TOP 10: Hizi ndizo hoteli zenye vyumba vya Bei za juu zaidi Duniani
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2018
- Ilikuwa ni mshikemshike mkubwa pindi Hyatt Regency hoteli ambayo zamani ilijulikana kama Kilimanjaro Kempinsky ya jijini Dar es Salaam kutangaza ofa ya chumba cha milioni 22 na laki 4 kwa ajili ya Siku ya Wapendanao yaani Valentines Day.
Inaelezwa kuwa chumba hiki ni kile wanacholala marais pindi wakija nchini na kwa siku za kawaida bei yake huwa ni Dola za Marekani 5000 sawa na Tsh Milioni 11 za Kitanzania.
Uongozi wa hoteli hiyo umetangaza kuwa simu zimemiminika tangu kutangazwa kwa ofa hiyo jana.
Kutokana na hilo Ayo TV na millardayo.com zimetafuta taarifa kuhusu hoteli 10 Duniani ambazo ni za gharama za juu zaidi.
AYO TV
the place where future billionaires come to get inspired.I love it
WAOOOOOW mpo vizuri Ayo mnauwezo wa kuchunguza mpana SAAANA big upp
Duu mzee baba
thank u janeth for the list...
Nipewe pesa tu nikatengeneze maisha ya muda mrefu sio ya cku moja
Bwana weee mm naenda kulla getoo tuuu... kwa pesaa hizooo Mmh! 😀😀
Bdo sana list yenu Mbna hamjaangazia french Polynesia? Na Maldives je?
Asante sauti nzuri sana
Oooh nzur saana
daah hku kwetu mbeya kuna hotel nyng sn,,, kulala kwa ucku moja ni Sh 7500,, sa kwann ntoe mil 100,, hyo ela sunajeng hotel Tukuyu
Jackson osward 😂😂😂😂😂😂😂usiseme
Jackson osward hahahahahaha ndo maana haitakiwi kusema hatuna pesa sema huna hela
😁😁😁😁😁😁
Jackson osward 😂😂
Jackson osward mara nyingi wageni wanatoka nchi za mbali wanataka kuspend iyo pesa yakawaida kwao kwa watu wakubwa
Noma sana
Pesa nzenyewe izo natoa wap ningenunuwa gari yangu naishi ndani kuliko kitu kama hicho
Daah 😀 noma san
Msiba huo hizo pesa wangekuwa wanatowa sadaka Allah anasema kusingekuwa na masikini dunia ila kuwa tajiri ni mtihan kwa Allah
Hapo mtu ukienda kuombwa tigo unaanzje kujifanya sijazoea MTU katoa mihela kama hyo duh hata kutamn cwez
Mimi nikiwa nahuwezo hiyo hotel president Wilson ya hususi ndiyo na weza kulala
Kiukwel ata leo nkitabaatsha Ml 500 natoa ML natoa ML 200 naenda kull hl nsafshe nyota
Jamana
Dah hata niwe na halisha pesa siwezi kulala kwenye hotel yoyote hapo yani sisi tupo omani tunahangaika miaka 2 kutafuta milioni 8 miaka 2 mtuanaenda kutoa pesa zaidi ya hizi kwa usiku moja 😂😂😁😁😁😬😬😬😬😬hapana kwakweli
Huko usiku sio masaa 12 ni zaidi ya wiki yaani usiku ni mrefu sana
😂😂😂😂
Lugha ya masikini utaielewa tu
Lugha ya masikini utaielewa tu
Lugha ya masikini utaielewa tu
Silali aisee kwan kitanda hicho kina nn aisee bora nitoe hiz pesa kwa watoto yatima aisee ntapata fadhila kwa Allah subhana na furaha ya milele akhera
Heeeeeeeheeeeee... Chinekeeeee.. Kweli vyuma vimelegea.. Teh Teh.
