Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 .Mungu mbariki Raiis wetu Magufuli mtetezi wa wanyonge kweli anae ikosoa serikari ya awamu 5 ana matatizo ya Mental illness Yes we 💪🏾can Tanzania 🇹🇿
Hii serikali naipenda Sana Hata kamshahara kangu kacheleweshwe sina tatizo nitasubiri maake pesa inatumika mpaka sisi Watu wa porini tunajua kila kitu na Pesa inayotumika
Ewe mwenyezi MUNGU tunaona neema zako kwetu sisi watanzania asante mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoza viyongozi wetu wote wateuriwa wa raisi wetu na uwaimarishe afya zao na raisi wetu ewe mwenyezi MUNGU mkuu
Mungu akulinde JPM na waandamizi wako mkamilishe mipango hiyo mizuri hata km ikibidi tutoe jasho la damu, maana hali yetu ilivyo bila kutoa sadaka kubwa hatutaweza kujikomboa
We need to be example. We are bigger than Kenya and Uganda, why can’t we beat them financially and economically? The time is now, we can do it and let us do it.
We need to maintain what we build by paying the workers well and look after them and their wellbeing and welfare. All the developed countries do this why can’t we?
PHILIPO MBOGO . Ukiona jitu linasema hinyo akili ni ndogo, IQ. Ndogo interigent qurty ni ndogo. Wapo wengi sanaa. Ni kutokana na bara letu la Africa mtoto apewi malezi mazuri. Hali vizuri na muda mwingi anapigwa na kutumwa huku na huko. Wenzetu wanasema ndio hapo watu wanakuwa na matatizo kwenye vichwa vyao, na akili inapungua
Kubuni bila utekelezaji nisawa na kupima afya na kukutwa na ugonjwa alafu unaacha kununua dozi ya kukutibu ugonjwa sako wako big up my president Dk. Magufuri protocol preserved.
Jamani hii ni flyover au daraja tu? Nnavyojua flyover inakuwa na bypass roads! Mfano ukipita juu, unaendelea na njia hiyo hiyo kukupeleka sehem nyengine, hii ukipita juu baada ya meter kadhaa unashushwa chini uendelee na njia ile ile uliyotoka nayo mwanzo. Jaribuni kutafuta “Thika road- Kenya” at least mtajua tofauti.
It’s sad kuona watembea kwa miguu na madereva wote hawajui sheria za barabarani, Zebra crossing mtembeaji anasubiri gari lipite ikiwa yeye ndiye aliyetakiwa kupewa nafasi ya kupita kwanza 🙂
sina hakika kama wataweza ndugu siwezi kusemea sana ila ninachojua mim kila sehemu inaufanisi wake na utaharamu wake unaweza ukakodi vifaa ila kama hauna utahatamu wa hilo jambo bado unakuwa hujatibu utaharamu kwanza na mengine yanafuata
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 .Mungu mbariki Raiis wetu Magufuli mtetezi wa wanyonge kweli anae ikosoa serikari ya awamu 5 ana matatizo ya Mental illness Yes we 💪🏾can Tanzania 🇹🇿
Kweli hakuna penye mafanikio bila maadui Mungu mpe nguvu Rais wetu Magufuri na wape maisha marefu maadui wa nchi ili wapate kujionea
Kazi nzuri sana viongozi wetu. Long live Mr President Dr John Pombe Magufuli
*I love magufuli Tanzanians give us that man to be our president too we need him*
Hongera Sana kwa kazi kubwa inayofanywa na serikali ya awamu ya tano "congratulations"
Hii serikali naipenda Sana Hata kamshahara kangu kacheleweshwe sina tatizo nitasubiri maake pesa inatumika mpaka sisi Watu wa porini tunajua kila kitu na Pesa inayotumika
Fantastic. This is what we pray for. I am glad at last we are waking up.
Ewe mwenyezi MUNGU tunaona neema zako kwetu sisi watanzania asante mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoza viyongozi wetu wote wateuriwa wa raisi wetu na uwaimarishe afya zao na raisi wetu ewe mwenyezi MUNGU mkuu
I’m proud of my country and proud of my president. Good job 👏👌🏽
Dar es salaam itakuwa kama ulaya, mungu ibariki Tanzania , mungu wabariki viongozi wetu, mungu mbariki honourable Mr. president Dr.JPM.
Well done Tanzania we love Tanzania from Ghana keep growing
safi sana tunasubiri nakara kama hii ya ujenzi terminal 3 Julias nyerere
Mungu ibariki Tanzania, Ahsante Magufuli
Safi sana My lovely Country Tanzania nakupenda sana ''Hapa Kazi tuu''
Asante Mungu kwa zawadi hii ya Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli
nilikuwa sijaelewa ila sasa napiga saluti kwa jpm anaweza na amethubutu, mungu mlinde mwepushe na mabaya ili tujefaidi matunda ya kazi yake amen
Tunaomba mungu ayongezee nguvu serikali ya hamu ya tano ikamilishe mpango yote kwa wakati
Aisee, Kumbe mambo yanawezekana,tupo pamoja na wewe Rais wetu Magufuri,atakaekuangaria kwa jicho la husda ATANGULIE yeye M/Mungu
mwimbo umenipa ushujaa kuwa yutafika salama.Amiin beat zuri
Safi sana
Asante sana rais wetu kwa kazi zuri
Sasa twaweza kutoa machozi ya furaha asante sana mwenyezi mungu zidi kumuongiza raisi wetu magufuli
Good job keep on Mr president
Great job President Magufuli. You make Africa proud. Keep up the good work, sir.
