utatutuzi wa Tatizo la msongamano Dar ni 1:kuhamia Dom ili kupunguza wahitaji katika wizara na maofisa, 2: kuboresha reli kwa ajiri ya kutumia kwa usafiri wa mizigo yote( barabara zisitumike kusafirisha mizigo), 3: kujenga izo flyovers 4: kutawanya viwanda ili kutawanya wahitaji wa ajira na wanunuzi ya bidhaa na waleta malighafi. nadhani serkali ikiweza Hayo Dar na foreni bye byeeeee
Fly over itasaidia sana katika kupunguza foleni, na kufanya safari kuwa fupi. Kwa mfano fly over na motor way ya Kwenda Thika nje ya Nairobi., kwa sasa ni dakika 20 tu. Hapo awali kabla ya fly over ilikuwa ni lisaa limoja.
Design ya hii flyover haiwezi kutatua tatizo la msongamano pale tazara, ukiangalia njia ya chini bado magari yatakua yakikutana, flyover ya kupunguza foleni inatakiwa magari yasikutane namna ile, wanapoteza pesa na muda wao tuu pale hamna kitu
Abdulkarim Wajad! unaonekana una mtazamo hasi kwa kila hatua ya maendeleo unashida gani labda? Any way huo no mtazamo wangu be positive hata kwenye familia yako ukileta maendeleo wambie washukuru kwanza!
Angalia nchi nyengine Afrika ambazo far more better wewe Nambie mpaka sasa tanzania kuna nini kikubwa au nini cha kusema amakweli tuna fanana kidogo na wengine kama nchi za kaskazini ya afrika au hata kinshasa sasa achaa!
Very complicated ni kupoteza hela na mda bila ya kuwa na design inayoweza kutatua tatizo la Foleni pale Tazara . Labda Huu mchoro wamefanya Wajapan Ambao hawaijuwi Dar! Mfano mdogo tu ni Daraja Kuja kuzuia miradi muhimu kama treni ya kwenda AirPort . :) Kwani hatuna wachoraji Hili swala linahusu Taifa . Mimi nitawachorea Design simple !
+Jaedon Jonas hiii flyoveriko upande mmoja na bado naona taa zipo upande wa nelson mandela road.Sasa hiyo foleni si itaendelea kuwepo tu? mtu aliye design huu mchoro hajaangalia mbali
Mpewe nini maanayake nini ? Huu mradi ni wanchi si mradi wa mtu binafsi .Kwa taarifa yako wewe unayedhani una akili kubwa na kuwaita wenzio wanaakili ndogo Unakubali ujengewe hovyo bila ubora kisa umepewa msaada.Unajuwa athari za ujenzi mbovu? Acha ushabiki wa kise...welo!
Hawatujui waafrica hawa, hizo traffic lights hatutazifuata hivyo foreni hazitaisha. Na kwa ujenzi wa TZ yetu hizi barabara zitachukua miaka20 kukamilika smh
Nataka kujua swala moja, since kuna mipango ya mabasi ya mwendo kasi katika hizi flyovers wametenga eneo la barabara special for mabasi hayo?
Its a good start. kwa jiji ambayo ilikuwa na poor infrustucture.
gooood nmeipenda sana iyo road
utatutuzi wa Tatizo la msongamano Dar ni 1:kuhamia Dom ili kupunguza wahitaji katika wizara na maofisa, 2: kuboresha reli kwa ajiri ya kutumia kwa usafiri wa mizigo yote( barabara zisitumike kusafirisha mizigo), 3: kujenga izo flyovers 4: kutawanya viwanda ili kutawanya wahitaji wa ajira na wanunuzi ya bidhaa na waleta malighafi. nadhani serkali ikiweza Hayo Dar na foreni bye byeeeee
Fly over itasaidia sana katika kupunguza foleni, na kufanya safari kuwa fupi. Kwa mfano fly over na motor way ya Kwenda Thika nje ya Nairobi., kwa sasa ni dakika 20 tu. Hapo awali kabla ya fly over ilikuwa ni lisaa limoja.
