DAR ES SALAAM kama Ulaya, Barabara ya Juu 'FLY OVER' yakamilika Ubungo,Wananchi Wafunguka haya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 481

  • @hanclove7631
    @hanclove7631 4 года назад +146

    Watanzania wenzangu tumpe likes magufuli ❤💯

    • @saadarashid8174
      @saadarashid8174 4 года назад +1

      Yeap he did mashallah

    • @siromyhemed9464
      @siromyhemed9464 4 года назад +5

      Unazungumzia maendeleo ya watu... utaachaje kuzingumzia rlimu bure...hospitali....barabara....unategemea miundombinu mibivu foleni masaa matano utafikia maendeleo ya watu....? Maendeleo ni neno pana sana ....kama elimu yako ndogo na hujawai hata kutembelea nchi zilizoendelea huwezi kujua maendeleo ya watu bila kuanza kuweka miundombinu mizuri .....JPM Alisoma UK Masters yake ....natumaini alijifunza kwamba bila miundombinu bora huwezi kufikia maendeleo ya watu.. Ili ufanye kaz kwa haraka upate kipato chako hauitaji kukaa masaa barabarani.... Jpm na Tanzania kwanza ....wengine wasubir kidogo.

    • @mao9622
      @mao9622 4 года назад +4

      Tumpe kuraaa

    • @jacobsumaye8560
      @jacobsumaye8560 4 года назад +4

      @@siromyhemed9464 kweli kabsaaa mitano Tena kwa Magufuli

    • @kenethfanuel9195
      @kenethfanuel9195 4 года назад +4

      JPM OYEEEEEE

  • @michaeleustach9769
    @michaeleustach9769 4 года назад +6

    From Lois angel USA magufuli is the rock of africa magufulification of africa congratulations of Tanzania dar es salaam is a smallest of Europe

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 4 года назад +21

    That is really nice,tukirudi tanzania tutajivunia big up mr president.hi from USA 🇺🇸

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 4 года назад +14

    Mashallha hapa kazi tu na imeonekana magufuri mitano tena nasikia raha nikiona nchi yetu inazidi kupendeza kira pande ata uku tulipo nchi za wezetu tunajifunia rais wetu l love 🇹🇿🇹🇿five tena kwa magu

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 4 года назад +26

    Naipenda Tanzania yangu. ProudlyTanzanian, nitakuwa mtanzania mpaka kiama

  • @Juma_Content
    @Juma_Content 4 года назад +39

    bro mm naishi marekani akuna utofauti wa bongo na uku tena kw barabara bige up sana rais wetu wa awamu yta tano

    • @seltricking26
      @seltricking26 4 года назад +3

      Acha ujinga wewe unaishi marekani gani iyo ?? Ao upo porini ya marekani 😂😂😂 umeshaga ona siku gani highways za marekani kuna watu wana walk kwa mguu 😂😂 acheni ujinga bana

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 4 года назад

      Makonda ndo anaiweza Dar

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 4 года назад

      Toka makonda ondoke Dar imepoa

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 4 года назад

      Wawekewe Daraja la kuvuka kwa miguu

    • @seltricking26
      @seltricking26 4 года назад +1

      Abuu Ramadhan kaka kwenye highways hapakuwaki daraja la miguu kwa sababu magari yanakuwa kwenye high speed na watu wana weza kuwa nafuka na accidents sana

  • @Best_wolframmusichub
    @Best_wolframmusichub 4 года назад +30

    Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika na viongozi wake wazalendo kama mhe dkt John Pombe Magufuli.

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад +2

      Amina

    • @sampeter4693
      @sampeter4693 4 года назад +2

      Wajinga wengne wanao mpinga magufuri wanakwama wap sasa

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 4 года назад +65

    from burundi walahi hii barabara ni noma jamani magufuli oyeeee

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 4 года назад +73

    HALAFU JITU LINATOKEA ETI BARABARA ZINA FAIDA GANI #MAGUFULI MITANO TENA NA UTASHINDA KWA KISHINDO💪✊

  • @amosmalaba5
    @amosmalaba5 4 года назад +36

    Huyo lissu aendelee kuhibiri lisasi zake za mguuni MAGUFURI speed kwa sana mbele 5 lazim.

