ELON MUSK: ANA AKILI KUTOKA SAYARI Nyingine/ AWEKA REKODI MAREKANI KWA KUPELEKA CHOMBO ANGA ZA JUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июл 2020
  • ELON MUSK: ANA AKILI KUTOKA SAYARI Nyingine/ AWEKA REKODI MAREKANI KWA KUPELEKA CHOMBO ANGA ZA JUU
    Alipozaliwa Juni 28, 1971 kutoka kwa baba yake, Errol Musk, mhandisi na tajiri mkubwa kwa wakati huo, raia wa Afrika Kusini na mama Maye Musk, mwanamitindo mwenye asili ya Canada, alipewa jina la Elon Reev Musk FSR.
    Katika umri wake wa utoto, inaelezwa kwamba Musk alikuwa akipenda kucheza peke yake, akiwa kimya kabisa kiasi kwamba kuna wakati wazazi wake walihisi kwamba pengine alikuwa na matatizo ya kusikia, akapelekwa kwa daktari kufanyiwa uchunguzi lakini hakubainika kuwa na tatizo lolote.
    Alipofikisha umri wa miaka 10, wazazi wake walipeana talaka, akachukuliwa na mama yake na kwenda nchini Canada, maisha yakaendelea.
    Ni katika kipindi hicho, alianza kuonesha mapenzi makubwa kwenye elimu ya kompyuta, akawa anajifunza mwenyewe mambo mbalimbali ikiwemo programming na alipofikisha umri wa miaka 12, tayari alikuwa na uwezo wa kutengeneza program mbalimbali za kompyuta.
    Baada ya kuhitimu katika Chuo Kikuu cha Pennsylvania, alijiunga na Chuo Kikuu cha Stanford, nacho cha Marekani lakini baadaye aliamua kuachana na masomo ya chuo! Ndiyo, aliamua kukacha masomo ili atimize ndoto kubwa zaidi maishani mwake. Ameelezwa kuwa na akili za ajabu kama binadamu atokaye Sayari nyingine.....aweka rekodi Marekani ya kufanikisha Marekani mwaka huu kurusha roketi kwenda anga za juu kutokea ardhi ya Marekani...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 80

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 2 года назад +8

    Kweli kaka yangu Elon musk sio binadamu wa kawaida mungu ambariki sana huyu jamaa 💜❤️👍🙏👏❤️♥️

    • @josephnkwamino6509
      @josephnkwamino6509 2 года назад +1

      Anazo kama zako tyu ila kazituliza akawa na utulivu

    • @edwinmandela5658
      @edwinmandela5658 2 года назад +1

      Ata mi nashangaa wabongo kaz kusifia hawajipambanii wenyewe

    • @eddykalinga7379
      @eddykalinga7379 2 года назад

      @@josephnkwamino6509 ll

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад

      @@josephnkwamino6509 Tuliza zako tuone impact

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 3 года назад +5

    Huyu jamaaa ni noma mpka hapo,na mtangazaji upo vizuri nimekuelewa sana 👍

  • @makoyenyerere6521
    @makoyenyerere6521 2 года назад +4

    Hongera sana 🙏 Mungu amekupa maarifa makubwa 🤝💯💯 🚣🏄

  • @SalmaHussein-pc9xo
    @SalmaHussein-pc9xo Месяц назад

    Elon mask ❤ sio binadam wa kawaida mungu amempa kipawa kikubwa

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 7 месяцев назад +1

    Sawa nimekuelewa sana ila kwenye kubadili jua hapo... MUNGU hayuko hivo brow

  • @faythambeauty7725
    @faythambeauty7725 2 года назад +4

    Oohhhhh nampenda mpaka naumwaaa Lina miakili mingiiiiiiii oooohhhhh

  • @BUSHASHASWITCH
    @BUSHASHASWITCH 2 года назад +2

    Thanks 💥 kbs yani mtangazaji yuko fresh kbs yani paka nikatamani kuwa kama elon Musk Tony Stark

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Год назад +1

    Hapo kwenye jua unakufuru ujuwe usimusirikishe Mungu kwenye shetani huuu

  • @Ericklameck645
    @Ericklameck645 4 года назад +2

    Big up braza.......hakika umejaaliwa n Mungu

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад +1

    Hy my bro I miss to see you Sasa Kuna fantastic day inkuja

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 7 месяцев назад +1

    ila huyu jamaaaa moto unawaka kweli kweli.. cyo mchzo

  • @40kstore
    @40kstore 3 года назад +9

    Inaweza ikawa bure kwa simu zake zitakazo uzwa ghali

    • @harmonize_tz774
      @harmonize_tz774 3 года назад

      Eee au akatengeneza kitu kitakachokuwa kinaunganishwa kwenye simu ambapo simu zake na sim za makampuni mengne zitawekewa huo uwezo wa internet Bure

