Unazungumzia maendeleo ya watu... utaachaje kuzingumzia rlimu bure...hospitali....barabara....unategemea miundombinu mibivu foleni masaa matano utafikia maendeleo ya watu....? Maendeleo ni neno pana sana ....kama elimu yako ndogo na hujawai hata kutembelea nchi zilizoendelea huwezi kujua maendeleo ya watu bila kuanza kuweka miundombinu mizuri .....JPM Alisoma UK Masters yake ....natumaini alijifunza kwamba bila miundombinu bora huwezi kufikia maendeleo ya watu.. Ili ufanye kaz kwa haraka upate kipato chako hauitaji kukaa masaa barabarani.... Jpm na Tanzania kwanza ....wengine wasubir kidogo.
Mashallha hapa kazi tu na imeonekana magufuri mitano tena nasikia raha nikiona nchi yetu inazidi kupendeza kira pande ata uku tulipo nchi za wezetu tunajifunia rais wetu l love 🇹🇿🇹🇿five tena kwa magu
Acha ujinga wewe unaishi marekani gani iyo ?? Ao upo porini ya marekani 😂😂😂 umeshaga ona siku gani highways za marekani kuna watu wana walk kwa mguu 😂😂 acheni ujinga bana
Abuu Ramadhan kaka kwenye highways hapakuwaki daraja la miguu kwa sababu magari yanakuwa kwenye high speed na watu wana weza kuwa nafuka na accidents sana
Japo alipingwa vikali na both houses, Congress na senete, Raisi Eisenhower alijenga barabara kuunganisha states zote za USA. Sasa uchumi wa marekani unatokana na matumizi ya barabara hizo. Tunampongeza Raisi JPM na serikali yake kwa uongozi bora. Mungu amlinde na ammpe afya bora iliaendelee kuwatumikia watanzania wote. Amen 🙏🏽.
Ha saa hiyo baadae mm pia sitaki kusikia maana mbiligiji kasha Sema Bara Bara meri leri TRENI bandali vimejengwa na mkoloni Sasa baadae akipata atawa danganya watu vya mkoloni Kisha ang,oe AWAPE mabeberu
@@emanuelmwanga4 kwani nilikwambia habar za ushoga, wewe si ulisema kwamba hiyo flyover wenye faida nayo ni wenye magari ndio nikakujibu kwamba kwani sio watu, na haina maana kama hauna Gari bas ndio halina faida kwako utapanda hata daladala na hautakaa kwenye foleni na utawahi kazi zako, na pia jifunze kuwa na ustaarabu wa maneno na domo lako kama Choo cha baa
This is great progress in Dar Magufuli needs to replicate this all over other Major Towns in Tz..This has been done in all the Major Towns in Kenya other than Nairobi i.e. Mombasa,Kisumu,Nakuru,Eldoret,Thika,Kakamega...we all need a well developed East Africa...Mtu anaweza akasafiri kotekote kwa njia rahisi
Dat why he invest in both roads & sgr as we know is more reliable, economical and fast so it'll reduce traffic jam, congrats to your previous & current regime gvt done well infrastructurally concern, great work done by kibaki and uhuru doing the best one also I heard him he wanna construct 10,000km of roads before he left presidential seat so he doing great job
@@samasamahani2784 Wacha ujinga wewe. Tembea ujionee kabla ya kuhara kwa mdomo. wewe mwenyewe haujajenga ata choo na unaambia watu chenye hawatajenga in 100 years. wewe ndio ulituambia tujenge Fly overs since 1963? Hili moja video zote kichwa ni "kama ulaya"? Tukijenga mlikuwa wapi? ama wewe ndio ulikuwa umeambia watanzania wabaki nyuma muda wote huo? fuda wewe.
