its a good step ....Tanzania tuna weza .we can do this ....Yes we can .......i beleive up to 2020 tutakuwa tume jenga bigger and powerfull mega structure projects more than this Ubungo Intersection project.
hiyo level ya kwanza mbona kuna kusimama tena?hiyo italeta foleni kwenye interchange..hii plan mbaya naskia wiki ijayo inatangazwa..interchange inatakiwa iwe free flow sio kusimama,,,angalia spaghetti junction huko atlanta marekani
watanzania mukisimama imara nyuma ya kiongozi wenu Mwaminifu Mzalendo Magufuli basi haya mnayoyaona yatatimia na hamtaota hata siku moja kutaka kusafiri nchi za nje kutafuta kazi huko kwasababu kazi zote zitakuwepo.
Ndoto vp wakati watu wameanza kuchimbia nguzo afu hatuwezi kuchukua mfano Kenya sis tutachukua mfano mbali huko Kenya hata njaa hawajaimaliza wanahaingaika kuifanya nairobi ipendeze tuu watu wao wanakufa njaa
Hawatujui waafrica hawa, hizo traffic lights hatutazifuata hivyo foreni hazitaisha. Na kwa ujenzi wa TZ yetu hizi barabara zitachukua miaka20 kukamilika smh
its a good step ....Tanzania tuna weza .we can do this ....Yes we can .......i beleive up to 2020 tutakuwa tume jenga bigger and powerfull mega structure projects more than this Ubungo Intersection project.
INSHALLAH
ebwana eeee, noma sana
Umeshasema hayo ni mawazo kwa ni ndoto kuna watu huwa na mawazo lakini ni kweli hutekeleza
Yaani madereva wetu wa Dar waliopata leseni kwa ku ghushi hii Barbara itawachanganya sanaaaaa
very good indeed
ha ha haaa!!sisi ni mabingwa wa michoro.
assassins creed music ?
Nikiwa prezooo
hiyo level ya kwanza mbona kuna kusimama tena?hiyo italeta foleni kwenye interchange..hii plan mbaya naskia wiki ijayo inatangazwa..interchange inatakiwa iwe free flow sio kusimama,,,angalia spaghetti junction huko atlanta marekani
watanzania mukisimama imara nyuma ya kiongozi wenu Mwaminifu Mzalendo Magufuli basi haya mnayoyaona yatatimia na hamtaota hata siku moja kutaka kusafiri nchi za nje kutafuta kazi huko kwasababu kazi zote zitakuwepo.
sio mbaya lakini tutaishuhudia baada ya miaka mingapi? hilo ndio swali
Ni ndoto hiyo...Chukueni mfano kwa Kenya,wanachoahidi huwa wanakifanya,si tunabaki na video tu,amkeni ndugu zangu,muda Wa mabadiriko umefika..!
Ndoto vp wakati watu wameanza kuchimbia nguzo afu hatuwezi kuchukua mfano Kenya sis tutachukua mfano mbali huko Kenya hata njaa hawajaimaliza wanahaingaika kuifanya nairobi ipendeze tuu watu wao wanakufa njaa
baada ya miaka 10 ndo wataanza huo ujenzi na utakamilika baada ya miaka 20
Hawatujui waafrica hawa, hizo traffic lights hatutazifuata hivyo foreni hazitaisha. Na kwa ujenzi wa TZ yetu hizi barabara zitachukua miaka20 kukamilika smh
safiiii xn
Rubish
+albuti Akim jenga yako uone acha kuponda mawazo ya wenzako
Labda kwa rushwa iondoke ndio kidogo maana kama hapaja safishwa hicho hamna litalo kua amini