We are now concurring eat african economy
Love tanzania
Mungu akulinde JPM na waandamizi wako mkamilishe mipango hiyo mizuri hata km ikibidi tutoe jasho la damu, maana hali yetu ilivyo bila kutoa sadaka kubwa hatutaweza kujikomboa
safi kabixa kazi nzuri
maju terus tanzania salam dari Jakarta
monro go, wat?
natamani nirudi Tanzania yaani kweli kumependeza barabara za kisasa juu na chini magufuli we mungu tu akuonheze
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz rais wetu
like the reporter's voice..love it! so distinctive and deep
HAPA KAZI TU!
Wanaopinga waache waendeleee kupinga tu
Mungu nimwema
Obviously magufuli is the hero president in Tanzania
Keep going Tanzania
MZEE magufuli tunakupenda
We need to be example. We are bigger than Kenya and Uganda, why can’t we beat them financially and economically? The time is now, we can do it and let us do it.
Let's do it yeah! go Tanzania my country go my president excellence Dk.john pombe magufuri tupo bega kwa bega na wew
Mungu mubariki raisi wetu
We need to maintain what we build by paying the workers well and look after them and their wellbeing and welfare. All the developed countries do this why can’t we?
Mungu ibaliki Tanzania. Ibaliki serikali ya tanzania
Nice move
Ewe mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoa viyongozi wetu wateuriwa wa raisi wetu
big up
Hii serikali ata kuikosoa utajishangaa
ilkulu ebu tuleteeni maendeleo ya bwawa la Nyerere. mana Hakuna taharifa za uhakika
Beautiful Tanzania
THANKS MAGUEULI MUNGU AKULINDE
Kazi nzuri Waungwana
alafu jitu linasema serikali haijafanya kitu
PHILIPO MBOGO . Ukiona jitu linasema hinyo akili ni ndogo, IQ. Ndogo interigent qurty ni ndogo. Wapo wengi sanaa. Ni kutokana na bara letu la Africa mtoto apewi malezi mazuri. Hali vizuri na muda mwingi anapigwa na kutumwa huku na huko. Wenzetu wanasema ndio hapo watu wanakuwa na matatizo kwenye vichwa vyao, na akili inapungua
Magufuli send Tz
HAPA KAZI TU
Ewe mwenyezi MUNGU enderea kuwa pamoja na raisi wetu
inshaallah rais wetu mungu akujarie mwema
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary
big up kikwete kubuni flye over hii
Kubuni bila utekelezaji nisawa na kupima afya na kukutwa na ugonjwa alafu unaacha kununua dozi ya kukutibu ugonjwa sako wako big up my president Dk. Magufuri protocol preserved.
@@venancemgini3536 ni kweli kubuni ni kitu kimoja na kutekeleza ni jambo jingine big up kwa Elimu. Ndo wataelewa maana ya hapa kazi tu.
MUNGU mkuu turindie raisi wetu
Jamani hii ni flyover au daraja tu? Nnavyojua flyover inakuwa na bypass roads! Mfano ukipita juu, unaendelea na njia hiyo hiyo kukupeleka sehem nyengine, hii ukipita juu baada ya meter kadhaa unashushwa chini uendelee na njia ile ile uliyotoka nayo mwanzo. Jaribuni kutafuta “Thika road- Kenya” at least mtajua tofauti.
It’s sad kuona watembea kwa miguu na madereva wote hawajui sheria za barabarani, Zebra crossing mtembeaji anasubiri gari lipite ikiwa yeye ndiye aliyetakiwa kupewa nafasi ya kupita kwanza 🙂
👍👍👍👍👍👍
Best master plan
Good
Tunaelekea kuzuri kabisa.. Nchi inafunguka sasa
Hapa kz tu
its happened in Kenya 2yrs ago
serikali ya JPM imefanya mambo makubwa jamani. Tuzidi kumpa moyo kiongozi wetu
napata shida pale mtanzania serikali ya Tz hajafanya kitu chochote.
ulie weka likidole lako chin mpuz barid ww
Huyu ndio rais atufaaye Watanzania.
Ifanyeni Mapema bila kuchelewa tuko pamoja
Hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
tutafika taratibu ndio mwendo.mapungufu kawaida tu
Poa
Stupid are people who hate maguful
Jamani hii sio fly over ni inter change mkitaka kujua maana ya fly over nendeni kenya na Ethiopia
James Mwakyusa POINT YAKO YA MSINGI NI IPI ? KIKUBWA SISI TUNAPENDA TUNACHOKIONA.
James Mwakyusa wazee wa kupinga!! We baki na ya Kenya na Ethiopia, hii yetu Watanzania!!
Hizo za kenya a.k.a wazee wa nyege nikunyegezana na za ethiopia kaa nazo mwenyewe si hii hii yakwetu ndo fry over
Sikubaliani na gharama waliotupiga nayo. Billions 96 ni nyingi mmno. Wametupiga $.
Jembe Wamajembe kikubwa value for money inaonekana ko mengine mbwembwe tu na maneno ya kanga.
Venance Mgini Jeshi letu lifanye hii kazi. Naamini wanaweza ni kukodi vifaa tu.
sina hakika kama wataweza ndugu siwezi kusemea sana ila ninachojua mim kila sehemu inaufanisi wake na utaharamu wake unaweza ukakodi vifaa ila kama hauna utahatamu wa hilo jambo bado unakuwa hujatibu utaharamu kwanza na mengine yanafuata
safi sana