MBELIGIJI HAYA MAENDELEO NI YA VITU AU WATU AU WATU+VITU 🤷♂️ MBELIGIJI ANA VITUKO.... NA UTAKOMA KWENYE SANDUKU LA KURA WAJUMBE TUTAKUPONYA MIGUU KAMA ULOFANYIWA MAOMBI KWA MWAMPOSA....... KURA LAKI2 TU ZINAKUTOSHA KISHA ITISHA MAANDAMANO..... NA HUPATI MTU THIS TIME
The beautiful and a giant President of Africa Dr Magufuli the true son of Mama Africa RIP your name shall always be on our lips greatest man of all times
Asante Sana raisi wetu mzee jpm maana unatufanyia mambo mazuli Sana, binafusi napendezwa Sana na uwongozi wako mwenyezi mungu akulinde na akuepushe na mabaya yote
Great job JPM we love u !! But I'm very disappointed with engineers Who failed to put crosswalk .!.! Thanks to this lady who mentioned it. U don't have to be educated to see something wrong. Our problem in Africa is always to have wrong people in place doing wrong things none say nothing because.....
Dar umependeza jamani...kwenda mjini kwa cc wa nje ya mji kama Kibamba cku hizi hatuwazi.... Hongera raisi wangu Magufuli...wewe ni jembe...hongera mama Janeth!!
Wakenya hamjipendi nyinyi sio nationalists kama watanzania ama wasomali. Tz wakijenga choo kimoja headlines zote "kama ulaya". Kenya mna kila kitu lakini kujianika nje for likes. Uhuru mwenyewe as corrupt as his government is amejenga more kilometers of modern roads than Magufuli in 20 yrs. Think of kungekuwa bila corruption? tungekuwa ata mbali zaidi. Appreciate that part.
@@aliciafields-worldtravelle8248 Funny how Kenyans hate themselves and worship everyone else. That's why it's easy for external people characters to troll us. Look at how Tanzanias praise their little efforts
Kenya hatujipendi. Yaani hata haya mafly over tunazo zaidi ya ishirini hadi kwa majiji madogo na bado kunajengwa 30km expressway ya juu kwa juu Nairobi lakini kazi yetu ni kukashifu tu. Tz ikisonga mbele KE ikisonga ni maendeleo kwa East Africa. Tuache ubishi.
Kweli kabisa..shida ya baadhi ya wabongo..akili zimepinda..utakuta anakunywa energy yake akisha maliza analitupa kopo lake katikati ya bara bara huko huko juu..Mbwangala..Halafu pia utashangaa watu wanagonga kingo za flyover huko huko juu kwa juu..Tunahitaji itolewe amri kali sana..Naongea hivi kwa sababu nilishashuhudia uharibifu kwenye daraja la kigamboni...Lori la mafuta lilishagonga nguzo za zege..sijui lilitaka liende kuogelea mara baharini..hilo..sijui..wakati mwingine mtu mpita njia unashikwa na hasira aise..unapoona watu wanakosa ustaarabu
Tuko tunajenga miundo msingi kwa ajili ya kukuza uchumi wetu ndugu but not for competing or catching you neighbors, one love let move together as one strong east Africa
Hatukimbizani na mtu, wala hatukimbizani na nchi fulani, mfano 254. Tunapambana na hali yetu, kama tutawazi, nanyi mtapambana na hali yenu mjiboreshe. Tanzania oyeeee
wenye wivu wa kichawi watapata taabu sana! Mungu azidi kumuinua, kumulinda, kumbariki, na kumuongoza mpendwa rais wetu pendwa sanaaana Dr. JPJ Magufuli na serikali yetu yote. Mungu azidi kukutoa kimasomaso watanzania! Mungu azidi ibariki Tanzania!
