@stonetown578 UKISEMA NENO HEBU FIKIRIA SIO UNASEMA TU UNASIFIA KIONGOZI WAKATI SIE TUKIAMBIWA NA VIONGOZI JAMANI TUSITUPE TAKATAKA BARABARANI,TUSIFANYE BIASHARA BARABARANI MNAIBUKA KUMSEMA HUYO KIONGOZI OOH UNATUKATAZA TUSIFANYE BIASHARA MNAJUA TUNASOMESHA WATOTO TUNALIPA MIKOPO MNAMTAKA TUONDOKE TWENDE WAPI NA HII NDIO NCHI YETU HEBU TEMBELEA KARIAKOO NANI HASA WANAOCHAFUA MJI ?? SASA HAPO KIONGOZI HAJITAMBUI?? BODABODA WANAVUNJA SHERIA WAKIKAMATWA HAKI ZA BINAADAMU HAO MNAWAONEA WAACHENI HAYO YOTE HUYAONI NA MENGI MENGINEYO WEWE KAMA UNAMCHUKIA KIONGOZI WEWE SEMA TU LAKINI SIO KUMSINGIZIA
The jewel of East Africa. Kwa usafi, nidhamu na mipangilio bora ya matumizi ya ardhi. Rwanda iwe kigezo kwetu na wengine. Africa tunaweza, iwe mwisho kulinganisha miji yetu na miji ya ulaya/USA. Wao waje kujifunza kwetu. Nashauri makao makuu ya EA yahamie Kigali.
Usafi ni tabia, inaanzia kwa viongozi inaambukizwa kama ugonjwa na kushuka hadi kwa wananchi wake. Hongera Kagame, una vichache Lakini unajua kuvitumia ipasavyo. Kigali is Super clean.
Kumbe uzuri wa mji sio kuwa na majengo marefu tu, mpangilio wa mji wa kigari na mandhari ya miti inaifanya kuwa sehemu nzuri sana huchoki kuitazama. Safi sana nchi ndogo ila imepangwa vizuri natamani Mwanza iwe hivyo one day maana nature yake kama kigali
Sasa ndugu embu usilinganishe tz na vitu vya kijinga nchi mikoa miwili we unashindwaje kupiga lami mapaka choooni hv uchukuwe mikoa mitatu mikubwa tz tufanye ndio sawa na rwanda alafu uchukuwe maendeleo ya mikoa yote uhamishe kwenye kwenye mikoa mitatu c lami mpaka bafuni mzee au we unaonaje tz kubwa
Kwan sisi ukubwa wa mikoa yetu si karibia kila mkoa unageweza kujitegemea kilimanjaro kuna mlima mwanza ina ziwa dar kuna frusa kibao kila mkoa wetu una neema yake; au bachii😏😏😏
@@shubebunyesi542Kwani unapingana na maendeleo ya nchi ya Singapole?!? Kwa sababu ukubwa wa Singapole ni nudu ya mkoa wa Morogoro, lakini nchi imepiga hatua sana.
@@shubebunyesi542 Ndiyo maana tunahitaji serikali za majimbo, kila Jimbo lipiganie maendeleo yake kulingana na mapato na matumizi ya raslimali zao. Kila Jimbo litapambana kushindana na Jimbo jingine.
Hongera sana kagame kwa maendeleo makubwa Rwanda ni mfano wa kuigwa lakini kwa ukubwa wa Tz bado nchi imepiga hatua kulinganisha na Rwanda ciwezi beza maendeleo tuliyo fikia from Tz
Kwa ukweli ukubwa wa nchi ndio utajiri. Kwa hiyo kwa kuwa Rwanda ni nchi ndogo sio inaifanya kua safi lakini ni kutokana na mstari wa serikari inayoongoza
Napafananisha na mji wa Moshi Tanzania nao pia ni msafi sana na madereva wanatii sheria kinoma yan sijawahi ona kwingine Tanzania hii hasahasa wanapofika kwenye zebra lines
Naipenda rwanda yaani boda boda zimefungwa nini sijui yaani ziki fanya movement mwenye boda anajua usafi na mazingira uko juu sheria zao ziko vizuri na watu wana tii sheria naipenda rwanda
Dah! Viongozi wa Serikali ya Tz wakimbiwa ukweli wanasema wanatukanwa Jifunzene hata kwa Nchi ndogo hizi za ZA KIAFRICA BASI ACHENI UBINAFSI WA MALI ZA UMMA!