  • @barakastive2447
    @barakastive2447 Год назад +2

    Elon musk ni human kind

  • @johannesmaryvianney7870
    @johannesmaryvianney7870 2 года назад +1

    Africaaa oyeee south a bigup

  • @mustaphabakar1981
    @mustaphabakar1981 3 года назад +6

    Mtume muhammad kenda angani bila chombo chochote je uyoo aloenfa nachombo yy nimtototu

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 2 года назад +2

    Good Elon musk love you

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 Год назад +1

    Sasa kama bilget alivumbua software tu akasumbua ivyo je huyu jamaa kumbe ndomana ni tajili namba moja duniani ninavyoskia ila anizidi mimi ninavyoisi

  • @mustaphabakar1981
    @mustaphabakar1981 3 года назад +3

    Mtume kenda sehem iyofikiwa na kiumbee chochote kilee

  • @wilfredkuyonza675
    @wilfredkuyonza675 3 года назад +2

    Wewe pia inaonyesha umetoka sayari nyingine maana umeyajuaje haya

  • @barakamajiji2388
    @barakamajiji2388 2 года назад

    Nakuelewa sana bwana weeeee

  • @leylarashidi484
    @leylarashidi484 3 года назад

    big up

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 2 года назад +4

    Ngoja namimi nivumbue kitu

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 2 года назад

    Jamaa n nomaaa

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    my big bro sey Hy to my vz president US American na pia msaliniye president

  • @binamourtraders4616
    @binamourtraders4616 2 года назад +1

    Kama soon musk tajiri kweliasa kila akauti ya MTU arushe pesa

  • @user-wr6lc3jz6g
    @user-wr6lc3jz6g 3 года назад

    Noma

  • @godfreymwacha5435
    @godfreymwacha5435 4 года назад +3

    Yes that is Elon musk C.E.O wa space X, Tesla, Neutrallink, na Boaring Campany Alizaliwa south Afrika Ni moja ya Innovators Wa Kizazi Chetu ni kama kina Newton wa Enzi hizo

  • @salumsaid5416
    @salumsaid5416 2 года назад +1

    Hiko chombo kina tumia Lita ngapi za mafuta naje Lita moja n kiasi gani ili tujue maana huku kwetu bei hazishikiki pale kwa mm!

  • @elidaburton8737
    @elidaburton8737 3 года назад +2

    😄😄😄 ulijuaje io internet ya bure kwa wabongo.

  • @SpaceFactsWax
    @SpaceFactsWax 3 года назад +8

    Thanks so much for posting. I had the chance to see a rocket launch in 2018. Amazing experience. I uploaded a pretty solid video of the trip on my channel.

    • @raphaeldesmond4736
      @raphaeldesmond4736 3 года назад +1

      i know Im kinda off topic but does anyone know of a good website to watch new tv shows online?

    • @caspianfox6596
      @caspianfox6596 3 года назад +1

      @Raphael Desmond I use flixzone. Just google for it :)

  • @olembetonga7341
    @olembetonga7341 2 года назад +2

    Imeandikwa, hakuna jipya chini ya jua.

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад +1

    Mwamba sana elon musk

  • @maryamferej8032
    @maryamferej8032 3 года назад

    Mwengine uyuu

  • @criedpoem7216
    @criedpoem7216 2 года назад

    People do think, more wise, as days vanish with their too speed.

  • @esaumahundi5647
    @esaumahundi5647 2 года назад

    Jua hawezi

  • @hosenimwelekwa5367
    @hosenimwelekwa5367 2 года назад +1

    Huyu mtu anajua kusimulia, huchoki kusikiliza

  • @loshipangoipa5810
    @loshipangoipa5810 Год назад

    Asee

  • @belitomanuel6240
    @belitomanuel6240 2 года назад

    Queria falar com ela via SAP.

  • @mustaphabakar1981
    @mustaphabakar1981 3 года назад +6

    Mwana sayanc bora ulimwenguni ni mtu muhammad s w wengine wote wanafoctu

  • @harmonize_tz774
    @harmonize_tz774 3 года назад

    Kudadeq watu wanaangalia mbaaali duuuuuuuu

  • @saningokivuyo2142
    @saningokivuyo2142 2 года назад

    Hamna internet ya bure

  • @mustaphabakar1981
    @mustaphabakar1981 3 года назад +1

    Hawaz kua mfalme

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 Год назад

    Ni balaa balaa ila anizidi mimi naamini

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 года назад

    the world is in danger

  • @trascokivenule7975
    @trascokivenule7975 2 года назад

    Mwamba

  • @lookbabes8710
    @lookbabes8710 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣Hmmmm

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 10 месяцев назад

    Mbwa wewe syo ediga weww

  • @omarynassor6313
    @omarynassor6313 3 года назад

    Yajayo yanafurahisha kwa wazungu sio kwa yatanzania

  • @johnsanga9528
    @johnsanga9528 Год назад

    Huyu ndio nabii mteule wa Mungu sasa

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    putni oky sawa unajipanga kazi or unajisheee chehee

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 года назад

    this guy is from hell

  • @masundelwa
    @masundelwa 2 года назад +1

    Mwamba ni noma huyo elon ni noma sanaaa