MJUE AL MAKTOUM, BILIONEA wa DUBAI ANAYEISHI KAMA YUPO PEPONI..................
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- AL MAKTOUM, BILIONEA WA DUBAI ANAYEISHI KAMA YUPO PEPONI
Ipo wazi kwamba hakuna mji wa kibiashara uliochangamka katika eneo la Mashariki ya Kati kama Dubai! Jengo refu zaidi kuliko yote duniani, Burj al Khalifa, lipo Dubai na ndani yake kuna maduka makubwa zaidi duniani ya Dubai Malls!
Kuna majengo mengine ya kisasa zaidi duniani ikiwemo Burj Al Arab, vivutio vya kitalii na vituo vikubwa vya uwekezaji kama palm Island, Dubai Internet City, Dubai Media City, Dubai International Finance Centre na kadhalika!
Kwa kifupi ni kwamba Dubai ni kama ‘pepo’ ya duniani hivi, yanapatikana mambo ambayo huwezi kuyapata sehemu nyingine yoyote duniani! Pengine unaweza kujiuliza, ni nani aliyepo nyuma ya mafanikio yote haya ambayo Dubai imeyafikia?..... GLOBAL TV ONLINE IMEKUANDALIA...
GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...
Haya yote yaduniani nisawa navumbi lenye kutawanyika na kimbunga Pepe itabaki daima usifananishe pepo ya Allah na mapambambo ya dunia
Ndugu hiyo ni lugha tu imetumika...tunaita kutia chumvi ili kunogesha simulizi...ni sawa utumwe dukani hlf mzee wako akakuambia "huko dukani mwaka mzima" au akakuambia "ulienda kununua makka au" ... Ni si makosa kusema ivo acha kuyafanya maisha kuwa magumu mzee!
Fatma Khanii riliiii sanaana
Fatma Khanii kabisa
Hasaa hilo ni kweli usifananishe napepo yamungu kabisa
Si vizuri kubeza aliloliruhusu Mungu. Twapashwa kumshukuru kwani uhenda kwa njia moja au nyingine ipo faida yakuwa na wenzetu kwa wakati huu ambao Mungu amependa wewe, mimi na yeye tuwe hai!!!!!!
Kama malizote tutanziacha hapa duniani gonga like twende xawa
Kaul za kimaskini
Maksudi ya mali ni kusaidia watu hapa duniani,na ndiyo inafanyika.Kuna watu hawaoni vizuri tajiri akiendelea zaidi wakisahau mali yake ni yetu pia.
Utajiri ni wakupita ni sawa lakini upitie nakwako basi
Hakuna mfano wa pepo pepo ni ya mungu tu usikifuru
Kweli sana, bwana.
Kichwa panz umeambiwa pepo ya duniani,, iyo ya Mungu umewahi kufika au umefika kwa maandiko
Sasa m2 akisema mpenzi wake mzur kama Malaika inakuwa vp hajakufuru??!! acheni upumbavu lazm mpambanue nn kamaanisha hiyo kusema yupo kama peponi yaani anamaanisha wa2 neno shida hawalijuwi wao wapo ktk burdani na stareh 2uuu..
Hiyo pepo ya Mungu iko wapi?
@@allykutenga2862 dont just bring argument out ot the blue, tafuta kwanza nn maana ya pepo
Alaf si kila kilichozoeleka kufanywa na watu is appropiate to do bear that in mind
Mashaa ALLAH
Ndio bahati yake na km mali yake ametumia kwa Maskini,wajane na viwete Alhamdulillah Allah ampe Zaidi na amkinge na Shari Allahumma Aamiin.
kweli fimilia yeye na fayia kazi anawaxaidia kweli kila kitu
Allah kamruzuku nas twaomba atupe maisha mazuri
Amin yaaraby
Napenda nchi yangu, Kenya...Daima mimi Mkenya.
Ndugu zangu wa Tanzania na
Uganda pia nawapenda kwa upendo wa Mungu🙏🙏🙏
Nakupenda pia uwe na maisha marefu
Amen Amen .From Tz we love you too.Let love lead.
I love you al makhtoum, stay in knowing that, the more you helping others the more you got more, from allah, I wish you all the best of your life and your family, 💜♥️❤️♥️🇹🇿😭, never stop to help others, see you one day,
Hakuna kitu kibaya kama uchoyo. Mungu akikupa na ikawa na uchoyo basi ujue huendi mbali.
Juu ya kuwa matajiri,wamekaribisha wageni kutoka kona zote za Dunia kuja kujishughulisha na kazi za aina mbali mbali,muhimu wafuate sheria za nchi.Leo wako watu wanaotoka zaidi ya nchi 150 wanaishi kwa amani na usalama.