Nchi ndogo, watu wachache, rasilimali kidogo ila think tankers wanafanya mambo makubwa. Viongozi wanajitambua, wananchi wamejengewa nidhamu kwa mfumo rasmi. Viongozi, Viongozi, Viongozi, wa mataifa mengine ndo kikwazo. Huko hamna uchawa
Mukuje muone watoto mache awo wa hamissa mobeto wakudanganya daganya nawa kajala 😂😂😂 lakini tunawapenda wa Tanzania, respect diamond Platnumz 💎❤️❤️❤️❤️😍🙏🙏🙏please respect him 🌹💯💯🙌
Hapa wale Wenye Povu litawatoka Motif Rwanda Niinchi ndogo lakini wanasahawu Hata Qatar Niinchi Kuliko Rwanda lakini Qatar Sometimes Wanatowaga Misada kwa Inchii ya Tanzania Tunakumbushana Maendeleo ya Inchii Siyo Ukubwa wainchi
Acha kelele ndugu.. sema Nchi ✔️sio Inchi ✖️ Pia Sisi tuna miji mingi, Manispaa nyingi pia Majiji mengi. Zanzibar hiyo hapo njoo baada ya miaka 10 utadhani upo Oman. Misaada tunatoa kijeshi, Ki-siasa, Kijamii kwa Huduma za kijamii.. n.k. Nchi zilizonufaika na msaada wa kijeshi toka Tanzania ni Namibia, Angola, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, R.S.A Rwanda, visiwa vya Comoro n.k. Misaada ya Kijamii Mozambique (Chakula na Madawa), Malawi (Chakula, Madawa, tent, Magodoro, Ujenzi wa miundombinu, Uokozi), Comoro-(Chakula), Sudan Kusini (Chakula), Haiti (Mafunzo ya Madaktari), Sudan (Mafunzo ya Madaktari), Turkey (Fedha USD). Misaada yetu ni utu sio Misaada ya vifungo vya mitego.
Ramadhan Juma Usikose kufika mitaa ya Remera. Uone upanuzi wa Uwanja wa Amahoro kwa gharama ya Dola Miliyoni 165. Pembeni yake ndio kuna Kigali Arena kwasasa BK Arena.
nmezipenda hzo road lkn huku kwetu mpk leo wanang'ang'ania mfumo wa road mbili wkt kila sku watu wana nunua magar alafu wew bado unamfumo wa road mbili na parckng humo humo na unategemea folen mjin icwepo
Karibu Kigali Rwanda Juma. Kumbe wewe sio mwana habari michezo tu unaweza umesaidia watu ambao hawajafika Rwanda. Pia nchi nzima ya Rwanda hakuna nyuma iliyoezekwa nyasi, mafuti, udongo!
Tanzania holela hakuna order pembezoni mwa barabara kuna kila aina ya takataka mara kibanda cha mpesa, mahindi ya kuchoma, mama ntilie, ujenzi holela wa fremu yaani fujo
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤❤ M13 ulizotaja ni wanyarwanda wote kwa ujumla ila Jiji lenyewe la Kigali si zaidi ya miliyoni 1.5 za wakazi maana Mimi nipo hapa tangu 2006
NYUMBA ZA NYASI MARA YA MWISHO KULIONA RWANDA ILIKUWA 2010. SERIKALI YA RWANDA ILITENGA MABILIONI YA PESA KUJENGEA NYUMBA ZA BATI WASIO NA UWEZO KUPITIA KWA WAKUU WA WILAYA.
Baada ya ajali nyingi zilizo ua watu wengi. Rwanda hata mikoani kuna Camera nyinyi za kutosha Spidi mwisho ni 80. Sio rahisi kuona gari zinasimamishwa na Askari wa barabarani.
