Kifungo cha Manara Kuisha ni Ngumu | Vita ya Karia na Manara Yafikia Pabaya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 ноя 2023
  • Kifungo cha Manara Kuisha ni Ngumu | Vita ya Karia na Manara Yafikia Pabaya

Комментарии • 482

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 7 месяцев назад +13

    😂😂😂 bongo wivu Sana et alifungiwa miaka 7 ila bongo Rahaa Sana ila karia una roho mbya Sana tena ya chuki za wazi😂😂 lkn tutaishi tu

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 7 месяцев назад +13

    Fungien miaka Mia bt hamwez fungia liziki yake

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 7 месяцев назад +7

    Chuki za karia ni mbaya sana maana uyo kwa kuwa ni Simba na kupigwa kwenye timu yake ya mang

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 7 месяцев назад +12

    Kwaiyo mtu mwenye mchango hatakiwi kuadhibiwa

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 7 месяцев назад +2

    Haji ni zee la kukera na ni kama maji usipokunywa utaoga😂😂😂😂

  • @user-fe2zi9py1j
    @user-fe2zi9py1j 7 месяцев назад +5

    Haji haelewekiiiiiiiiiii full.

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 7 месяцев назад +6

    Mo nimemuelewa vizuri karia hujamaa kichwa sana asee

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 День назад

    😂😂😂 Tena msimfungulue jeuli sana Bado anaongea tu Wala hajafungiwa huyo

  • @edwinrwabinyas7335
    @edwinrwabinyas7335 7 месяцев назад +7

    Ili jamaa ni linafiki sana, Mzee icho ni cheo tu, kumbuka kuna maisha baada cheo hicho

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 7 месяцев назад

      Wewe tulia unadhani Karia anaamua yeye peke yake.

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 7 месяцев назад

      Taratibu lazima zifuatwe Haji bado hajaanza kutumikia adhabu.

  • @MohamedKongoroka
    @MohamedKongoroka Месяц назад +1

    Karia we ni mnafiki tu na unachuki na manara acha roho mbaya kwa kiuwezo wa kipesa humfikiii embu acha ubaya na manara Mungu atakuhumu vby sana we subiri tu

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 12 дней назад

      Kweli kabisa lina roho mbaya sanaa hilo jamaaaa. au lina asili ya Somalia nini.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 7 месяцев назад +11

    safisana shabiki Wetu karia,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤, muongezi miaka mingine

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 7 месяцев назад

      Laana itaendelea kuwasaga mtafukuzana hadi mashabiki,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 7 месяцев назад

      Laana itaendelea kuwasaga mtafukuzana hadi mashabiki,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ahz6907
      @ahz6907 7 месяцев назад

      Apigwe mitano tena😂

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 7 месяцев назад +4

    Huyu awe voted out!

  • @ttss7716
    @ttss7716 7 месяцев назад +4

    Sasa asishabikie yanga una roho mbaya😢

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 7 месяцев назад

      Hata nashangaa ana chuki binafsi tu

  • @joycekaishozi1177
    @joycekaishozi1177 7 месяцев назад +4

    "hata nilipomfungia pia dk 0:12"😂😅

  • @RithaaDotto-xg9sr
    @RithaaDotto-xg9sr 7 месяцев назад +4

    Chukii binafsi hizo bnaa!! Rais! Karia

  • @dennissix8732
    @dennissix8732 7 месяцев назад +11

    Nukuu kauli,
    "Hata nilivyomfungia"
    Ina maana TFF sio taasisi tena na hata hayo maamuzi ya kamati ya nidhamu ni maelekezo toka kwa Karia..

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 7 месяцев назад +7

    Niambie profesa aliyefanya makubwa kwenye Nchi hii na yumo ndani Kwa kifungo!
    Na usimtaje Mungu Karia wewe ni mnafiki tu! Na Mungu atakunyoosha sana na timu lako bovu.