Tunawatakia maendeleo zaidi katika miaka ijayo.
Ww
Amiin 🥰
Juu ya utajiri wake wote hana namba ya NIDA🙌
😂😂😂 dah
Umeua
umetsha mwana aisome iyo
Haahahaj acha utani bwana yeye si mtanzania sawa na weye mbona huna namba ua Al dubai Hurufii
Bangimbichi hyo kaka
Mashaallah mung amzidishie na ss tuw km yey
He's the best ruler by the way,I've worked in Burj khalifa and yes Dubai is also the safest place at the moment,.
Allah amjaalie maisha mema mpk peponi yeye na sisi pia。ameen
Tanzania is the most beautiful country in the world
Mkinga Sana nyooo unaharisha
Ahsante sana na ubarikiwe sana.
Ujielewi
@@allyahmed4014 ww ndo hujielewi, kwasababu Tanzania ni nchi nzuri kuliko yote duniani. Heb tafuta nchi nyingine nzuri kama Tanzania kisha uniambie.
@@micamathew6433 hahahahahaaaa ww akili una kwel
Kenya forever penda wewe daima ✊✊🇰🇪🇰🇪
Strong together 🇰🇪🇪🇸
i love so much my country Tanzania
Mwenyezi MUNGU amuzidishie kikubwa moyo uliyo safi ili siku akiitwa aweze kuwa tayari kuishi katika ufalme wa Mwenyezi MUNGU baba 🙏🙏
I love you Mohammed bin Rashid, ❤️🙏🙏♥️💜🇹🇿 help others
Let him enjoy his life as he make other's happy
Hakuna NCHI nzuri na yenye Aman Kama NCHI yangu TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 hzo NCHI zngne ctak shobo nazo wacha npak na Tz yangu LOve u 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sana nyumbani kwanza
Enda hata US hutatamani kurudi TZ tena
kwel
@@eliudjacob2421 nyumbani ni nyumban Tz kwanza
@@natureworld295 Hata Kama lkn nyumbani ni nyumban mkataa kwao mtumwa
Mashallah ila no one like kabusi allah amrehem kwa moyo alokuwanayo
Kabus hana mfano alisaidia sana watu allah amrehem
Ameen
Kweli gaboos hakuna wa kumfikia alisaidia wengi
Watakao kula mema ya dunia kwa mambo ya kishetani pepo ya mungu hawawezi kuiyona, nawatakia maisha mema wanafanya mambo mungu asio ya penda ya kishetani
Watalipa kwa makosa yao mbele ya Allah mungu aliye yeye akuna zaidi yake
Naaam swadddaqtar nimekubali sanaaaa one day I gonna live there
Kwa kidogo anachotoa kwa hiari yake twapashwa kumshukuru Mungu kwa kumjengea moyo huo wa huruma. Tarehe tano ya jumatatu juma hili ilikuwa siku ya kuwakumbuka walimu duniani yaani UN -WTD na yasemekana tajiri huyu ana zawadi ambayo hutolewa kwa Walimu waliojipambanua kuwa bora. Mungu azidi kuwagusa wanadamu waliojaliwa maisha bora mazuri na yakuridhisha, kujitoa kwa kupunguza madhila ya malimwengu. Amen.
Ya Allah bless my country forever 💃👍💪💪❤
I wish you can visit Dubai and you will realize how this family is down to earth. Fazza in most cases participates in community events such as blood donations, food sharing, sporting activities among others. You will barely differentiate him from other young guys.
Al maktoum on the other hand rides his bike along the palm, with very minimal security detail. He once towed a guy whose car was stuck in sand with his G-wagon, he participates in horse riding in England where he has been a champion several times. I truly can't compare how they live with our Africa leaders who lives like kings.
Mungu amzidishie anapotoa kwa hao maskini walemaviu n,k
Sawa sawa daaa
Yote hayo msisahau kusema masha Allah
Sio vema kufananisha Peponi na Dunia. Tumwogope Mungu muumba wambingu na nchi kila mmoja kwa Imani yake
Tatizo liko wapi?
Ndugu hiyo ni lugha tu imetumika...tunaita kutia chumvi ili kunogesha simulizi...ni sawa utumwe dukani hlf mzee wako akakuambia "huko dukani mwaka mzima" au akakuambia "ulienda kununua makka au" ... Ni si makosa kusema ivo acha kuyafanya maisha kuwa magumu mzee!