Wanaoicahafua tz ni watanzania wenyewe hizo sheria za usafi za rwanda zikiletwa tz watu watapiga nduru waseme wanaonewa maana washazoea uchafu kutupa takataka ovyo inshort not responsible citizens
Kiongozi wake anajielewa na anajua anachokifanya, usafi ndo usiseme 😍 big up Mr Kagame.
@stonetown578 UKISEMA NENO HEBU FIKIRIA SIO UNASEMA TU UNASIFIA KIONGOZI WAKATI SIE TUKIAMBIWA NA VIONGOZI JAMANI TUSITUPE TAKATAKA BARABARANI,TUSIFANYE BIASHARA BARABARANI MNAIBUKA KUMSEMA HUYO KIONGOZI OOH UNATUKATAZA TUSIFANYE BIASHARA MNAJUA TUNASOMESHA WATOTO TUNALIPA MIKOPO MNAMTAKA TUONDOKE TWENDE WAPI NA HII NDIO NCHI YETU HEBU TEMBELEA KARIAKOO NANI HASA WANAOCHAFUA MJI ?? SASA HAPO KIONGOZI HAJITAMBUI?? BODABODA WANAVUNJA SHERIA WAKIKAMATWA HAKI ZA BINAADAMU HAO MNAWAONEA WAACHENI HAYO YOTE HUYAONI NA MENGI MENGINEYO WEWE KAMA UNAMCHUKIA KIONGOZI WEWE SEMA TU LAKINI SIO KUMSINGIZIA
Rwanda is a developed country in Africa Congrats to Kagame 🎉
*developing
Hakuna wezi waKingufu❤
@@youngstone60 so peaceful country
RWANDA KUNA VIONGOZI WA KWELI....MAMBO YANAJIELEZA YENYEWE, BIG UP FROM tz
Sisi tuko busy na katiba mpya na uchaguzi , kule Ni mkono wa chuma
@@ndukulusudikucho_ Kila mtu ni msemaji wa serikali. Kule msemaji ni mmoja tu. Rais. Waliobakia wote hawana sauti. Ishini maisha yenu.
@@TamuzaKalenakubali
Thank you Ayo tv for visiting my lovely country
Congratulations to Rwandese people for your patriotism!
Maa Shaa Allaah kusafi sana hongera zao....hakuna hata vibanda banda njiani wala miamvuli ya kuchoka
The jewel of East Africa. Kwa usafi, nidhamu na mipangilio bora ya matumizi ya ardhi. Rwanda iwe kigezo kwetu na wengine. Africa tunaweza, iwe mwisho kulinganisha miji yetu na miji ya ulaya/USA. Wao waje kujifunza kwetu. Nashauri makao makuu ya EA yahamie Kigali.
Bro hujuiii tuu uko no amaniii
Ni ushauri mzuri sana
@@liberatusjackson5045 Sijakufahamu, unakusudia Rwanda hakuna amani?
@@Ali-nl2duAmani tunayo brother
@@niniarutek7257 Asante, amani idumu kwa uwezo wa Mungu.
Hapa ndio kwetu Rwanda 🇷🇼♥️ karibuni Watanzania .
Naomba namba zako nije nitembee Rwanda
Ntakja ku visit Rwanda nasikia pako vzr
Namimi nataman sana kuja kuposa Rwanda ,❤ Wadada wa huko warembo kama nini ❤❤❤I appreciate those lady
Pazuli
Usafi ni tabia, inaanzia kwa viongozi inaambukizwa kama ugonjwa na kushuka hadi kwa wananchi wake.
Hongera Kagame, una vichache Lakini unajua kuvitumia ipasavyo.
Kigali is Super clean.
Thank you so much for sharing this video, onwards and upwards rwanda 🇷🇼 and Africa.
