MJUE AL MAKTOUM, BILIONEA wa DUBAI ANAYEISHI KAMA YUPO PEPONI..................

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • AL MAKTOUM, BILIONEA WA DUBAI ANAYEISHI KAMA YUPO PEPONI
    Ipo wazi kwamba hakuna mji wa kibiashara uliochangamka katika eneo la Mashariki ya Kati kama Dubai! Jengo refu zaidi kuliko yote duniani, Burj al Khalifa, lipo Dubai na ndani yake kuna maduka makubwa zaidi duniani ya Dubai Malls!
    Kuna majengo mengine ya kisasa zaidi duniani ikiwemo Burj Al Arab, vivutio vya kitalii na vituo vikubwa vya uwekezaji kama palm Island, Dubai Internet City, Dubai Media City, Dubai International Finance Centre na kadhalika!
    Kwa kifupi ni kwamba Dubai ni kama ‘pepo’ ya duniani hivi, yanapatikana mambo ambayo huwezi kuyapata sehemu nyingine yoyote duniani! Pengine unaweza kujiuliza, ni nani aliyepo nyuma ya mafanikio yote haya ambayo Dubai imeyafikia?..... GLOBAL TV ONLINE IMEKUANDALIA...
    GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

Комментарии • 758

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 года назад +118

    Haya yote yaduniani nisawa navumbi lenye kutawanyika na kimbunga Pepe itabaki daima usifananishe pepo ya Allah na mapambambo ya dunia

    • @shamsisaady4029
      @shamsisaady4029 4 года назад +6

      Ndugu hiyo ni lugha tu imetumika...tunaita kutia chumvi ili kunogesha simulizi...ni sawa utumwe dukani hlf mzee wako akakuambia "huko dukani mwaka mzima" au akakuambia "ulienda kununua makka au" ... Ni si makosa kusema ivo acha kuyafanya maisha kuwa magumu mzee!

    • @glorymrema6609
      @glorymrema6609 4 года назад

      Fatma Khanii riliiii sanaana

    • @habibuabdallah2657
      @habibuabdallah2657 4 года назад +1

      Fatma Khanii kabisa

    • @saidinyoni1937
      @saidinyoni1937 4 года назад

      Hasaa hilo ni kweli usifananishe napepo yamungu kabisa

    • @kaishazabengesi2971
      @kaishazabengesi2971 3 года назад +1

      Si vizuri kubeza aliloliruhusu Mungu. Twapashwa kumshukuru kwani uhenda kwa njia moja au nyingine ipo faida yakuwa na wenzetu kwa wakati huu ambao Mungu amependa wewe, mimi na yeye tuwe hai!!!!!!

  • @rukiakipande186
    @rukiakipande186 3 года назад +105

    Kama malizote tutanziacha hapa duniani gonga like twende xawa

    • @abdallahkwagga9120
      @abdallahkwagga9120 3 года назад

      Kaul za kimaskini

    • @justinamusyoka4986
      @justinamusyoka4986 3 года назад +1

      Maksudi ya mali ni kusaidia watu hapa duniani,na ndiyo inafanyika.Kuna watu hawaoni vizuri tajiri akiendelea zaidi wakisahau mali yake ni yetu pia.

    • @fx-farm6888
      @fx-farm6888 3 года назад +2

      Utajiri ni wakupita ni sawa lakini upitie nakwako basi

  • @oficialzaujath2919
    @oficialzaujath2919 4 года назад +175

    Hakuna mfano wa pepo pepo ni ya mungu tu usikifuru

    • @mohabatkhanmalak1161
      @mohabatkhanmalak1161 4 года назад

      Kweli sana, bwana.

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 года назад +6

      Kichwa panz umeambiwa pepo ya duniani,, iyo ya Mungu umewahi kufika au umefika kwa maandiko

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 года назад +2

      Sasa m2 akisema mpenzi wake mzur kama Malaika inakuwa vp hajakufuru??!! acheni upumbavu lazm mpambanue nn kamaanisha hiyo kusema yupo kama peponi yaani anamaanisha wa2 neno shida hawalijuwi wao wapo ktk burdani na stareh 2uuu..