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 4 года назад +11

    Japo alipingwa vikali na both houses, Congress na senete, Raisi Eisenhower alijenga barabara kuunganisha states zote za USA. Sasa uchumi wa marekani unatokana na matumizi ya barabara hizo. Tunampongeza Raisi JPM na serikali yake kwa uongozi bora. Mungu amlinde na ammpe afya bora iliaendelee kuwatumikia watanzania wote. Amen 🙏🏽.

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +37

    Home km Home naipenda Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA

    • @yusuphally1380
      @yusuphally1380 4 года назад

      Eeeh! Sawa, na kwetu tutajenga tu😥😥

    • @zennakailo8106
      @zennakailo8106 4 года назад

      @@yusuphally1380 😂😂😂nichokoze

    • @yusuphally1380
      @yusuphally1380 4 года назад

      @@zennakailo8106 nakwambia na sisi kwa mama njerii tutajenga tu😂😂😂, karibu kwetu Kenya

    • @zennakailo8106
      @zennakailo8106 4 года назад

      @@yusuphally1380 😃😂😂😂😀😀😀kwa mama nani 😄😃😃😃😀😀😀kwenu kwanza

    • @yusuphally1380
      @yusuphally1380 4 года назад

      @@zennakailo8106 kwetu kenya mandheee, tupeaneni hiyo pombe tuwape Uhuru

  • @mayellowjr2869
    @mayellowjr2869 4 года назад +1

    Only 4 years tz imebadilika hivi Muhishimiwa Rais magufuli nimekupa salute am from kenya i like tz

  • @anahna6788
    @anahna6788 4 года назад +63

    SWEET HOME JPM KWAZA VILAZA BAADAYE SANA

    • @henryjohn2913
      @henryjohn2913 4 года назад +5

      Tena iyo badae km umewapendelea sanaa saiv elimu bure watu kama magufuri tutawapata wengi tu kwaiyo vilaza watafute pakukimbilia hawana nafasi

    • @taslimanyange2850
      @taslimanyange2850 4 года назад +4

      Magufuli kafanya kazi kubwa jamani lkn kuna mijitu haioni tumpongeze kwa kweli

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 4 года назад +1

      Ha saa hiyo baadae mm pia sitaki kusikia maana mbiligiji kasha Sema Bara Bara meri leri TRENI bandali vimejengwa na mkoloni Sasa baadae akipata atawa danganya watu vya mkoloni Kisha ang,oe AWAPE mabeberu

  • @kailomsewa2258
    @kailomsewa2258 4 года назад +35

    Waooooooo home km home🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 4 года назад +20

    Hongera sana watz na raisi wetu kweli sahizi natamani kurudi tz kwa sasamaana kumenoga dubayi ndogo hiyo mwakani nakuja huko

  • @shaluissa3184
    @shaluissa3184 4 года назад +17

    Wow home sweet home I miss you 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma9816 4 года назад +10

    Maa shaaa allah ongezaa baba maguuuuu mpak tueshimekeee 💗💗👏👏

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +20

    Loveeeee You Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 4 года назад +14

    5 tena kwa Magufuli Oyeeeeeeeh 🇹🇿❤️

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +2

    Waoooo Amazing,yaani 👌🏿najivunia kuwa Mtanzania 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻,najivunia Rais wetu magufuli popote niendapo 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi2333 4 года назад +1

    Asante sana Magufuli tunakupa mi tena ccm oyeeee

  • @ipyanahmajor
    @ipyanahmajor 4 года назад +1

    Awadhi Mwaipololo O level class mate......
    Hongera kwa kuitangaza Tanzania
    Hongera kwa kazi nzuri.

  • @mavuzijiwe6805
    @mavuzijiwe6805 4 года назад +22

    Jembe letu JPM mungu Akupe Maisha Marefu, Watanzania Tumpigie kura John pombe Magufuli, Tundulisu shoga Tupa kule

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 года назад

      Shoga baba yako hiyo ni kwa faida ya darslam na kwa kwenye magari

    • @sanyolee1396
      @sanyolee1396 4 года назад

      @@emanuelmwanga4 wenye magar sio watu kwani

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 года назад

      @@sanyolee1396 sijasema siyo watu ila sipendi mnavyoropoka mambo ya ushoga alikufira wewe ukajua ni shoga fara wew