Changamoto alizozizungumzia miss Chaulaya zizingatiwe kikamilifu kwa kuweka alama za wenda kwa miguu na kuweka kituo cha mabasi mahususi kwaajili ya wanafunzi wa chuo kikuu cha mabibo na ikiwezekana kuwepo na road bumps kwa maeneo ya watembea kwa miguu
Hahaaa utopotea ndgu Google map ipoo hahaaa,Mimi nimetembea majiji makubwa East Africa na Tanzania majiji yote while nikiwa na umri mdgo wa 13-17na toka shule Kisumu mpka Morogoro pekeangu bila ya mwenyejii wala nini na sijapotea,sasa wewe mkubwa na ni mwenyeji wa Dar utopotea hahaa.
Itabidi ziwekwe njia za kuvuka za juu za waenda kwa miguu, na wala siyo kukatisha kwenye fly-over. Utawekaji speed bumbs kwenye fly-over inakuwa haifanyi kile ilichotengenezwa kukifanya. Hapa wahandisi wanahitajika kuweka njia ya juu ya watembea kwa miguu na wala watu wasiruhusiwe kukatiza kwenye flyover. Itabidi elimu kubwa sana ya matumizi ya barabara kwa waenda kwa miguu.
Watanzania wenzangu tumpe likes magufuli ❤💯
Yeap he did mashallah
Unazungumzia maendeleo ya watu... utaachaje kuzingumzia rlimu bure...hospitali....barabara....unategemea miundombinu mibivu foleni masaa matano utafikia maendeleo ya watu....? Maendeleo ni neno pana sana ....kama elimu yako ndogo na hujawai hata kutembelea nchi zilizoendelea huwezi kujua maendeleo ya watu bila kuanza kuweka miundombinu mizuri .....JPM Alisoma UK Masters yake ....natumaini alijifunza kwamba bila miundombinu bora huwezi kufikia maendeleo ya watu.. Ili ufanye kaz kwa haraka upate kipato chako hauitaji kukaa masaa barabarani.... Jpm na Tanzania kwanza ....wengine wasubir kidogo.
Tumpe kuraaa
@@siromyhemed9464 kweli kabsaaa mitano Tena kwa Magufuli
JPM OYEEEEEE
From Lois angel USA magufuli is the rock of africa magufulification of africa congratulations of Tanzania dar es salaam is a smallest of Europe
That is really nice,tukirudi tanzania tutajivunia big up mr president.hi from USA 🇺🇸
Mashallha hapa kazi tu na imeonekana magufuri mitano tena nasikia raha nikiona nchi yetu inazidi kupendeza kira pande ata uku tulipo nchi za wezetu tunajifunia rais wetu l love 🇹🇿🇹🇿five tena kwa magu
Naipenda Tanzania yangu. ProudlyTanzanian, nitakuwa mtanzania mpaka kiama
bro mm naishi marekani akuna utofauti wa bongo na uku tena kw barabara bige up sana rais wetu wa awamu yta tano
Acha ujinga wewe unaishi marekani gani iyo ?? Ao upo porini ya marekani 😂😂😂 umeshaga ona siku gani highways za marekani kuna watu wana walk kwa mguu 😂😂 acheni ujinga bana
Makonda ndo anaiweza Dar
Toka makonda ondoke Dar imepoa
Wawekewe Daraja la kuvuka kwa miguu
Abuu Ramadhan kaka kwenye highways hapakuwaki daraja la miguu kwa sababu magari yanakuwa kwenye high speed na watu wana weza kuwa nafuka na accidents sana
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika na viongozi wake wazalendo kama mhe dkt John Pombe Magufuli.
Amina
Wajinga wengne wanao mpinga magufuri wanakwama wap sasa
from burundi walahi hii barabara ni noma jamani magufuli oyeeee
Oyeee
Oyeeeeee
Ooyeeeeeeeeeeee
HALAFU JITU LINATOKEA ETI BARABARA ZINA FAIDA GANI #MAGUFULI MITANO TENA NA UTASHINDA KWA KISHINDO💪✊
Umeonaeee 5 tena
Ewe mola tupe rais kama magufuli Kwetu Congo
Eti Jitu 😂😂😂😂😂😂
Tano tena
@@nubianqueenn830 iyoo kweli kabisa my country 🇨🇩
Huyo lissu aendelee kuhibiri lisasi zake za mguuni MAGUFURI speed kwa sana mbele 5 lazim.