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад +1

      Hiyo pepo ya Mungu iko wapi?

    • @kingofccl6886
      @kingofccl6886 4 года назад +1

      @@allykutenga2862 dont just bring argument out ot the blue, tafuta kwanza nn maana ya pepo
      Alaf si kila kilichozoeleka kufanywa na watu is appropiate to do bear that in mind

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 года назад +33

    Mashaa ALLAH
    Ndio bahati yake na km mali yake ametumia kwa Maskini,wajane na viwete Alhamdulillah Allah ampe Zaidi na amkinge na Shari Allahumma Aamiin.

    • @marygitahi9040
      @marygitahi9040 4 года назад

      kweli fimilia yeye na fayia kazi anawaxaidia kweli kila kitu

  • @daudipaulomatanga2947
    @daudipaulomatanga2947 4 года назад +17

    Allah kamruzuku nas twaomba atupe maisha mazuri

  • @KevinWakliFitness
    @KevinWakliFitness 4 года назад +11

    Napenda nchi yangu, Kenya...Daima mimi Mkenya.
    Ndugu zangu wa Tanzania na
    Uganda pia nawapenda kwa upendo wa Mungu🙏🙏🙏

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 3 года назад +2

    I love you al makhtoum, stay in knowing that, the more you helping others the more you got more, from allah, I wish you all the best of your life and your family, 💜♥️❤️♥️🇹🇿😭, never stop to help others, see you one day,

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 4 года назад +27

    Hakuna kitu kibaya kama uchoyo. Mungu akikupa na ikawa na uchoyo basi ujue huendi mbali.
    Juu ya kuwa matajiri,wamekaribisha wageni kutoka kona zote za Dunia kuja kujishughulisha na kazi za aina mbali mbali,muhimu wafuate sheria za nchi.Leo wako watu wanaotoka zaidi ya nchi 150 wanaishi kwa amani na usalama.
    Tunawatakia maendeleo zaidi katika miaka ijayo.

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 4 года назад +116

    Juu ya utajiri wake wote hana namba ya NIDA🙌

  • @oblack3051
    @oblack3051 4 года назад +6

    Mashaallah mung amzidishie na ss tuw km yey

  • @memoriesinlovewithtravisto7496
    @memoriesinlovewithtravisto7496 4 года назад +8

    He's the best ruler by the way,I've worked in Burj khalifa and yes Dubai is also the safest place at the moment,.

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed9359 3 года назад +2

    Allah amjaalie maisha mema mpk peponi yeye na sisi pia。ameen

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 4 года назад +34

    Tanzania is the most beautiful country in the world

    • @assiaamiri5645
      @assiaamiri5645 4 года назад

      Mkinga Sana nyooo unaharisha

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 4 года назад

      Ahsante sana na ubarikiwe sana.

    • @allyahmed4014
      @allyahmed4014 4 года назад

      Ujielewi

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 4 года назад +1

      @@allyahmed4014 ww ndo hujielewi, kwasababu Tanzania ni nchi nzuri kuliko yote duniani. Heb tafuta nchi nyingine nzuri kama Tanzania kisha uniambie.

    • @mohamedmuhajiri8348
      @mohamedmuhajiri8348 4 года назад

      @@micamathew6433 hahahahahaaaa ww akili una kwel

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 4 года назад +7

    Kenya forever penda wewe daima ✊✊🇰🇪🇰🇪

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 4 года назад +10

    i love so much my country Tanzania

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 4 месяца назад

    Mwenyezi MUNGU amuzidishie kikubwa moyo uliyo safi ili siku akiitwa aweze kuwa tayari kuishi katika ufalme wa Mwenyezi MUNGU baba 🙏🙏

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 3 года назад +1

    I love you Mohammed bin Rashid, ❤️🙏🙏♥️💜🇹🇿 help others

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 4 года назад +16

    Let him enjoy his life as he make other's happy

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +35

    Hakuna NCHI nzuri na yenye Aman Kama NCHI yangu TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 hzo NCHI zngne ctak shobo nazo wacha npak na Tz yangu LOve u 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nadranadra5287
    @nadranadra5287 4 года назад +4

