HIGHLIGHTS: SIMBA 1-1 ASANTE KOTOKO (SIMBA DAY 8/8/2018)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 авг 2018
  • Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Simba SC wametoka sare ya bao 1-1 na Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
    Katika mchezo huo maalum wa kuadhimisha Siku ya Simba (Simba Day) uliopigwa kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam, Asante ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 44 kupitia kwa Obed Owusu, na Simba kusawazisha kupitia kwa Emmanuel Okwi dakika ya 76.
    Katika mchezo huo pia Simba walikosa mkwaju wa penati kupitia kwa Adam Salamba.
    Tazama highlights za mchezo huo kwa mfupi.
  • СпортСпорт

Комментарии • 210

  • @adrianomtanzaniano6310
    @adrianomtanzaniano6310 4 года назад +62

    Tuliorudi kumuangalia Yacoube tujuane

  • @izraelsaimon1023
    @izraelsaimon1023 4 года назад +28

    Naingalia hii gemu 2020 mulioangalia mwaka huu tujuane hapo chin

  • @FootballHighlights-zv5bc
    @FootballHighlights-zv5bc 13 дней назад

    First game fo Mwamba wa Lusaka Clatous Chama.... Fantastic player

  • @juliusmichealy1397
    @juliusmichealy1397 3 года назад +5

    2021 still watching

  • @waziliLyamosi
    @waziliLyamosi 14 дней назад

    Naangalia game 2024

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 года назад +1

    Salama kuondolewa simba ULIKUWA sahihi kabisa bado ana utoto

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 2 года назад

    2021 September mwamba naingia kuangalia Simba day.... nimesoma comments chache na zinazomhusu Salamba aisee yaliyosemwa yametimia...Salamba kapotea.

  • @peterkibuga401
    @peterkibuga401 3 года назад +2

    mwaka huo sikuiangalia ila 2020 kuna mtu amenifanya niiangalie kwa umakini zaid

  • @seiduibrahim5817
    @seiduibrahim5817 6 лет назад +6

    The referee is a bomb
    Im Asante kotoko supporter

    • @richardgole5836
      @richardgole5836 5 лет назад

      Seidu Ibrahim

    • @amospaul8225
      @amospaul8225 Год назад

      @@richardgole5836 aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @shabanimiyumbaniki9376
    @shabanimiyumbaniki9376 4 года назад +1

    Simba raha sana

  • @bisekomazigo4950
    @bisekomazigo4950 2 года назад

    Kagele msimuache sana simba wanzangu maana mayanga waliwaloga. Wachezaji wetu

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 6 лет назад +8

    Asante Kotoko wazuri sana.

  • @hussenmwinyi1165
    @hussenmwinyi1165 3 года назад +1

    If you love simba sports club gonga like hapa

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 3 года назад +1

    Salamba alianza kuonesha ubinafsi tangia hii mechi.

  • @severinpascal6514
    @severinpascal6514 3 года назад

    Ila huyu goalkeeper wa KUMASI ASANTE KOTOKO FELIX ANANI ni mzuri sana

  • @geofreysolomon8532
    @geofreysolomon8532 6 лет назад +31

    Kwa mambo aliyotufanyia Okwi mpaka sasa. Okwi acheze mpaka awe kikongwe. Then tumkabidhi timu akuwe kocha tu. Jamaa tangu ujana wake simba ipo damuni. Anajituma, anatafta nafasi kiukweli ndio messi wetu. Na kingine.... Kichuya kichuya kichuya kichuya... Tutakaa muda mrefu tanzania hii kuja kupata mtu kama kichuya

  • @sammwasomolamwasomola6292
    @sammwasomolamwasomola6292 6 лет назад +4

    Haters wanajitahidi kukoments lakini koments zao zimejaa husuda hii ndio simba sports club

  • @thobiaskatoyo8622
    @thobiaskatoyo8622 2 года назад

    Fantastic game for simba day

  • @denisdejo5033
    @denisdejo5033 6 лет назад +16

    This kid Salamba need to improve alot, this is the fourth time am seeing him playing, got nothing special just dreds. He will rotten in the bench.
    Needs to look at The living legend Okwi.

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 6 лет назад +6

    Simba Nguvu Moja Pamoja Sana

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 19 дней назад

    Utopolo Wana keleka Simba nguvu moja

  • @patrickugula3300
    @patrickugula3300 6 лет назад +5

    Salamba ni Mchezaji mzuri, usife moyo kwa kukosa penati, tena kwenye friend mechi. Hixo ni changamoto za mpira. Tuliza akili, na ongeza bidii ya mazoezi na hizo penati pia. Muda si mreru utajibu uanjani kwa vitendo. God is Great and so good all time.

