AHMED ALLY"DEBORA NI BORA KULIKO CHAMA?/ANAKUJA KUTOA SOMO KWA VIUNGO WA MPIRA/KOCHA AMEPAGAWA MISRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • EXCLUSIVE INTERVIEW NA SEMAJI LA SIMBA, MASHINE YA KUONGEA @ahmedally_ itakujia Saa 2:30 usiku huu kupitia Chaneli ya RUclips ya @mpenjatv_
    Mwamba ametapika🤣🤣🤣, Semaji ameshusha Madini kuhusu @simbasctanzania 🔥
    Kuna stori nyingi sana katika Mahojiano haya ambayo yameongozwa na New Boy ndani ya Mpenja TV @tom_machupajr
    Subscribe mapema kabisa🔥🔥🔥🔥

Комментарии • 70

  • @daseselele5198
    @daseselele5198 Месяц назад +3

    Sawasawa semaji la CAF 👍Simba SC nguvu Moja 💪

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Месяц назад +9

    Jamani jeni yuko wapi?? Semaji ukihojiwa na jeni mnanoga sana jeni fanya huo mpangi unihojie semaji nicheke kidogo

  • @alitante4279
    @alitante4279 Месяц назад +10

    Semaji noma hasubr umhoji anajihoji mwenyew na kujielezea vzr tuu 😂😂🎉🦁

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwana umenifurahisha sana nikweli kama anatunga kitabu au muhubiri flani

  • @meryceanaadrian3593
    @meryceanaadrian3593 Месяц назад +2

    Huyu ndo semaji sasa ❤❤❤

    • @meryceanaadrian3593
      @meryceanaadrian3593 Месяц назад

      Na maua yako nakupa💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 Месяц назад +22

    Maisha yangu ya mpira yanaongozwa na semaji la caf. Like za mo ni hapa.

  • @Elly-z3q
    @Elly-z3q Месяц назад +4

    Nakubali broo unatupa hamasa sana ukweli ww ndio namba 9 simba

  • @user-hg6zv6ii9s
    @user-hg6zv6ii9s Месяц назад +1

    Hatali sana ongera sana Ally🎉🎉🎉

  • @RonjoSalum
    @RonjoSalum Месяц назад +3

    😂😂😂 semaji hatar moto sana

  • @user-cu8mm8fw6u
    @user-cu8mm8fw6u Месяц назад +3

    Hongera mzee wetu

  • @Hamisi-uw1mc
    @Hamisi-uw1mc Месяц назад +1

    😂😂😂sema ahmed ally anajua sana kutamba

  • @user-cu8mm8fw6u
    @user-cu8mm8fw6u Месяц назад +3

    Semeji kama semeji hongera

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 Месяц назад +6

    Joshua anakwenda babaaaa😅

  • @OmaryhamisndugwaOmmymchina
    @OmaryhamisndugwaOmmymchina Месяц назад +4

    😂😂😂😂😂Ahmed ally wa moto

  • @AnjelaPhilipo
    @AnjelaPhilipo Месяц назад +2

    Nakukubali kaka barikiwe

  • @abdurahiimjuma3661
    @abdurahiimjuma3661 Месяц назад +1

    Hatari sn

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Месяц назад +2

    Tatizo Mwamba anatuaminishaga mnooo yaani!!
    Mwishow magumashi!
    Tusubiri ligi ianze

  • @user-vp6tq4yg5j
    @user-vp6tq4yg5j Месяц назад +2

    Ahmed Ally chukua maua yako,🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Месяц назад

    semaji la CAF nikilickilza2 mpaka nasahau magumu 2nayoptia wanacmba ni burudani jamaj💪

  • @wizardmobile5493
    @wizardmobile5493 Месяц назад

    Yani huyu ni semaji la caf simba msimu huu tutakiwasha moto Simba on fire👹 msimu huu atanguruma sana

  • @tadeymwalongo1528
    @tadeymwalongo1528 Месяц назад +2

    😂😂😂😂 mwamba kabisa

  • @Athuman-e3g
    @Athuman-e3g Месяц назад +2

    Happy. Sawa

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
    Raha sana kumsikiliza huyu jamaa.
    Ila tu kama unaipenda Simba.
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @FatherKunutti
    @FatherKunutti Месяц назад +2

    😂😂😂 Ahmed huendi Pepo!😂😂😂

  • @Amon-gj8tx
    @Amon-gj8tx Месяц назад +1

    Sema interview za ahmed😂😂 ni moto

  • @jaffaralimakame1533
    @jaffaralimakame1533 Месяц назад

    AHMEDI NJOO UPATE KIWANJA BURE UKONGORONI

  • @stevensingela5851
    @stevensingela5851 Месяц назад

    😂😂😂😂duhh😂😂😂

  • @UpendoKamala-yr6in
    @UpendoKamala-yr6in Месяц назад

    Mm hoi tyu kicheko cha semaj la caf ......