    Mashallah ila no one like kabusi allah amrehem kwa moyo alokuwanayo

    • @fatmaaly3056
      @fatmaaly3056 4 года назад

      Kabus hana mfano alisaidia sana watu allah amrehem

    • @ykabomy8381
      @ykabomy8381 4 года назад

      Ameen

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Год назад

      Kweli gaboos hakuna wa kumfikia alisaidia wengi

  • @mrlioncomedyviber6540
    @mrlioncomedyviber6540 4 года назад +1

    Watakao kula mema ya dunia kwa mambo ya kishetani pepo ya mungu hawawezi kuiyona, nawatakia maisha mema wanafanya mambo mungu asio ya penda ya kishetani

    • @mrlioncomedyviber6540
      @mrlioncomedyviber6540 4 года назад +1

      Watalipa kwa makosa yao mbele ya Allah mungu aliye yeye akuna zaidi yake

  • @katunzijalaludin7222
    @katunzijalaludin7222 3 года назад +2

    Naaam swadddaqtar nimekubali sanaaaa one day I gonna live there

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi2971 3 года назад

    Kwa kidogo anachotoa kwa hiari yake twapashwa kumshukuru Mungu kwa kumjengea moyo huo wa huruma. Tarehe tano ya jumatatu juma hili ilikuwa siku ya kuwakumbuka walimu duniani yaani UN -WTD na yasemekana tajiri huyu ana zawadi ambayo hutolewa kwa Walimu waliojipambanua kuwa bora. Mungu azidi kuwagusa wanadamu waliojaliwa maisha bora mazuri na yakuridhisha, kujitoa kwa kupunguza madhila ya malimwengu. Amen.

  • @aby21111
    @aby21111 4 года назад +13

    Ya Allah bless my country forever 💃👍💪💪❤

  • @abednego91
    @abednego91 4 года назад +17

    I wish you can visit Dubai and you will realize how this family is down to earth. Fazza in most cases participates in community events such as blood donations, food sharing, sporting activities among others. You will barely differentiate him from other young guys.
    Al maktoum on the other hand rides his bike along the palm, with very minimal security detail. He once towed a guy whose car was stuck in sand with his G-wagon, he participates in horse riding in England where he has been a champion several times. I truly can't compare how they live with our Africa leaders who lives like kings.

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh686 4 года назад +1

    Mungu amzidishie anapotoa kwa hao maskini walemaviu n,k

  • @chiefmjukuutm6666
    @chiefmjukuutm6666 2 года назад

    Sawa sawa daaa

  • @othmanal-nabhany1019
    @othmanal-nabhany1019 3 года назад +2

    Yote hayo msisahau kusema masha Allah

  • @eliasfestus1499
    @eliasfestus1499 4 года назад +1

    Sio vema kufananisha Peponi na Dunia. Tumwogope Mungu muumba wambingu na nchi kila mmoja kwa Imani yake

    • @shamsisaady4029
      @shamsisaady4029 4 года назад

      Tatizo liko wapi?

    • @shamsisaady4029
      @shamsisaady4029 4 года назад

      Ndugu hiyo ni lugha tu imetumika...tunaita kutia chumvi ili kunogesha simulizi...ni sawa utumwe dukani hlf mzee wako akakuambia "huko dukani mwaka mzima" au akakuambia "ulienda kununua makka au" ... Ni si makosa kusema ivo acha kuyafanya maisha kuwa magumu mzee!
      Kafananisha maisha ya huyo jamaa (ya kifahari) mfano wa maisha ya peponi na hakuna ubaya katika hilo...Si vibaya dada watu kujinasibisha na vilivyo vizuri

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 4 года назад +30

    Yuko wapi FIRAUNI, yuko wapi KAARUN waziri wa Firauni
    Yangu kinaaa2 ya nafsi yng na Allah atupe Mwisho mwema Inshaallah tuseme amiin
    Hongera mtaarishaji

    • @saidaliy1567
      @saidaliy1567 4 года назад +1

      Mohamed Faris amiiiin

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      Yuko wapi Muhammad? Yuko wapi Ibrahim, Yuko wapi Yussuf....... Izraeli harembi kila mtu atakufa

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 4 года назад

      Kama hawapo so ndio waishi makapuku kama wwe...

