Tatizo la nchi kuna watu wengi wenye uwezo mdogo wa kufikili na kutafakali mambo kama wewe ndo wengi aijalishi elim ya mtu kudhani mtu mkitofautiana mawazo uyo ni mpizani wako maendelea duniani kote yanakuja kwa kutofautiana namna ya kufikili msiwe kama nyumbu hii nikwa vyama vyote na taasisi zote
Chadema mnapambanua kuwa ni chama cha demokrasia sasa utakuaje na demokrasia ukiwa unazuia mawazo tofauti ndani ya chama chako au taasis yako?tatzo lenu mnakua kama nyumbu
Mheshimiwa MSIGWA heshima yako itaendelea sana kuimarika ukiwa ndani ya CHADEMA.
Na ukiwa na LiSsu na Mbowe. Heche . Mnyika ni majembe
Sawa msigwa
Mrafi wa madaraka hafai
Ma tepeli sio watu
Good
Jamani mtu kushinda ubunge sio kwa ajili ya nguvu ya mtu mmoja tujue watu wengi wamekuwa wamepambania chama
Nenda huko CCM kibaraka mkubwa wewe
Tatizo la nchi kuna watu wengi wenye uwezo mdogo wa kufikili na kutafakali mambo kama wewe ndo wengi aijalishi elim ya mtu kudhani mtu mkitofautiana mawazo uyo ni mpizani wako maendelea duniani kote yanakuja kwa kutofautiana namna ya kufikili msiwe kama nyumbu hii nikwa vyama vyote na taasisi zote
Chadema mnapambanua kuwa ni chama cha demokrasia sasa utakuaje na demokrasia ukiwa unazuia mawazo tofauti ndani ya chama chako au taasis yako?tatzo lenu mnakua kama nyumbu