JIONEE MAAJABU YA BARABARA ZA JUU UBUNGO "TUNAMPA 'BIG UP' MAGUFULI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2020
  • JIONEE MAAJABU YA BARABARA ZA JUU UBUNGO "TUNAMPA 'BIG UP' MAGUFULI"
    Leo Jumamosi, Mei 30, 2020, barabara za juu (Flyover) zinazojengwa katika makutano ya Barabara za Morogoro, Sam Nujoma na Mandela (Ubungo Mataa) jijini Dar es Salaam zimeruhusiwa kuanza kutumika leo, ikiwa ni Barabara ya Morogoro kutoka na kwenda Kimara/Mbezi/Magomeni.
    Huku barabar za kuelekea Buguruni na Sam Nujoma, zikiwa katika hatua za mwisho mwisho....Global Tv imetembelea eneo hilo....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 315

  • @zainaibrahim5188
    @zainaibrahim5188 4 года назад +34

    Tanzania oyee Tanzani juu. Mungu amlinde Raisi wetu. Azidi kuiweka Tanzaniyetu mbere.

  • @chekajumasebunga8358
    @chekajumasebunga8358 4 года назад +9

    Watch from Boston USA Hongera sana Tanzania yetu upendo na Amani kwa watu wote peace.

  • @omarkeya5474
    @omarkeya5474 4 года назад +48

    Mm ni mkenya Toka mombasa. Pongezi magufuli. Ua the real choice of the Tanzanian people

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 года назад +6

    Asante Mungu kwa kutupa Raisi Magufuri pili asante Raisi wetu kwa kusimamia rasilimali za nchi nne wananchi wa Tanzania hongera sana kwakutoa kodi kwa moyo wote.
    Mungu wabariki watanzania na watunze pia Mungu mbariki na uwalinde Raisi, serikali nzima viongozi wote, Bunge ma mahakama Mungu ibariki Afrika

  • @nzingomazera9214
    @nzingomazera9214 4 года назад +3

    Mimi mkenya na nimewafurahia watz...Magufuli kweli wewe raisi wa africa. Natamani africa Ingekua nchi moja tukamchagua huyu magufuli. Proud of you Magufuli

    • @ezekielmburu3418
      @ezekielmburu3418 4 года назад

      Hapa kenya magufuli Hawezi pata hata udiwani

  • @tumainimhesi9689
    @tumainimhesi9689 4 года назад +13

    Mungu akulinde rais wangu JPM
    kura yangu chukua 💯✅✅✅✅✅✅✅

  • @semenimtoka1121
    @semenimtoka1121 4 года назад +4

    Haki ya mungu asie mpenda maguful ni mnafki. Kama unampenda raisi wetu jemedar wetu anko magu gonga like

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd7466 4 года назад +87

    watanzania kitu cha kwanza unamshukuru Mungu kwanza ndio tunasema asante magufuli mungu ndio aliyetupa magufuli kwanza Mungu tunamshkuru tunampenda raisi wetu

    • @brobabuu3973
      @brobabuu3973 4 года назад

      Kwa yeyote anayesoma hii..
      nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.!

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 4 года назад

      Kwanini kila sa tu shukuru mungu this is progress hamna kitu cha mungu China is developed people there don't believe in God but themselves

    • @emmanuelmayeka2657
      @emmanuelmayeka2657 3 года назад

      Nikweli mkuu

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 4 года назад +17

    Brilliant Vision by the Government of Tanzania and it's people. Drove thro the intersection in Jan while visiting my aunt in Dar,,,AB boy!

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 4 года назад +34

    Baadae eti unasikia watu eti tunataka nchi . Midomo haijengi nchi . Magufuri mwacheni tu . Hatutaki kusikia mgombea mwingine jipangeni labda akitoka

  • @ntizihabosehassan649
    @ntizihabosehassan649 4 года назад +41

    Well done Mr Jhon pombe magufuli and your cabinet and people of Tanzanian my God bless u 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 4 года назад

      Well done China civil construction they are the ones who built it ,,,yes the president prioritizes it but that’s his job his head of state it’s not a favor it’s development.

