Hivi unaenda kujenga Nairobi kwa hela za wafanyakazi,huku unasema mifuko inahali mbaya,unatupiga kikokotoo.Wabunge na nyinyi mtandikwe Kikokotoo ndo mtaona maumivu.You are not serious with workers destiny.Naumia Sana na swala la Kikokotoo kiukweli.
Bunge hili wabunge wa ccm wamelifanya likakosa mvuto wakulitizama wao nikupongezana tuu eny time nakulinda masilahi yachama chao akitokea mkweli kama mpina wanamtenga malizieni mihula yenu tumewachoka sana aisee msema ukweli namzalendo anapelekwa kwenye maadili
Yaani CCM wameruka mkojo wakayakanyaga mavi live. Huyu Halima sio Rafiki yenu 7bu kipindi Bunge ni la vyama vingi mlimfungia kila mara,sasa mmeamua kumsikiliza alafu baadae mnamfinyia chini asiendelee lkn huyu ni mwiba atawatumbua hadi macho na tunapoendea atakuja kuwa Raisi atawafunga na kuwanyonga mpaka mtakoma kudadeki
There is no real estate gone pay in Nairobi. Ni upotezaji wa hela za pensions za watanya kazi na mwisho wa siku kuendelea kupunguza retirement package zao. Halima uko sahihi. Twin towers will be a ghost investment. Uwekezaji wa hii mifuko hapa nchini ime fail na majengo mengi yako wazi ni hasara tu.
Mwenyezi mungu awatangulie ! Wastaafu tumedhulumiwa na tumeumizwa sana ! Tunaunga mkono kutusemea wastaafu👏👏👏👏 watupe hela zetu hayo madeni hayatuhusu
Asante mama yangu Halima. Wastaafu tunanyanyaswa jamani. Watupe hela zetu. Zikatafutwe zilikowekwa. Kwa nini hawaelewi? Jamani, Mungu hapendi.
Hivi unaenda kujenga Nairobi kwa hela za wafanyakazi,huku unasema mifuko inahali mbaya,unatupiga kikokotoo.Wabunge na nyinyi mtandikwe Kikokotoo ndo mtaona maumivu.You are not serious with workers destiny.Naumia Sana na swala la Kikokotoo kiukweli.
Mungu wa TBJoshua nisaidie kuondoa hiki kikokotoo
Kwahiyo ss unateseka na kikokotoo kipya ninyi mnaenda kujenga magorofa Nairobi,?😭
Kujinunulia ma vx
Hata ss taarifa hatuipokei tupeni hela zetu ! Mbona hamna huruma ninyi😭😭
Bunge hili wabunge wa ccm wamelifanya likakosa mvuto wakulitizama wao nikupongezana tuu eny time nakulinda masilahi yachama chao akitokea mkweli kama mpina wanamtenga malizieni mihula yenu tumewachoka sana aisee msema ukweli namzalendo anapelekwa kwenye maadili
Yaani CCM wameruka mkojo wakayakanyaga mavi live. Huyu Halima sio Rafiki yenu 7bu kipindi Bunge ni la vyama vingi mlimfungia kila mara,sasa mmeamua kumsikiliza alafu baadae mnamfinyia chini asiendelee lkn huyu ni mwiba atawatumbua hadi macho na tunapoendea atakuja kuwa Raisi atawafunga na kuwanyonga mpaka mtakoma kudadeki
Watafute kazi nyingine wanangania watu habebeki
Mungu akulinde
Serikali inawaibia raia wake
Kweli kqbisa madame Bulaga amesimama bila woga kutetelea watumishi, na huu ndo uongozi.
Walipeni wastaafu pesa zao bila kikokotoo mbona nyie hamna kikokotoa huo ni unyanyasaji siyo haki.mifuko hiyo ya hifadhi pesa za watumishi mmekula
580 ni mbaya sana,irudi 540,
There is no real estate gone pay in Nairobi. Ni upotezaji wa hela za pensions za watanya kazi na mwisho wa siku kuendelea kupunguza retirement package zao. Halima uko sahihi. Twin towers will be a ghost investment. Uwekezaji wa hii mifuko hapa nchini ime fail na majengo mengi yako wazi ni hasara tu.
Tafadhali i wabunge mbona hamna guo rasimi kama nyingine zinatia aibu hebu badilikeni
Futa kauli hamuna kikosi kazi ni chawa tu