KIPINDI MAALUM CHA MAENDELEO YA UJENZI WA FLY OVER YA TAZARA JIJINI DAR ES SALAAM.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2018
  • KIPINDI MAALUM CHA MAENDELEO YA UJENZI WA FLY OVER YA TAZARA JIJINI DAR ES SALAAM AMBAO UNATARAJIWA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA ,2018

Комментарии • 92

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 6 лет назад +7

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 .Mungu mbariki Raiis wetu Magufuli mtetezi wa wanyonge kweli anae ikosoa serikari ya awamu 5 ana matatizo ya Mental illness Yes we 💪🏾can Tanzania 🇹🇿

  • @jovnjov7661
    @jovnjov7661 6 лет назад +5

    Kweli hakuna penye mafanikio bila maadui Mungu mpe nguvu Rais wetu Magufuri na wape maisha marefu maadui wa nchi ili wapate kujionea

  • @nyanda427
    @nyanda427 6 лет назад +7

    Kazi nzuri sana viongozi wetu. Long live Mr President Dr John Pombe Magufuli

  • @ibraklay9343
    @ibraklay9343 6 лет назад +9

    *I love magufuli Tanzanians give us that man to be our president too we need him*

  • @geofreymlingwa2914
    @geofreymlingwa2914 6 лет назад +2

    Hongera Sana kwa kazi kubwa inayofanywa na serikali ya awamu ya tano "congratulations"

  • @charlesenock8586
    @charlesenock8586 6 лет назад +10

    Hii serikali naipenda Sana Hata kamshahara kangu kacheleweshwe sina tatizo nitasubiri maake pesa inatumika mpaka sisi Watu wa porini tunajua kila kitu na Pesa inayotumika

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 лет назад +3

    Fantastic. This is what we pray for. I am glad at last we are waking up.

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +15

    Ewe mwenyezi MUNGU tunaona neema zako kwetu sisi watanzania asante mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoza viyongozi wetu wote wateuriwa wa raisi wetu na uwaimarishe afya zao na raisi wetu ewe mwenyezi MUNGU mkuu

  • @t1910j
    @t1910j 6 лет назад +16

    I’m proud of my country and proud of my president. Good job 👏👌🏽

  • @mustaphaamani5165
    @mustaphaamani5165 6 лет назад

    Dar es salaam itakuwa kama ulaya, mungu ibariki Tanzania , mungu wabariki viongozi wetu, mungu mbariki honourable Mr. president Dr.JPM.

  • @africandreamstv2599
    @africandreamstv2599 5 лет назад

    Well done Tanzania we love Tanzania from Ghana keep growing

  • @amanichomola6696
    @amanichomola6696 6 лет назад +7

    safi sana tunasubiri nakara kama hii ya ujenzi terminal 3 Julias nyerere

  • @ibnuabbasmustapha6540
    @ibnuabbasmustapha6540 6 лет назад +3

    Mungu ibariki Tanzania, Ahsante Magufuli

  • @TafitiTv
    @TafitiTv 6 лет назад +8

    Safi sana My lovely Country Tanzania nakupenda sana ''Hapa Kazi tuu''

  • @nyanda427
    @nyanda427 6 лет назад

    Asante Mungu kwa zawadi hii ya Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli

  • @deyusterscientific4162
    @deyusterscientific4162 6 лет назад +1

    nilikuwa sijaelewa ila sasa napiga saluti kwa jpm anaweza na amethubutu, mungu mlinde mwepushe na mabaya ili tujefaidi matunda ya kazi yake amen

  • @mugerajakatarama2144
    @mugerajakatarama2144 6 лет назад +3

    Tunaomba mungu ayongezee nguvu serikali ya hamu ya tano ikamilishe mpango yote kwa wakati

  • @salummkunza2285
    @salummkunza2285 6 лет назад

    Aisee, Kumbe mambo yanawezekana,tupo pamoja na wewe Rais wetu Magufuri,atakaekuangaria kwa jicho la husda ATANGULIE yeye M/Mungu

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 6 лет назад

    mwimbo umenipa ushujaa kuwa yutafika salama.Amiin beat zuri

  • @gilbertwilliam4677
    @gilbertwilliam4677 6 лет назад +5

    Safi sana

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo307 6 лет назад +3

    Asante sana rais wetu kwa kazi zuri

  • @moimashole992
    @moimashole992 6 лет назад

    Sasa twaweza kutoa machozi ya furaha asante sana mwenyezi mungu zidi kumuongiza raisi wetu magufuli

  • @joshuapeter312
    @joshuapeter312 6 лет назад +8

    Good job keep on Mr president

  • @cypriantertullian7495
    @cypriantertullian7495 6 лет назад +1

    Great job President Magufuli. You make Africa proud. Keep up the good work, sir.