    • @mbwizax87
      @mbwizax87 7 месяцев назад

      Lipumba kashafungwa sana, was always in and out of prison

    • @DM_15
      @DM_15 7 месяцев назад

      Watu wana muoneahuruma manaratuu lkni yulekiroporopo mbona akina maiko wambura, kitumbo, rais aliemtangulia karia nawengine wengi akiwemo kiongozi wayanga manji na imani Madagascar wakowapi sasa why manara kwani ni mungu wampira watz. Itabidi tusime albadiri sasa ili huyo manara afe ksbisa , kwasababu yeye ndio chsnzo chahuu ushabiki wakutamkiana maneno yqhovyo . Zamani hatukuwa nautani wakuitana makoro sijui gongowazi utopolo. Yeye ndootqtizo kutoleanalugha zahovyo

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 7 месяцев назад

      ​@@mbwizax87 Kafanya nini kwenye nchi?

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 7 месяцев назад +2

    Doh, tatizo la karia ana hasira sana, ukimuhoji ni mwepesi kupanic...kiongozi hapaswi kuwa hivyo....Kwani mtu akifungiwa usemaji hawezi kuwa mshabiki au kutoa maoni mitandaoni kama mshabiki..!

  • @faisaloaljabry6400
    @faisaloaljabry6400 7 месяцев назад +1

    Kazi nzuri zipi? Matusi !!

  • @user-sm3zb3ee1t
    @user-sm3zb3ee1t 7 месяцев назад +2

    He couldn’t hide it anymore
    The hate he showed kama vile hatakufa yani

  • @benayasamson1270
    @benayasamson1270 7 месяцев назад +13

    Haji mtu wa watu wew ngoj tyu utoke kweny hicho kiti

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 7 месяцев назад +10

    Ata ukimskikiza unaona anachuki pinafsi mpaka mtangazaji amekuelewa kuwa haj unasema hana akili ila mwenye kujisifia huwa kila siku ndo mjinga. Na hayo yote subiri mtayapata akisha toka madarakani kwa sababu hao hao wasaidizi wake anataja ndo wat1tupa ukweli.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 7 месяцев назад +1

      Sanaaaa anachuki sana mpumbavu huyu

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 7 месяцев назад +1

    Mumfundishe kazi huyo dada, hajielewi

  • @eliyamichael7310
    @eliyamichael7310 7 месяцев назад +1

    Hili jinga sana

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 7 месяцев назад +6

    Safi kalia Nidhamu iwepo

  • @yustochitema-iq8zo
    @yustochitema-iq8zo 7 месяцев назад

    Pole sana ndugu yangu Haji Manara...kwa hiki kinachoonekana hapa na maelezo ya Rais wa tff endelea tu na majukumu mengine riziki popote bro.

  • @khadijahussein5298
    @khadijahussein5298 7 месяцев назад +1

    Safi sana karia👍

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 11 дней назад

    Ww kalia nakuita mala3: unacho kifanya Siyo mpaka Kwa mungu akimpendezi" Afu kwanza we kalia wajikuta nani kabisa ww

  • @cracemwenda
    @cracemwenda 11 дней назад

    Ww kalia unaroho mbaya haijifichi ila tambua Dunia ni duara

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 7 месяцев назад +12

    huyu jamaa tatizo anashindwa kuficha chuki zake akiulizwa kuhusu haji

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 7 месяцев назад

      Jamal Malinzi nae alikuwa anachuki na Haji ?? alimfungia miaka 7 nae vile vile alikuwa anachuki ?? acheni ushabiki wenu wa kisenge km mnawatetea waliofungiwa wateteeni wote Kitumbo,wambura,shaffih dauda n.k siyo mnaleta vicoment vyenu vya kichoko choko apa

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 7 месяцев назад

      Watanzania hizi issue zenu za kupindisha sheria kutokana na umaarufu wa mtu ndio maana hamuendelei tuwe straight.Karia anauliza swali nzuri why Haji kwann wasiwe hao wengine wanahabari mnacheka kwa dharau mnashindwa kujenga hoja.wanahabari ndo mnaharibu sana soka letu.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 12 дней назад

