HIGHLIGHTS: SIMBA 1-1 ASANTE KOTOKO (SIMBA DAY 8/8/2018)
HTML-код
- Опубликовано: 7 авг 2018
- Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Simba SC wametoka sare ya bao 1-1 na Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo maalum wa kuadhimisha Siku ya Simba (Simba Day) uliopigwa kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam, Asante ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 44 kupitia kwa Obed Owusu, na Simba kusawazisha kupitia kwa Emmanuel Okwi dakika ya 76.
Katika mchezo huo pia Simba walikosa mkwaju wa penati kupitia kwa Adam Salamba.
Tazama highlights za mchezo huo kwa mfupi. Спорт
Tuliorudi kumuangalia Yacoube tujuane
Jamaa wamoto
Mimi hapa
Tupo babaa
Tupooo jangwani moja mzee ding from chuga hiyo
😂😂😂😂😂😂😂
Naingalia hii gemu 2020 mulioangalia mwaka huu tujuane hapo chin
First game fo Mwamba wa Lusaka Clatous Chama.... Fantastic player
2021 still watching
Naangalia game 2024
Salama kuondolewa simba ULIKUWA sahihi kabisa bado ana utoto
2021 September mwamba naingia kuangalia Simba day.... nimesoma comments chache na zinazomhusu Salamba aisee yaliyosemwa yametimia...Salamba kapotea.
mwaka huo sikuiangalia ila 2020 kuna mtu amenifanya niiangalie kwa umakini zaid
The referee is a bomb
Im Asante kotoko supporter
Seidu Ibrahim
@@richardgole5836 aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Simba raha sana
Kagele msimuache sana simba wanzangu maana mayanga waliwaloga. Wachezaji wetu
Asante Kotoko wazuri sana.
If you love simba sports club gonga like hapa
Salamba alianza kuonesha ubinafsi tangia hii mechi.
Ila huyu goalkeeper wa KUMASI ASANTE KOTOKO FELIX ANANI ni mzuri sana
Kwa mambo aliyotufanyia Okwi mpaka sasa. Okwi acheze mpaka awe kikongwe. Then tumkabidhi timu akuwe kocha tu. Jamaa tangu ujana wake simba ipo damuni. Anajituma, anatafta nafasi kiukweli ndio messi wetu. Na kingine.... Kichuya kichuya kichuya kichuya... Tutakaa muda mrefu tanzania hii kuja kupata mtu kama kichuya
Kabisaaa okwi mpaka azeeekeee
Km
OK Wii
Haters wanajitahidi kukoments lakini koments zao zimejaa husuda hii ndio simba sports club
Fantastic game for simba day
This kid Salamba need to improve alot, this is the fourth time am seeing him playing, got nothing special just dreds. He will rotten in the bench.
Needs to look at The living legend Okwi.
FYI
He is now in kuwait he is among of high earners tz footballers abroad
Simba Nguvu Moja Pamoja Sana
Utopolo Wana keleka Simba nguvu moja
Salamba ni Mchezaji mzuri, usife moyo kwa kukosa penati, tena kwenye friend mechi. Hixo ni changamoto za mpira. Tuliza akili, na ongeza bidii ya mazoezi na hizo penati pia. Muda si mreru utajibu uanjani kwa vitendo. God is Great and so good all time.
This game was more than a final match been played
Simba geita gorod
Usajil.
Noma
Kwa tulioanza kuangalia ubora wa chama tangu hii mech tujuane
Wata pata tabu sana wapinzani wangu yanga mnyamaaaaaaaaaaaaaaa
Emmanuel Mgog bado hatujaogopa kwa kikosi hicho kazi mnayo wanamsimbazi km yanga hatochukua basi azam atabeba au ht costi union
Daah mech tamu san naipenda simba
Mambo vp murebo
@@wilemasero712 poa tuuu
Ssa uyu salamba alkua anacheza nn
Jamani huyu yakuba. ni.yule.wa yanga.au
Felix Annan was too good. We ended his career, hmmmm
huyu chama ana laaanaaaa.. hizo assist shida, watapata tabu sanaaaa vpl
Savi sana Asande kotoko kwampira suriii hao wamatopeni warudi2 nyumbani wanarukaruka2 sioni wanacho kifanya kotoko nomaa sana
Simba ipo vizuri sana nyuma, kati ila mbele walimu waongeze chumvi na ndimu kidooogo mambo yakae sawa forward wafunge walikosa mengi sana jana ilikuwa kotoko wafe hata 5
okwi ningependa abakie simba mpaka stafu yake tumfanye kama mess na Barcelona
Toka hapa
Yanga wakitulia simba mtapata tabu sana, sijaona mpira wa Professional yeyote timu mzima.
Joshua Nyonyi utaona ukija chezeshwa kichura chura siku hyo we hujui mpira umejaa husda tu mpaka uje kupigwa nndio ujue kama ni wazr mtapa tabu sana
@@EmedroadtocanadaAya Yanga tumetulia mmekula Tano😂😂
watani mna timu nzuri. Washambuliaji wanatakiwa umakini tu kama wa Okwi sijajua kwanini wabongo tukifika golini mpaka mtu ukose mara 10 ndio ufunge 1 sasa tukienda kimataifa ni nani atafanya mikosa mingi hvyo ili uje kufunga? Pili sioni kama ile ilikuwa penati labda kwa vile refa alikuwa position mbaya.
