RAIS DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA RUKWA UWANJA WA CCM MANDELA SUMBAWANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizungumza na Wananchi wa Rukwa katika Uwanja wa CCM Mandera Mazwi Manispaa ya Sumbawanga kiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 17 Julai, 2024.

Комментарии • 4

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад +1

    Bi Samia binti yake na Suluhu wake Hassan..asante sana mama kwa kazi nzuri...you wer groomed and prepared for this job..kuddos to you mama.. asante kututembelea sie Rukwa..ngoja nikufate huko unakokwenda nifurahi tuu kukuona mamangu kipenzi!

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 2 месяца назад +2

    Kazi iendelee lets the work continue !!! TANU CCM wanachapa kazi kwa vyema. Hongera Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Hassan 🇹🇿🐘

  • @Paulkessy-j8n
    @Paulkessy-j8n 2 месяца назад

    Wengi tulienda kumuona harmonize😂😂😂

  • @husnasaid6734
    @husnasaid6734 2 месяца назад

    ❤tz