TOP 10: Hizi ndizo hoteli zenye vyumba vya Bei za juu zaidi Duniani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2018
  • Ilikuwa ni mshikemshike mkubwa pindi Hyatt Regency hoteli ambayo zamani ilijulikana kama Kilimanjaro Kempinsky ya jijini Dar es Salaam kutangaza ofa ya chumba cha milioni 22 na laki 4 kwa ajili ya Siku ya Wapendanao yaani Valentines Day.
    Inaelezwa kuwa chumba hiki ni kile wanacholala marais pindi wakija nchini na kwa siku za kawaida bei yake huwa ni Dola za Marekani 5000 sawa na Tsh Milioni 11 za Kitanzania.
    Uongozi wa hoteli hiyo umetangaza kuwa simu zimemiminika tangu kutangazwa kwa ofa hiyo jana.
    Kutokana na hilo Ayo TV na millardayo.com zimetafuta taarifa kuhusu hoteli 10 Duniani ambazo ni za gharama za juu zaidi.

Комментарии • 128

  • @sadxkyando5456
    @sadxkyando5456 6 лет назад +5

    AYO TV
    the place where future billionaires come to get inspired.I love it

  • @razzaqabdul7756
    @razzaqabdul7756 6 лет назад +3

    WAOOOOOW mpo vizuri Ayo mnauwezo wa kuchunguza mpana SAAANA big upp

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 4 года назад +1

    Duu mzee baba

  • @erickwilson8873
    @erickwilson8873 6 лет назад +2

    thank u janeth for the list...

  • @najma3268
    @najma3268 6 лет назад +2

    Nipewe pesa tu nikatengeneze maisha ya muda mrefu sio ya cku moja

  • @abdillahkassim5400
    @abdillahkassim5400 5 лет назад +1

    Bwana weee mm naenda kulla getoo tuuu... kwa pesaa hizooo Mmh! 😀😀

  • @mohamedsalum8933
    @mohamedsalum8933 3 года назад +1

    Bdo sana list yenu Mbna hamjaangazia french Polynesia? Na Maldives je?

  • @williamibrahimu9225
    @williamibrahimu9225 5 лет назад +1

    Asante sauti nzuri sana

  • @serenawilliam6514
    @serenawilliam6514 6 лет назад +2

    Oooh nzur saana

  • @jacksonosward5064
    @jacksonosward5064 6 лет назад +26

    daah hku kwetu mbeya kuna hotel nyng sn,,, kulala kwa ucku moja ni Sh 7500,, sa kwann ntoe mil 100,, hyo ela sunajeng hotel Tukuyu

    • @thauratali3656
      @thauratali3656 6 лет назад +1

      Jackson osward 😂😂😂😂😂😂😂usiseme

    • @namelessunknown1377
      @namelessunknown1377 6 лет назад +2

      Jackson osward hahahahahaha ndo maana haitakiwi kusema hatuna pesa sema huna hela

    • @saphynamadamba6557
      @saphynamadamba6557 6 лет назад +1

      😁😁😁😁😁😁

    • @judydebawsepaul905
      @judydebawsepaul905 6 лет назад +1

      Jackson osward 😂😂

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 6 лет назад +2

      Jackson osward mara nyingi wageni wanatoka nchi za mbali wanataka kuspend iyo pesa yakawaida kwao kwa watu wakubwa

  • @awilomlokole3403
    @awilomlokole3403 5 лет назад +1

    Noma sana

  • @elibarikilaizar5423
    @elibarikilaizar5423 4 года назад +1

    Pesa nzenyewe izo natoa wap ningenunuwa gari yangu naishi ndani kuliko kitu kama hicho

  • @yacnially9101
    @yacnially9101 5 лет назад +1

    Daah 😀 noma san

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 5 лет назад +1

    Msiba huo hizo pesa wangekuwa wanatowa sadaka Allah anasema kusingekuwa na masikini dunia ila kuwa tajiri ni mtihan kwa Allah

  • @halimahamisi2076
    @halimahamisi2076 6 лет назад +2

    Hapo mtu ukienda kuombwa tigo unaanzje kujifanya sijazoea MTU katoa mihela kama hyo duh hata kutamn cwez

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 6 лет назад +1

    Mimi nikiwa nahuwezo hiyo hotel president Wilson ya hususi ndiyo na weza kulala

  • @jasonplan3622
    @jasonplan3622 6 лет назад +1

    Kiukwel ata leo nkitabaatsha Ml 500 natoa ML natoa ML 200 naenda kull hl nsafshe nyota