    • @fredducaunt1724
      @fredducaunt1724 4 года назад +1

      @@zawadix9574 that is a problem with us we have engineers but don't learn from their setbacks to be the ones who work for national projects

    • @dianamkita6571
      @dianamkita6571 4 года назад +1

      Ahsante sana,,Mungu ibariki Afrika

    • @king-size8114
      @king-size8114 4 года назад +1

      Thank you ❤

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 года назад +78

    HAKUNA UCHAGUZI WA RAISI MWAKA HUU, NI UBUNGE TU, UCHAGUZI WA URAIS NI MPAKA 2030, gongs like kama tunakubaliana twende sawa

    • @floragogo9139
      @floragogo9139 4 года назад +3

      Isaac Hayes kabisa kaka tuendere kumuombea rais wetu mwenyezi mungu akutuze mangu wetu

    • @irenewile
      @irenewile 4 года назад +3

      Kwakweli Magufuli mpaka 2035

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 3 года назад +1

      Bado kuna watu hawamuelewi Magufuli sijui wana matatizo ya akili? Jpm tumpe mi 5 tena atutengenezee nchi

    • @irenewile
      @irenewile 3 года назад +2

      @@allymusira2153 Wale wavivu wasiotaka kujishughulisha na wapenda rushwa,Magufuli 🇹🇿 mpaka 2035

    • @OmanOman-lr4of
      @OmanOman-lr4of 3 года назад +1

      Muacheni mpaka atahitajika mbinguni.

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 4 года назад +31

    Nawapata vizuri kutoka Oman hongera sana TANZANIA Mungu amtunze Raisi wetu

  • @deisdediterkomba6369
    @deisdediterkomba6369 4 года назад +51

    Kwani katiba unatunga na nani si watz wenyewe? Sasa mh Magufuli atafia humu hatutaki ajipendekeze mtu hapa. Magu wewe ndo baba lao

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 4 года назад +6

      Wenzetu huko wakiwa na Rais kama huyu hawamtoi

    • @devidpanja115
      @devidpanja115 4 года назад +4

      Haswaaa..swadakta

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 4 года назад +2

      Lucas Mhagama wapi huko?

    • @omarymagembe5368
      @omarymagembe5368 4 года назад +3

      @@mnzavachris5423 china

    • @kalufunyangenyakinyungu5087
      @kalufunyangenyakinyungu5087 4 года назад +4

      @@mnzavachris5423 Urusi waliwahi kufanya hivyo,Rwanda wamewahi kufanya hivyo,China nao walimitisha mpaka uhai wake utapoishia,Iceland ,Cuba kabla hajadedi

  • @nessa4899
    @nessa4899 4 года назад +26

    Kwakweli magufuli nakupa hongera wewe ni mwanaume.

  • @rukiasuleyman412
    @rukiasuleyman412 4 года назад +9

    Nice mungu a2wekee raic we2 mpendwa

  • @maganagodfrey9273
    @maganagodfrey9273 4 года назад +9

    Mungu akuzidishie miaka 1000 mbele! Magufuli baba lao!!!

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 4 года назад +3

    Big up mzee baba,kwa kweli unafanya kazi ,.Mungu akulinde,madaraja yakipanda fresh,tawala milele tu mzee baba sina neno wallah.

  • @ndayushimiyeskitu1032
    @ndayushimiyeskitu1032 4 года назад +10

    Ongera Rais Magufuli❤️❤️❤️💪🏾💪🏾💪🏾

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 4 года назад +5

    We appreciate for the little things we get. God bless Tanzania

  • @amansaid1545
    @amansaid1545 4 года назад +31

    Kwastail hii ni haki wapinzani wakose pakutokea

  • @josephmwacha2026
    @josephmwacha2026 4 года назад +4

    Tanzania nchi yang..mungu ni mwema..allha amsimamie na ampe nguvu..🇿🇦🇿🇦

  • @pendomwenda6190
    @pendomwenda6190 4 года назад +6

    Mungu ubarikiwe kwa kutupa mangufuli,Mungu mlinde rais wetu

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba5331 4 года назад +9

    Big up xn mh rais John pombe Joseph Magufuli

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 4 года назад +12

    Nawapatavizuri kutoka south Africa hongera tanzania hongera mh raisi kwa maendeleo ya watanzania

  • @mikeachieng3904
    @mikeachieng3904 4 года назад +1

    Natamani kwa mTZ,mungu azidi kumbariki TZ, president,yeyena kagame hakiwanafanya kazi,kenya tungali ufisadi 100%

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 4 года назад +45

    Nitashangaa kweli kuona magufuri anatoka madarakani jamani kabla 2040 huyo ndo baba wa taifa hili mpka afe ndo mchague raisi

  • @zainaibrahim5188
    @zainaibrahim5188 4 года назад +8

    Asante sana Rais wetu

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 4 года назад +3

    Hongereni wa tz Bara. Na Shein kaa usherehekee mapinduzi.