      Choko sanaa huyuu

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 12 дней назад

      Lina chuki sanaa hilo chuki

  • @nashonmwinuka1758
    @nashonmwinuka1758 7 месяцев назад +2

    Watu wanaroho mbaya sana

  • @user-pi9kp7mj1m
    @user-pi9kp7mj1m 7 месяцев назад +13

    Karia mnafiki sana

  • @samweljoseph1454
    @samweljoseph1454 7 месяцев назад +2

    Mnamuona haji anahaki sio

  • @user-wi5wj2yh5m
    @user-wi5wj2yh5m 6 месяцев назад

    Huyu nikiongozi asie jua mpira na mungu ata mhukumu anawafungia sana watu kujihusisha na mpira kama eye ndie aliye wafanya waupende mpira mungu anakuona

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 7 месяцев назад

    Safi kaliaa umepigajee hapooo

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 7 месяцев назад +1

    Kalia mjinga ti

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 7 месяцев назад +19

    Huyu anajiona Mungu mtu

    • @shadyahamad3724
      @shadyahamad3724 7 месяцев назад +2

      Hakuna lisilo na mwisho walokuepo wangapi na leo wako wapi ha hilo litapita

    • @SalimAbdallah-tg1yo
      @SalimAbdallah-tg1yo 7 месяцев назад

      Nikulize swali tu karia anaingia madarakan akakuta haji kafungiwa miaka 7 akawambia kamati huyu haji anarufaa yake mbona amuiskilizi kuskizwa haji katoka baada ya hapo kasahau ubinadamu enda mfokea rais wa tff mbele ya adhara mbele ya waheshimiwa wabunge wakuu wa mikoa nk bado mwasema kaonewa na upande wa kutumikia adhabu kweli haji hatumikii adhabu mpaka leo anajiusisha na yanga hakuna mtu asojua kwaio akitaka adhabu ishe akalipe faini anze kutumikia adhabu

    • @sonicaghendewa9886
      @sonicaghendewa9886 7 месяцев назад

      ,lijinga

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 7 месяцев назад

      Miaka 2 ndo ishakwisha...tafuta jingine rahisi😂😂😂

    • @SalimAbdallah-tg1yo
      @SalimAbdallah-tg1yo 7 месяцев назад

      @@mamboshepea8888 hujamuelewa rais haji hajatumikia hukumu yake bado

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 7 месяцев назад +4

    Huyu dada anaongea kitu hjuh

  • @user-fh7gu7eb2d
    @user-fh7gu7eb2d 14 дней назад

    huna dini ungemsamehe mungu anakuona,na una mkono mtahukumiwa kwa mungu ,unamtaja mungu unachuki na watu huna pepo hapo

  • @khadijahussein5298
    @khadijahussein5298 7 месяцев назад

    Kweni uyo mtu anamaajabu gn mpaka mnang ang ania mchezaji au kocha😂😂😂

  • @ThomasJulius-rj8rq
    @ThomasJulius-rj8rq Месяц назад

    Fara wew karia

  • @immortaljoe
    @immortaljoe 7 месяцев назад +9

    Hana lolote huyo kaamua kumkalisha kimya manara tuu maana hakupenda atoke simba 😂😂😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 7 месяцев назад +1

    Acha ushabiki ww mdada kuna taratibu na sheria ikishakuwa taratibu kuna miongozo acha mazoea ya kishabiki

  • @waziriwaziri115
    @waziriwaziri115 Месяц назад

    Huyo dada anakela sana yeye anasema hajui Nini Sasa unauliuliza kaa kimya

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 7 месяцев назад +2

    Huyu mzee anaonekana anaroho mbaya sanaaa

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 7 месяцев назад

    Hili zee bwege sana

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 14 дней назад

    Ukweli mtupu haji ni choko sana..wandishi nae wanafki sana

  • @user-xn1en3jo1m
    @user-xn1en3jo1m 7 месяцев назад

    We mama embu kausha kama haujui chochote et me naogpa kusema chochote why unaulza maswali 😂😂😂

  • @ahmadally5554
    @ahmadally5554 9 дней назад

    Hawa yanga niwajinga sana mbona hawa wengine walio fungiwa hawawatetei kwan uyo manara ninani katika inchihii

  • @oyay2821
    @oyay2821 7 месяцев назад +1

    Haji hawamuwezi, sasa ndio ana nawiri zaidi.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 7 месяцев назад

    Kamanda upo sahihi sheria ifuatwe twende sawa

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 7 месяцев назад +4

    Ipo siku utajibu hoja kw mungu kama aliomba razi kw nini mshindwe kumsamehe wew unajifanya mungu mtu ila kuna kifo shehe wangu tubu zambi zako kazi nisehem ya mtihni uo ni mtihn kwko

    • @gabrielsanga5313
      @gabrielsanga5313 7 месяцев назад +1

      ukifanya kosa mahakama ikiamua kukufunga maisha unataka kusema ukiomba msamaha inakuacchia huru?