  • @bestmanboakye627
    @bestmanboakye627 2 года назад +1

    This game was more than a final match been played

  • @japhetmatuma7808
    @japhetmatuma7808 3 года назад +1

    Usajil.

  • @petermgogosi2534
    @petermgogosi2534 6 лет назад +3

    Noma

  • @tubiajuma1542
    @tubiajuma1542 4 года назад +3

    Kwa tulioanza kuangalia ubora wa chama tangu hii mech tujuane

  • @emmanuelmgogo5265
    @emmanuelmgogo5265 6 лет назад +3

    Wata pata tabu sana wapinzani wangu yanga mnyamaaaaaaaaaaaaaaa

    • @mohamednassormohamed3027
      @mohamednassormohamed3027 6 лет назад

      Emmanuel Mgog bado hatujaogopa kwa kikosi hicho kazi mnayo wanamsimbazi km yanga hatochukua basi azam atabeba au ht costi union

  • @shedy_marie
    @shedy_marie 4 года назад +2

    Daah mech tamu san naipenda simba

  • @chazally8273
    @chazally8273 18 дней назад +1

    Ssa uyu salamba alkua anacheza nn

  • @silviaasenga1833
    @silviaasenga1833 3 года назад

    Jamani huyu yakuba. ni.yule.wa yanga.au

  • @adubimpong4095
    @adubimpong4095 2 года назад

    Felix Annan was too good. We ended his career, hmmmm

  • @cathymtemvu2351
    @cathymtemvu2351 6 лет назад +4

    huyu chama ana laaanaaaa.. hizo assist shida, watapata tabu sanaaaa vpl

    • @limoshlaizzer9869
      @limoshlaizzer9869 6 лет назад

      Savi sana Asande kotoko kwampira suriii hao wamatopeni warudi2 nyumbani wanarukaruka2 sioni wanacho kifanya kotoko nomaa sana

    • @pazihussein4692
      @pazihussein4692 6 лет назад

      Simba ipo vizuri sana nyuma, kati ila mbele walimu waongeze chumvi na ndimu kidooogo mambo yakae sawa forward wafunge walikosa mengi sana jana ilikuwa kotoko wafe hata 5

  • @chrintonsasuni3818
    @chrintonsasuni3818 5 лет назад +5

    okwi ningependa abakie simba mpaka stafu yake tumfanye kama mess na Barcelona

  • @joshuanyonyi8820
    @joshuanyonyi8820 6 лет назад +2

    Yanga wakitulia simba mtapata tabu sana, sijaona mpira wa Professional yeyote timu mzima.

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada 5 лет назад +2

      Joshua Nyonyi utaona ukija chezeshwa kichura chura siku hyo we hujui mpira umejaa husda tu mpaka uje kupigwa nndio ujue kama ni wazr mtapa tabu sana

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 17 дней назад

      ​@@EmedroadtocanadaAya Yanga tumetulia mmekula Tano😂😂

  • @billyrique
    @billyrique 6 лет назад +4

    watani mna timu nzuri. Washambuliaji wanatakiwa umakini tu kama wa Okwi sijajua kwanini wabongo tukifika golini mpaka mtu ukose mara 10 ndio ufunge 1 sasa tukienda kimataifa ni nani atafanya mikosa mingi hvyo ili uje kufunga? Pili sioni kama ile ilikuwa penati labda kwa vile refa alikuwa position mbaya.

  • @nurdinrashid9722
    @nurdinrashid9722 Год назад

    Kumbe huyo yakuba kosa kosa sana kitamboo!

  • @mayalakulwa4740
    @mayalakulwa4740 6 лет назад +4

    Simba hii mtaisoma

  • @felixluoga3394
    @felixluoga3394 6 лет назад +13

    Hapana gem ilikuwa ngum hawa asante kotoko wanajua sana kupiga mpira ila kiukweli simba ya mwaka huu moto wa kuotea mbali

    • @abbakarim5587
      @abbakarim5587 6 лет назад +1

      asate xan ooookwe

    • @abbakarim5587
      @abbakarim5587 6 лет назад +1

      yanga mwakahuu mtakoma pobafu San simba bele yanga nyuma π√¥€

    • @felixluoga3394
      @felixluoga3394 6 лет назад

      Sana mwaka huu mkude,nyoni,wawa,asante,kwasi,kapombe,na chama watakaba hadi nyasi

