MZEE MPILI APAGAWA NA SIMBA TUSIPOKUWA MAKINI YANGA TUTAUMIA LIGI NGUMU/NGAO YA JAMII SIMBA ANAKUFA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 63

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 месяца назад +15

    WANA SIMBA TWENDE TUKAUJAZE UWANJA WA LUPASO. SIMBA NGUVU MOJA UBAYA UBWELA 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @HabibuRamadhan-e4p
    @HabibuRamadhan-e4p 2 месяца назад

    Pole sana pilpil hauna jipya

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda 2 месяца назад +5

    😂😂😂 ivi kanachezaga namba ngap uwanjani. Kazee haka kaongo baraa. Kaone 😂😂😂

  • @ZahorSalum-h9q
    @ZahorSalum-h9q 2 месяца назад +7

    Mzee mpili mm km mpemba nakuahidi zama zako zimeisha .chukua Hilo neno Leo hii.huna jini ww .unavibwengo tuu.tulia dawa itakuingia vzr max hii .nautanikumbuka.ww.

  • @HassanMakili
    @HassanMakili 2 месяца назад +1

    Mzee kaingia kwenye mfumo swali kidogo kageuka mala ligi itakua ngumu mala tutampiga magoli ya kuhesabu😊😊😊

    • @SalimHassan-d4s
      @SalimHassan-d4s 2 месяца назад

      Mzee kapagawa. Hapo dawa haijamuingia. Dawa ikimuingia sijui itakuje

  • @SalumHamis-u5s
    @SalumHamis-u5s 2 месяца назад +4

    Unalingia uchawi na sisi tunaujuwa

  • @PiusKimaro
    @PiusKimaro 2 месяца назад +1

    Mzee maili ujana wote mpaka uzee unaishia kwenye mboyoyo za yangu.

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 2 месяца назад +1

    Huu mwaka hutoboi endelea kujiingiza kwenye ushabik😂😂😂😂😂😂

  • @Baikoko-q3l
    @Baikoko-q3l 2 месяца назад +3

    Yanga ni timu ya wazee simba tumesajili

    • @jonasmakwa6461
      @jonasmakwa6461 2 месяца назад

      Hakuna timu ambayo haina wazee je ww ukiwa mzee utaacha kushabikia timu yako

  • @immamunisi1312
    @immamunisi1312 2 месяца назад

    Mzee angalia usije jinyonga

  • @JamaliShemalimbwi-ov4uc
    @JamaliShemalimbwi-ov4uc 2 месяца назад +4

    Huna lolote Mzee mpili

  • @allychambua7835
    @allychambua7835 2 месяца назад

    Magoma huyoooo

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 2 месяца назад

    Preseason kelele za makolo zilikuwa nyingi kweli mungu mwema ligi punde inaanza taabu ipo palepale ndugu zangu mpaka wachezaji wenye akili timamu wanatoroka walishaona kinachoendelea huko ndo maana kocha anaomba mechi na timu za mtaani alishaona hakuna timu hapo ,kocha timamu anaomba mechi ngumu ajue mapungufu yake sio ndogo ajue yupo vizuri kufunga ndondi cup