Design ya hii flyover haiwezi kutatua tatizo la msongamano pale tazara, ukiangalia njia ya chini bado magari yatakua yakikutana, flyover ya kupunguza foleni inatakiwa magari yasikutane namna ile,
wanapoteza pesa na muda wao tuu pale hamna kitu
Hao wa chini mwendo wa foleni tu.. though itapungua kidogo..
waliokuwa wanaleta foleni ni wakutoka mjini na airport
Imeshaanza ujenzi
Anyone with the name of the company that did the animation?
Kipande kimoja kwa kweli hakitoshi hapo.
Uwanja Mpya,dodom
hii haitasaidia bado. bora wangefanya kama ubungo intrchange wt layers
Salute...from keko
good
Bado sana tanzania kuwa na barabara za kisasa kama hii
+Chacha Mokolo aca mawazo mgando wewe, gombea uraisi basi ujenge zako
Yangu mgando sio
Chacha Mokolo yes mgando koz saiz zinajengwa na inakaribia kuisha
itapendeza sana lakin sijajua itachukua miaka mingapi?
Flora Fortunatus done!
Tanzania emepita Uganda saana
Abdulkarim Wajad! unaonekana una mtazamo hasi kwa kila hatua ya maendeleo unashida gani labda? Any way huo no mtazamo wangu be positive hata kwenye familia yako ukileta maendeleo wambie washukuru kwanza!
yap itakuwa poasana
Yeah gud millard
visibaki kwenye video tu jamani
MAGUFULI ISAIDIE TZ YETU
Mbona hiyo fly over ni kipande tu!?.
Angalia nchi nyengine Afrika ambazo far more better wewe Nambie mpaka sasa tanzania kuna nini kikubwa au nini cha kusema amakweli tuna fanana kidogo na wengine kama nchi za kaskazini ya afrika au hata kinshasa sasa achaa!
albuti Akim mdogo mdogo kulikuwa hakuna m2 anaeiwazia kujengwa kwa iyo fly over 1 uja na nyingine hongera Rais.
Hakuna kitakachokua ,kuna nchi afrika zinaweza kufanya hivyo lakini sio tanzania
+albuti Akim acha mawazo mgando wewe
Very complicated ni kupoteza hela na mda bila ya kuwa na design inayoweza kutatua tatizo la Foleni pale Tazara . Labda Huu mchoro wamefanya Wajapan Ambao hawaijuwi Dar!
Mfano mdogo tu ni Daraja Kuja kuzuia miradi muhimu kama treni ya kwenda AirPort .
:) Kwani hatuna wachoraji Hili swala linahusu Taifa . Mimi nitawachorea Design simple !
+Jaedon Jonas hiii flyoveriko upande mmoja na bado naona taa zipo upande wa nelson mandela road.Sasa hiyo foleni si itaendelea kuwepo tu? mtu aliye design huu mchoro hajaangalia mbali
Mpewe nini maanayake nini ? Huu mradi ni wanchi si mradi wa mtu binafsi .Kwa taarifa yako wewe unayedhani una akili kubwa na kuwaita wenzio wanaakili ndogo Unakubali ujengewe hovyo bila ubora kisa umepewa msaada.Unajuwa athari za ujenzi mbovu? Acha ushabiki wa kise...welo!
itakuwa imeondoa msongamano a% 95
As if
it will take 20 years to finish if we are lucky
Muntazir Karmali people like you will ensure that happens.....ila uzuri Watu type yako niwachache so itaisha mapemaaaa
Sarah Libogoma na inakaribia kuisha soo huyo jamaa ana chuki binafsi
Hawatujui waafrica hawa, hizo traffic lights hatutazifuata hivyo foreni hazitaisha. Na kwa ujenzi wa TZ yetu hizi barabara zitachukua miaka20 kukamilika smh