Dua ya Haji Manara kwa Yanga
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #HajiManara #KMC #AzamFc #CAF
Msemaji wa Simba SC Haji Manara amewaomba wafuasi wa Simba SC kuziunga mkono AZAM FC, Yanga na KMC wakati zikiingia katika majukumu ya kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa yanayoratibiwa na #CAF