    • @sanyolee1396
      @sanyolee1396 4 года назад +1

      @@emanuelmwanga4 kwani nilikwambia habar za ushoga, wewe si ulisema kwamba hiyo flyover wenye faida nayo ni wenye magari ndio nikakujibu kwamba kwani sio watu, na haina maana kama hauna Gari bas ndio halina faida kwako utapanda hata daladala na hautakaa kwenye foleni na utawahi kazi zako, na pia jifunze kuwa na ustaarabu wa maneno na domo lako kama Choo cha baa

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 года назад

      @@sanyolee1396 kunguru wew daladala nani wa kupanda daladala wew labda mafuta yafike laki kwa liter

  • @bellabakera
    @bellabakera 4 года назад +20

    Dah huyo mama kaonge vizuri mno. Anaonekana tuko makini

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 года назад +2

    Inashangaza sana ndani ya Miaka mitano maendeleo makubwa sana mungu wa bariki sana hapa kazi tu

  • @lilymammpayo8072
    @lilymammpayo8072 4 года назад +31

    Magufuli 5 tena.oyoooooooo!!!

  • @msqtv8568
    @msqtv8568 4 года назад +8

    I like your creativity love from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jamalowino710
    @jamalowino710 4 года назад +2

    This is great progress in Dar Magufuli needs to replicate this all over other Major Towns in Tz..This has been done in all the Major Towns in Kenya other than Nairobi i.e. Mombasa,Kisumu,Nakuru,Eldoret,Thika,Kakamega...we all need a well developed East Africa...Mtu anaweza akasafiri kotekote kwa njia rahisi

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад +1

      Dat why he invest in both roads & sgr as we know is more reliable, economical and fast so it'll reduce traffic jam, congrats to your previous & current regime gvt done well infrastructurally concern, great work done by kibaki and uhuru doing the best one also I heard him he wanna construct 10,000km of roads before he left presidential seat so he doing great job

    • @samasamahani2784
      @samasamahani2784 4 года назад

      Kenya will never get three levels interchange in 20yrs to come, never get BRT, never get electric bullet trains in 100 yrs time from now.

    • @briant5685
      @briant5685 4 года назад

      @@samasamahani2784 wewe angalia barabara ya nairobi expressway ambayo inajengwa,itakuaibisha

    • @samasamahani2784
      @samasamahani2784 4 года назад

      @@briant5685 Hiyo ni eleveted High way, nothing special there

    • @linkedozone2857
      @linkedozone2857 4 года назад

      @@samasamahani2784 Wacha ujinga wewe. Tembea ujionee kabla ya kuhara kwa mdomo. wewe mwenyewe haujajenga ata choo na unaambia watu chenye hawatajenga in 100 years. wewe ndio ulituambia tujenge Fly overs since 1963? Hili moja video zote kichwa ni "kama ulaya"? Tukijenga mlikuwa wapi? ama wewe ndio ulikuwa umeambia watanzania wabaki nyuma muda wote huo? fuda wewe.

  • @mukaplatnumz2313
    @mukaplatnumz2313 4 года назад +36

    Magu anazidi pamba moto wapinzani matumbo joto😜😜😜 wataweza Kweli AAA wapi kushindana nasi AAA wapi ATA wakiungana AAA wapi MATUSI kututukana AAA magufuli baba Lao.

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 года назад +36

    MBELIGIJI HAYA MAENDELEO NI YA VITU AU WATU AU WATU+VITU 🤷‍♂️ MBELIGIJI ANA VITUKO.... NA UTAKOMA KWENYE SANDUKU LA KURA WAJUMBE TUTAKUPONYA MIGUU KAMA ULOFANYIWA MAOMBI KWA MWAMPOSA....... KURA LAKI2 TU ZINAKUTOSHA KISHA ITISHA MAANDAMANO..... NA HUPATI MTU THIS TIME

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 4 года назад +5

    Home sweet home gonga likes kwa JPM

  • @htx1873
    @htx1873 4 года назад +12

    JAMANI KWA SISI TUNAOISHI MAREKANI TUNA VOTE VIPI , I’m going to vote for MAGUFULI ONLY and that’s FINAL... am so so proud to be TANZANIAN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @sampeter4693
      @sampeter4693 4 года назад

      Ur are welcome brother together we can

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 4 года назад +1

      Kwani hamna ubalozi uko??