  • @justingobe178
    @justingobe178 2 месяца назад

    Hakuna jipya

  • @StanKalangula
    @StanKalangula 2 месяца назад

    Hahahaaaaaaaaaa mzee tumuunganishe na magoma

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 2 месяца назад +1

    We Mzee mpili kiboko yako ni Mzee Magoma.. ndio maana huna meno wewe😂😂

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 месяца назад

    Mzee mpili ni shabiki na mwanachama damu

  • @MichaelLinda-vd8rx
    @MichaelLinda-vd8rx 2 месяца назад +1

    Utakuja kufa we mzee adi kuongea shida majini yatakuua mwenyewe

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 2 месяца назад +5

    Mzee kapunguza mauzo siku hisi

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад +2

    Xavi mtupu

  • @HerriThabiti-qd5rr
    @HerriThabiti-qd5rr 2 месяца назад +3

    Mpili unatema mate bn

  • @KakeSimba
    @KakeSimba 2 месяца назад +4

    Mzeempili hunaishu kama ulivyokuwa huna meno na Mypa huna unakufatu tare 8

  • @SimonAmon-dr8xw
    @SimonAmon-dr8xw 2 месяца назад

    Tukaujaze uwanja. UBAYA UBWELA

  • @MafrizoMc
    @MafrizoMc 2 месяца назад

    Mchawi huyo mzee

  • @maase2023
    @maase2023 2 месяца назад

    Huyu mpili hana lolote ni muongo tu na akauze magimbi tu fix sana huyu

  • @franciskabete
    @franciskabete 2 месяца назад

    Mzee Mpili jiandae kisaikolojia tarehe 8

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 2 месяца назад

    Munafanya nini hapo

  • @StanKalangula
    @StanKalangula 2 месяца назад

    Wanaroga hapo

  • @KhamisImani
    @KhamisImani 2 месяца назад

    Ww mzee hauna ishu unajifanya mchawi rakini mwakahu tunakuchinjaa ww ngooja mechi iyanzeeer😮

  • @sizabintrajabu6709
    @sizabintrajabu6709 2 месяца назад +2

    Utani wa mpira uwe wa mpira tuu usivuke mipaka heshima ni kitu cha bule hujawahi kwenda sokoni ukaulizia heshima muhemu mkubwa huyo mzee mpili ni nguzo ya family tuache mambo ya ubinafsi huwezi kumtangaza kwenye mitandao kuwa hana meno hiyo ni fedheha

  • @davieNgolejr3-z1z
    @davieNgolejr3-z1z 2 месяца назад

    ww Nini mzee yanga apo unacheza namba ngapi

  • @Eliacharless-f3z
    @Eliacharless-f3z 2 месяца назад +2

    Huyo mzee mmesema meno hana babu yako uliemtelekeza bushi anayo meno

  • @OmaryKiduka
    @OmaryKiduka 2 месяца назад

    Sasa mnafanya nn hapo klabuni kama sikujadili uchawi hapo

  • @AbbakarAthuman
    @AbbakarAthuman 2 месяца назад +2

    Ubaya ubwela

  • @allychambua7835
    @allychambua7835 2 месяца назад

    Magoli kumbe unajua idadi yake. Ushirikina umetamalaki ndani ya klabu ya wazee

  • @ZubeirKhamisi
    @ZubeirKhamisi 2 месяца назад

    Utapotea kama ulivyopotea kigoma

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 2 месяца назад

    Kachawi ka yanga hako kazee 😂😂😂

  • @yusufufikiri5005
    @yusufufikiri5005 2 месяца назад

    HANA LOLOTE ANATEGEMEA UCHAWI TU. CHEKI KILIVYO NA MAPENGO

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 2 месяца назад

    Nakufuta maneno yako, na yatairudia timu yako ya yanga, utafungwa yanga magoli ya kuhesabu

  • @thomasdesta939
    @thomasdesta939 2 месяца назад

    We babu unacheza mpira mdomoni

  • @TausiJamali
    @TausiJamali 2 месяца назад

    Kwani huyu mzee naishi jangwani au

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 месяца назад +4

    Mzeee Mpili yanga ni Timu ya wazee ukubali Tuu hata wewe una nafasi ya kuichezea yanga pia

  • @Manasemkunjile
    @Manasemkunjile 2 месяца назад

    Mmesha mcholoza kaanza kipole

  • @Lucy-qe7mb
    @Lucy-qe7mb 2 месяца назад

    Tutokee apa kanunue.meno mdomon uko

  • @JammalMuhammad
    @JammalMuhammad 2 месяца назад

    Kumbe wewe siku hiyo mpili utachezaaa?

  • @yusufufikiri5005
    @yusufufikiri5005 2 месяца назад

    SASA WEWE KAMA MKUBWA MBONE UNAANZIA YOSO?

  • @AmbrosiMushi
    @AmbrosiMushi 2 месяца назад

    Acha kuseme mbembeeeee utakoma tu

  • @Paulkessy-j8n
    @Paulkessy-j8n 2 месяца назад

    Kwani kwenda club bingwa ajabu we mzee zwazwa kweli..huna lolote wewe

  • @Master45j8Master45j
    @Master45j8Master45j 2 месяца назад

    We mzee jautu unalolote

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 2 месяца назад

    Wajinga nao huzeeka

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 месяца назад

    Mzee mpili ni shabiki na mwanachama damu

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 месяца назад

    Mzee mpili ni shabiki na mwanachama damu