Mie napanga chumba keko machungwa tu
Nambaaaa 1
Pesa mpango mzima, wanipe tu hela, kulala hata kwenye mkeka unaweza lala
😨😨hivi jamani kuna watu wanaishi kweli maana hii ni kufuru kabisa
Kabla ya kulala kumbuka Kuna;
1.ela ya passport
2.ela ya nauli
3. Bado ujala
Mniachee😂😂
Zambi izo jamani simu Moja tuuuu bado kula nauli nakazalika duuuuuuuu
Sound of stupidity. Inawezeka ndio maana hizo hoteli zipo lkn mimi siwezi katakama hayo mabillioni yatakuwepo. Kunawatu wengi tu watahitaji msaada wangu sasa kuliko kujipa Paradise of one single night nibora nijiandalie life time Paradise
Na lala Sana tu
Mi nikiwa na ela nalala kila siku kwan izo ela utakufa nazo
bado sana, sio kwa usiku mmoja
Ndeni mwetu nimetosheka
mimi nachagua kulipwa pesa kwa hotel ile ya no 1
Na Tz ukipita na Sola elfu 9 tuu unakamatwa
hapana kuna hotel apa mbagala kwa siku buku jero aiseee inatosha kikubwa godoro nilale hayo mengne baraka tu
Hilton garden inn Miami,, nimelala pale km 2,days, if you do no that money,, you can't use,,! pesa mwenzie matmiz
gest inanitosha ata niwe billionea vp yn nitoe milioni 90 kisa kulala
Hata niwe bilionea siwez pes ndefu san unawez kununua vifaa vya mahospital au ukajeng shule kwa ajili ya watoto yatima mung tubark tusitumie pes vibay
Ukiwa nayo wala hutaona gharama
Watu maarufu km wachezaji na wana muziki n.k na Watu milionea ndio wanpo kwenda sehem km hz
Me naunga unga hapa nikipata dola 40elfu nalala hiyo hotel
Mimi napita tu maana mwenye pesa sio mwenzio
Daa
da! mm siwezi kutoa Pesa kwa ajili ya kulala kwenye hoteli hiyo
Hata ukilala kwenye nyumba ya tembe usingizi si ni uleule tu😂
bora pesa aiseeeeeee
jamani nipewe pesa kwani nkilala hapo ndo nakua tajiri au wanipe tuu hizo hela mi nifanye mambo yangu mengine
MUNGU WANGUUUUU
Daaaa iyo kufuru Sasa duu being kuwa Sasa
Hatar sanaaaaaa
Bora nipew besa mkononi nifanyie project za maana
HUKU KWETU IFAKARA KUNA HOTEL MOJA KULALA KWA USIKU MMOJA NI 3000 WALI WAKK WA BUKU MAJI KILOMBERO YA 500 KATIKA 5000 INABAKI JERO YAKUNUNULIA KONDOM NAMAISHA YANAENDA SAAAAFI
Fredy John Waifakara Tz 😂😂😂😂 nmecheka kw nguvu mpk
Ningechagua kupewa pesa
duh nikilala kwenye hoteli kama hizo lbd masaa yawe yanajirudia according to my money
Nahisi ukilla hzo hotel unafuta dhambi
Siwezi kupoteza hizo fedha zote mfano kama hizo za milioni 80.90 hadi 100 na zaidi ukichukua milioni 100 mara siku 30 za mwezi mzima mfano umekaa mwezi mzima ni sh 3,000,000,000
Na ukika mwaka mzima ni sh 36,000,000,000
Kwahiyo ni bora nijenge na mimi vya kwangu niwe naenda kula raha nasio kwenda eti huko kwasababu tu ni sehemu maarufu wewe Dada bilioni tatu kwa mwezi si mchezo na bilioni 36 kwa mwaka si mchezo hizo fedha kama kweli ukizipata harafu ukasema ujenge hotel au lodge kwa Tanzania unatisha hata ikiwezekana Africa nzima
Nitakwenda kulala hotel namba 3,1. One
bola nipewe pesa kama kulala hata nyumbani papo........................
milioni mia moja kumi na NNE kwa usiku mmoja ..
Hizo za marekani na Uswiz ndy zaidi
hzo ela mbona ntajenga yngu apa bongo aiseee
Ningetua UGRIC™
Wala cwezi kulala kwenye hoteli ya milioni 100..
Sik moj nikapotez ela zote izo subutuuuu
siwezi
Hii ya ugiliki nilishawahi kulal hapo😌😌🙄🙄🙄
Khaaaa hizo bei aisee siwezi kulala hata niwe na ela vipi,bora hizo ela nikawape masikini na wasiojiweza
Richard Kobero huwo nimdomo waliyo wengi wenu wanapo tajirika hunahau wasiyo jiwezan na mayahima husema pesa lilizo ziangikiya mimi nipale hawezikahi hutalala ni ukosefu huwo ndiyo huna kusemeha hivyo
Richard Kobero bado ujapata pesa ndg ukipata mbona kawwida t
Le meurice mbona haipooo
Hizo 114M bora nibet tu 😜
duuuuh hatar
pesa ninge chukuwa pesa zita nisaidiya kufanya biashara
sijaona mimi
gharama nyingine, ni pension za watu, jamani kweli dunia kufuru.
Brightone Fred ...Haaaaahaaaaa yaaniiii weeeee Achaaaa tuuuuu.. Khaaaaaaa..Milioni 114 haayaaa bwanaa
Ety elfu 7500
Kwani ukilala humo hautokufa
Nipewe pesa tu ila sio kulala uo usiku mmoja kwa izo pesa
Sizani
Sifanyi ujinga huo
3 bora
Million 114 kwa ajili ya kulala one day hahahahaha hatareee hii
Kwa mielaa iyoo si ni bora nijengee home kwetuu pembaa
@@omarkareem2133 mwenye hela wala hafikirii hayo
Kudadeki
Ata siku 1 nisingeenda
😂😂😂c chezei
Sidhubutu kulala huko hata bure🙌😂
Irmgard samia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
sylivia baruti balaa hili 🙌🙌
Izi ndio habari ninazo penda kuzisikia kila kuitwapo leo
Tunauza BP MACHINE (ELECTRONIC BLOOD PRESSURE MONITOR) kwa punguzo la asilimia 20%. Nakuomba uniandikie ulizo lolote DM au PIGA SIM 0715905167. Please kindly LIKE.
kupewates
Ya MIL 100
Wanipe pesa tu
Duuuuuu
Je za tz?
Lika kitu uwezo tu ndo mana hatufanan wakati unalala lodge ya elf 20 yupo ambaye anaona kubwa pia
NUMBER MOJA
Tz hakuna au
Nitalala ndani ya hotel zote
Duu mzee baba
Hela za nunuwa nyumba yako wewe mwenyewe ndo pesa za kulala mu hotel siku moja duuuuh Subutuuuuuu.
Emedi Sheba Bin Bawili hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
neema msanjila ndo manake
kulala usiku mmoja napesa bora pesa