Kumbe uzuri wa mji sio kuwa na majengo marefu tu, mpangilio wa mji wa kigari na mandhari ya miti inaifanya kuwa sehemu nzuri sana huchoki kuitazama. Safi sana nchi ndogo ila imepangwa vizuri natamani Mwanza iwe hivyo one day maana nature yake kama kigali
Hata makazi yameboreshwa Sana Kigali. Kujenga kwa mpangilio wa nyumba mpaka rangi. Huyo ndiyo kidume Paul Kagame. Ninampenda Sana Kagame.
HE Paul Kagame is behind all this proud to be 🇷🇼❤️
nimependa sana njia za watembea kwa miguu,hakuna bodaboda au bajaj inatembea njia za waenda kwa miguu
hongera zake kwa waziri wa miundombinu na waziri wa mazingira,,yani barabara hazina hata punje ya mchanga
viongozi wazur watajenga nchi yao vzr na kua na uchungu hongela kagame nchi ndogo lakn inapendeza
HAPA KWETU,WENGI NI MATUMBO YAO KWANZA,NCHI HAPANA
Sasa ndugu embu usilinganishe tz na vitu vya kijinga nchi mikoa miwili we unashindwaje kupiga lami mapaka choooni hv uchukuwe mikoa mitatu mikubwa tz tufanye ndio sawa na rwanda alafu uchukuwe maendeleo ya mikoa yote uhamishe kwenye kwenye mikoa mitatu c lami mpaka bafuni mzee au we unaonaje tz kubwa
Kwan sisi ukubwa wa mikoa yetu si karibia kila mkoa unageweza kujitegemea kilimanjaro kuna mlima mwanza ina ziwa dar kuna frusa kibao kila mkoa wetu una neema yake; au bachii😏😏😏
@@shubebunyesi542Kwani unapingana na maendeleo ya nchi ya Singapole?!? Kwa sababu ukubwa wa Singapole ni nudu ya mkoa wa Morogoro, lakini nchi imepiga hatua sana.
@@shubebunyesi542 Ndiyo maana tunahitaji serikali za majimbo, kila Jimbo lipiganie maendeleo yake kulingana na mapato na matumizi ya raslimali zao. Kila Jimbo litapambana kushindana na Jimbo jingine.
Hata Dar zipo sehemu safi,peleka uswahilini tuone kama kusafi pia...
Hongera sana kagame kwa maendeleo makubwa Rwanda ni mfano wa kuigwa lakini kwa ukubwa wa Tz bado nchi imepiga hatua kulinganisha na Rwanda ciwezi beza maendeleo tuliyo fikia from Tz
This is beautiful
Dah mji mzuri msafi ❤Tanzania 🇹🇿 tushaachwa mbali sana hongera sana kagame wew ndo president of Rwanda 🇷🇼 wa kweli na kiongozi wa kweli
Umeachwa ww unalinganisha Tanzania na uafala
Nchi inazid ukubwa na mkoa wa kigoma ndio ufananishe na tz
Asante kbs
Nimeipenda Bustani nzurii
Kula maisha kwa macho na kuzunguka na kamera Kigali ndo Raha ye2 mliotuacha hapa! Kumbe Kigali nzur!
Amakuru from Tanzania 🇹🇿
Nimeza ❤
Nimeza❤
Nimeza cyane from Kigali🇷🇼
Ni meza! Mambo vipi?
Nice Rwanda
Nchi ilokuwa na mapigano nuda wote asaivi ipo nzuri sisi tuna miaka laki 😢 hakuna nidhamu
Kila mkoa ukijitegemea Kama ilivyo marekan tutapiga hatua mm nimwana uchumi ambae sijulikan
@@fredinandcharles7598 sio kweli Tanzania hamna nidhamu na mnachekeana sana uzembe mtupu
RWANDA nchi yetu, Paul KAGAME our true president❤
Beaufull and cleanest cities in africa
Bongo kila sehemu picha za samia,na dampo za takataka,
😂😂😂😂😂😂
Kule nikuchafua mazingira tu wala sioni Faida zake AMKENI WATZ ., IPO SIKU TUJIKUTA TUKO UARABUNI!
