HAYA NDIYO MAAJABU YA UJENZI WA FLYOVERS YA TAZARA NA UBUNGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2018
  • Subscribe / uwazi
    Ujenzi wa barabara za juu (flyovers) kwenye makutano ya barabara za Nyerere na Mandela eneo la Tazara, Buguruni ni miongoni mwa miradi mikubwa inayotekelezwa na uongozi wa Rais John Pombe Magufuli.
    Global TV Online imeutembelea mradi huo ambao upo kwenye hatua za mwisho, nakujionea hatua uliofikia, ambapo unatarajiwa kukamilika nakuzinduliwa ndani ya mwaka huu.
    Subscribe muda huu / uwazi1
    Install #GlobalPublishersApp
    Android: bit.ly/2AAQe1d
    iOS: apple.co/2Assf4M
    Subscribe / uwazi
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Комментарии • 74

  • @goldenson4729
    @goldenson4729 6 лет назад +4

    Kwa kuchapa kaz tu Magufuri wangu me cna swali ww ni zaid ya ufanisi, karibu sana moyon na Mungu akubaliki

  • @theophiligaare9498
    @theophiligaare9498 6 лет назад +1

    Hongera sana Raisi wetu, wewe ni Raisi wa viwango .tunakuunga mkono .unaungwa mkono na asilimia 99 ya watanzania.achana na wale wachache wanaopinga maendeleo, aidha wanapinga kwa sababu umeziba mirija yao iliyokuwa inatunyonya au wanataka kukuchafua ili ukate tamaa katika juhudi za kuiletea maendeleo nchi yetu tanzania na wanafanya hivyo kwa makusudi ili wapate points//nafasi ya kukushambulia wakati wa chaguzi zinazokuja. just for only two years you have gone beyond what they had done those previous years back .thank you be blessed our President.Tanzania will be a role model in Africa for implementing millennium development goals in various aspects including health, education, poverty reduction,infrastructure development etc . umepewa dhamana ya kuongoza nchi yetu, ye yote anayekukwaza katika juhudi zako huyo siyo mtu Wa kutaka maendeleo bali ametumwa na wale.wenye mapenzi mema na Tanzania wanakuunga mkono.Mungu ibariki Africa. mungu ibariki Tanzania. Amin.

  • @lailahaillallah4020
    @lailahaillallah4020 6 лет назад +5

    Asante bb watanzania..👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿

  • @eliphaziamon8794
    @eliphaziamon8794 6 лет назад +1

    hongera baba unajitahid kwa uliyoahid anaye kuchukia hajui tulipo toka msamehe kma yesu alivyo wasamehe waliomsurubisha

  • @jerrykikuli3700
    @jerrykikuli3700 6 лет назад +1

    kazi nzuri JPM

  • @michaelbobu109
    @michaelbobu109 3 года назад

    Respect Rais wangu naipenda Tanzania...

  • @elisantewawa3047
    @elisantewawa3047 6 лет назад +5

    hongera Tanzania yangu

  • @josephmichael5528
    @josephmichael5528 6 лет назад +4

    Hongera sana muheshmiwa rais jpm

  • @frankmgaya2054
    @frankmgaya2054 6 лет назад +4

    asante sn rais wangu

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 6 лет назад

    vizuli sana rais wetu mwenyenzi mungu akuzidishie nguvu uzidi kuleta mafanikio zaidi

  • @eliezeriniyukuri9188
    @eliezeriniyukuri9188 6 лет назад +4

    asante bb

  • @velimathias608
    @velimathias608 6 лет назад +1

    God bless you sir and your team in Jesus name Amen

  • @msafiriwisayi8391
    @msafiriwisayi8391 6 лет назад +4

    Umejitsidi sana jpm

  • @festokivuyo8350
    @festokivuyo8350 6 лет назад +2

    Good my president

  • @aminangonyani2898
    @aminangonyani2898 6 лет назад +5

    I love you magu

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 лет назад +1

    Mambo ni mazuri

  • @marctzmatty5547
    @marctzmatty5547 6 лет назад

    Wooow... I love u ma Tanzania

  • @welldonemoto6546
    @welldonemoto6546 6 лет назад +3

    Mungu akuzidishie mheshimiwa raisi wetu

  • @aminangonyani2898
    @aminangonyani2898 6 лет назад +4

    Mlaaniwa ni mlaaniwa na laana ni baada ya kuuza chama,je hivi kila kitu kupinga tu????? kuna kunguru wanabwabwaja kupinga duu laana haina dawa but ni kristo ndo aliyemaliza yote