  • @azooz2622
    @azooz2622 4 года назад +9

    Ma shaa Allah tabarak Rahman.magu oyeeee 🥰😍💪🤝

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 4 года назад +1

    President wa Tanzania anachapa kazi kweli. Wish you all the best Tanzania from 🇰🇪

  • @happynakuzimiammassi8074
    @happynakuzimiammassi8074 4 года назад +2

    Nawasoma vzuri sana kutoka Marekani 🙆 nilikuja kuziona hzo barabara huku bwana 🤔
    Hongera sana mheshimiwa Rais Mungu aendelee kukubariki daima 🙏

  • @brobabuu3973
    @brobabuu3973 4 года назад +1

    Kwa yeyote anayesoma hii..
    nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.!

  • @mahmudkiembe5064
    @mahmudkiembe5064 4 года назад +10

    Hongera rais kwa usemaji na utekelezzaji wako mola akubariki ajabu wale waliokuwa wakibeza ndio wakwanza tumia (nakuomba unipe nafasi nije nikupe hongera)

    • @rozijeremia2152
      @rozijeremia2152 4 года назад +2

      Baba yetu makufuli mungu akupe maisha marefu kazi yako ni njema

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 4 года назад +10

    Sasa Kiduku akija kuomba kura utaanzaje mm naona uchaguzi ufanywe kwa wabunge tu mjombaa aapishwe tu maan saiv wabongo hawadanganyiki

  • @mindsetkenya7504
    @mindsetkenya7504 4 года назад +15

    Oe watanzania 👊 big up bana hio ndo inatatikana angalau mutupe challengena mutupeleke mbio ili nasi tuzindi kuendelea si ati sisi tu tunaendelea na majirani hawasongi👊zidini kujikakamua tunataka compe km izo

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 4 года назад +1

      ivo

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 года назад

      ndugu yangu kwani Kenya na Tanzania kuna tofauti gani kubwa ya kimaendeleo mpaka ifikie kuwe na ushindani wa kupeana challenge?!

    • @thaubannaftal7265
      @thaubannaftal7265 4 года назад +1

      @@rayisadesigns2646 Ahsante kwa swali zuri tusubiri majibu.

    • @mubarakcloudcloud1098
      @mubarakcloudcloud1098 4 года назад +1

      @@rayisadesigns2646 Hakuna tofauti yoyte ni yeye tu hyo

    • @tanzaniteinzanzibar6655
      @tanzaniteinzanzibar6655 4 года назад

      Kenya mna nini, SGR ya mchina, nyie ni kupigana kila siku

  • @graceadieucreative1209
    @graceadieucreative1209 4 года назад

    Hongera sana kwa kazi ambayo inaendelea huko TZ, Mungu ambariki Raïs. Wakati inji letu tuta mpata Raïs kama huyu, oh Congo itakua inji nzuri Africa.

  • @japhetdaud3781
    @japhetdaud3781 4 года назад +4

    Oman ndani tunasema Magufuli 💪 abadirishiwe katiba atuongoze Hadi umri wake utakapomzuia👍⚔️

  • @bahatimohamedi2255
    @bahatimohamedi2255 3 года назад

    Hongera Sanaa Ra's wetu Tanzania kwa kazi

  • @gracesukwa1897
    @gracesukwa1897 4 года назад

    Hiyo ni miaka 5 tu, Yajayo yanafurahisha;kura nyingi sana kwa JPM 2020 ili tuone yajayo si mchezo;ahsante mwenyezi MUNGU kutupatia JPM na tunakuomba mpe maisha marefu;amen.

