari sn
Tatizo Mwamba anatuaminishaga mnooo yaani!!
Mwishow magumashi!
Tusubiri ligi ianze
Ahmed Ally chukua maua yako,🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
semaji la CAF nikilickilza2 mpaka nasahau magumu 2nayoptia wanacmba ni burudani jamaj💪
Yani huyu ni semaji la caf simba msimu huu tutakiwasha moto Simba on fire👹 msimu huu atanguruma sana
😂😂😂😂 mwamba kabisa
Happy. Sawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Raha sana kumsikiliza huyu jamaa.
Ila tu kama unaipenda Simba.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😂😂😂 Ahmed huendi Pepo!😂😂😂
Sema interview za ahmed😂😂 ni moto
AHMEDI NJOO UPATE KIWANJA BURE UKONGORONI
😂😂😂😂duhh😂😂😂
Mm hoi tyu kicheko cha semaj la caf ......
😂😂😂😂😂 this is 🦁
Kwa maelezo ya semaji la Caf ligi ishakwisha na makombe yote ndani ya Simba Sport Club 😂😂
Semaji 😅😅😅 dah hahaha we jamaa achaa basi. Katika kumi moja tu😂😂😂 tunaaminiii. Haya ss tunafurahii semaji kama semaji
Oya msela oya😂
Mashine yakuongea,semaji la Caf
Nikweli ufaransa jina Hilo ni Debra japo linaandikwa Deborah
❤❤❤❤❤❤
😂😂😂oya msela oyaaa
Semaji wana Simba bado tunawadai Mpanzu ama Jonathan
Nani kasikia oya msela oya
🤣🤣🤣🤣kwaiyo semaji hapo mlituchapa ili tununue habari
Semaji la CAF umetisha xana
Mazezeta unayaaminisha kuwa mna wachezaj alaf kila msimu wanaishia kutalii tu wanarud kwao
Ahmed mwehu sana aise 😜😜😜 ila msimu huu uto tutampasua tu
Wana mihemko wachezaji wenu .kumambegeres tutwapiga kama ngoma pakabwachezaji watapigana nawambia mapema tu chemalone atapiga mtu namuona atakua captain
unatupa rah semaji
Semaji
Sema msemaji wetu muongo
Tunasubiri tuonee
Semaji hilo linamikwara hatari
Nasikia walikula 6 sasa huu msemaji haoni ata aibu ?
Hili semaji ni balaa aise
😂😂😂😂
😂 semaji huendi mbinguni
HUYU jamaa😅😂😂
Semaji la caf na kazi Yako unanijua Mimi atawangeondoka watu wote ukibaki wewe ni furaha kwetuuu
Huyu anashabikia badala ya kuongea uhalisia
Du weee acha zako hizo pesa za usajil bora mkawap watoto yatima
Hapo huyo anae hoji hajui ataahoji nini
Semaji 😂 letu wewe mafaniko yako yapo kwenye komediani 😅
Majina magumu
😂😂😂😂🇫🇯
Ww kaungane na kina ndaro kwenye uchekeshaji ila mpira huna timu broo
Jane ndo anajua....huyu mwingine bado hajaizoea kazi
Wewe ally vipi acha uongo wenzio wako misri wewe uko mbagala kibonde maji wee vipi unatwambia uongo hapa toka hapa kawaongopee wajinga wenzio pumbafu wewe zuzu wewe
acha uhongo
😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
benchika alisema wachezaji wa simba vichwa ngumu, na huyo ni kocha namba tatu africa. huyu kocha msaidizi ataweza kweli. bira mngemuacha mgunda anajua kwenda na hawa vichwa ngumu.
Alikwambia wapi kuwa ni vichwa ngum??😅
Hawa tushawafunga nyingi tu timu bado wachezaji hawajashikana kuna group wanaonekana tu