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 6 лет назад +2

    Jamana

  • @gracemsanjila327
    @gracemsanjila327 6 лет назад +7

    Dah hata niwe na halisha pesa siwezi kulala kwenye hotel yoyote hapo yani sisi tupo omani tunahangaika miaka 2 kutafuta milioni 8 miaka 2 mtuanaenda kutoa pesa zaidi ya hizi kwa usiku moja 😂😂😁😁😁😬😬😬😬😬hapana kwakweli

  • @easytveasytv7986
    @easytveasytv7986 6 лет назад +1

    Silali aisee kwan kitanda hicho kina nn aisee bora nitoe hiz pesa kwa watoto yatima aisee ntapata fadhila kwa Allah subhana na furaha ya milele akhera

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 6 лет назад +1

    Heeeeeeeheeeeee... Chinekeeeee.. Kweli vyuma vimelegea.. Teh Teh.

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi9530 4 года назад +1

    Mie napanga chumba keko machungwa tu

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 6 лет назад +1

    Nambaaaa 1

  • @kimbwelakimbwela8936
    @kimbwelakimbwela8936 6 лет назад +1

    Pesa mpango mzima, wanipe tu hela, kulala hata kwenye mkeka unaweza lala

  • @fahadhassan1714
    @fahadhassan1714 5 лет назад +1

    😨😨hivi jamani kuna watu wanaishi kweli maana hii ni kufuru kabisa

  • @vian8356
    @vian8356 3 года назад +1

    Kabla ya kulala kumbuka Kuna;
    1.ela ya passport
    2.ela ya nauli
    3. Bado ujala
    Mniachee😂😂

  • @sudymalema2796
    @sudymalema2796 6 лет назад +1

    Zambi izo jamani simu Moja tuuuu bado kula nauli nakazalika duuuuuuuu

  • @kallamudaily73
    @kallamudaily73 6 лет назад +3

    Sound of stupidity. Inawezeka ndio maana hizo hoteli zipo lkn mimi siwezi katakama hayo mabillioni yatakuwepo. Kunawatu wengi tu watahitaji msaada wangu sasa kuliko kujipa Paradise of one single night nibora nijiandalie life time Paradise

  • @habibuzahoromakame.6728
    @habibuzahoromakame.6728 5 лет назад +1

    Na lala Sana tu

  • @diamondplatnumz41
    @diamondplatnumz41 5 лет назад +1

    Mi nikiwa na ela nalala kila siku kwan izo ela utakufa nazo

  • @deepseaonline3792
    @deepseaonline3792 6 лет назад +1

    bado sana, sio kwa usiku mmoja

  • @sulekhalfan424
    @sulekhalfan424 4 года назад +1

    Ndeni mwetu nimetosheka

  • @emmaflavor8086
    @emmaflavor8086 6 лет назад +1

    mimi nachagua kulipwa pesa kwa hotel ile ya no 1

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 5 лет назад +1

    Na Tz ukipita na Sola elfu 9 tuu unakamatwa

  • @suzanmazinde2056
    @suzanmazinde2056 6 лет назад +1

    hapana kuna hotel apa mbagala kwa siku buku jero aiseee inatosha kikubwa godoro nilale hayo mengne baraka tu

  • @issamkenya9329
    @issamkenya9329 6 лет назад +1

    Hilton garden inn Miami,, nimelala pale km 2,days, if you do no that money,, you can't use,,! pesa mwenzie matmiz

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 6 лет назад +2

    gest inanitosha ata niwe billionea vp yn nitoe milioni 90 kisa kulala

  • @johlelo9834
    @johlelo9834 5 лет назад +2

    Hata niwe bilionea siwez pes ndefu san unawez kununua vifaa vya mahospital au ukajeng shule kwa ajili ya watoto yatima mung tubark tusitumie pes vibay

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 года назад

      Ukiwa nayo wala hutaona gharama

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 6 лет назад +1

    Watu maarufu km wachezaji na wana muziki n.k na Watu milionea ndio wanpo kwenda sehem km hz

  • @mbwanangudede7973
    @mbwanangudede7973 6 лет назад +1

    Me naunga unga hapa nikipata dola 40elfu nalala hiyo hotel

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 5 лет назад +1

    Mimi napita tu maana mwenye pesa sio mwenzio

  • @yahayaali4275
    @yahayaali4275 6 лет назад +1

    Daa

  • @lissujonas5377
    @lissujonas5377 6 лет назад +1

    da! mm siwezi kutoa Pesa kwa ajili ya kulala kwenye hoteli hiyo

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 Месяц назад

    Hata ukilala kwenye nyumba ya tembe usingizi si ni uleule tu😂

  • @nasoromayunga8713
    @nasoromayunga8713 6 лет назад +1

    bora pesa aiseeeeeee

  • @rosechami649
    @rosechami649 6 лет назад +1

    jamani nipewe pesa kwani nkilala hapo ndo nakua tajiri au wanipe tuu hizo hela mi nifanye mambo yangu mengine