  • @jeniphakyando8032
    @jeniphakyando8032 4 года назад +1

    👍👍👍👊👏Kama ujui magu baba lao.maaan izi flyover zitakua overfly

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica 4 года назад +11

    Magufuli hoye!! 💪🏿

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 года назад +23

    Asante Yesu Kwa akili ya Rais Magufuli

    • @mtitimtiti376
      @mtitimtiti376 4 года назад +1

      Kwani yesu ndio kamuomba magufuli? Hebu tuweke sawa kaka

    • @lutulalihim1585
      @lutulalihim1585 4 года назад

      Wewe yesu ni mzungu sema asante Mungu

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад +2

      @@lutulalihim1585 nani kasema YESU ni mzungu?

    • @felixngelani6822
      @felixngelani6822 4 года назад +1

      Kweli kabisa kwani alisema ombeni nanyi mtapewa nasi tuliomba tupate raisibora katupa kwanni tusimshukulu kwanni tusimshukulu yye aliyesema mmi nipo kabla hata haujaumbwa ulimwengu

    • @fredducaunt1724
      @fredducaunt1724 4 года назад +1

      @@mtitimtiti376 We shida yako nini. Kama humjui Yesu muache huyo na mheshimu na dini yake mbona Waislam wakisema Allah hamuwaambii wasame Mungu. Tusiangushane bhana Mtiti

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 4 года назад +3

    Hongera Rais wangu🙏🙏

  • @eliajoseph6865
    @eliajoseph6865 4 года назад

    Hongela. MAGUFULI Tanzania mpya hiyo abalikiwe. Mwanamke aliye kuzaa

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 года назад +2

    Much respect JPM and team ,

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 года назад +3

    Viva magufuli vivaaaaaaa💪💪💪💪💪

  • @king-size8114
    @king-size8114 4 года назад

    Ama kweli jpm mungu akuzidishie maisha marefu sana🙏🙏 kwa ulicho kifanya katika taifa hili la Tanzania mungu ibariki tz mungu tujaliee wa Tanzania😭😭🙏

  • @mwajumamduba8773
    @mwajumamduba8773 4 года назад +2

    Kwa kweli uongozi wa Awamu ya tano Mungu awalinde👏👏

  • @kitalechapombe5698
    @kitalechapombe5698 4 года назад +4

    Jaman bado zanzíbar flyõver mwanakwerekwe maana kumeoza kishenz

    • @letshikuku39
      @letshikuku39 4 года назад

      Mbona Tanga hakuna flyover na hawasemi Tanga wanataka ba wao. Acha choyo ya kijinga huu mji watu wengi sn ndio maana wanajenga flyover kupunguza foleni. Huko mnafika milioni 6 kwa Zanzibar au ni kutaka ushindani tu!!!

  • @reubenkaduri8656
    @reubenkaduri8656 4 года назад

    Rais wetu Dr John Pombe Joseph Magufuli amefanya maendeleo makubwa Sana katika muda mfupi sana.tena kwa kutumia fedha za ndani.Rais wetu Ni mbunifu na ametekeleza dhana ya KUJITEGEMEA Ni KUJITAWALA..Tumchague kwa kura zote ili atupatie maendeleo makubwa zaidi.Bravo Dr JPM.

  • @josephmkuar7133
    @josephmkuar7133 4 года назад +1

    Mungu mbariki Rais wetu

  • @yustambilinyi4454
    @yustambilinyi4454 4 года назад

    Tunakushukuru Mungu kwakutupa Rais. Magufuli

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад +1

    Daraja moja nchi mzima tokea Uhuru miaka 59 sasa.Tungalikua tunajielewa tungaliwauliza mlikua wapi miaka yote 59. Au mmechukua serikali kutoka Kwa wapizani? 25 / 10 / 2020 n'gombe atakavyo lala ndivyo atakavyo chinjwa.

  • @jaredgechuki5289
    @jaredgechuki5289 3 года назад

    Congratulations John pombe Makufuli

  • @nyandwiziyada6451
    @nyandwiziyada6451 3 года назад

    Ubarikiwe sana rais Magufuli uongozi uliotukuka

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd7466 4 года назад +10

    magufuli miaka 70 Jésus akutunze

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 4 года назад

      Don’t forget china they built it

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад +1

      @@zawadix9574 wamejenga buer?