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan Месяц назад

    😂😂😂😂😂 this is 🦁

  • @user-vp6tq4yg5j
    @user-vp6tq4yg5j Месяц назад

    Kwa maelezo ya semaji la Caf ligi ishakwisha na makombe yote ndani ya Simba Sport Club 😂😂

  • @nassorahmad6266
    @nassorahmad6266 Месяц назад

    Semaji 😅😅😅 dah hahaha we jamaa achaa basi. Katika kumi moja tu😂😂😂 tunaaminiii. Haya ss tunafurahii semaji kama semaji

  • @uniquehandxome6238
    @uniquehandxome6238 Месяц назад

    Oya msela oya😂

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 Месяц назад

    Mashine yakuongea,semaji la Caf
    Nikweli ufaransa jina Hilo ni Debra japo linaandikwa Deborah

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Месяц назад

    😂😂😂oya msela oyaaa

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Месяц назад

    Semaji wana Simba bado tunawadai Mpanzu ama Jonathan

  • @bhuzahope2746
    @bhuzahope2746 Месяц назад +2

    Nani kasikia oya msela oya

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣kwaiyo semaji hapo mlituchapa ili tununue habari

  • @DamianSoul-nh5hu
    @DamianSoul-nh5hu Месяц назад

    Semaji la CAF umetisha xana

  • @user-no7uo4ry7q
    @user-no7uo4ry7q Месяц назад

    Mazezeta unayaaminisha kuwa mna wachezaj alaf kila msimu wanaishia kutalii tu wanarud kwao

  • @FelixMwinami
    @FelixMwinami Месяц назад

    Ahmed mwehu sana aise 😜😜😜 ila msimu huu uto tutampasua tu

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Месяц назад

    Wana mihemko wachezaji wenu .kumambegeres tutwapiga kama ngoma pakabwachezaji watapigana nawambia mapema tu chemalone atapiga mtu namuona atakua captain

  • @LoveBadro
    @LoveBadro Месяц назад

    unatupa rah semaji

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Месяц назад

    Semaji

  • @TwalibTwaha
    @TwalibTwaha Месяц назад

    Sema msemaji wetu muongo

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el Месяц назад +1

    Tunasubiri tuonee

  • @PaulKijame-cm8op
    @PaulKijame-cm8op Месяц назад

    Semaji hilo linamikwara hatari

  • @Wallacenyusi3326
    @Wallacenyusi3326 Месяц назад

    Nasikia walikula 6 sasa huu msemaji haoni ata aibu ?

  • @johnmwalule3007
    @johnmwalule3007 Месяц назад

    Hili semaji ni balaa aise

  • @jaafarmanhekman
    @jaafarmanhekman Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @Geofrey-ox2rv
    @Geofrey-ox2rv Месяц назад

    😂 semaji huendi mbinguni

  • @severinlouis
    @severinlouis Месяц назад

    HUYU jamaa😅😂😂

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile Месяц назад

    Semaji la caf na kazi Yako unanijua Mimi atawangeondoka watu wote ukibaki wewe ni furaha kwetuuu

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Месяц назад

    Huyu anashabikia badala ya kuongea uhalisia

  • @NeymantBoy
    @NeymantBoy Месяц назад

    Du weee acha zako hizo pesa za usajil bora mkawap watoto yatima

  • @godfreyluther2087
    @godfreyluther2087 Месяц назад

    Hapo huyo anae hoji hajui ataahoji nini

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar9316 Месяц назад

    Semaji 😂 letu wewe mafaniko yako yapo kwenye komediani 😅

  • @paultungu1775
    @paultungu1775 Месяц назад

    Majina magumu

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Месяц назад

    😂😂😂😂🇫🇯

  • @user-no7uo4ry7q
    @user-no7uo4ry7q Месяц назад

    Ww kaungane na kina ndaro kwenye uchekeshaji ila mpira huna timu broo

  • @benclever
    @benclever Месяц назад

    Jane ndo anajua....huyu mwingine bado hajaizoea kazi

  • @noelthomas1227
    @noelthomas1227 Месяц назад

    Wewe ally vipi acha uongo wenzio wako misri wewe uko mbagala kibonde maji wee vipi unatwambia uongo hapa toka hapa kawaongopee wajinga wenzio pumbafu wewe zuzu wewe

  • @RichardJanuary-gx6df
    @RichardJanuary-gx6df Месяц назад

    acha uhongo

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 Месяц назад

    😅😅😅😅

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @advocatepetermbogoro1192
    @advocatepetermbogoro1192 Месяц назад

    benchika alisema wachezaji wa simba vichwa ngumu, na huyo ni kocha namba tatu africa. huyu kocha msaidizi ataweza kweli. bira mngemuacha mgunda anajua kwenda na hawa vichwa ngumu.

    • @user-oy6kc8uy6f
      @user-oy6kc8uy6f Месяц назад

      Alikwambia wapi kuwa ni vichwa ngum??😅

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Месяц назад

    Hawa tushawafunga nyingi tu timu bado wachezaji hawajashikana kuna group wanaonekana tu