    • @shamsisaady4029
      @shamsisaady4029 4 года назад

      Kwq hiyo kama hao uliowataja hawapo ndo na wewe usiwe tajiri au kutafuta maisha mazuri?🤔

    • @mohamedfaris3000
      @mohamedfaris3000 4 года назад

      Mungu amehalalisha mtu kutafuta akawa tajiri lkn ukikinai ichoicho ulicho nacho ni kheri pia kwako, Mtume alikua anamuomba Allah kwa kutaka siku apewe ashukuru na siku inayofuata akose ashukuru maana mtu akipewa kila siku huenda kukampelekea kukufuru japo kdg, فمن اراد الدنيا فالقناعةيكفيه, mwenye kuitaka dunia basi atambue kukinai kunamtosha فمن اراد موعظة فلموت تمفيه na mwenye kutaka mawaidha basi mauti yatamtosha, lkn ukitaka utajiri si vibaya kutafuta lkn wa halali

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 4 года назад +3

    hongeĺa mtangazaji kwakuyajuwa yote hayo
    nahongela kujuwa kuwa anaishi kama yuko peponi na hongela mwenzetu uloenda peponi ukajuwa maisha yahuko

    • @shamsisaady4029
      @shamsisaady4029 4 года назад

      Ndugu hiyo ni lugha tu imetumika...tunaita kutia chumvi ili kunogesha simulizi...ni sawa utumwe dukani hlf mzee wako akakuambia "huko dukani mwaka mzima" au akakuambia "ulienda kununua makka au" ... Ni si makosa kusema ivo acha kuyafanya maisha kuwa magumu mzee!

    • @tatuathmani883
      @tatuathmani883 4 года назад

      @@shamsisaady4029 haya kaka hakuna shida najuwa upokazini

  • @tatukulunge8121
    @tatukulunge8121 3 года назад +1

    Peso no ya Allah Tuu tuombe tuifikie inshallah

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 года назад +37

    Dubai nzur inavutia naipenda ila naipenda zaid tanzania yngu

    • @aminamkamba5406
      @aminamkamba5406 4 года назад

      😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 года назад +1

      Tanzania ki nature ni kweli ni nzuri. Lakini uzuri na njaa ya maisha duni kuna sababisha kutokuuona uzuri wa nchi yetu.

    • @omarymbalala6224
      @omarymbalala6224 4 года назад

      🤔🤔🤔 Tanzania unaipendea nn hii

    • @onyokoreo7999
      @onyokoreo7999 4 года назад

      Nyumbani ni nyumbani

    • @angeljasson4376
      @angeljasson4376 4 года назад

      @@omarymbalala6224 ni kwetu lazima niipende siwezi kupenda nch ya wengine alf yngu niikanyage uwo utakua utumwa my dear

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 года назад +130

    PEPO YA MOLA WETU HAINA MFANO CHOCHOTE KILICHOPO DUNIANI HAKIWEZI KUFANANISHWA NA VILIVYOMO PEPONI.

    • @nassorrashid2521
      @nassorrashid2521 4 года назад

      Sahihi

    • @steveswakei9600
      @steveswakei9600 4 года назад +2

      Hawa wanaamini peponi kuzuri kama mali ya huyu mfalme wa dubai, nanyi mnaamini peponi yenu nikuzuri kuna ma bikra?

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 4 года назад +2

      Peponi ni hapahapa dunia ndo utamu wetu ulipo km kuna mtu anaamini Kuna utamu wa maisha zaidi ya haya hiyo ni abstract!