Japo alipingwa vikali na both houses, Congress na senete, Raisi Eisenhower alijenga barabara kuunganisha states zote za USA. Sasa uchumi wa marekani unatokana na matumizi ya barabara hizo. Tunampongeza Raisi JPM na serikali yake kwa uongozi bora. Mungu amlinde na ammpe afya bora iliaendelee kuwatumikia watanzania wote. Amen 🙏🏽.
Amen.
Home km Home naipenda Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA
Eeeh! Sawa, na kwetu tutajenga tu😥😥
@@yusuphally1380 😂😂😂nichokoze
@@zennakailo8106 nakwambia na sisi kwa mama njerii tutajenga tu😂😂😂, karibu kwetu Kenya
@@yusuphally1380 😃😂😂😂😀😀😀kwa mama nani 😄😃😃😃😀😀😀kwenu kwanza
@@zennakailo8106 kwetu kenya mandheee, tupeaneni hiyo pombe tuwape Uhuru
Only 4 years tz imebadilika hivi Muhishimiwa Rais magufuli nimekupa salute am from kenya i like tz
SWEET HOME JPM KWAZA VILAZA BAADAYE SANA
Tena iyo badae km umewapendelea sanaa saiv elimu bure watu kama magufuri tutawapata wengi tu kwaiyo vilaza watafute pakukimbilia hawana nafasi
Magufuli kafanya kazi kubwa jamani lkn kuna mijitu haioni tumpongeze kwa kweli
Ha saa hiyo baadae mm pia sitaki kusikia maana mbiligiji kasha Sema Bara Bara meri leri TRENI bandali vimejengwa na mkoloni Sasa baadae akipata atawa danganya watu vya mkoloni Kisha ang,oe AWAPE mabeberu
Waooooooo home km home🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongera sana watz na raisi wetu kweli sahizi natamani kurudi tz kwa sasamaana kumenoga dubayi ndogo hiyo mwakani nakuja huko
Wow home sweet home I miss you 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Maa shaaa allah ongezaa baba maguuuuu mpak tueshimekeee 💗💗👏👏
Loveeeee You Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
5 tena kwa Magufuli Oyeeeeeeeh 🇹🇿❤️
Waoooo Amazing,yaani 👌🏿najivunia kuwa Mtanzania 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻,najivunia Rais wetu magufuli popote niendapo 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
Asante sana Magufuli tunakupa mi tena ccm oyeeee
Awadhi Mwaipololo O level class mate......
Hongera kwa kuitangaza Tanzania
Hongera kwa kazi nzuri.
Jembe letu JPM mungu Akupe Maisha Marefu, Watanzania Tumpigie kura John pombe Magufuli, Tundulisu shoga Tupa kule
Shoga baba yako hiyo ni kwa faida ya darslam na kwa kwenye magari
@@emanuelmwanga4 wenye magar sio watu kwani
@@sanyolee1396 sijasema siyo watu ila sipendi mnavyoropoka mambo ya ushoga alikufira wewe ukajua ni shoga fara wew
@@emanuelmwanga4 kwani nilikwambia habar za ushoga, wewe si ulisema kwamba hiyo flyover wenye faida nayo ni wenye magari ndio nikakujibu kwamba kwani sio watu, na haina maana kama hauna Gari bas ndio halina faida kwako utapanda hata daladala na hautakaa kwenye foleni na utawahi kazi zako, na pia jifunze kuwa na ustaarabu wa maneno na domo lako kama Choo cha baa
@@sanyolee1396 kunguru wew daladala nani wa kupanda daladala wew labda mafuta yafike laki kwa liter
Dah huyo mama kaonge vizuri mno. Anaonekana tuko makini
Inashangaza sana ndani ya Miaka mitano maendeleo makubwa sana mungu wa bariki sana hapa kazi tu
Magufuli 5 tena.oyoooooooo!!!