  • @ishimwemeshack7455
    @ishimwemeshack7455 4 года назад

    Asante baba

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 6 лет назад +5

    Vizuri raisi wetu

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +4

    Inapendeza

  • @shabaninsongela3695
    @shabaninsongela3695 6 лет назад +1

    Iyo kali

  • @velimathias608
    @velimathias608 6 лет назад

    Amen baba

  • @godfreynestory8963
    @godfreynestory8963 6 лет назад

    Ongera sana raisi

  • @williammungaya8441
    @williammungaya8441 6 лет назад +1

    asee huyu magufuli mwacheni tu aongeze nchi maana ni mpiga kazi sana na ni mkweli

  • @anonymousone4355
    @anonymousone4355 3 года назад

    the video thumbnail tho...

  • @sapnamalewa6906
    @sapnamalewa6906 3 года назад +1

    Mambo

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 лет назад +1

    Bab kubwa. Hivi ndivyo tunavyoomba. Tuwe na wigo jinsi wezetu duniani wanavyoishi.

  • @suleimanally3515
    @suleimanally3515 6 лет назад +2

    mnaota mambo ya watu

  • @iblahimumsambwa5977
    @iblahimumsambwa5977 6 лет назад

    vizuli sana

  • @vitalismanyerere7101
    @vitalismanyerere7101 5 лет назад

    Ok

  • @guluahmed8835
    @guluahmed8835 6 лет назад

    ongera raisi magufuri piga kazi baba

  • @nurudinsadick5106
    @nurudinsadick5106 5 лет назад

    OK

  • @bonabonala7685
    @bonabonala7685 6 лет назад +4

    Asante Japan kwa fray over tz

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 3 года назад

    Wewe ulikuwa jembe la tz jpm RIP

  • @learntoearn9588
    @learntoearn9588 3 года назад

    Vitali maembe.....

  • @olaislogiru2778
    @olaislogiru2778 6 лет назад

    Aya

  • @athmanihaji7771
    @athmanihaji7771 4 года назад

    Kama sheria ya Tanzania yaruhusu,Basi Mheshimiwa Rais Magufuli angesalia kwa uongozi wake ili ayafufue maendeleo yalivyokuwa yamekufa,kwa anayoyafanya Mheshimiwa Rais kimtazamo wangu,naona nikama Tanzania ndio imepata Uhuru wao tangu Mheshimiwa Rais Magufuli aingie uongozini,kwa kweli mja wa Mungu huyu ni MchaMungu matendo yake yanathibitisha

  • @johnmbwaike434
    @johnmbwaike434 6 лет назад +1

    mungu ibariki TANZANIA

  • @yahayalalikira9984
    @yahayalalikira9984 4 года назад

    Harmonize

  • @amanrashid9993
    @amanrashid9993 6 лет назад +4

    Nahene luluu

  • @bulumalazaruselias163
    @bulumalazaruselias163 6 лет назад +2

    Hapo uliona ajabu lip?

    • @ibrahimmwinami2400
      @ibrahimmwinami2400 6 лет назад

      Elias Buluma kawaida tu

    • @henrymasaba5646
      @henrymasaba5646 6 лет назад

      Ellyias_de_Great Lazarus huyu jamaa anaweka heading tofauti na uki play video.mkund wk mchf

  • @philliposylvester2583
    @philliposylvester2583 6 лет назад +1

    we kweli k,kwa hiyo hujaona ki2 hapo

    • @man.lule.585
      @man.lule.585 6 лет назад

      Hizi ndo Kodi zetu zinafanyiwa kazi. mafisadi awapendi maana walipenda hizo pesa wajiwekee mifukoni mwao.