    • @user-wg9jy7xq6z
      @user-wg9jy7xq6z 7 месяцев назад

      Uyo hajui mcheza picha chafu wa nn

    • @raymondshuma7421
      @raymondshuma7421 7 месяцев назад +1

      Mh kwel elimu muhimu, ukiomba msamaha kutokan na kosa kisheria ndo unaachwa huru duh 🙌🙌🙌

  • @AgustinoJoseph-jq7or
    @AgustinoJoseph-jq7or 7 месяцев назад

    Unarohoo mbayaa kmaa sura yakoo

  • @user-od5mj4rw7n
    @user-od5mj4rw7n 7 месяцев назад +2

    Raisi wa TFF wakati hata hujui kupiga danadana toka waachie kazi watu wa mpira

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 7 месяцев назад +3

    Karia kichwa kibovu

  • @emillwakatare7192
    @emillwakatare7192 7 месяцев назад +4

    Mavazi tu ya raisi napata majibu.. #freehajimanara#kwataifalijalo

  • @maendeleoleo2594
    @maendeleoleo2594 7 месяцев назад

    Wambura kafungiws maisha katulia kwanini Haji manara😅😅

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 7 месяцев назад

    Huyo ana visasi vya kisomari,

  • @EmanuelMzulla
    @EmanuelMzulla 11 дней назад

    Ukweli haufichiki maneno yanatafsiri uhalisia mwenye upeo mkubwa wakufikiri anaelewa 😂😂

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 7 месяцев назад +3

    U as a Muslim u have to forgive,,cheo ni Cha mda tu,,acha chuki binafsi na watu wa mpira

  • @RashidIbrahim-610
    @RashidIbrahim-610 7 месяцев назад

    😊😊😊😊😊jamaaa ana chuki mbaya mno

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 2 дня назад

    Acha roho mbaya ungekuwa wewe uwe unajiuliza kwa Nini usijibu acha ushamba haji yuko juuu kuliko wewe huna rorote

  • @SaidSalim-bg1hh
    @SaidSalim-bg1hh 7 месяцев назад

    Ww pia humuogop ww mnafiki tu kwenye socere let

  • @georgewarioba9769
    @georgewarioba9769 7 месяцев назад +13

    Huyu hakuna anachokifanya katika mpira wetu na anachokiangalia ni uchaguzi ujao na kupiga pesa! Na kwa majibu hayo anaonekana ana chuki binafsi huyo.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 7 месяцев назад

      Agombei Tena katiba ya tff hairusu labda abadilishe katiba

    • @festovenas502
      @festovenas502 7 месяцев назад

      Kwan manara kaadhir nini kwenye mpila kisa kukaa kimya

    • @cadiaonesmo9660
      @cadiaonesmo9660 7 месяцев назад

      Fanya wewe

  • @MultiKelvin1994
    @MultiKelvin1994 7 месяцев назад

    Ulimsaidia alivyokuwa kolo mwenzio... Kahamia kwa mabingwa umeonesha rangi zako za kweli.... 😂😂😂

  • @drmohammed-di4nt
    @drmohammed-di4nt 7 месяцев назад

    Acha roho mbaya

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 7 месяцев назад +6

    kamati hiyo ilikuwa yakipuuzi sana,,kwamaana tuliona wote mkitoleana maneno,na ata kutaka kupigana,sasa iweje akaliwe kikao mtu mmoja,,ata ww ulikosa heshima na adabu kama raisi huwezi taka pigana na mtu unae muongoza,,nawe ulipaswa uadabishwe na kamati ya maadili,ikiwa ni pamoja na kuachia kiti cha uraisi wa TFF

    • @bonifacemwakifwamba1760
      @bonifacemwakifwamba1760 7 месяцев назад +1

      Mpumbavu huyu Hana akili na Na rais mama Samia haoni uonevu huu ,,,msomali mmoja kakimbia vita kwao anakuja kinyanyasa watanzani kwenye ardhi Yao huu niupuuzi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 месяцев назад +1

      ​@@bonifacemwakifwamba1760HATA MJALUWO OBAMA AMERICA SIO KWAO NA KAWA RAISI WACHA UKABILA NA UBAGUZI WASOMALI NI WA AFRICA WENZETU WEWE.