    • @abdalahabdalah7853
      @abdalahabdalah7853 3 года назад +1

      @@seifkulwa3346 ukosahihi kabisa, waliotuletea dini walibadili na wanajua kabisa hii dunia tunayoichezea ndio pepo yenyewe

    • @aokinsindi6948
      @aokinsindi6948 3 года назад

      Mola kampa

  • @emmanueljoseph6171
    @emmanueljoseph6171 3 года назад +1

    Yaani kama kuna kiongozi nwenye utu 1wapo ni huyu,hana majivuno na ni msikivu kwa mtu yoyote, tunaofanya kazi kwa huyu mkuu gonga like

  • @usmanmpazi2295
    @usmanmpazi2295 4 года назад +3

    Ukitaka kuielezea dubai ielezee ila usitaje neno pepo kijana utaangamia Alie umba pepo amesema jicho halijapata kuona wala sikio halijapata kusikia.Fanya kazi yako bila kuharibu mahusiano yako na mungu.Huu ni ushauri/ukumbusho tu.

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 года назад

      Chiz wew,, unapomtaja demu wako kama malaika unamjua malaika wew,, wabongo akili hakuna umeambiwa kama yaani mfanano wa maisha mazuri

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 года назад

      Chiz wew,, unapomtaja demu wako kama malaika unamjua malaika wew,, wabongo akili hakuna umeambiwa kama yaani mfanano wa maisha mazuri

    • @usmanmpazi2295
      @usmanmpazi2295 4 года назад

      @@hallin9561 ww umeshawahi kunisikia namwambia dem yupo kama malaika?? Nilikuwa nakuelekeza hukutakiwa ku panic

    • @usmanmpazi2295
      @usmanmpazi2295 4 года назад

      Kama unajiona uko sahihi basi endelea tu wala hakuna ugomvi hapo

  • @fat-hiyarashid4605
    @fat-hiyarashid4605 4 месяца назад

    Pepo ni Pepo Tu huwezi ifanananisha Pepo ya mungu na binadamu haitokei hio

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 4 года назад +148

    Pepo ni ya Mungu tu

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 4 года назад +4

      Kweli kabisa...ingekua ni pepo mkewe na wanae 2 asinge mtoroka pi wanae wawili wakubwa shamsa na latiffa number 2 walijaribu kutoroka (ana wtt watatu kwa jina la latiffa)

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 4 года назад +4

      @@shifaaal-baity4503 mmmh sass kwanin watoroke au kuna siri za nyuma ya kapet

    • @lubavaclassic7048
      @lubavaclassic7048 4 года назад +16

      Wabongo hakili fupi sana....kwani ukiambiwa sehemu ni peponi si wamechukulia mfano kutokana na ayo mazingira ni vigumu kukutana na shida ndogondogo zakipumbavu....ni sawa na wewe ukamiita mpenzi wako Malaika kwani kuna malaika anaeonekana kimwili dumiani hapa...??Sasa kama kumuita msichana mzuri Malaika ni sawa kwanini kuita sehemu nzuri pepo iwe kufuru...??

    • @dunduumaster4815
      @dunduumaster4815 4 года назад +2

      Saudi wanawake hawafurahii maisha wanaminywa

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 4 года назад +2

      @@maryammaram2612 bila shaka

  • @sirvergans4542
    @sirvergans4542 3 года назад

    Mungu amuongeze zaidi na zaidi Dunian na Mbinguni

  • @ramaamiri7964
    @ramaamiri7964 3 года назад +1

    Mtangazaji ogopa sana kauli zako pepo haina mfanowake dunian hakika mwenyezi mungu akusamehe tu maana unajitaftia riziki ila chunga ndimi zako

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 года назад +8

    Vilivyomo ndani ya pepo ya Allah ktk utajiri wahuyu jamaa hata mfano hautoweza kupigiwa pepo haina mfano wake be care bro na kichwa chako cha habari but kwa vile umeteleza Allah atakuswameh in shaa Allah coz no perfect accept god.

  • @hakusfakir7364
    @hakusfakir7364 2 года назад

    Mashaallah......🤲

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад

    Al-maktoum Hatari sana

  • @mukayamukama3123
    @mukayamukama3123 3 года назад

    anisaidie na mimi naomba hata dola dola50000 maisha yawe safi

  • @dydahjahadhmy4920
    @dydahjahadhmy4920 3 года назад +3

    This guy loves cars like late Ginimbi.

