New Ubungo Intersection

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 20

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 8 лет назад +3

    its a good step ....Tanzania tuna weza .we can do this ....Yes we can .......i beleive up to 2020 tutakuwa tume jenga bigger and powerfull mega structure projects more than this Ubungo Intersection project.

  • @mrlaurenttandika
    @mrlaurenttandika 8 лет назад

    ebwana eeee, noma sana

  • @albutiakim299
    @albutiakim299 8 лет назад +1

    Umeshasema hayo ni mawazo kwa ni ndoto kuna watu huwa na mawazo lakini ni kweli hutekeleza

  • @kingjafu7759
    @kingjafu7759 5 лет назад

    Yaani madereva wetu wa Dar waliopata leseni kwa ku ghushi hii Barbara itawachanganya sanaaaaa

  • @mrlaurenttandika
    @mrlaurenttandika 8 лет назад

    very good indeed

  • @saidally234
    @saidally234 8 лет назад

    ha ha haaa!!sisi ni mabingwa wa michoro.

  • @aeroaa2
    @aeroaa2 8 лет назад

    assassins creed music ?

  • @martinsangwa840
    @martinsangwa840 9 лет назад

    Nikiwa prezooo

  • @AidanMlay
    @AidanMlay 8 лет назад +1

    hiyo level ya kwanza mbona kuna kusimama tena?hiyo italeta foleni kwenye interchange..hii plan mbaya naskia wiki ijayo inatangazwa..interchange inatakiwa iwe free flow sio kusimama,,,angalia spaghetti junction huko atlanta marekani

  • @Kigomba
    @Kigomba 7 лет назад

    watanzania mukisimama imara nyuma ya kiongozi wenu Mwaminifu Mzalendo Magufuli basi haya mnayoyaona yatatimia na hamtaota hata siku moja kutaka kusafiri nchi za nje kutafuta kazi huko kwasababu kazi zote zitakuwepo.

  • @abdulrahmansalim3016
    @abdulrahmansalim3016 9 лет назад

    sio mbaya lakini tutaishuhudia baada ya miaka mingapi? hilo ndio swali

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 9 лет назад +1

    Ni ndoto hiyo...Chukueni mfano kwa Kenya,wanachoahidi huwa wanakifanya,si tunabaki na video tu,amkeni ndugu zangu,muda Wa mabadiriko umefika..!

    • @yusuphwella9651
      @yusuphwella9651 5 лет назад +1

      Ndoto vp wakati watu wameanza kuchimbia nguzo afu hatuwezi kuchukua mfano Kenya sis tutachukua mfano mbali huko Kenya hata njaa hawajaimaliza wanahaingaika kuifanya nairobi ipendeze tuu watu wao wanakufa njaa

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 9 лет назад

    baada ya miaka 10 ndo wataanza huo ujenzi na utakamilika baada ya miaka 20

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 9 лет назад

    Hawatujui waafrica hawa, hizo traffic lights hatutazifuata hivyo foreni hazitaisha. Na kwa ujenzi wa TZ yetu hizi barabara zitachukua miaka20 kukamilika smh

  • @albutiakim299
    @albutiakim299 8 лет назад

    Rubish

    • @jacobmaganga8446
      @jacobmaganga8446 8 лет назад

      +albuti Akim jenga yako uone acha kuponda mawazo ya wenzako

    • @albutiakim299
      @albutiakim299 8 лет назад

      Labda kwa rushwa iondoke ndio kidogo maana kama hapaja safishwa hicho hamna litalo kua amini