    • @mrmkwepu902
      @mrmkwepu902 5 лет назад

      Felix Luoga y

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa8051 6 лет назад +4

    Uuuwiii kwampira huu timu zingine watapata tabu saanaaaa coz hawa Asante kotoko ni Wakali sana Ila Sumba wamecheza Moira mwingi sanaa

  • @mbarikiwalazarowatisa2086
    @mbarikiwalazarowatisa2086 6 лет назад +2

    okwi anauponza timu...angekuwepo salamba

  • @elizabethjohn4549
    @elizabethjohn4549 6 лет назад +7

    Hata kipindi ligi inaanza mliibeza sana simba lkn mwisho wa ligi mlibaki na aibu

  • @rankdefire4518
    @rankdefire4518 4 года назад +1

    Acheni tamaa

  • @tasilogreyson3221
    @tasilogreyson3221 6 лет назад +4

    Okwi ni unawezo mzur sana katka football

    • @frezoomuna5687
      @frezoomuna5687 6 лет назад

      timu ipo vyemaa muhimu kocha kuinganisha timuuu Ndoooo vnzr zaidi ili iwe na coordination nzur kuanzia nyuma katikati na mbelee

    • @frezoomuna5687
      @frezoomuna5687 6 лет назад

      it really international football Jana ila kocha afanyie kaz makosa madogo madogo ili tupate muunganiko mzuri WA kikosi chetuu

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 6 лет назад +13

    Kiukweli kwa Simba hii sipati picha kwa ligi kuu,tabu ipo.

  • @barakamassawe2454
    @barakamassawe2454 6 лет назад +3

    kwa mpira huu yangawatapata taaabu sanaaa

  • @Randomuniverse-qn6cc
    @Randomuniverse-qn6cc 3 года назад

    Ghanas finest asante kotoko ...

  • @lulukibanga8152
    @lulukibanga8152 3 года назад

    Always Simba is the best

  • @mkalifanny4555
    @mkalifanny4555 3 года назад +3

    Yacouba sogne😅😅😅 kwan Ligi inaanza lin

  • @marklimbu8059
    @marklimbu8059 5 лет назад +3

    mtangazaji uko vzr napenda ck moja utangaze ck ya simba na yanga

  • @peterblessed8016
    @peterblessed8016 5 лет назад +1

    Safi sana

  • @isayalisaleyo8572
    @isayalisaleyo8572 2 года назад

    Wana simbaaa

  • @lwimikoyusuph4388
    @lwimikoyusuph4388 6 лет назад +5

    Uyu chama atareeeee

  • @johnmbena4412
    @johnmbena4412 6 лет назад +3

    mtangazaji upo vizuri

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 3 года назад +1

    Yacouba alikuwa mtamu kipindi icho

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 4 года назад +3

    Hii mechi ndo ilionesha ubora wa simba uko wap na ndo hii ilifanya vizur mpaka kufika robo fainal

  • @laurentngowi3052
    @laurentngowi3052 6 лет назад +5

    Chama ni moto

    • @raismwaigombe7179
      @raismwaigombe7179 6 лет назад

      Kweli kabisa niyonzima akasome ni mzigo kwahuyu Chama Kuna timu itakula nyengi

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 4 года назад +1

    Bora salamba kaondoka

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 4 года назад +2

    Hiii ndo ilikua simba wanakuja kwaacha wachezaji wa maana wakalitea magalasa mambayo kwa simba hii hatakama tunaongoza ligi ila kimataifaa tutapgwa saana

  • @naiiemkosovo8132
    @naiiemkosovo8132 5 лет назад +4

    YAKUBA AJE SIMBA

  • @footmobonline
    @footmobonline 3 года назад

    Adam Salamba ni bonge la gharasa.

  • @elizabethjohn4549
    @elizabethjohn4549 5 лет назад +5

    Kwa mechi watu waliiponda sana simba sasa sijui bado wanakumbuka maneno yao hhhaaaahaaa

  • @pendokatindasa2281
    @pendokatindasa2281 6 лет назад +6

    Huu ndiyo Mpira.