  • @fredyjohnwaifakaratz2473
    @fredyjohnwaifakaratz2473 6 лет назад +4

    MUNGU WANGUUUUU

  • @sudymalema2796
    @sudymalema2796 6 лет назад +1

    Daaaa iyo kufuru Sasa duu being kuwa Sasa

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 6 лет назад +1

    Hatar sanaaaaaa

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 6 лет назад +1

    Bora nipew besa mkononi nifanyie project za maana

  • @fredyjohnwaifakaratz2473
    @fredyjohnwaifakaratz2473 6 лет назад +3

    HUKU KWETU IFAKARA KUNA HOTEL MOJA KULALA KWA USIKU MMOJA NI 3000 WALI WAKK WA BUKU MAJI KILOMBERO YA 500 KATIKA 5000 INABAKI JERO YAKUNUNULIA KONDOM NAMAISHA YANAENDA SAAAAFI

    • @judydebawsepaul905
      @judydebawsepaul905 6 лет назад

      Fredy John Waifakara Tz 😂😂😂😂 nmecheka kw nguvu mpk

  • @aetiusaugustine395
    @aetiusaugustine395 4 года назад +1

    Ningechagua kupewa pesa

  • @eutropiakimario2837
    @eutropiakimario2837 5 лет назад +1

    duh nikilala kwenye hoteli kama hizo lbd masaa yawe yanajirudia according to my money

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +1

    Nahisi ukilla hzo hotel unafuta dhambi

  • @barakaben7902
    @barakaben7902 4 года назад

    Siwezi kupoteza hizo fedha zote mfano kama hizo za milioni 80.90 hadi 100 na zaidi ukichukua milioni 100 mara siku 30 za mwezi mzima mfano umekaa mwezi mzima ni sh 3,000,000,000
    Na ukika mwaka mzima ni sh 36,000,000,000
    Kwahiyo ni bora nijenge na mimi vya kwangu niwe naenda kula raha nasio kwenda eti huko kwasababu tu ni sehemu maarufu wewe Dada bilioni tatu kwa mwezi si mchezo na bilioni 36 kwa mwaka si mchezo hizo fedha kama kweli ukizipata harafu ukasema ujenge hotel au lodge kwa Tanzania unatisha hata ikiwezekana Africa nzima

  • @grollyjoseph5383
    @grollyjoseph5383 3 года назад

    Nitakwenda kulala hotel namba 3,1. One

  • @mageuzshan5917
    @mageuzshan5917 6 лет назад +1

    bola nipewe pesa kama kulala hata nyumbani papo........................

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 6 лет назад +1

    milioni mia moja kumi na NNE kwa usiku mmoja ..

  • @mrishosalum799
    @mrishosalum799 5 лет назад +1

    Hizo za marekani na Uswiz ndy zaidi

  • @marymassawe3640
    @marymassawe3640 6 лет назад +1

    hzo ela mbona ntajenga yngu apa bongo aiseee

  • @erastochalamila2794
    @erastochalamila2794 6 лет назад +1

    Ningetua UGRIC™

  • @calvinjohn2647
    @calvinjohn2647 6 лет назад +1

    Wala cwezi kulala kwenye hoteli ya milioni 100..

  • @hawahanzuruni7722
    @hawahanzuruni7722 6 лет назад +2

    Sik moj nikapotez ela zote izo subutuuuu

  • @zuberykasimu8635
    @zuberykasimu8635 5 лет назад +1

    siwezi

  • @bintlola3127
    @bintlola3127 5 лет назад +1

    Hii ya ugiliki nilishawahi kulal hapo😌😌🙄🙄🙄

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 6 лет назад +6

    Khaaaa hizo bei aisee siwezi kulala hata niwe na ela vipi,bora hizo ela nikawape masikini na wasiojiweza

    • @mbelyterry1584
      @mbelyterry1584 6 лет назад

      Richard Kobero huwo nimdomo waliyo wengi wenu wanapo tajirika hunahau wasiyo jiwezan na mayahima husema pesa lilizo ziangikiya mimi nipale hawezikahi hutalala ni ukosefu huwo ndiyo huna kusemeha hivyo