  • @miraqtv6661
    @miraqtv6661 6 лет назад +2

    We are now concurring eat african economy
    Love tanzania

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 6 лет назад

    Mungu akulinde JPM na waandamizi wako mkamilishe mipango hiyo mizuri hata km ikibidi tutoe jasho la damu, maana hali yetu ilivyo bila kutoa sadaka kubwa hatutaweza kujikomboa

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 6 лет назад +1

    safi kabixa kazi nzuri

  • @monrogo3177
    @monrogo3177 6 лет назад +1

    maju terus tanzania salam dari Jakarta

  • @mariamkhamisi5575
    @mariamkhamisi5575 6 лет назад

    natamani nirudi Tanzania yaani kweli kumependeza barabara za kisasa juu na chini magufuli we mungu tu akuonheze

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 6 лет назад +2

    Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz rais wetu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 года назад

    like the reporter's voice..love it! so distinctive and deep

  • @lelekilele2
    @lelekilele2 6 лет назад +10

    HAPA KAZI TU!

  • @mohamedabdallah8321
    @mohamedabdallah8321 6 лет назад +7

    Wanaopinga waache waendeleee kupinga tu

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 6 лет назад +4

    Mungu nimwema

  • @isaachelbati2293
    @isaachelbati2293 6 лет назад +1

    Obviously magufuli is the hero president in Tanzania

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 6 лет назад +8

    Keep going Tanzania

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 лет назад +1

    We need to be example. We are bigger than Kenya and Uganda, why can’t we beat them financially and economically? The time is now, we can do it and let us do it.

    • @venancemgini3536
      @venancemgini3536 6 лет назад

      Let's do it yeah! go Tanzania my country go my president excellence Dk.john pombe magufuri tupo bega kwa bega na wew

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 лет назад +8

    Mungu mubariki raisi wetu

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 лет назад +2

    We need to maintain what we build by paying the workers well and look after them and their wellbeing and welfare. All the developed countries do this why can’t we?

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 6 лет назад +2

    Mungu ibaliki Tanzania. Ibaliki serikali ya tanzania

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro6332 6 лет назад +6

    Nice move

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +7

    Ewe mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoa viyongozi wetu wateuriwa wa raisi wetu

  • @stephanokanyika6988
    @stephanokanyika6988 6 лет назад +3

    big up

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 6 лет назад +11

    Hii serikali ata kuikosoa utajishangaa

  • @mustaphawaziri5446
    @mustaphawaziri5446 4 года назад

    ilkulu ebu tuleteeni maendeleo ya bwawa la Nyerere. mana Hakuna taharifa za uhakika

  • @shyshayagen2733
    @shyshayagen2733 6 лет назад +1

    Beautiful Tanzania

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 6 лет назад

    THANKS MAGUEULI MUNGU AKULINDE

  • @abubakarkada3083
    @abubakarkada3083 6 лет назад

    Kazi nzuri Waungwana

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo7805 6 лет назад +10

    alafu jitu linasema serikali haijafanya kitu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 6 лет назад

      PHILIPO MBOGO . Ukiona jitu linasema hinyo akili ni ndogo, IQ. Ndogo interigent qurty ni ndogo. Wapo wengi sanaa. Ni kutokana na bara letu la Africa mtoto apewi malezi mazuri. Hali vizuri na muda mwingi anapigwa na kutumwa huku na huko. Wenzetu wanasema ndio hapo watu wanakuwa na matatizo kwenye vichwa vyao, na akili inapungua

  • @alifaki9649
    @alifaki9649 6 лет назад +3

    Magufuli send Tz

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 6 лет назад +3

    HAPA KAZI TU

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +10

    Ewe mwenyezi MUNGU enderea kuwa pamoja na raisi wetu

    • @fafa1219
      @fafa1219 6 лет назад

      inshaallah rais wetu mungu akujarie mwema

    • @faustenkafuku541
      @faustenkafuku541 6 лет назад

      wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 лет назад +1

    big up kikwete kubuni flye over hii

    • @venancemgini3536
      @venancemgini3536 6 лет назад

      Kubuni bila utekelezaji nisawa na kupima afya na kukutwa na ugonjwa alafu unaacha kununua dozi ya kukutibu ugonjwa sako wako big up my president Dk. Magufuri protocol preserved.

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 5 лет назад

      @@venancemgini3536 ni kweli kubuni ni kitu kimoja na kutekeleza ni jambo jingine big up kwa Elimu. Ndo wataelewa maana ya hapa kazi tu.