I like your creativity love from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This is great progress in Dar Magufuli needs to replicate this all over other Major Towns in Tz..This has been done in all the Major Towns in Kenya other than Nairobi i.e. Mombasa,Kisumu,Nakuru,Eldoret,Thika,Kakamega...we all need a well developed East Africa...Mtu anaweza akasafiri kotekote kwa njia rahisi
Dat why he invest in both roads & sgr as we know is more reliable, economical and fast so it'll reduce traffic jam, congrats to your previous & current regime gvt done well infrastructurally concern, great work done by kibaki and uhuru doing the best one also I heard him he wanna construct 10,000km of roads before he left presidential seat so he doing great job
Kenya will never get three levels interchange in 20yrs to come, never get BRT, never get electric bullet trains in 100 yrs time from now.
@@samasamahani2784 wewe angalia barabara ya nairobi expressway ambayo inajengwa,itakuaibisha
@@briant5685 Hiyo ni eleveted High way, nothing special there
@@samasamahani2784 Wacha ujinga wewe. Tembea ujionee kabla ya kuhara kwa mdomo. wewe mwenyewe haujajenga ata choo na unaambia watu chenye hawatajenga in 100 years. wewe ndio ulituambia tujenge Fly overs since 1963? Hili moja video zote kichwa ni "kama ulaya"? Tukijenga mlikuwa wapi? ama wewe ndio ulikuwa umeambia watanzania wabaki nyuma muda wote huo? fuda wewe.
Magu anazidi pamba moto wapinzani matumbo joto😜😜😜 wataweza Kweli AAA wapi kushindana nasi AAA wapi ATA wakiungana AAA wapi MATUSI kututukana AAA magufuli baba Lao.
😂😂😂😂😂😂
🇹🇿🇹🇿
Magufuli baba laooooo
MBELIGIJI HAYA MAENDELEO NI YA VITU AU WATU AU WATU+VITU 🤷♂️ MBELIGIJI ANA VITUKO.... NA UTAKOMA KWENYE SANDUKU LA KURA WAJUMBE TUTAKUPONYA MIGUU KAMA ULOFANYIWA MAOMBI KWA MWAMPOSA....... KURA LAKI2 TU ZINAKUTOSHA KISHA ITISHA MAANDAMANO..... NA HUPATI MTU THIS TIME
😂😂😂
Imeisha hiyo 😂😂😂
Wajumbe tujuane 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Home sweet home gonga likes kwa JPM
JAMANI KWA SISI TUNAOISHI MAREKANI TUNA VOTE VIPI , I’m going to vote for MAGUFULI ONLY and that’s FINAL... am so so proud to be TANZANIAN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ur are welcome brother together we can
Kwani hamna ubalozi uko??
Wafanye tuvote throung online
Mi pia nilishawahi kufikiria sana wengi hatupo tz
ruclips.net/video/hF6BD9gwqyU/видео.html
Come home be patriotic and build your country
Zawadi x I will definitely come home , am getting my education together and my business then I bring home .. 🙏🏽🙏🏽 pray for me .
Alhamdulah mungu amzidishie imani raisi wetu magufu mungu muezeshe zaid na zaidi amiin
Yeeeiyooooooo Tanzania ya sasa mamaaaa malizieni hukooo👂🏽
Mashaallah jmn mueshimiwa maguful kajitahid kias chake anaitaji pongez sio sir
Hongereni sana Tz👌🏾👌🏾
😍😍😍😍tz yet yapendeza kwel kwel nafurah
Mashallah mwaka juzi nilikuacha kwatengezwa..