    • @itshaluastyle
      @itshaluastyle 4 года назад

      Wafanye tuvote throung online
      Mi pia nilishawahi kufikiria sana wengi hatupo tz
      ruclips.net/video/hF6BD9gwqyU/видео.html

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 4 года назад +1

      Come home be patriotic and build your country

    • @htx1873
      @htx1873 4 года назад +1

      Zawadi x I will definitely come home , am getting my education together and my business then I bring home .. 🙏🏽🙏🏽 pray for me .

  • @dayakhamis4939
    @dayakhamis4939 4 года назад

    Alhamdulah mungu amzidishie imani raisi wetu magufu mungu muezeshe zaid na zaidi amiin

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 года назад +6

    Yeeeiyooooooo Tanzania ya sasa mamaaaa malizieni hukooo👂🏽

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 4 года назад +7

    Mashaallah jmn mueshimiwa maguful kajitahid kias chake anaitaji pongez sio sir

  • @neemamireillegbenye7898
    @neemamireillegbenye7898 4 года назад +9

    Hongereni sana Tz👌🏾👌🏾

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 4 года назад +9

    😍😍😍😍tz yet yapendeza kwel kwel nafurah

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 4 года назад +3

    Mashallah mwaka juzi nilikuacha kwatengezwa..

  • @singingbird8540
    @singingbird8540 3 года назад +1

    The beautiful and a giant President of Africa Dr Magufuli the true son of Mama Africa RIP your name shall always be on our lips greatest man of all times

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 Год назад

    Mungu magufuli tutakukumbuka daima ❤

  • @emmymotaungmotaung6365
    @emmymotaungmotaung6365 3 года назад

    Is this my home country wooooow..R.I.P Baba Magufuli Thanks again

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus9599 4 года назад

    Asante Sana raisi wetu mzee jpm maana unatufanyia mambo mazuli Sana, binafusi napendezwa Sana na uwongozi wako mwenyezi mungu akulinde na akuepushe na mabaya yote

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 4 года назад +20

    tz mumu ongeze kura raisi wenu kiukweri ame badirisha inci yenu kiukweri pongezi nyingi kwa raisi wenu 👌

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад

      Kabisa

    • @epnyagawa
      @epnyagawa 4 года назад

      Itafikia muda utakokota begi toka stendi hadi majumbani kwetu

  • @justinngabo3058
    @justinngabo3058 4 года назад +6

    Great job JPM we love u !! But I'm very disappointed with engineers Who failed to put crosswalk .!.! Thanks to this lady who mentioned it. U don't have to be educated to see something wrong. Our problem in Africa is always to have wrong people in place doing wrong things none say nothing because.....

    • @AB-ym2pu
      @AB-ym2pu 4 года назад +1

      the work is still in progress, hope soon they will put the crosswalk...!

    • @salumchusi3914
      @salumchusi3914 4 года назад +1

      Wataweke ujenzi bado unaendelea

  • @miriamkafwila98
    @miriamkafwila98 4 года назад +7

    Where our President goes wrong ...Edgar Lungu come and see

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 4 года назад +1

    Nitaenda kuomba pale chini ya hayo madaraja nilime vitalu vya mbogamboga....ili papendeze na maisha mengine yasonge.

  • @gracekuria6333
    @gracekuria6333 4 года назад +3

    We have the same in kenya

    • @aloycekajula8144
      @aloycekajula8144 4 года назад

      But ya mkopo Tz ni kodi ye2 io

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад

      In Kenya there's no this kind of interchange

    • @samasamahani2784
      @samasamahani2784 4 года назад +1

      @@johnmlay4759 There is no three levels interchange in Kenya

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад

      @@samasamahani2784 exactly

    • @briant5685
      @briant5685 4 года назад +1

      @@aloycekajula8144 jamani huu ujinga wa madeni,mtaanganywa mpaka lini,hakuna miradi ambayo haina madeni

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 4 года назад

    MashaAllah kazi nzur Mwenyezimungu mlinde Rais wetu jpm miaka kama yote bila ukomo wa urahisi wake

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +2

    Hongera zenu huko kwetu ni balaa tupu siasa zisizo isha.

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад +5

    Magufuri ongoza mpaka kiama.jamaniii sitaki niswagwe naenda mwenyewe kulipa kodi.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 года назад

    Dar umependeza jamani...kwenda mjini kwa cc wa nje ya mji kama Kibamba cku hizi hatuwazi....
    Hongera raisi wangu Magufuli...wewe ni jembe...hongera mama Janeth!!