  • @meksonnickson580
    @meksonnickson580 3 года назад

    Nan Kama magu jaman Tanzania hii Big up mzee

  • @rajabunsokolo2044
    @rajabunsokolo2044 4 года назад +5

    Shime magufuli

  • @jonnymakondo7765
    @jonnymakondo7765 4 года назад +1

    Siamini kwa mda nilioenda ubungo tunashuka river side tunazunguka songazi kwa nyuma darajani ila leo pako hivyo Tanzania nakupenda anko asanteee

  • @nzeyimanashukrani3425
    @nzeyimanashukrani3425 3 года назад

    Kura yangu ningilimpa bila kusita uyo jama ndie Raisi wa kwanza Tanzania alie ipenda kwa dhati nchii iyo Mwenyezi Mungu amlipe kwakujitolea kujiinga Tanzania mie ni mwa Frika namjivuniya Magufuli

  • @yonasospeter158
    @yonasospeter158 4 года назад +1

    Kwa kwali kazi tu balikiwa raisi magufuli

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 4 года назад +2

    HONGERA KWA WATANZANIA WOTE KWA KULIPA KODI.TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUPA JEMBE MAGUFURI .KODI ZA WATANZANIA ZINATUMIKA IPASAVYO.HONGERA KWA KAMPUNI ILIYOPEWA HIYO TENDA YA KUJENGA BARABARA.

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 года назад +2

    Gharama yake ni bilioni 230 bwana.. Na siyo hizo ulizotaja... Mbona mara kwa mara rais huwa anatamka gharama yake.. Au hamumfuatilii anapozungumza

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 года назад +10

    WALIO BONYEZA DISLIKE WANAPUMULIWA KISOGON

    • @irenewile
      @irenewile 3 года назад

      Alafu sio watz 🤣🤣🤣🤣🤣watu wanawivu daahh

  • @OmanOman-lr4of
    @OmanOman-lr4of 3 года назад +1

    Tunajipongeza sana japokuwa wenzetu wanazimiliki tangu vita vya kwanza vya dunia.

  • @jamsonkanyiki6038
    @jamsonkanyiki6038 4 года назад

    Mungu akuepushe MH.RAIS. nawabaya wasioitakia mema TANZANIA YETU. chapa kazi mkuu.

  • @jejufima4887
    @jejufima4887 4 года назад +6

    Alafu kunawapinzani wanasema 2020 nchi yao.. Uuwiiii wakatafute kazi mapema

    • @elminakalunga4030
      @elminakalunga4030 4 года назад +3

      Mmmh! Wanachekesha. Yaani mwenye nyumba awaachie chumba CHOKORAA, akalale sebuleni?!

    • @jejufima4887
      @jejufima4887 4 года назад

      @@elminakalunga4030 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga9168 4 года назад +3

    Hivi watanzania tunahitajiji nini kama si laana kama hatuta mtukuza Mungu wetu kwa ajili ya Dr Magufuli?mnataka tumpate nani?Hakika tutapata tabu sana kama tuyaendelea kuwaendekeza wanaomkebehi au kumchezea.hakika huyo tupambane naye maana ni zaidi ya kawaida.

  • @shaharo6880
    @shaharo6880 4 года назад +2

    Mashallah

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 4 года назад

    Big up magu kwa kampeni au bila unarudi bila pingamizi.
    Umeonyesha
    Maendeleo ni vitendo sio maneno maneno.

  • @user-cx5wv5xu3e
    @user-cx5wv5xu3e 4 года назад +3

    Haijafunguliwa rasmi wameruhusiwa tu ili kupunguza msongamano sehemu ya chin ili ujenzi uendelee

  • @jeniphakyando8032
    @jeniphakyando8032 4 года назад

    Asante mungu kwa zawadi ya rais wangu magufuli ee mungu mpe afya njema ili adumu hadi mwanangu wa form one aje awe kama wewe rais

  • @deborahjohn6685
    @deborahjohn6685 4 года назад +1

    Magu oyeeeee💪💪

  • @ramadhanhussein8036
    @ramadhanhussein8036 4 года назад

    Hongera magufud

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 года назад +2

    Na Zanzibar pia ujenge rais wetu maana mmeungana usijenge dar tu

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 4 года назад

      Itakuja tu ndugu. Kila kitu kinaanzia mahali. Huu ni mwanzo tu wa kuibadilisha Tanzania. Tulia tu Mola atutangulie tutapata.