    • @mipawaheke2423
      @mipawaheke2423 6 лет назад

      wakati mwingine NI kusubiri tuone

    • @martindominic4484
      @martindominic4484 6 лет назад +2

      Phillipo Sylvester Nice makufuli

  • @fabianferick2259
    @fabianferick2259 6 лет назад +1

    Kila kitu bongo ajabu waandishi bwana.

    • @globaltv_online
      @globaltv_online  6 лет назад +1

      Ni Flyover ya kwanza kuahidiwa na kujengwa kweli, tangu Tanzania ipate uhuru, so ni ajabu lkn kweli!😄

    • @malikeyndotopopote
      @malikeyndotopopote 6 лет назад

      ajabu kwako

    • @malikeyndotopopote
      @malikeyndotopopote 6 лет назад

      ajabu kwako

    • @penabubujashi4768
      @penabubujashi4768 6 лет назад

      Kwan Nyie wajnga wa chadema huwa mnazur,,kaz yenu kupnga kla ktu ata kama ni kzr,,,mataira nyie,,, nyie mnann cha kujsfia ktk nch hii!!

  • @malikeyndotopopote
    @malikeyndotopopote 6 лет назад +1

    maajabu gani wakati duniani sio ya kwanza kujengwa. acheni vichwa vya habari feki

  • @MohamedAli-wz7vz
    @MohamedAli-wz7vz 6 лет назад

    Waandishi waongo sana , wa nataka wauze gazeti zao na clip zao za youtub

    • @jumamlelwa819
      @jumamlelwa819 6 лет назад

      Mohamed Ali bc ww ndio mkwl..

    • @mohamedally3820
      @mohamedally3820 6 лет назад

      Mohamed Ali mkataa kwao ni mtumwa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni pia niwashauri watanzania wenzangu tusipende kuishi kwa mazoea!

    • @hansjohn7052
      @hansjohn7052 4 года назад

      Mohamed Ali, mazoea yapi? Tuchambulie

  • @kimmtorobo3870
    @kimmtorobo3870 6 лет назад +1

    Andika madaraja sio fly

  • @mawiamutua1252
    @mawiamutua1252 6 лет назад

    akuna kitu majabu hapo

    • @kiswahilikitukuzwe2547
      @kiswahilikitukuzwe2547 6 лет назад

      Mawia Mutua
      Wakenya tuacheni wivu. Kwani Rais Magufuli siyo rais wa rushwa bali ni rais wa vitendo na maendeleo kwa wananchi wake wote. Inatubidi tufuate mfano wao.

  • @lawrencechambo3770
    @lawrencechambo3770 6 лет назад

    Acha kudanganya umma

  • @bintwaalibchannel4239
    @bintwaalibchannel4239 6 лет назад

    Ni nzuri, lakini bado tupo nyuma

    • @kelvinmgendwa1438
      @kelvinmgendwa1438 5 лет назад

      Mungu atupe nini. Ee yesu mlinde presdent wetu mwongezee 'na nguvu

  • @malikeyndotopopote
    @malikeyndotopopote 6 лет назад +1

    maajabu gani wakati duniani sio ya kwanza kujengwa. acheni vichwa vya habari feki

    • @kakapascal5090
      @kakapascal5090 6 лет назад +2

      soma kwa makini na tafakari,kichwa cha habar hakija sema "duniani" bali Tazara na Ubungo. jihadhali sana na yale yaujazayo moyo wako maana Moyo usiyo na shukrani hukausha neema zote. kumbuka unapofurahia kazi njema ya jirani yako ndipo kaz yako pia itafurahiwa. fursa hujifunua kwa haraka kwa wale wenye mioyo mikunjufu.

  • @malikeyndotopopote
    @malikeyndotopopote 6 лет назад

    maajabu gani wakati duniani sio ya kwanza kujengwa. acheni vichwa vya habari feki