The beautiful and a giant President of Africa Dr Magufuli the true son of Mama Africa RIP your name shall always be on our lips greatest man of all times
Mungu magufuli tutakukumbuka daima ❤
Is this my home country wooooow..R.I.P Baba Magufuli Thanks again
Asante Sana raisi wetu mzee jpm maana unatufanyia mambo mazuli Sana, binafusi napendezwa Sana na uwongozi wako mwenyezi mungu akulinde na akuepushe na mabaya yote
tz mumu ongeze kura raisi wenu kiukweri ame badirisha inci yenu kiukweri pongezi nyingi kwa raisi wenu 👌
Kabisa
Itafikia muda utakokota begi toka stendi hadi majumbani kwetu
Great job JPM we love u !! But I'm very disappointed with engineers Who failed to put crosswalk .!.! Thanks to this lady who mentioned it. U don't have to be educated to see something wrong. Our problem in Africa is always to have wrong people in place doing wrong things none say nothing because.....
the work is still in progress, hope soon they will put the crosswalk...!
Wataweke ujenzi bado unaendelea
Where our President goes wrong ...Edgar Lungu come and see
Nitaenda kuomba pale chini ya hayo madaraja nilime vitalu vya mbogamboga....ili papendeze na maisha mengine yasonge.
We have the same in kenya
But ya mkopo Tz ni kodi ye2 io
In Kenya there's no this kind of interchange
@@johnmlay4759 There is no three levels interchange in Kenya
@@samasamahani2784 exactly
@@aloycekajula8144 jamani huu ujinga wa madeni,mtaanganywa mpaka lini,hakuna miradi ambayo haina madeni
MashaAllah kazi nzur Mwenyezimungu mlinde Rais wetu jpm miaka kama yote bila ukomo wa urahisi wake
Hongera zenu huko kwetu ni balaa tupu siasa zisizo isha.
Pole , Wewe ni watching gani dada?
Magufuri ongoza mpaka kiama.jamaniii sitaki niswagwe naenda mwenyewe kulipa kodi.
Dar umependeza jamani...kwenda mjini kwa cc wa nje ya mji kama Kibamba cku hizi hatuwazi....
Hongera raisi wangu Magufuli...wewe ni jembe...hongera mama Janeth!!
Halafu eti tusimpigie kula jpm itakuwa zambi kubwa kwa mungu
Asiempenda jpm alaniwe tu awe pimbi
Kweli kabisa
Hongera Sanaa Ra's wetu Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
NA HILI JIJI ANALUWEZA MAKONDA PEKE YAKE WENGINE WATAFUTIWE KAZI NYINGINE
😂😂
🤣🤣🤣🤣
Umeona eeeh we need makonda
Hahahahha true
Kabs
Kajenga uwanjaa wa ndege chato...haya kajenga na fly over Dar,njooeni tulalamike
Hivi nauliza hawa viongozi wetu wa Kenya haya maendeleo anayofanya magufuli waona ama ni kupiga domo bunge na kuiba mapesa ya wanachi
Hizi barabara zilijengwa Kenya 20 years ago..tazama thika road..kenya sasa inajenga Express ways to be completed in 2022.
Wakenya hamjipendi nyinyi sio nationalists kama watanzania ama wasomali. Tz wakijenga choo kimoja headlines zote "kama ulaya". Kenya mna kila kitu lakini kujianika nje for likes. Uhuru mwenyewe as corrupt as his government is amejenga more kilometers of modern roads than Magufuli in 20 yrs. Think of kungekuwa bila corruption? tungekuwa ata mbali zaidi. Appreciate that part.
@@linkedozone2857 tell them..Kenya is 30 years ahead of Tanzania..in infrastructure, HDI, Healthcare, et al
@@aliciafields-worldtravelle8248 Funny how Kenyans hate themselves and worship everyone else. That's why it's easy for external people characters to troll us. Look at how Tanzanias praise their little efforts
Kenya hatujipendi. Yaani hata haya mafly over tunazo zaidi ya ishirini hadi kwa majiji madogo na bado kunajengwa 30km expressway ya juu kwa juu Nairobi lakini kazi yetu ni kukashifu tu. Tz ikisonga mbele KE ikisonga ni maendeleo kwa East Africa. Tuache ubishi.