  • @edsonnyangwalasckapinascka8202
    @edsonnyangwalasckapinascka8202 4 года назад +1

    Hongera magufuli

  • @aliyalwatan3168
    @aliyalwatan3168 4 года назад

    Big up magufuli wetu kazi nzur twaiyona

  • @maryamswaleh1333
    @maryamswaleh1333 4 года назад

    Ma shaa Allah tabaraka'Allah,big up rais wa TANZANIA

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 4 года назад +1

    Asante magufuli

  • @silyvestervenance2213
    @silyvestervenance2213 4 года назад

    tunamshukuru sana rais wetu wa awamu yatano kwakazi nzuri

  • @kalanlukula5865
    @kalanlukula5865 4 года назад +4

    Magufuli babalao

  • @igilakubiwatson2382
    @igilakubiwatson2382 4 года назад +1

    hongera sana JPM

  • @meshacktimoth1370
    @meshacktimoth1370 4 года назад

    Serikali ya CCM imefanya kazi

  • @leluuvuai9402
    @leluuvuai9402 3 года назад

    Magufuli oyeeweeeeeeeeeee

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman4467 3 года назад +1

    Maendeleo

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 4 года назад +1

    MashaAllah

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Safi sana

  • @lonnbeats_music
    @lonnbeats_music 4 года назад +4

    Mi nawapa big up walipa kodi na mafundi

    • @godfreymbambe6834
      @godfreymbambe6834 4 года назад +4

      Kwani huko nyuma kulikuwa hakuna walipa kodi?.na mafundi?. Utagundua mafundi walikuwapo na walipa kodi walikuwepo.tatizo nini?.jibu alikuwa nalo Jpm pl'se mpe kongole yake.

    • @lonnbeats_music
      @lonnbeats_music 4 года назад

      Ukijibu hivo maana yake vitu vyote vilivyopo vimeanzishwa na pombe?

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад

    Cha mtoto tangu tupate uhuru wa dezo miaka 64 kutoka kwa makaburu ndio wa Tanganyika tunaanza kuona daraja kama
    vile tulipoanza kutumia Tv na sim za Touch wa Tz bado tupo nyuma sana tatizo ni kuacha kutawaliwa na CCM miaka mingi bila ya kuweka mpinzani tuipbambanishe ccm kama vyama vya soka simba na yanga sio miaka yote CCM maendeleo yatachelewa kama sisi tunaanza kusota wezetu Kenya Rwanda wanakimbia.

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 4 года назад

    Wooow nimefurah sana aisee yaan kama ulaya vile

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma9816 4 года назад +1

    😍😍😍😍👏👏👏👏👏

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 года назад

    Kaz nzuri

  • @allyikome2606
    @allyikome2606 4 года назад +1

    Good job

  • @aliselemani6066
    @aliselemani6066 4 года назад

    Big up magufuli

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 4 года назад

    HAKI HUINUA TAIFA BALI DHAMBI NI AIBU YA WATU WOTE,HII NDI HAKI YA WATAWALA WENYE HOFU YA MUNGU,HAYA WALE MAHODARI WA KUHESABU MABAYA HAYA HESABUNI NA MAZURI BASI,TUONE MAZURI NI MANGAPI NA MABAYA NI MANGAPI?AMEN,

  • @chazychazyb3392
    @chazychazyb3392 4 года назад

    Nom xan JPM

  • @frankd1156
    @frankd1156 4 года назад +1

    Good start...zipigwe kama 100 hivi kila kona la jiji

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад

      tukazane kulipa kodi tutapandisha hata mji mzima tukitaka kaka

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 года назад

      Tehe.. Tehe.. Tehe.. Tulia kijana.. Kuna kwanza kwenye upara wangu.. Halafu cheka kidoogo
      😀😀 zingine zaja na ndogo ndogo nyiingi hasa kwenye barabara ya kuelekea kibaha

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 4 года назад +6

    Yani mimi natamani wapinzani waswekwe jela
    Waiache nchi yetu imepata baba

  • @mwaramiissa3553
    @mwaramiissa3553 3 года назад

    Sioni sababu ya kufanya uchaguz tena jamani. Tumuombe mungu amuinue na wananchi washiriki katika hili. Ninaamini hakuna atakae kuwa mfano wake. Sijawahi kufikiria kitu kama hiki kingeweza fanyika