    • @agaaah6697
      @agaaah6697 5 лет назад

      Richard Kobero bado ujapata pesa ndg ukipata mbona kawwida t

  • @alifarah6742
    @alifarah6742 6 лет назад +2

    Le meurice mbona haipooo

  • @n8thegoat
    @n8thegoat 6 лет назад +2

    Hizo 114M bora nibet tu 😜

  • @salamia__mwangu599
    @salamia__mwangu599 6 лет назад +2

    duuuuh hatar

  • @hadijagere1411
    @hadijagere1411 6 лет назад +1

    pesa ninge chukuwa pesa zita nisaidiya kufanya biashara

  • @hadijagere1411
    @hadijagere1411 6 лет назад +1

    sijaona mimi

  • @BRIGHTTVUCdY1ejt_0yig4zwjm
    @BRIGHTTVUCdY1ejt_0yig4zwjm 6 лет назад +1

    gharama nyingine, ni pension za watu, jamani kweli dunia kufuru.

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 6 лет назад

      Brightone Fred ...Haaaaahaaaaa yaaniiii weeeee Achaaaa tuuuuu.. Khaaaaaaa..Milioni 114 haayaaa bwanaa

  • @masterjjustine8973
    @masterjjustine8973 5 лет назад +1

    Ety elfu 7500

  • @raston4gkalonda821
    @raston4gkalonda821 5 лет назад +1

    Kwani ukilala humo hautokufa

  • @topclassfashion
    @topclassfashion 2 месяца назад

    Nipewe pesa tu ila sio kulala uo usiku mmoja kwa izo pesa

  • @twarikhouseware7436
    @twarikhouseware7436 5 лет назад +1

    Sizani

  • @maxmoses1505
    @maxmoses1505 4 года назад +1

    Sifanyi ujinga huo

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 6 лет назад +1

    3 bora

  • @donking7356
    @donking7356 6 лет назад +2

    Million 114 kwa ajili ya kulala one day hahahahaha hatareee hii

    • @omarkareem2133
      @omarkareem2133 4 года назад

      Kwa mielaa iyoo si ni bora nijengee home kwetuu pembaa

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 4 года назад

      @@omarkareem2133 mwenye hela wala hafikirii hayo

  • @vanessadahnilly8551
    @vanessadahnilly8551 5 лет назад +2

    Kudadeki

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 6 лет назад +1

    Ata siku 1 nisingeenda

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 6 лет назад +1

    😂😂😂c chezei

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 6 лет назад +1

    Sidhubutu kulala huko hata bure🙌😂

    • @syliviabaruti4660
      @syliviabaruti4660 6 лет назад

      Irmgard samia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @irmgardsamia1827
      @irmgardsamia1827 6 лет назад

      sylivia baruti balaa hili 🙌🙌

  • @omarychilala7948
    @omarychilala7948 2 года назад

    Izi ndio habari ninazo penda kuzisikia kila kuitwapo leo

  • @michaelchiza
    @michaelchiza 6 лет назад

    Tunauza BP MACHINE (ELECTRONIC BLOOD PRESSURE MONITOR) kwa punguzo la asilimia 20%. Nakuomba uniandikie ulizo lolote DM au PIGA SIM 0715905167. Please kindly LIKE.

  • @talbanshayo7178
    @talbanshayo7178 5 лет назад +1

    kupewates

  • @paradoxetshibangu8314
    @paradoxetshibangu8314 5 лет назад

    Ya MIL 100

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437 2 месяца назад

    Wanipe pesa tu

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +1

    Duuuuuu

  • @AmisiHassaniTygo
    @AmisiHassaniTygo 6 лет назад +1

    Je za tz?

    • @irenemboya9210
      @irenemboya9210 6 лет назад

      Lika kitu uwezo tu ndo mana hatufanan wakati unalala lodge ya elf 20 yupo ambaye anaona kubwa pia

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv 4 месяца назад

    NUMBER MOJA

  • @abbiyjaneth1150
    @abbiyjaneth1150 6 лет назад

    Tz hakuna au

  • @josurelauwo7104
    @josurelauwo7104 4 года назад

    Nitalala ndani ya hotel zote

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 4 года назад +1

    Duu mzee baba

  • @emedishebabinbawili4732
    @emedishebabinbawili4732 6 лет назад +3

    Hela za nunuwa nyumba yako wewe mwenyewe ndo pesa za kulala mu hotel siku moja duuuuh Subutuuuuuu.

  • @hadijagere1411
    @hadijagere1411 6 лет назад +1

    kulala usiku mmoja napesa bora pesa