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 4 года назад +19

    Halafu eti tusimpigie kula jpm itakuwa zambi kubwa kwa mungu

  • @bahatimohamedi2255
    @bahatimohamedi2255 3 года назад

    Hongera Sanaa Ra's wetu Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @anahna6788
    @anahna6788 4 года назад +41

    NA HILI JIJI ANALUWEZA MAKONDA PEKE YAKE WENGINE WATAFUTIWE KAZI NYINGINE

  • @mao9622
    @mao9622 4 года назад +1

    Kajenga uwanjaa wa ndege chato...haya kajenga na fly over Dar,njooeni tulalamike

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 4 года назад +12

    Hivi nauliza hawa viongozi wetu wa Kenya haya maendeleo anayofanya magufuli waona ama ni kupiga domo bunge na kuiba mapesa ya wanachi

    • @aliciafields-worldtravelle8248
      @aliciafields-worldtravelle8248 4 года назад +3

      Hizi barabara zilijengwa Kenya 20 years ago..tazama thika road..kenya sasa inajenga Express ways to be completed in 2022.

    • @linkedozone2857
      @linkedozone2857 4 года назад +2

      Wakenya hamjipendi nyinyi sio nationalists kama watanzania ama wasomali. Tz wakijenga choo kimoja headlines zote "kama ulaya". Kenya mna kila kitu lakini kujianika nje for likes. Uhuru mwenyewe as corrupt as his government is amejenga more kilometers of modern roads than Magufuli in 20 yrs. Think of kungekuwa bila corruption? tungekuwa ata mbali zaidi. Appreciate that part.

    • @aliciafields-worldtravelle8248
      @aliciafields-worldtravelle8248 4 года назад +3

      @@linkedozone2857 tell them..Kenya is 30 years ahead of Tanzania..in infrastructure, HDI, Healthcare, et al

    • @linkedozone2857
      @linkedozone2857 4 года назад +3

      @@aliciafields-worldtravelle8248 Funny how Kenyans hate themselves and worship everyone else. That's why it's easy for external people characters to troll us. Look at how Tanzanias praise their little efforts

    • @News254Kenya
      @News254Kenya 3 года назад

      Kenya hatujipendi. Yaani hata haya mafly over tunazo zaidi ya ishirini hadi kwa majiji madogo na bado kunajengwa 30km expressway ya juu kwa juu Nairobi lakini kazi yetu ni kukashifu tu. Tz ikisonga mbele KE ikisonga ni maendeleo kwa East Africa. Tuache ubishi.

  • @kwizerasamia5397
    @kwizerasamia5397 4 года назад +5

    Masha allah

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 года назад

    Big up rais wetu kawaonyesha wazungu tunaweza bila wao kweli tupende vyetu sasa kila kitu kusaidiwa tu Mungu Ibariki Tanzania

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 года назад +3

    Wakwanza mm hapa ❤️❤️❤️❤️SNS

  • @sampeter4693
    @sampeter4693 4 года назад +10

    Tz yangu.. God bless u JPM wajinga wanakupinga ila tumeona kaz yako, tulio kuwa tunayashanga kwenye movie za mbele now yametufikia,. 5 mingne chukua

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 4 года назад +17

    Ila waache kutupa uchafu mabarabarani

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 года назад +3

      Kweli kabisa..shida ya baadhi ya wabongo..akili zimepinda..utakuta anakunywa energy yake akisha maliza analitupa kopo lake katikati ya bara bara huko huko juu..Mbwangala..Halafu pia utashangaa watu wanagonga kingo za flyover huko huko juu kwa juu..Tunahitaji itolewe amri kali sana..Naongea hivi kwa sababu nilishashuhudia uharibifu kwenye daraja la kigamboni...Lori la mafuta lilishagonga nguzo za zege..sijui lilitaka liende kuogelea mara baharini..hilo..sijui..wakati mwingine mtu mpita njia unashikwa na hasira aise..unapoona watu wanakosa ustaarabu

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 3 года назад +2

      Kabisa. Lazima Watanzania tuwe na utamaduni wa usafi. Mtu akikamatwa anatupa uchafu ovyo faini elfu kumi.

