SIMBA DAY 2018: Jaribio la Haji Manara ‘kumsilimisha’ baba yake lilivyoshindikana Taifa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Kabla ya kuanza kutambulisha vikosi vya Simba, Msemaji wa timu hiyo Haji Manara aliwaita wachezaji wa zamani wa Yanga Sunday Manara na mchezaji wa zamani wa Simba Abdallah Kibaden lakini jaribio lake la kumvalisha Sunday Manara jezi ya Simba likagonga mwamba.
    Tazama ilivyokuwa.

Комментарии • 45

  • @salumramadhan8199
    @salumramadhan8199 3 года назад +6

    Tulio angalia baada ya haji kuondoka Simba tujuane kwa ku like hapa 🤣

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 3 года назад +2

    Dah tutakumiss Sana haji manara

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 6 лет назад +2

    Safi sana. Mtu na baba yake. Kila familia ijifunze jambo hapa.

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 6 лет назад +2

    Sauti ya watu wotee wenye ulemavu wa ngozi yuko vizur manara mpira sio uadui bali mpira ni ushabiki tunashabikia mpira ukiisha maisha yanaendelea

  • @daudhenry8909
    @daudhenry8909 5 лет назад +1

    Hapo ulikuwa sawa kwa utambulisho

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 6 лет назад +1

    safi sana..MICHEZO SI VITA

  • @khalfantambwe1458
    @khalfantambwe1458 6 лет назад +1

    safi sana Haji Manara

  • @simuyangu1356
    @simuyangu1356 6 лет назад +4

    No....naskia jezi alipewa nje ya uwanja kwa kificho.....naskia anataka kuhamia simba mwaka huu tutaona mengi...nae kanunuliwa au...simba oyeeeeee

  • @kulwawaziri1502
    @kulwawaziri1502 6 лет назад +1

    Inapendeza kwa kweli

  • @mwanaherymohamedy5958
    @mwanaherymohamedy5958 6 лет назад +1

    Haji umefanana sana na baba ako jamani

  • @bujalulambo696
    @bujalulambo696 6 лет назад +1

    Kwa nyi azam kutuzimia chanel mnamaana gani? Na tumelipia

  • @kigalijuma7304
    @kigalijuma7304 6 лет назад +1

    H.Manara unavi2co mpaka kwa bb ako dah!!! Ni hatri!!!.

  • @shaluamkumbo9880
    @shaluamkumbo9880 6 лет назад +5

    Nilizani ni mimi mwenye shida na king'amuzi cha azam. Hakika azam mnatukosesha raha,taarifa ya habari imekata,channels zimekata

    • @nurudiniidd8969
      @nurudiniidd8969 6 лет назад

      shalua mkumbo ...hata Mimi najiuliza sana kuhusu hilo ndg. Sijui tatzo nini

  • @bujalulambo696
    @bujalulambo696 6 лет назад

    Mtuwashie jamani

  • @aishasaidi9310
    @aishasaidi9310 4 года назад

    Sawa baba

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад +1

    Haji bana hahahaha

  • @peterdamas2574
    @peterdamas2574 6 лет назад

    Og simba

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 6 лет назад

    matokeo ya mechi za simba wadogo na simba queens vipi.???

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад +1

    yanga ya zamani siyo ya ss wanakula kumii

  • @salumhassan4309
    @salumhassan4309 6 лет назад +1

    hapo.yupo.kimchezo.msimlaumu.haji.hana.kosa.

  • @amanimwakyusa727
    @amanimwakyusa727 6 лет назад

    Ushabiki imani

  • @donatuskomba8737
    @donatuskomba8737 6 лет назад

    Ndy alichukua

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 6 лет назад

    Maneno mengi mwisho wa SKU mnafungwa

  • @yaperamso7296
    @yaperamso7296 6 лет назад

    kwa hali hii yanga hawata ambulia hata mabua nishidaaaaaaaasaaaaaaasaaaaa

  • @bujalulambo696
    @bujalulambo696 6 лет назад

    Au nirudishe siyo kizur

  • @harunahabibu259
    @harunahabibu259 6 лет назад

    Mfungwa was kisiasa

  • @rckkajuna2144
    @rckkajuna2144 6 лет назад +2

    Imekaa poa xana

    • @rashiddaud6531
      @rashiddaud6531 6 лет назад

      Charles Rwezahula mbona. moja hana afya upole hii

    • @rashiddaud6531
      @rashiddaud6531 6 лет назад

      Charles Rwezahula mmoja hana afyaa

  • @iddommakonde4720
    @iddommakonde4720 2 года назад

    Manara mtu mmoja na nusu tff muoneeni huruma

  • @benedictmujuni2283
    @benedictmujuni2283 6 лет назад +2

    Haji Manara usimlazimishe baba yako kukusujudia wewe pamoja na simba yako, eti kisa mna pesa za mapito. Kuwa na adabu huyo ni baba yako mzazi.

  • @pinielloilole3469
    @pinielloilole3469 6 лет назад

    Tumeona mavitu ya Uturuki

  • @magnokanje3404
    @magnokanje3404 6 лет назад

    🔛🔛🔛

  • @navaboy1092
    @navaboy1092 6 лет назад

    Mpira mdomoni Ndomaana atusong mbele Tz kimpira tutasubir sanaaaaaa mambo yote Ulayaaaaa bhana

  • @salumhassan4309
    @salumhassan4309 6 лет назад

    tuwe.wazalendo.wingi.wasio.ufahamu.watamlaumu.kumbe.kitu.cha.kawaida.kimichezo.hata.hapo.tunaona.tu.yupo.kimasihala.kwasababu.baba.take.mzalendo.na.timu.yake.hapo.tunatakiwa.tujifunze.kupendana.tuache.chuki.hazijengi.

  • @benedictmujuni2283
    @benedictmujuni2283 6 лет назад

    Haji Manara usimlazimishe baba yako kukusujudia wewe pamoja na simba yako, eti kisa mna pesa za mapito. Kuwa na adabu huyo ni baba yako mzazi.