ELON MUSK: ANA AKILI KUTOKA SAYARI Nyingine/ AWEKA REKODI MAREKANI KWA KUPELEKA CHOMBO ANGA ZA JUU
HTML-код
- Опубликовано: 14 июл 2020
- ELON MUSK: ANA AKILI KUTOKA SAYARI Nyingine/ AWEKA REKODI MAREKANI KWA KUPELEKA CHOMBO ANGA ZA JUU
Alipozaliwa Juni 28, 1971 kutoka kwa baba yake, Errol Musk, mhandisi na tajiri mkubwa kwa wakati huo, raia wa Afrika Kusini na mama Maye Musk, mwanamitindo mwenye asili ya Canada, alipewa jina la Elon Reev Musk FSR.
Katika umri wake wa utoto, inaelezwa kwamba Musk alikuwa akipenda kucheza peke yake, akiwa kimya kabisa kiasi kwamba kuna wakati wazazi wake walihisi kwamba pengine alikuwa na matatizo ya kusikia, akapelekwa kwa daktari kufanyiwa uchunguzi lakini hakubainika kuwa na tatizo lolote.
Alipofikisha umri wa miaka 10, wazazi wake walipeana talaka, akachukuliwa na mama yake na kwenda nchini Canada, maisha yakaendelea.
Ni katika kipindi hicho, alianza kuonesha mapenzi makubwa kwenye elimu ya kompyuta, akawa anajifunza mwenyewe mambo mbalimbali ikiwemo programming na alipofikisha umri wa miaka 12, tayari alikuwa na uwezo wa kutengeneza program mbalimbali za kompyuta.
Baada ya kuhitimu katika Chuo Kikuu cha Pennsylvania, alijiunga na Chuo Kikuu cha Stanford, nacho cha Marekani lakini baadaye aliamua kuachana na masomo ya chuo! Ndiyo, aliamua kukacha masomo ili atimize ndoto kubwa zaidi maishani mwake. Ameelezwa kuwa na akili za ajabu kama binadamu atokaye Sayari nyingine.....aweka rekodi Marekani ya kufanikisha Marekani mwaka huu kurusha roketi kwenda anga za juu kutokea ardhi ya Marekani...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Kweli kaka yangu Elon musk sio binadamu wa kawaida mungu ambariki sana huyu jamaa 💜❤️👍🙏👏❤️♥️
Anazo kama zako tyu ila kazituliza akawa na utulivu
Ata mi nashangaa wabongo kaz kusifia hawajipambanii wenyewe
@@josephnkwamino6509 ll
@@josephnkwamino6509 Tuliza zako tuone impact
Huyu jamaaa ni noma mpka hapo,na mtangazaji upo vizuri nimekuelewa sana 👍
Hongera sana 🙏 Mungu amekupa maarifa makubwa 🤝💯💯 🚣🏄
Elon mask ❤ sio binadam wa kawaida mungu amempa kipawa kikubwa
Sawa nimekuelewa sana ila kwenye kubadili jua hapo... MUNGU hayuko hivo brow
Oohhhhh nampenda mpaka naumwaaa Lina miakili mingiiiiiiii oooohhhhh
Thanks 💥 kbs yani mtangazaji yuko fresh kbs yani paka nikatamani kuwa kama elon Musk Tony Stark
Hapo kwenye jua unakufuru ujuwe usimusirikishe Mungu kwenye shetani huuu
Big up braza.......hakika umejaaliwa n Mungu
Hy my bro I miss to see you Sasa Kuna fantastic day inkuja
ila huyu jamaaaa moto unawaka kweli kweli.. cyo mchzo
Inaweza ikawa bure kwa simu zake zitakazo uzwa ghali
Eee au akatengeneza kitu kitakachokuwa kinaunganishwa kwenye simu ambapo simu zake na sim za makampuni mengne zitawekewa huo uwezo wa internet Bure
Elon musk ni human kind
Africaaa oyeee south a bigup
Mtume muhammad kenda angani bila chombo chochote je uyoo aloenfa nachombo yy nimtototu
unayumba wewe
Kweli anayumba sasa hapo mohamad anakujaje tena
Waislamu wanapenda udini sana yanazungumzwa mambo ya sayansi unamtaja muhammad
Wapo kama ccm upande mwingne akisifiwa kama nikweli hawapongezi
Good Elon musk love you
Sasa kama bilget alivumbua software tu akasumbua ivyo je huyu jamaa kumbe ndomana ni tajili namba moja duniani ninavyoskia ila anizidi mimi ninavyoisi
Mtume kenda sehem iyofikiwa na kiumbee chochote kilee
Wewe pia inaonyesha umetoka sayari nyingine maana umeyajuaje haya
Nakuelewa sana bwana weeeee
big up
Ngoja namimi nivumbue kitu
😂
Jamaa n nomaaa
my big bro sey Hy to my vz president US American na pia msaliniye president
Kama soon musk tajiri kweliasa kila akauti ya MTU arushe pesa
Noma
Yes that is Elon musk C.E.O wa space X, Tesla, Neutrallink, na Boaring Campany Alizaliwa south Afrika Ni moja ya Innovators Wa Kizazi Chetu ni kama kina Newton wa Enzi hizo
Hiko chombo kina tumia Lita ngapi za mafuta naje Lita moja n kiasi gani ili tujue maana huku kwetu bei hazishikiki pale kwa mm!
😄😄😄 ulijuaje io internet ya bure kwa wabongo.
Thanks so much for posting. I had the chance to see a rocket launch in 2018. Amazing experience. I uploaded a pretty solid video of the trip on my channel.
i know Im kinda off topic but does anyone know of a good website to watch new tv shows online?
@Raphael Desmond I use flixzone. Just google for it :)
Imeandikwa, hakuna jipya chini ya jua.
Kalia ayo ayo kwan na ww ulikuwepo miaka ya nyuma
Mwamba sana elon musk
Mwengine uyuu
People do think, more wise, as days vanish with their too speed.
Jua hawezi
Huyu mtu anajua kusimulia, huchoki kusikiliza
Asee
Queria falar com ela via SAP.
Mwana sayanc bora ulimwenguni ni mtu muhammad s w wengine wote wanafoctu
True
Respect broo you are right
Alivumbua nn?
@@andrewkazy3727 ushabiki tu hao hamna kitu hapo.
Mnatuletea udini kwenye sayansi
Kudadeq watu wanaangalia mbaaali duuuuuuuu
Hamna internet ya bure
Hawaz kua mfalme
Ni balaa balaa ila anizidi mimi naamini
the world is in danger
Mwamba
🤣🤣🤣🤣Hmmmm
Mbwa wewe syo ediga weww
Yajayo yanafurahisha kwa wazungu sio kwa yatanzania
@@lampadshigonko3006 waongoooo
😂😂😂
Huyu ndio nabii mteule wa Mungu sasa
putni oky sawa unajipanga kazi or unajisheee chehee
this guy is from hell
Mwamba ni noma huyo elon ni noma sanaaa