TOP 5: Hizi ndizo Flyover kali zaidi duniani
HTML-код
- Опубликовано: 21 сен 2018
- Siku za hivi karibuni Tanzania imeshuhudia kuanza kutumika kwa barabara ya juu ya flyover ya Tazara na kupunguza foleni kwa kiasi kikubwa.
Mradi huu wa flyover ya Tazara ambao umegharimu takriban shilingi bil 95 za Kitanzania, ni moja tu kati ya mipango ya serikali ya kujenga na kuboresha miundombinu nchini ili kufikia adhma ya uchumi wa viwanda.
Flyover nyingine kubwa zaidi nchini imeshaanza kujengwa eneo la Ubungo.
Leo katika kipindi cha Top 5 nakuletea flyover 5 kali zaidi duniani.
Sparget namba 5 thaman ni billion 30 za kitanzania wakati yetu ni billion 90 za ki TZ
Na mm nashangaaa hapo sijui wako seriously kweli
USD dollar 💰
Zanzibar sisi huku mashimo kwenda mbele
Tanzania oyeee
Kwahy marekan Wana fry over 3 kali zaid Dunian
Je fry over iliyopo Kigoma ni ya ngapi
Nambari yako
Nc
hamna kitu
achen ujing yn interchange mnaita flyover
waambie.
acha uongo "kwa pesa ya Tz in Trion siyo billion si mwende shule jamani
Nakumtukana kote we ndo muongo sasa
Ya Tanzania imegarimu dola milioni ngapi? Mbona ukumalizia
K