Kumbe huyo yakuba kosa kosa sana kitamboo!
Simba hii mtaisoma
Hapana gem ilikuwa ngum hawa asante kotoko wanajua sana kupiga mpira ila kiukweli simba ya mwaka huu moto wa kuotea mbali
asate xan ooookwe
yanga mwakahuu mtakoma pobafu San simba bele yanga nyuma π√¥€
Sana mwaka huu mkude,nyoni,wawa,asante,kwasi,kapombe,na chama watakaba hadi nyasi
Felix Luoga y
Uuuwiii kwampira huu timu zingine watapata tabu saanaaaa coz hawa Asante kotoko ni Wakali sana Ila Sumba wamecheza Moira mwingi sanaa
okwi anauponza timu...angekuwepo salamba
Hata kipindi ligi inaanza mliibeza sana simba lkn mwisho wa ligi mlibaki na aibu
Acheni tamaa
Okwi ni unawezo mzur sana katka football
timu ipo vyemaa muhimu kocha kuinganisha timuuu Ndoooo vnzr zaidi ili iwe na coordination nzur kuanzia nyuma katikati na mbelee
it really international football Jana ila kocha afanyie kaz makosa madogo madogo ili tupate muunganiko mzuri WA kikosi chetuu
Kiukweli kwa Simba hii sipati picha kwa ligi kuu,tabu ipo.
na sasa simba mabingwa TPL 2019 MK 14 NGUVU YA MAMBA.
Nikweli simba apewe tu ubingwa
kwa mpira huu yangawatapata taaabu sanaaa
Ghanas finest asante kotoko ...
Always Simba is the best
Yacouba sogne😅😅😅 kwan Ligi inaanza lin
Kwamba?
mtangazaji uko vzr napenda ck moja utangaze ck ya simba na yanga
Na ombi lako likatimia kwenye game ya moja bila goli la kagere
Tunampaa baraka mpenja
Safi sana
Wana simbaaa
Uyu chama atareeeee
mtangazaji upo vizuri
Yacouba alikuwa mtamu kipindi icho
Hii mechi ndo ilionesha ubora wa simba uko wap na ndo hii ilifanya vizur mpaka kufika robo fainal
Chama ni moto
Kweli kabisa niyonzima akasome ni mzigo kwahuyu Chama Kuna timu itakula nyengi
Bora salamba kaondoka
Hiii ndo ilikua simba wanakuja kwaacha wachezaji wa maana wakalitea magalasa mambayo kwa simba hii hatakama tunaongoza ligi ila kimataifaa tutapgwa saana
YAKUBA AJE SIMBA
Adam Salamba ni bonge la gharasa.
Kwa mechi watu waliiponda sana simba sasa sijui bado wanakumbuka maneno yao hhhaaaahaaa
salamba alikuwa mzigo to
Huu ndiyo Mpira.
pendo katindasa umeona dadaaa
Hiii ilikua bola sana mechi tam
Kwel iy ndy ximba wenyw
Mh simba ina mpira mwingi sijui ligi kuu itakuwaje 😀😀😀
Salamba mavi sana
5d
Wanajangwan rudn gm kumenogaaaaaa#msimbaz
Kwa simba hii mm sisemi memgi ila chama noma
Ifa Ozil kenya
Ndio mechi pekee ya kirafiki AFRICKA kwa vilabu vya ndani,kushuhudiwa na watazamaji wengi.
wajipenge vizuru
imezihilisha kwamba pesa za simba zinanunua majina sio wachezaji
Jaman azam ,tuwekeen bas mchezo wa simba na kmkm ulioisha mda huu
,simba na ruvu shutingi
Simba na ruvu
Fri Toto namkubali
Seriously? what a dubious penalty
Clear penalty may be you are new to this game
ill skillz I don’t think so!
Mm naangalia Leo tar 25/2/2021
Salamba garasa since day 1
V
simba bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
timothy handy kweli ban
Salamba alijipa usupastaa kabla ya kuwa supastaa
Okwi alko kwa sasa
kwa kosi hili yanga hatoki 30/9/2018
Emed Ibrahim umeona.naww
azam tv
Simba zidi ya nkana downloads
kimtazamo,ni gemu la kawaida tu! kumbuka hii ni siku ya simba(simba day)
Siame Kellah name
Simba sports club imeiva ligi sipati picha
simba vsz mtibwa
Huyu Chama ni 💥💥💥
Simba
Umeona uyu dogo nyota
okwiiiiiiiiiiiiiiiii
tarehe 30 sizani
good gam
Refa kawabeba kwa penalty lakn hawajabebeka ☺☺☺
Wana simba tuipe moyo itashinda
Imeishaiyo
Costco
Baba lao
Yacuba watanii wamepata
Video vya kutombana
Ask
ITV
huyo alie wafunga simba muda si mrefu utasiki kasajiliwa simba 😂😂😂😂
hyu. chama ni motroooo kiungo namwona. niyo nusu akichoma mahind bechi sana. #fundi
Si wakati wa kuwa na wachezaji mzigo kwa Sasa hii ndo simba ya Enzi zile za mafisango naona gusagusa nyingiiii kama F, C, Barcelona
Mambo