  • @willimammungathia1702
    @willimammungathia1702 4 года назад +4

    Tz mko sawa kwa saii......naona mnajaribu sana kukimbizana na 254,

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад +2

      Tuko tunajenga miundo msingi kwa ajili ya kukuza uchumi wetu ndugu but not for competing or catching you neighbors, one love let move together as one strong east Africa

    • @augustinemzeentinginya3057
      @augustinemzeentinginya3057 4 года назад

      Hatukimbizani na mtu, wala hatukimbizani na nchi fulani, mfano 254.
      Tunapambana na hali yetu, kama tutawazi, nanyi mtapambana na hali yenu mjiboreshe.
      Tanzania oyeeee

  • @gockoomzawa3389
    @gockoomzawa3389 4 года назад +11

    Magufuri 4 ever

  • @saadarashid8174
    @saadarashid8174 4 года назад +1

    Maguuu oyeeer Mashallah well done

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema1464 4 года назад

    Asante mheshimiwa Kikwete kwa mipango mizuri kwa nchi yetu!

    • @justinecleophas2950
      @justinecleophas2950 4 года назад

      Vicha ni wengi.....snaaaa.....😂😂🤣🤣🤣🚮

    • @rwegoshoramichael3144
      @rwegoshoramichael3144 4 года назад

      Acha ujinga. Hii ni ilani ya ccm ya 2015. Mnadandia malori kwa mbele! Wivu unawawasha wanafiki nyie

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 года назад

    Yaa..Dada uko sahihi.....ni changamoto kubwa sana..siyo kwa wanafunzi tu hata kwa wengine watakao vuka kuelekea pande zote....Linatakiwa daraja la juu

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 4 года назад +1

    hatari sana ,,ipati picha miaka mitano ijayo ya JPM Tanzania itakuaje,, viva NGOSHA,,TANO TENA

  • @mussabulugu6319
    @mussabulugu6319 4 года назад

    Watanzania wenzangu tujitahidi kulipa kodi ili maisha mazuri na vitu vizur vipatikane .

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 4 года назад +1

    Maa shaa allah

  • @bellabakera
    @bellabakera 4 года назад +5

    Tujuane ambao tuko nje ya nchi na tunatamani kurudi nyumbn lkn corona inaleta shida.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 года назад

      hupo nchi gani ndugu yng

  • @mosesptallah3933
    @mosesptallah3933 4 года назад

    Mungu ibariki jamhuri ya muungano ya Tanzania.

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 4 года назад +1

    wenye wivu wa kichawi watapata taabu sana! Mungu azidi kumuinua, kumulinda, kumbariki, na kumuongoza mpendwa rais wetu pendwa sanaaana Dr. JPJ Magufuli na serikali yetu yote. Mungu azidi kukutoa kimasomaso watanzania! Mungu azidi ibariki Tanzania!

  • @MdEmon-yn4cw
    @MdEmon-yn4cw 4 года назад +4

    mora akujalie rais wetu uzidi kuijenga nchi yetu

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 года назад

    Mama wa Changanyikeni umeongea point tu
    Ubarikiwe sana.

  • @ibrahimhemedi9079
    @ibrahimhemedi9079 4 года назад +1

    Ongera Tz kwetu wangeweka taa ktk kivuko cha watu wa miguu peace Tz

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 4 года назад

    Tanzania my sweet country ♥️♥️♥️♥️💞💕💕💟❣️💌💕💕💞👍👍

  • @samuelhenry9194
    @samuelhenry9194 4 года назад

    Changamoto alizozizungumzia miss Chaulaya zizingatiwe kikamilifu kwa kuweka alama za wenda kwa miguu na kuweka kituo cha mabasi mahususi kwaajili ya wanafunzi wa chuo kikuu cha mabibo na ikiwezekana kuwepo na road bumps kwa maeneo ya watembea kwa miguu

  • @eshialabonita7736
    @eshialabonita7736 4 года назад +1

    Wow hayo ndio mambo tunayoyataka

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 4 года назад

    MashaAllah na tuwe wasafi basi sio baada ya mwaka tu chafuuuu

  • @sayyidaseif6309
    @sayyidaseif6309 4 года назад +2

    Hiyo ndo Tanzanian ya magufuli mpaka tulio mbali tunatamani kurudi home sweet home