    • @justinamusyoka4986
      @justinamusyoka4986 3 года назад

      You cant compare Ginimbi with this man net worthy billions.

  • @princesray5520
    @princesray5520 2 года назад

    Hongera yk

  • @reazahmohjey7724
    @reazahmohjey7724 4 года назад +14

    Astakhafirullah ...Ushawai kwenda peponi? Wacha kukufuru we we. Mungu akusamehe

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 4 года назад

    Ya duniya yatabaki alakini ukiwa wa Mungu hautatikisiki kamwe pepo ya mungu nizuri kuliko pepo ya duniani. Leo ni korona tajiri masikini wote wako chini ya migu ndani hawa toki ije, nikumuamini mungu tu

  • @aminasalim8984
    @aminasalim8984 3 года назад +2

    Mashallah🙏🙏

  • @ghatimakonge9383
    @ghatimakonge9383 2 года назад

    Ubarikiwe Sana,🙏🔥🙏

  • @williamnyanda1552
    @williamnyanda1552 4 года назад +13

    Ipo siku na mm mtasoma yakwangu

  • @alimwamasumbo7535
    @alimwamasumbo7535 4 года назад

    Masha Allah...lkn usifananishe pepo na vitu vilivyopo chini ya jua uwe tajiri au maskini nguo ya kuzikiwa chini ya udongo ni moja tu nyeupe duni thamani ata maskini awe na shida vipi ya kimavazi apatiwe bado anaikataa,tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema amiin rabby amiin 🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 4 года назад +2

    Pepo iko kwa Allah

  • @benardcharles3531
    @benardcharles3531 3 года назад +2

    Life is a long journey 🙏 let us compete for our luck

  • @aliya2815
    @aliya2815 2 года назад

    ماشاءالله

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph4386 4 года назад +24

    Fikiri utavyo fikiri uwezi kudiliki mfano wa pepo kwenye akili yako ila utadanya nafsi yako

  • @zuwenasuleiman2115
    @zuwenasuleiman2115 4 года назад +73

    pepo haina mfanoo

  • @fidescharles6392
    @fidescharles6392 3 года назад

    ngoja nikae kimya daa kuna watu wanaishi na kuna wenye tunasindika maisha asante Mungu kwa Nyakati zote 🙏🏻❤️

  • @Ashsultana
    @Ashsultana 3 года назад +2

    Siku zote kiongozi wenye mafanikio hufanya nchi yake kuendelea sio sisi tunaolilia kinyang’anyilo cha uongozi ili kupeleka shida zetu tukazimalizie selikalini

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 4 года назад +40

    Wanao kandia humu wote ni maskini believe me.Huyu mfalme ndio kaifanya Dubai iwe maarufu.mwaka 1986 Dubai ilikuwa maskini na sehemu kubwa ili kuwa jangwa.

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 4 года назад

      Hahaha nikweli

    • @ebbyminja8184
      @ebbyminja8184 4 года назад

      Amin kwamba lkn pmj na haya yote Mwenyezi Mungu bado 98% ya akili za binadam hazijatumika ni 2% huyu Bwana yupo vizuri sijui cc Tz tunafeli wap

    • @chrisskibaking8184
      @chrisskibaking8184 4 года назад

      Naaaam cc walala njaa ndo tunakandia 😂😂😂😂

    • @comicvisual8661
      @comicvisual8661 4 года назад

      Dah nomaa mzee

    • @blaisekabeya51
      @blaisekabeya51 3 года назад

      Lkn ana kitambulisho kia tz

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад +5

    Ahsante sana kwa kutuhabarisha vya huko duniani, lkn nikwambie kitu: uzuri wa Mbinguni haiwezi kulinganishwa na chochote kilichopo duniani. Sasa hapa bro utakosea. Jaribu kurekebisha kauli.