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +6

    MUNGU mkuu turindie raisi wetu

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 6 лет назад

    Jamani hii ni flyover au daraja tu? Nnavyojua flyover inakuwa na bypass roads! Mfano ukipita juu, unaendelea na njia hiyo hiyo kukupeleka sehem nyengine, hii ukipita juu baada ya meter kadhaa unashushwa chini uendelee na njia ile ile uliyotoka nayo mwanzo. Jaribuni kutafuta “Thika road- Kenya” at least mtajua tofauti.

  • @gooddeeds162
    @gooddeeds162 6 лет назад

    It’s sad kuona watembea kwa miguu na madereva wote hawajui sheria za barabarani, Zebra crossing mtembeaji anasubiri gari lipite ikiwa yeye ndiye aliyetakiwa kupewa nafasi ya kupita kwanza 🙂

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 6 лет назад +2

    👍👍👍👍👍👍

  • @IbrahimMohamed-fk5cc
    @IbrahimMohamed-fk5cc 6 лет назад +7

    Best master plan

  • @filbetsamson192
    @filbetsamson192 6 лет назад +1

    Good

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 6 лет назад

    Tunaelekea kuzuri kabisa.. Nchi inafunguka sasa

  • @zainamohamed6818
    @zainamohamed6818 6 лет назад

    Hapa kz tu

  • @valentineougo1111
    @valentineougo1111 5 лет назад

    its happened in Kenya 2yrs ago

  • @jerrykikuli3700
    @jerrykikuli3700 6 лет назад

    serikali ya JPM imefanya mambo makubwa jamani. Tuzidi kumpa moyo kiongozi wetu

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo7805 6 лет назад +1

    napata shida pale mtanzania serikali ya Tz hajafanya kitu chochote.

  • @justinecleophas6299
    @justinecleophas6299 6 лет назад +6

    ulie weka likidole lako chin mpuz barid ww

  • @muddyurungu7823
    @muddyurungu7823 5 лет назад

    Huyu ndio rais atufaaye Watanzania.

  • @abubakarkada3083
    @abubakarkada3083 6 лет назад

    Ifanyeni Mapema bila kuchelewa tuko pamoja

  • @burtonytenison2560
    @burtonytenison2560 6 лет назад +3

    Hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuu.

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 6 лет назад

    tutafika taratibu ndio mwendo.mapungufu kawaida tu

  • @mussabuma9592
    @mussabuma9592 6 лет назад

    Poa

  • @shyshayagen2733
    @shyshayagen2733 6 лет назад

    Stupid are people who hate maguful

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 6 лет назад

    Jamani hii sio fly over ni inter change mkitaka kujua maana ya fly over nendeni kenya na Ethiopia

    • @BESMARTTELEVISION
      @BESMARTTELEVISION 6 лет назад +1

      James Mwakyusa POINT YAKO YA MSINGI NI IPI ? KIKUBWA SISI TUNAPENDA TUNACHOKIONA.

    • @nassormohamedmwarizo4433
      @nassormohamedmwarizo4433 6 лет назад +2

      James Mwakyusa wazee wa kupinga!! We baki na ya Kenya na Ethiopia, hii yetu Watanzania!!

    • @venancemgini3536
      @venancemgini3536 6 лет назад

      Hizo za kenya a.k.a wazee wa nyege nikunyegezana na za ethiopia kaa nazo mwenyewe si hii hii yakwetu ndo fry over

  • @jembewamajembe5863
    @jembewamajembe5863 6 лет назад

    Sikubaliani na gharama waliotupiga nayo. Billions 96 ni nyingi mmno. Wametupiga $.

    • @venancemgini3536
      @venancemgini3536 6 лет назад

      Jembe Wamajembe kikubwa value for money inaonekana ko mengine mbwembwe tu na maneno ya kanga.

    • @jembewamajembe5863
      @jembewamajembe5863 6 лет назад

      Venance Mgini Jeshi letu lifanye hii kazi. Naamini wanaweza ni kukodi vifaa tu.

    • @venancemgini3536
      @venancemgini3536 6 лет назад

      sina hakika kama wataweza ndugu siwezi kusemea sana ila ninachojua mim kila sehemu inaufanisi wake na utaharamu wake unaweza ukakodi vifaa ila kama hauna utahatamu wa hilo jambo bado unakuwa hujatibu utaharamu kwanza na mengine yanafuata

  • @ahmedthelegentruelegend5523
    @ahmedthelegentruelegend5523 6 лет назад +4

    safi sana