Kafananisha maisha ya huyo jamaa (ya kifahari) mfano wa maisha ya peponi na hakuna ubaya katika hilo...Si vibaya dada watu kujinasibisha na vilivyo vizuri
Yuko wapi FIRAUNI, yuko wapi KAARUN waziri wa Firauni
Yangu kinaaa2 ya nafsi yng na Allah atupe Mwisho mwema Inshaallah tuseme amiin
Hongera mtaarishaji
Mohamed Faris amiiiin
Yuko wapi Muhammad? Yuko wapi Ibrahim, Yuko wapi Yussuf....... Izraeli harembi kila mtu atakufa
Kama hawapo so ndio waishi makapuku kama wwe...
Kwq hiyo kama hao uliowataja hawapo ndo na wewe usiwe tajiri au kutafuta maisha mazuri?🤔
Mungu amehalalisha mtu kutafuta akawa tajiri lkn ukikinai ichoicho ulicho nacho ni kheri pia kwako, Mtume alikua anamuomba Allah kwa kutaka siku apewe ashukuru na siku inayofuata akose ashukuru maana mtu akipewa kila siku huenda kukampelekea kukufuru japo kdg, فمن اراد الدنيا فالقناعةيكفيه, mwenye kuitaka dunia basi atambue kukinai kunamtosha فمن اراد موعظة فلموت تمفيه na mwenye kutaka mawaidha basi mauti yatamtosha, lkn ukitaka utajiri si vibaya kutafuta lkn wa halali
hongeĺa mtangazaji kwakuyajuwa yote hayo
nahongela kujuwa kuwa anaishi kama yuko peponi na hongela mwenzetu uloenda peponi ukajuwa maisha yahuko
Ndugu hiyo ni lugha tu imetumika...tunaita kutia chumvi ili kunogesha simulizi...ni sawa utumwe dukani hlf mzee wako akakuambia "huko dukani mwaka mzima" au akakuambia "ulienda kununua makka au" ... Ni si makosa kusema ivo acha kuyafanya maisha kuwa magumu mzee!
@@shamsisaady4029 haya kaka hakuna shida najuwa upokazini
Peso no ya Allah Tuu tuombe tuifikie inshallah
Dubai nzur inavutia naipenda ila naipenda zaid tanzania yngu
😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃
Tanzania ki nature ni kweli ni nzuri. Lakini uzuri na njaa ya maisha duni kuna sababisha kutokuuona uzuri wa nchi yetu.
🤔🤔🤔 Tanzania unaipendea nn hii
Nyumbani ni nyumbani
@@omarymbalala6224 ni kwetu lazima niipende siwezi kupenda nch ya wengine alf yngu niikanyage uwo utakua utumwa my dear
PEPO YA MOLA WETU HAINA MFANO CHOCHOTE KILICHOPO DUNIANI HAKIWEZI KUFANANISHWA NA VILIVYOMO PEPONI.
Sahihi
Hawa wanaamini peponi kuzuri kama mali ya huyu mfalme wa dubai, nanyi mnaamini peponi yenu nikuzuri kuna ma bikra?
Peponi ni hapahapa dunia ndo utamu wetu ulipo km kuna mtu anaamini Kuna utamu wa maisha zaidi ya haya hiyo ni abstract!
@@seifkulwa3346 ukosahihi kabisa, waliotuletea dini walibadili na wanajua kabisa hii dunia tunayoichezea ndio pepo yenyewe
Mola kampa
Yaani kama kuna kiongozi nwenye utu 1wapo ni huyu,hana majivuno na ni msikivu kwa mtu yoyote, tunaofanya kazi kwa huyu mkuu gonga like
Ukitaka kuielezea dubai ielezee ila usitaje neno pepo kijana utaangamia Alie umba pepo amesema jicho halijapata kuona wala sikio halijapata kusikia.Fanya kazi yako bila kuharibu mahusiano yako na mungu.Huu ni ushauri/ukumbusho tu.
Chiz wew,, unapomtaja demu wako kama malaika unamjua malaika wew,, wabongo akili hakuna umeambiwa kama yaani mfanano wa maisha mazuri
Chiz wew,, unapomtaja demu wako kama malaika unamjua malaika wew,, wabongo akili hakuna umeambiwa kama yaani mfanano wa maisha mazuri
@@hallin9561 ww umeshawahi kunisikia namwambia dem yupo kama malaika?? Nilikuwa nakuelekeza hukutakiwa ku panic
Kama unajiona uko sahihi basi endelea tu wala hakuna ugomvi hapo
Pepo ni Pepo Tu huwezi ifanananisha Pepo ya mungu na binadamu haitokei hio
Pepo ni ya Mungu tu
Kweli kabisa...ingekua ni pepo mkewe na wanae 2 asinge mtoroka pi wanae wawili wakubwa shamsa na latiffa number 2 walijaribu kutoroka (ana wtt watatu kwa jina la latiffa)
@@shifaaal-baity4503 mmmh sass kwanin watoroke au kuna siri za nyuma ya kapet
Wabongo hakili fupi sana....kwani ukiambiwa sehemu ni peponi si wamechukulia mfano kutokana na ayo mazingira ni vigumu kukutana na shida ndogondogo zakipumbavu....ni sawa na wewe ukamiita mpenzi wako Malaika kwani kuna malaika anaeonekana kimwili dumiani hapa...??Sasa kama kumuita msichana mzuri Malaika ni sawa kwanini kuita sehemu nzuri pepo iwe kufuru...??