  • @rajabuviva3160
    @rajabuviva3160 2 года назад

    Hiii ilikua bola sana mechi tam

  • @HassanHamad-q6e
    @HassanHamad-q6e 5 дней назад

    Kwel iy ndy ximba wenyw

  • @dawayao2837
    @dawayao2837 6 лет назад +6

    Mh simba ina mpira mwingi sijui ligi kuu itakuwaje 😀😀😀

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 6 лет назад +5

    Salamba mavi sana

  • @yusuphjames6869
    @yusuphjames6869 5 лет назад +3

    5d

  • @celeone2655
    @celeone2655 6 лет назад +3

    Wanajangwan rudn gm kumenogaaaaaa#msimbaz

  • @ifaozil325
    @ifaozil325 6 лет назад +5

    Kwa simba hii mm sisemi memgi ila chama noma

  • @BontamLee
    @BontamLee 5 лет назад +12

    Ndio mechi pekee ya kirafiki AFRICKA kwa vilabu vya ndani,kushuhudiwa na watazamaji wengi.

  • @rashidissack8712
    @rashidissack8712 6 лет назад +4

    wajipenge vizuru

  • @emanuelshijakagondi6010
    @emanuelshijakagondi6010 6 лет назад +2

    imezihilisha kwamba pesa za simba zinanunua majina sio wachezaji

  • @elizabethjohn4549
    @elizabethjohn4549 5 лет назад +3

    Jaman azam ,tuwekeen bas mchezo wa simba na kmkm ulioisha mda huu

  • @emmanuelleonard5387
    @emmanuelleonard5387 2 года назад

    Fri Toto namkubali

  • @agyengkwakuantwi1510
    @agyengkwakuantwi1510 5 лет назад +9

    Seriously? what a dubious penalty

  • @pendoelias4822
    @pendoelias4822 3 года назад

    Mm naangalia Leo tar 25/2/2021

  • @emmanuelmussa8331
    @emmanuelmussa8331 5 лет назад +4

    Salamba garasa since day 1

  • @timothyhandy2408
    @timothyhandy2408 6 лет назад +2

    simba bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @kiolodo3
    @kiolodo3 2 года назад

    Salamba alijipa usupastaa kabla ya kuwa supastaa

  • @sospeterilagila5277
    @sospeterilagila5277 4 года назад +1

    Okwi alko kwa sasa

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 5 лет назад +5

    kwa kosi hili yanga hatoki 30/9/2018

  • @andrewsayi5515
    @andrewsayi5515 5 лет назад +1

    azam tv

  • @mickymtenga8919
    @mickymtenga8919 4 года назад

    Simba zidi ya nkana downloads

  • @siamekellah7528
    @siamekellah7528 6 лет назад +3

    kimtazamo,ni gemu la kawaida tu! kumbuka hii ni siku ya simba(simba day)

  • @allysaidy8808
    @allysaidy8808 6 лет назад +4

    Simba sports club imeiva ligi sipati picha

  • @allyjuma5640
    @allyjuma5640 6 лет назад +3

    simba vsz mtibwa

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 6 лет назад +12

    Huyu Chama ni 💥💥💥

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 5 лет назад +5

    okwiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @rahimmchopa5163
    @rahimmchopa5163 5 лет назад +4

    tarehe 30 sizani

  • @amurubashiru7748
    @amurubashiru7748 6 лет назад +3

    good gam

  • @richardhaule3744
    @richardhaule3744 6 лет назад +2

    Refa kawabeba kwa penalty lakn hawajabebeka ☺☺☺

  • @anordclemensi9440
    @anordclemensi9440 4 года назад

    Imeishaiyo

  • @suleimanshoble6771
    @suleimanshoble6771 2 года назад

    Costco

  • @michaelmartin8344
    @michaelmartin8344 4 года назад

    Baba lao

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo4434 3 года назад

    Yacuba watanii wamepata

  • @nestorndogan5080
    @nestorndogan5080 4 года назад

    Video vya kutombana

  • @charlesbaodi8620
    @charlesbaodi8620 5 лет назад +2

    Ask

  • @abdibashal4262
    @abdibashal4262 3 года назад

    ITV

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 6 лет назад +2

    huyo alie wafunga simba muda si mrefu utasiki kasajiliwa simba 😂😂😂😂

  • @ottogodfrey3175
    @ottogodfrey3175 6 лет назад +2

    hyu. chama ni motroooo kiungo namwona. niyo nusu akichoma mahind bechi sana. #fundi

    • @raismwaigombe7179
      @raismwaigombe7179 6 лет назад

      Si wakati wa kuwa na wachezaji mzigo kwa Sasa hii ndo simba ya Enzi zile za mafisango naona gusagusa nyingiiii kama F, C, Barcelona

    • @malelembamabula8432
      @malelembamabula8432 4 года назад

      Mambo