  • @fatmakilungi1871
    @fatmakilungi1871 3 года назад

    Mashaallah

  • @5starmediatvonline688
    @5starmediatvonline688 4 года назад +4

    utajiri na heshima hutoka mikononi mwa Bwana tena utajiri idumuayo ......na ww jipe moyo subria yako upewe

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo Год назад

    Pole mtangazaji kwa kujikamua kusifu
    2020 alilewa mpaka kupepesuka alishindwa hata kutoa speech na djnia ilimtazama
    Hivyo kuwa kama watu wa kawaida ni upuuzi wa tabia waliyokuwa nayo wachache wao tu ndio wana tabia njema
    Ingelikuwa wazuri watu wasingekuwa wanawalalamikia ispokuwa hupenda kuingilia mambo ya watu na kuwadhulumu

  • @hajikishuwa1078
    @hajikishuwa1078 4 года назад +3

    Like kwa mtangazaji

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 4 года назад +15

    Jamani unasauti kama mpagazi

  • @sheena8868
    @sheena8868 3 года назад

    Ataziacha tu Japan Dunian

  • @petermenza3604
    @petermenza3604 4 года назад +1

    Yesu kasema itakua rahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko TAJIRI KUINGIA MBOINGUNI

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад +6

    Achana Na Pepo Eshim Kauli Za Mungu Pepo Ni Sili Kubwa Sana

  • @ustadhisimba248
    @ustadhisimba248 2 года назад

    Asalam alaikum warahamatu lhah wabarakatu, naombi

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 4 года назад +7

    DUBAI mashaallah #(+974🇶🇦🇶🇦)

  • @bashirmwangi2642
    @bashirmwangi2642 4 года назад +1

    Ikko sawa let him enjoy

  • @MussaNdalugilie
    @MussaNdalugilie 5 месяцев назад

    Yesu akija hayo yote yatavunjws

  • @hamisipawa9336
    @hamisipawa9336 4 года назад +10

    Naikubali sna global tv kwa ajili ya haya mambo

  • @khaliali235
    @khaliali235 4 года назад +2

    Jamaa Kama mtiga abdallah

  • @idrisakasuwi7865
    @idrisakasuwi7865 3 года назад

    Wew mtangazaji usiseme dubai pepo kenge wew

  • @godlizenmoshiituwe5028
    @godlizenmoshiituwe5028 4 года назад +1

    Tatizo unapenda sana kukuza mambo, ni ukweli kuwa anamiliki vitu vya kifahari lakini hujaelezea ni namna gani anaishi kama peponi,

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 4 года назад +1

    Mamae walah acha tuwasindikize tu duniani hapa

  • @alisaid9216
    @alisaid9216 4 года назад

    Proud to be In uae best place

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba 3 года назад +1

    Zanzibar iliendelea mwanzo kuliko Dubai lkn ndio dampo la dunia saaivi.

  • @mirriammueni1156
    @mirriammueni1156 3 года назад

    God bless you

  • @aby21111
    @aby21111 4 года назад +3

    Our prince posts even joking with masai and riding a cab in New York. He's a normal kind prince.

  • @eliudjacob2421
    @eliudjacob2421 4 года назад

    Pepo ya mungu haifananishwi na kitu chochote hapa duniani

  • @ibrayakub476
    @ibrayakub476 4 года назад +15

    jicho halijawah kuona sikio halijawahi kusikia pua halijawahi kunusa hiyo ndio pepo aliotuambia mtume sijui we mwenzangu unafananishaje pepo na anasa za dunia kama sio kufru hiyo

    • @zulihanani7355
      @zulihanani7355 4 года назад

      Hiyo nikweli Allahu Akbar

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 года назад

      Ukickia pepo ya dunia siyo kama anafananisha na Pepo ya Muweza anamaanisha huyo m2 anaishi maisha ya mazr(Kifahar)ni sawa na kusema mpenzi wng mzr micli ya malaika kwani kuna malaika ana umbile la binaadam??mbona mkickia hivyo hamsemi kama m2 kakufuruu!!!..

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 года назад

      Ukickia pepo ya dunia siyo kama anafananisha na Pepo ya Muweza anamaanisha huyo m2 anaishi maisha ya mazr(Kifahar)ni sawa na kusema mpenzi wng mzr micli ya malaika kwani kuna malaika ana umbile la binaadam??mbona mkickia hivyo hamsemi kama m2 kakufuruu!!!..