Saudi wanawake hawafurahii maisha wanaminywa
@@maryammaram2612 bila shaka
Mungu amuongeze zaidi na zaidi Dunian na Mbinguni
Mtangazaji ogopa sana kauli zako pepo haina mfanowake dunian hakika mwenyezi mungu akusamehe tu maana unajitaftia riziki ila chunga ndimi zako
Vilivyomo ndani ya pepo ya Allah ktk utajiri wahuyu jamaa hata mfano hautoweza kupigiwa pepo haina mfano wake be care bro na kichwa chako cha habari but kwa vile umeteleza Allah atakuswameh in shaa Allah coz no perfect accept god.
Mashaallah......🤲
Al-maktoum Hatari sana
anisaidie na mimi naomba hata dola dola50000 maisha yawe safi
This guy loves cars like late Ginimbi.
You cant compare Ginimbi with this man net worthy billions.
Hongera yk
Astakhafirullah ...Ushawai kwenda peponi? Wacha kukufuru we we. Mungu akusamehe
Ya duniya yatabaki alakini ukiwa wa Mungu hautatikisiki kamwe pepo ya mungu nizuri kuliko pepo ya duniani. Leo ni korona tajiri masikini wote wako chini ya migu ndani hawa toki ije, nikumuamini mungu tu
Mashallah🙏🙏
Ubarikiwe Sana,🙏🔥🙏
Ipo siku na mm mtasoma yakwangu
😁😁
Inshaalah
Kabisaa
Masha Allah...lkn usifananishe pepo na vitu vilivyopo chini ya jua uwe tajiri au maskini nguo ya kuzikiwa chini ya udongo ni moja tu nyeupe duni thamani ata maskini awe na shida vipi ya kimavazi apatiwe bado anaikataa,tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema amiin rabby amiin 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Pepo iko kwa Allah
Life is a long journey 🙏 let us compete for our luck
ماشاءالله
Fikiri utavyo fikiri uwezi kudiliki mfano wa pepo kwenye akili yako ila utadanya nafsi yako
pepo haina mfanoo
ngoja nikae kimya daa kuna watu wanaishi na kuna wenye tunasindika maisha asante Mungu kwa Nyakati zote 🙏🏻❤️
Siku zote kiongozi wenye mafanikio hufanya nchi yake kuendelea sio sisi tunaolilia kinyang’anyilo cha uongozi ili kupeleka shida zetu tukazimalizie selikalini
Wanao kandia humu wote ni maskini believe me.Huyu mfalme ndio kaifanya Dubai iwe maarufu.mwaka 1986 Dubai ilikuwa maskini na sehemu kubwa ili kuwa jangwa.
Hahaha nikweli
Amin kwamba lkn pmj na haya yote Mwenyezi Mungu bado 98% ya akili za binadam hazijatumika ni 2% huyu Bwana yupo vizuri sijui cc Tz tunafeli wap
Naaaam cc walala njaa ndo tunakandia 😂😂😂😂
Dah nomaa mzee
Lkn ana kitambulisho kia tz
Ahsante sana kwa kutuhabarisha vya huko duniani, lkn nikwambie kitu: uzuri wa Mbinguni haiwezi kulinganishwa na chochote kilichopo duniani. Sasa hapa bro utakosea. Jaribu kurekebisha kauli.
