HAYA NDIYO MAAJABU YA UJENZI WA FLYOVERS YA TAZARA NA UBUNGO
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2018
- Subscribe / uwazi
Ujenzi wa barabara za juu (flyovers) kwenye makutano ya barabara za Nyerere na Mandela eneo la Tazara, Buguruni ni miongoni mwa miradi mikubwa inayotekelezwa na uongozi wa Rais John Pombe Magufuli.
Global TV Online imeutembelea mradi huo ambao upo kwenye hatua za mwisho, nakujionea hatua uliofikia, ambapo unatarajiwa kukamilika nakuzinduliwa ndani ya mwaka huu.
Subscribe muda huu / uwazi1
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Kwa kuchapa kaz tu Magufuri wangu me cna swali ww ni zaid ya ufanisi, karibu sana moyon na Mungu akubaliki
Hongera sana Raisi wetu, wewe ni Raisi wa viwango .tunakuunga mkono .unaungwa mkono na asilimia 99 ya watanzania.achana na wale wachache wanaopinga maendeleo, aidha wanapinga kwa sababu umeziba mirija yao iliyokuwa inatunyonya au wanataka kukuchafua ili ukate tamaa katika juhudi za kuiletea maendeleo nchi yetu tanzania na wanafanya hivyo kwa makusudi ili wapate points//nafasi ya kukushambulia wakati wa chaguzi zinazokuja. just for only two years you have gone beyond what they had done those previous years back .thank you be blessed our President.Tanzania will be a role model in Africa for implementing millennium development goals in various aspects including health, education, poverty reduction,infrastructure development etc . umepewa dhamana ya kuongoza nchi yetu, ye yote anayekukwaza katika juhudi zako huyo siyo mtu Wa kutaka maendeleo bali ametumwa na wale.wenye mapenzi mema na Tanzania wanakuunga mkono.Mungu ibariki Africa. mungu ibariki Tanzania. Amin.
Asante bb watanzania..👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿
hongera baba unajitahid kwa uliyoahid anaye kuchukia hajui tulipo toka msamehe kma yesu alivyo wasamehe waliomsurubisha
kazi nzuri JPM
Respect Rais wangu naipenda Tanzania...
hongera Tanzania yangu
Hongera sana muheshmiwa rais jpm
asante sn rais wangu
vizuli sana rais wetu mwenyenzi mungu akuzidishie nguvu uzidi kuleta mafanikio zaidi
asante bb
God bless you sir and your team in Jesus name Amen
Umejitsidi sana jpm
Good my president
I love you magu
Amina Ngonyani 70th
Mambo ni mazuri
Wooow... I love u ma Tanzania
Mungu akuzidishie mheshimiwa raisi wetu
Mlaaniwa ni mlaaniwa na laana ni baada ya kuuza chama,je hivi kila kitu kupinga tu????? kuna kunguru wanabwabwaja kupinga duu laana haina dawa but ni kristo ndo aliyemaliza yote
Asante baba
Vizuri raisi wetu
Inapendeza
Iyo kali
Amen baba
Ongera sana raisi
asee huyu magufuli mwacheni tu aongeze nchi maana ni mpiga kazi sana na ni mkweli
the video thumbnail tho...
Mambo
Bab kubwa. Hivi ndivyo tunavyoomba. Tuwe na wigo jinsi wezetu duniani wanavyoishi.
mnaota mambo ya watu
vizuli sana
Ok
ongera raisi magufuri piga kazi baba
OK
Asante Japan kwa fray over tz
Habibi magu
Wewe ulikuwa jembe la tz jpm RIP
Vitali maembe.....
Aya
Amani ya ñchi yetu ni bora zaidi.
Kama sheria ya Tanzania yaruhusu,Basi Mheshimiwa Rais Magufuli angesalia kwa uongozi wake ili ayafufue maendeleo yalivyokuwa yamekufa,kwa anayoyafanya Mheshimiwa Rais kimtazamo wangu,naona nikama Tanzania ndio imepata Uhuru wao tangu Mheshimiwa Rais Magufuli aingie uongozini,kwa kweli mja wa Mungu huyu ni MchaMungu matendo yake yanathibitisha
mungu ibariki TANZANIA
Harmonize
Nahene luluu
mh
Xafi xana mzee magu unafanya kazi nzuli xana
Hapo uliona ajabu lip?
Elias Buluma kawaida tu
Ellyias_de_Great Lazarus huyu jamaa anaweka heading tofauti na uki play video.mkund wk mchf
we kweli k,kwa hiyo hujaona ki2 hapo
Hizi ndo Kodi zetu zinafanyiwa kazi. mafisadi awapendi maana walipenda hizo pesa wajiwekee mifukoni mwao.
wakati mwingine NI kusubiri tuone
Phillipo Sylvester Nice makufuli
Kila kitu bongo ajabu waandishi bwana.
Ni Flyover ya kwanza kuahidiwa na kujengwa kweli, tangu Tanzania ipate uhuru, so ni ajabu lkn kweli!😄
ajabu kwako
ajabu kwako
Kwan Nyie wajnga wa chadema huwa mnazur,,kaz yenu kupnga kla ktu ata kama ni kzr,,,mataira nyie,,, nyie mnann cha kujsfia ktk nch hii!!
maajabu gani wakati duniani sio ya kwanza kujengwa. acheni vichwa vya habari feki
Waandishi waongo sana , wa nataka wauze gazeti zao na clip zao za youtub
Mohamed Ali bc ww ndio mkwl..
Mohamed Ali mkataa kwao ni mtumwa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni pia niwashauri watanzania wenzangu tusipende kuishi kwa mazoea!
Mohamed Ali, mazoea yapi? Tuchambulie
Andika madaraja sio fly
akuna kitu majabu hapo
Mawia Mutua
Wakenya tuacheni wivu. Kwani Rais Magufuli siyo rais wa rushwa bali ni rais wa vitendo na maendeleo kwa wananchi wake wote. Inatubidi tufuate mfano wao.
Acha kudanganya umma
Ni nzuri, lakini bado tupo nyuma
Mungu atupe nini. Ee yesu mlinde presdent wetu mwongezee 'na nguvu
maajabu gani wakati duniani sio ya kwanza kujengwa. acheni vichwa vya habari feki
soma kwa makini na tafakari,kichwa cha habar hakija sema "duniani" bali Tazara na Ubungo. jihadhali sana na yale yaujazayo moyo wako maana Moyo usiyo na shukrani hukausha neema zote. kumbuka unapofurahia kazi njema ya jirani yako ndipo kaz yako pia itafurahiwa. fursa hujifunua kwa haraka kwa wale wenye mioyo mikunjufu.
maajabu gani wakati duniani sio ya kwanza kujengwa. acheni vichwa vya habari feki