Masha allah
Big up rais wetu kawaonyesha wazungu tunaweza bila wao kweli tupende vyetu sasa kila kitu kusaidiwa tu Mungu Ibariki Tanzania
Wakwanza mm hapa ❤️❤️❤️❤️SNS
Tz yangu.. God bless u JPM wajinga wanakupinga ila tumeona kaz yako, tulio kuwa tunayashanga kwenye movie za mbele now yametufikia,. 5 mingne chukua
Ila waache kutupa uchafu mabarabarani
Kweli kabisa..shida ya baadhi ya wabongo..akili zimepinda..utakuta anakunywa energy yake akisha maliza analitupa kopo lake katikati ya bara bara huko huko juu..Mbwangala..Halafu pia utashangaa watu wanagonga kingo za flyover huko huko juu kwa juu..Tunahitaji itolewe amri kali sana..Naongea hivi kwa sababu nilishashuhudia uharibifu kwenye daraja la kigamboni...Lori la mafuta lilishagonga nguzo za zege..sijui lilitaka liende kuogelea mara baharini..hilo..sijui..wakati mwingine mtu mpita njia unashikwa na hasira aise..unapoona watu wanakosa ustaarabu
Kabisa. Lazima Watanzania tuwe na utamaduni wa usafi. Mtu akikamatwa anatupa uchafu ovyo faini elfu kumi.
Tz mko sawa kwa saii......naona mnajaribu sana kukimbizana na 254,
Tuko tunajenga miundo msingi kwa ajili ya kukuza uchumi wetu ndugu but not for competing or catching you neighbors, one love let move together as one strong east Africa
Hatukimbizani na mtu, wala hatukimbizani na nchi fulani, mfano 254.
Tunapambana na hali yetu, kama tutawazi, nanyi mtapambana na hali yenu mjiboreshe.
Tanzania oyeeee
Magufuri 4 ever
Maguuu oyeeer Mashallah well done
Asante mheshimiwa Kikwete kwa mipango mizuri kwa nchi yetu!
Vicha ni wengi.....snaaaa.....😂😂🤣🤣🤣🚮
Acha ujinga. Hii ni ilani ya ccm ya 2015. Mnadandia malori kwa mbele! Wivu unawawasha wanafiki nyie
Yaa..Dada uko sahihi.....ni changamoto kubwa sana..siyo kwa wanafunzi tu hata kwa wengine watakao vuka kuelekea pande zote....Linatakiwa daraja la juu
hatari sana ,,ipati picha miaka mitano ijayo ya JPM Tanzania itakuaje,, viva NGOSHA,,TANO TENA
Watanzania wenzangu tujitahidi kulipa kodi ili maisha mazuri na vitu vizur vipatikane .
Maa shaa allah
Tujuane ambao tuko nje ya nchi na tunatamani kurudi nyumbn lkn corona inaleta shida.
hupo nchi gani ndugu yng
Mungu ibariki jamhuri ya muungano ya Tanzania.
wenye wivu wa kichawi watapata taabu sana! Mungu azidi kumuinua, kumulinda, kumbariki, na kumuongoza mpendwa rais wetu pendwa sanaaana Dr. JPJ Magufuli na serikali yetu yote. Mungu azidi kukutoa kimasomaso watanzania! Mungu azidi ibariki Tanzania!
mora akujalie rais wetu uzidi kuijenga nchi yetu
Mama wa Changanyikeni umeongea point tu
Ubarikiwe sana.