  • @musicapprentice6682
    @musicapprentice6682 4 года назад +9

    Jiji la 👑 SIMBAAAA👌😂😂😂💥🙌💞

  • @GAYOTV2023
    @GAYOTV2023 4 года назад +25

    TANZANIA HOYEEEEEEEEEEE MGUFULI HOYEEEEEEEEEEE
    CCM HOYEEEEEEEEEEE

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 4 года назад

      Oyeeee

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 4 года назад +1

      @@williamsville3493 tunataka uhuru

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад +3

      @@sponsor7882 uhuru ni rais wa kenya so mfuate kenya

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 4 года назад +1

      @@johnmlay4759 hahaaa jibu zurii

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 4 года назад +1

      @@johnmlay4759 freedom of speech

  • @مارثاتنزانيا
    @مارثاتنزانيا 4 года назад

    Najivunia kuzaliwa tanzania,napia najivunia kuwa na mzee magu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 года назад +1

    Ila nahisi sehemu zanye Bara Bara za juu Hakunaga sehemu ya wavuka na miguu sikumbuki kwakweli. Na kama ipo basi mzungu ko wake ni mkubwa

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja362 4 года назад +13

    Nina miaka 4 sipo dar nikirudi lazima nitahitaji wa kunishika mkono asee.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 4 года назад

      Hahaaa utopotea ndgu Google map ipoo hahaaa,Mimi nimetembea majiji makubwa East Africa na Tanzania majiji yote while nikiwa na umri mdgo wa 13-17na toka shule Kisumu mpka Morogoro pekeangu bila ya mwenyejii wala nini na sijapotea,sasa wewe mkubwa na ni mwenyeji wa Dar utopotea hahaa.

    • @MohammedAli-vq2dk
      @MohammedAli-vq2dk 4 года назад

      @@happyjohn5882 ndo unafanyaje hiyo Google

    • @malleironworks4586
      @malleironworks4586 4 года назад

      @@happyjohn5882 Sasa Hivi una miaka mingapi Happy?..

    • @elizabethmwandu6937
      @elizabethmwandu6937 4 года назад

      😀😀😀😀

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 4 года назад

      @@malleironworks4586 19 years hahaaa

  • @priscillangari4329
    @priscillangari4329 4 года назад +2

    Hongera Tz

  • @victormpapuluu6497
    @victormpapuluu6497 3 года назад

    Good work tanzania 👍👍👍❤️ from Kenya. Keep it up.

  • @asnatyahya3979
    @asnatyahya3979 3 года назад

    Home sweet home I miss you
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 года назад +9

    hizo zinatakiwa ziwe nyingi aisee

    • @5facts60
      @5facts60 4 года назад

      Zitakuua kama 10 miaka 5 ajayo Mzee kasema

  • @omarymwasiri8451
    @omarymwasiri8451 4 года назад +3

    Magufuli anaweza tena sana

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 4 года назад

    Mashallah my tz , Allah protect our tz

  • @sporamashanga4019
    @sporamashanga4019 4 года назад

    Aise safi sana mitano tena kwa Baba Magufuli

  • @henryjohn2913
    @henryjohn2913 4 года назад +3

    Wadau wanateleza adi kwenye mwendo kasi noma sana😅😅 afu utasikia barabara za kazi gani

    • @J4UPro
      @J4UPro 4 года назад

      Halafu anafanya kampeni anapita humohumo ilifaa awe anapita polini

  • @teamlovesquare3207
    @teamlovesquare3207 4 года назад +1

    Najiproud kuwa mzanzibar japo tumekuwa koloni la tanganyika one day yes

    • @5facts60
      @5facts60 4 года назад +1

      Hhhhh acha zako Tanganyika ni nin hapa kuna Tanzania tu

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 4 года назад +2

    Acha nifunge mdomo wangu tu!

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 3 года назад

    Itabidi ziwekwe njia za kuvuka za juu za waenda kwa miguu, na wala siyo kukatisha kwenye fly-over. Utawekaji speed bumbs kwenye fly-over inakuwa haifanyi kile ilichotengenezwa kukifanya. Hapa wahandisi wanahitajika kuweka njia ya juu ya watembea kwa miguu na wala watu wasiruhusiwe kukatiza kwenye flyover. Itabidi elimu kubwa sana ya matumizi ya barabara kwa waenda kwa miguu.

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад +3

    M.MUNGU Amuajalie magufuli miaka mitano tena

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад +1

    Naomba watu wa mazingira mtengeneze green look eneo ilo ili livutie zaidi

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi7152 4 года назад +17

    Tumeahidi tumetekeleza ccm oyeee