    • @zahranmimibahamasnawimbled6546
      @zahranmimibahamasnawimbled6546 4 года назад

      NAFIKIRI SANA HUYU JAMAA ALIKUFA KHALAFU AKENDA PEPONI KISHA AKARUDISHWA DUNIANI KUTUSIMULIA

  • @mohabatkhanmalak1161
    @mohabatkhanmalak1161 4 года назад +8

    Izo ma billioni, pamoja na wasiwasi. Wengi wame kuja na waka ondoka, duniya ni muwakat.

    • @shamsisaady4029
      @shamsisaady4029 4 года назад

      Kwa hiyo watu tusitafute maisha mazuri hapa duniani? Au tunachotakiwa ni kubalance kati ya masiha ya dunia na ya akhera? Yani tusiisahau akhera yetu kwa kuiendekeza sana dunia? Tafuta pesa mzee acha mawazo ya kimaskini lkn usisahau kuiandaa akhera yako pia...mtume anasema "ishi duniani kana kwamba utaishi milele, na ishi duniani kana kwamba utaondoka sasa"..

    • @mohabatkhanmalak1161
      @mohabatkhanmalak1161 4 года назад

      @@shamsisaady4029 Hiyo ni mawaza zangu piya mze. Nili ishi kule Khaleeji miyaka milele, na neme ona sana nini ententewa kule.

  • @mrich073
    @mrich073 4 года назад

    God is Good

  • @mako331
    @mako331 4 года назад +31

    Kama ni hivyo uso wake ungekuwa na Amani na furaha, jamaa anakaa kukasirika saa zote

    • @jordanyassin6038
      @jordanyassin6038 4 года назад

      Hawa hawaijui pepon Hawa washenzi tu

    • @sweetmelody9927
      @sweetmelody9927 4 года назад +5

      Usiwai angalia mtu wa kufurahi ama ku smile smile ovyo ovyo ukadhani ndio wazuri heri hawa stone face they are good inside lkn hiyo wa ku smile na kucheka fear them Ni Moto wa kuotea mbali

    • @lloydnash7735
      @lloydnash7735 3 года назад

      Money is not everything 😂😂

  • @kaimuulongo9590
    @kaimuulongo9590 3 года назад

    Daar yan sio pow

  • @bananatz4216
    @bananatz4216 4 года назад +11

    🇦🇪🇦🇪 Tujuwane

  • @vincyleyian
    @vincyleyian 4 года назад

    Sure bet sons great work indeed

  • @mussazhr1784
    @mussazhr1784 4 года назад

    Nice country

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 3 года назад

    Sawa

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 года назад

    Nice

  • @alexgaifalo2410
    @alexgaifalo2410 4 года назад

    HAKUNA MFANO WA PEPO HAPA DUNIANI,HUWEZI LINGANISHA MJI AMBAO YESU AMEENDA KUANDAA NA MIJI YA HAPA DUNIANI MFANO MJI MTAKATIFU HAKUNA KORONA

  • @kizaziperfect
    @kizaziperfect 4 года назад +2

    C billionea 7 ni namba 1

  • @ashanange832
    @ashanange832 4 года назад +1

    Pepo pia dunian ipo ukijaliwa, ila utajir wa kufuru maana utajir ukiupewa na ukautumia kwa haki si kufuru

  • @mahmudshaban3156
    @mahmudshaban3156 3 года назад

    Duhh

  • @neilasinan5126
    @neilasinan5126 3 года назад +5

    How can you compare paradise of Allah to that desert of a man made land

  • @abdallahshariff3608
    @abdallahshariff3608 3 года назад

    Usifananishe Dubai na pepo ya mungu, Hizo no starehe za mpito tu

  • @feiz3180
    @feiz3180 2 года назад

    Yaani watz ni watu wenye wivu sana. Dubai sio tajiri kama tz. TZ ni tajiri lakini viongozi ni wezi. Hao waarabu wanajenga nchi zao.