    • @michaeljohn9070
      @michaeljohn9070 7 месяцев назад

      @@bonifacemwakifwamba1760 ndomana ni mbinafsi sanaa,,hana asili ya kwetu kumbe

  • @ommybrain9607
    @ommybrain9607 7 месяцев назад

    Zingatia sheria

  • @masoudmtonda5291
    @masoudmtonda5291 7 месяцев назад +1

    Zile media zilizoendelea huwa zinaweka waandishi mahususi kwenye mahojiano mahususi kama haya. Huyu ni rais shirikisho letu inakuaje mnamuweka mwandishi ambae hajui hata sheria za mpira au TFF?
    Hata kama mnataka kufanya utetezi kwa mtu fulani sio sawa hata kidogo kuleta mabishano kama mko kijiweni bana.
    Ndio karia anawezakuwa anakosea ila kwa namna mahojiano mlivyoyafanya hakika mmeniangusha sana.
    Yawezakuwa mnatumika ila tumikeni kwa kutumia maarifa. Clouds nikubwa sana msifanye tuamini mmefika mwisho wa ubunifu

  • @nicksonkinyaga3638
    @nicksonkinyaga3638 7 месяцев назад +1

    kària hii nchii sio yako kumbuka hilooo

  • @SoudiAsila
    @SoudiAsila Месяц назад

    Roho Mbaya t ww km Mwazo ulisem ww ndio ulienda muombea mbon hili umeshundw ww una kiroho na manara

  • @Swaumu-b2m
    @Swaumu-b2m 13 дней назад

    Mbwa uyo rais

  • @user-br7dv8xn5c
    @user-br7dv8xn5c 3 дня назад

    Kwakuwa wewe ndiyo mwenyekiti ugomfi ni wako na yeye haki basi msamehe

  • @jkasindi
    @jkasindi 7 месяцев назад +7

    ila huyu jamaa jeuri sana aisee dah

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 10 дней назад

    Wewe Kama nibinadamu na unautu kwanini usimsamee kwani kumfungia unarahagani

  • @mbakijonas5647
    @mbakijonas5647 7 месяцев назад +4

    Kama mlimkuta na hatia basi nyie gongeni tu nyungo msisikilize maneno, ila na nyie kama mnamunea bila kosa basi mjue mnakosea sana😂😂😂😂😂

  • @SoudiAsila
    @SoudiAsila Месяц назад

    😂😂 anaongea Kam ni mshabik na sio Kam msemaj wayanga ni Ally kamwe huna sababu roho Mbaya t ww

  • @MeldaAlfred
    @MeldaAlfred 8 дней назад

    Anna to mbaya

  • @eisryhamad5662
    @eisryhamad5662 7 месяцев назад

    Huyo dada mtangazaji hata hajielewi maskini, hajui anauliza kitu gani...

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 7 месяцев назад

    Roho mbaya

  • @AgustinoJoseph-jq7or
    @AgustinoJoseph-jq7or 7 месяцев назад

    Kariaa unarohoo mbayaa ww

  • @EdwardSimon-zl4qm
    @EdwardSimon-zl4qm 7 месяцев назад +1

    Huyu ni tako kama tako lingine

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 7 месяцев назад +1

    Huyu anachuki na Haji si kweli kabisa

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 6 месяцев назад

    Chuki ipo wazi kabisa dhidi ya Haji...