Mashaallah
utajiri na heshima hutoka mikononi mwa Bwana tena utajiri idumuayo ......na ww jipe moyo subria yako upewe
Pole mtangazaji kwa kujikamua kusifu
2020 alilewa mpaka kupepesuka alishindwa hata kutoa speech na djnia ilimtazama
Hivyo kuwa kama watu wa kawaida ni upuuzi wa tabia waliyokuwa nayo wachache wao tu ndio wana tabia njema
Ingelikuwa wazuri watu wasingekuwa wanawalalamikia ispokuwa hupenda kuingilia mambo ya watu na kuwadhulumu
Like kwa mtangazaji
Jamani unasauti kama mpagazi
Umeonaeeee
Ataziacha tu Japan Dunian
Yesu kasema itakua rahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko TAJIRI KUINGIA MBOINGUNI
Achana Na Pepo Eshim Kauli Za Mungu Pepo Ni Sili Kubwa Sana
Asalam alaikum warahamatu lhah wabarakatu, naombi
DUBAI mashaallah #(+974🇶🇦🇶🇦)
+971 😅
Ikko sawa let him enjoy
Yesu akija hayo yote yatavunjws
Naikubali sna global tv kwa ajili ya haya mambo
Jamaa Kama mtiga abdallah
Wew mtangazaji usiseme dubai pepo kenge wew
Tatizo unapenda sana kukuza mambo, ni ukweli kuwa anamiliki vitu vya kifahari lakini hujaelezea ni namna gani anaishi kama peponi,
Mamae walah acha tuwasindikize tu duniani hapa
Proud to be In uae best place
Zanzibar iliendelea mwanzo kuliko Dubai lkn ndio dampo la dunia saaivi.
God bless you
Our prince posts even joking with masai and riding a cab in New York. He's a normal kind prince.
Pepo ya mungu haifananishwi na kitu chochote hapa duniani
jicho halijawah kuona sikio halijawahi kusikia pua halijawahi kunusa hiyo ndio pepo aliotuambia mtume sijui we mwenzangu unafananishaje pepo na anasa za dunia kama sio kufru hiyo
Hiyo nikweli Allahu Akbar
Ukickia pepo ya dunia siyo kama anafananisha na Pepo ya Muweza anamaanisha huyo m2 anaishi maisha ya mazr(Kifahar)ni sawa na kusema mpenzi wng mzr micli ya malaika kwani kuna malaika ana umbile la binaadam??mbona mkickia hivyo hamsemi kama m2 kakufuruu!!!..
Ukickia pepo ya dunia siyo kama anafananisha na Pepo ya Muweza anamaanisha huyo m2 anaishi maisha ya mazr(Kifahar)ni sawa na kusema mpenzi wng mzr micli ya malaika kwani kuna malaika ana umbile la binaadam??mbona mkickia hivyo hamsemi kama m2 kakufuruu!!!..
NAFIKIRI SANA HUYU JAMAA ALIKUFA KHALAFU AKENDA PEPONI KISHA AKARUDISHWA DUNIANI KUTUSIMULIA
Izo ma billioni, pamoja na wasiwasi. Wengi wame kuja na waka ondoka, duniya ni muwakat.
Kwa hiyo watu tusitafute maisha mazuri hapa duniani? Au tunachotakiwa ni kubalance kati ya masiha ya dunia na ya akhera? Yani tusiisahau akhera yetu kwa kuiendekeza sana dunia? Tafuta pesa mzee acha mawazo ya kimaskini lkn usisahau kuiandaa akhera yako pia...mtume anasema "ishi duniani kana kwamba utaishi milele, na ishi duniani kana kwamba utaondoka sasa"..
@@shamsisaady4029 Hiyo ni mawaza zangu piya mze. Nili ishi kule Khaleeji miyaka milele, na neme ona sana nini ententewa kule.
God is Good
Kama ni hivyo uso wake ungekuwa na Amani na furaha, jamaa anakaa kukasirika saa zote
Hawa hawaijui pepon Hawa washenzi tu
Usiwai angalia mtu wa kufurahi ama ku smile smile ovyo ovyo ukadhani ndio wazuri heri hawa stone face they are good inside lkn hiyo wa ku smile na kucheka fear them Ni Moto wa kuotea mbali
Money is not everything 😂😂
Daar yan sio pow
🇦🇪🇦🇪 Tujuwane
Mm niko dubai
Sure bet sons great work indeed
Nice country
Sawa
Nice
HAKUNA MFANO WA PEPO HAPA DUNIANI,HUWEZI LINGANISHA MJI AMBAO YESU AMEENDA KUANDAA NA MIJI YA HAPA DUNIANI MFANO MJI MTAKATIFU HAKUNA KORONA
C billionea 7 ni namba 1
Pepo pia dunian ipo ukijaliwa, ila utajir wa kufuru maana utajir ukiupewa na ukautumia kwa haki si kufuru
Duhh
How can you compare paradise of Allah to that desert of a man made land
Usifananishe Dubai na pepo ya mungu, Hizo no starehe za mpito tu
Yaani watz ni watu wenye wivu sana. Dubai sio tajiri kama tz. TZ ni tajiri lakini viongozi ni wezi. Hao waarabu wanajenga nchi zao.