Ongera Tz kwetu wangeweka taa ktk kivuko cha watu wa miguu peace Tz
Tanzania my sweet country ♥️♥️♥️♥️💞💕💕💟❣️💌💕💕💞👍👍
Changamoto alizozizungumzia miss Chaulaya zizingatiwe kikamilifu kwa kuweka alama za wenda kwa miguu na kuweka kituo cha mabasi mahususi kwaajili ya wanafunzi wa chuo kikuu cha mabibo na ikiwezekana kuwepo na road bumps kwa maeneo ya watembea kwa miguu
Wow hayo ndio mambo tunayoyataka
MashaAllah na tuwe wasafi basi sio baada ya mwaka tu chafuuuu
Hiyo ndo Tanzanian ya magufuli mpaka tulio mbali tunatamani kurudi home sweet home
Jiji la 👑 SIMBAAAA👌😂😂😂💥🙌💞
Acha UUUNNNNDDDDDEEEEEZIIIIIIIIII
@@augustinemzeentinginya3057 mxiuuuw😏
TANZANIA HOYEEEEEEEEEEE MGUFULI HOYEEEEEEEEEEE
CCM HOYEEEEEEEEEEE
Oyeeee
@@williamsville3493 tunataka uhuru
@@sponsor7882 uhuru ni rais wa kenya so mfuate kenya
@@johnmlay4759 hahaaa jibu zurii
@@johnmlay4759 freedom of speech
Najivunia kuzaliwa tanzania,napia najivunia kuwa na mzee magu
Ila nahisi sehemu zanye Bara Bara za juu Hakunaga sehemu ya wavuka na miguu sikumbuki kwakweli. Na kama ipo basi mzungu ko wake ni mkubwa
Nina miaka 4 sipo dar nikirudi lazima nitahitaji wa kunishika mkono asee.
Hahaaa utopotea ndgu Google map ipoo hahaaa,Mimi nimetembea majiji makubwa East Africa na Tanzania majiji yote while nikiwa na umri mdgo wa 13-17na toka shule Kisumu mpka Morogoro pekeangu bila ya mwenyejii wala nini na sijapotea,sasa wewe mkubwa na ni mwenyeji wa Dar utopotea hahaa.
@@happyjohn5882 ndo unafanyaje hiyo Google
@@happyjohn5882 Sasa Hivi una miaka mingapi Happy?..
😀😀😀😀
@@malleironworks4586 19 years hahaaa
Hongera Tz
Good work tanzania 👍👍👍❤️ from Kenya. Keep it up.
Home sweet home I miss you
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
hizo zinatakiwa ziwe nyingi aisee
Zitakuua kama 10 miaka 5 ajayo Mzee kasema
Magufuli anaweza tena sana
Mashallah my tz , Allah protect our tz
Aise safi sana mitano tena kwa Baba Magufuli
Wadau wanateleza adi kwenye mwendo kasi noma sana😅😅 afu utasikia barabara za kazi gani
Halafu anafanya kampeni anapita humohumo ilifaa awe anapita polini
Najiproud kuwa mzanzibar japo tumekuwa koloni la tanganyika one day yes
Hhhhh acha zako Tanganyika ni nin hapa kuna Tanzania tu
Acha nifunge mdomo wangu tu!
Itabidi ziwekwe njia za kuvuka za juu za waenda kwa miguu, na wala siyo kukatisha kwenye fly-over. Utawekaji speed bumbs kwenye fly-over inakuwa haifanyi kile ilichotengenezwa kukifanya. Hapa wahandisi wanahitajika kuweka njia ya juu ya watembea kwa miguu na wala watu wasiruhusiwe kukatiza kwenye flyover. Itabidi elimu kubwa sana ya matumizi ya barabara kwa waenda kwa miguu.
M.MUNGU Amuajalie magufuli miaka mitano tena
Naomba watu wa mazingira mtengeneze green look eneo ilo ili livutie zaidi
Tumeahidi tumetekeleza ccm oyeee
Lissu rais wetu
@@sponsor7882 sema Rais wangu siyo wetu