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 7 месяцев назад +1

    Manara alikuwa anamkera sana Karia kwa kuisema Simba na Coastal Union. Hawezi akamfungulia kabisa ni zaidi ya Adui

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 7 месяцев назад

    Kulalamika ndo nn umetumwa na haji.unatetea haji haji.umepewa mfano wengine wamefungiwa maisha lakin bado uelewi

  • @JamiliJuma
    @JamiliJuma 13 дней назад

    Bado hata hapo bado ww unaonyeshaubabe hata kwa waandishi

  • @ramadhanbigirimana2617
    @ramadhanbigirimana2617 7 месяцев назад

    Huyo Karia anaroho mbaya, mumchunguze labda sio mtanzania halisi labda nimugeni roho mbaya sana nachuki kwa Manara

  • @user-td4ed9zk4h
    @user-td4ed9zk4h 7 месяцев назад +1

    Tupatupaa umeniangushaa umekaa kama unafundishwa halifuu

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 10 дней назад

    uyu mzee ni bunju yani anaushabiki tena wazi kabisa

  • @Heismasai
    @Heismasai 7 месяцев назад +3

    Huyu Dada ajielewi!!

    • @kingungeii6520
      @kingungeii6520 7 месяцев назад +1

      Sijamfurahia kabisa hajielewi kabisa kakosa kujua mipaka ya kazi yake, yeye anatetea kitu asicho kijua hapo kaniacha hoi

    • @Heismasai
      @Heismasai 7 месяцев назад

      Miyemko ya kike inamtesa 😅😅

    • @chosen1.
      @chosen1. 7 месяцев назад

      We huoni Raisi ana matatizo ya ki akili?

    • @kingungeii6520
      @kingungeii6520 7 месяцев назад

      ​@@chosen1.Tusaidie kujua dalili alizo onesha kuwa ana matatizo ya akili, kumbuka Manara hajawaji hata siku moja kuwa mtiifu kwenye mamlaka yoyote. Rejea ugomvi wake na EX-CEO wa Simba Sports Club

  • @ronaldowilson8165
    @ronaldowilson8165 7 месяцев назад +41

    Huyu ni kenge.Ana chuki na Haji.

    • @viceboy7368
      @viceboy7368 7 месяцев назад +2

      Kenge ni ww

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 7 месяцев назад +2

      Acha roho mbaya...sasa kama umekomaaa si afadhali aombe msamaha yaishe??!! Hicho ni cheo tuu 😁😁

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 7 месяцев назад +2

      Kwani hakuwahi kufungiwa kabla Karia hajawa Rais?😊😊

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 7 месяцев назад +2

      Jamali Malinzi alimfungia Haji nae anachuki nae ?? ww na wazee wako ndo makenge unaleta ushabiki wa kikuma apa

    • @Gonga94tz
      @Gonga94tz 7 месяцев назад

      ​@@MuuYascohy-oc7oskabisa

  • @RichardMbise-gs9kx
    @RichardMbise-gs9kx 7 месяцев назад

    Afungiwe kabsa

  • @ChausikuSaid-f6f
    @ChausikuSaid-f6f День назад

    Mpuuz ana chuki binanfs haji

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 месяцев назад +3

    Acha roho mbaya mfungie maisha ufurahi kbs tatizo uliambiwa hukumsikia mwenyewe

    • @jumakibasame3210
      @jumakibasame3210 7 месяцев назад

      Wewe Karia humuogopi mungu na ikibidi uchukuliwe hatua takukuru wakupitie Acha chuki unatuharibia mpira.faini kufungia watu

  • @melickmbengele817
    @melickmbengele817 5 дней назад

    mzee acha vijana watangaze mpira wetu wa tz hivyo nikudhofisha soka letu

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 7 месяцев назад

    Jamaa ana roho mbaya kama ngozi ya Futi
    Kama anapewa Uraisi wa Nchi
    Wapinzani wote ndani.
    Maana hakuna mtu anasemwa vibaya kama Raisi wa nchi.
    Siku azigandi atakuja kujua baadae thulma haidumu.

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Месяц назад

    Viongozi wa serikali wanamjuwa huyo wanasubili kipindi cha uchaguzi ndio bay bay huyo msomali hatumtaki anachuki za sio za kitanzania wenyewe tunasameheana

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 8 дней назад

    Ila manara bingwa mpaka sasa

  • @GasperKitomary
    @GasperKitomary 13 дней назад

    Wewe karia ACHA uchonga utakufa Aya ni maisha