Safi sana hongera raisi kagame
Thanks kigali kwani usafi ❤
i love the fact that they are driving on the right side,, i don't know who established this left(wrong) side in Tanzania
I love RWANDA system
Inge kuwa bongo njiani viband vya mpesa vitupu
Hatakama ni mkoa mmoja Tanzania ingekuwa chafu tu sababu usimamizi mbovu wizi wa pesa zamiladi mpaka aibu
Kagame ndo angekuwa Rais wa bongo na maliasili zote tulizonazo tungekuwa levo za s Africa cc nakwambia.
Kwa ukweli ukubwa wa nchi ndio utajiri. Kwa hiyo kwa kuwa Rwanda ni nchi ndogo sio inaifanya kua safi lakini ni kutokana na mstari wa serikari inayoongoza
N’chi bila kufwata sheria pamoja na ubinafsi ,haya tutabaki kusimulia ya wengine!!!
Ukikuta shimo barabarani (pot hole) uje uchukue hela kwangu
Rwanda ni moja ya sehem nzuri sana kimaisha especially kigali
Best in east africa
Napafananisha na mji wa Moshi Tanzania nao pia ni msafi sana na madereva wanatii sheria kinoma yan sijawahi ona kwingine Tanzania hii hasahasa wanapofika kwenye zebra lines
Inchi ya Rwanda ndo number moja Kwa usafi in Africa yote kbx .
Karibu kwetu Rwanda ndugu zeru
My lovely city KGL ❤️ fire burn 🔥
bodaboda rwanda 🙌🙌 yan wote wamevaa helmet
Police wakikushika usipo vaa helmet unalipa fine
Nchi safi kabisa sio kama dar mavi matupu
Karibuni kwetu rugha ya taifa ni Kinyarwanda ❤
Green city Rwanda 🇷🇼 vist Rwanda we love president pk
Naipenda rwanda yaani boda boda zimefungwa nini sijui yaani ziki fanya movement mwenye boda anajua usafi na mazingira uko juu sheria zao ziko vizuri na watu wana tii sheria naipenda rwanda
Njoo kwetu sasa nchi nzima mabango ya ccm😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅umesema kwel kabisaaa
My country ❤❤
Tumejipanga kimaendeleo bro tunawakalibisha tena kalibuni Kigali Rwanda 🇷🇼
naomba namba yako Basi ili nije nikusalimie huko Rwanda
Nice video
Wanaosema Rwanda safi kisa ni ndogo niwaulize tu Burundi ni kubwa? je, unaweza kufananisha Burundi na Rwanda?
pisi kali sizioni huyu AYO vip
@@athumanfuko199ni Burundi 🎉
Usiwe na mapepe huyo ni mkopo wachina hata sisi warundi tukikopa tutajenga ila sisi tungali tunajipenga ili tujitengenezee bila madeni
@@lazzR1935Hhhhh nakucheka sana nani kakwambia ivio izi nipesa zawanainshitu mkopo wawapi nyinyi mulaletu musubiri mutazipata hhhh nabado Rwanda hii nimwanzo hatujafika
Wewe ivi unawezajye kufananisha Kigali na Bujumbura. Mjiwabujumbura nimdogosana kigalinikubwa tena safi
Dah! Viongozi wa Serikali ya Tz wakimbiwa ukweli wanasema wanatukanwa Jifunzene hata kwa Nchi ndogo hizi za ZA KIAFRICA BASI ACHENI UBINAFSI WA MALI ZA UMMA!
Warwanda wako vizuli sana❤
Nchi ndogo, watu wachache, rasilimali kidogo ila think tankers wanafanya mambo makubwa. Viongozi wanajitambua, wananchi wamejengewa nidhamu kwa mfumo rasmi. Viongozi, Viongozi, Viongozi, wa mataifa mengine ndo kikwazo. Huko hamna uchawa
Mukuje muone watoto mache awo wa hamissa mobeto wakudanganya daganya nawa kajala 😂😂😂 lakini tunawapenda wa Tanzania, respect diamond Platnumz 💎❤️❤️❤️❤️😍🙏🙏🙏please respect him 🌹💯💯🙌
Kagame ni mzalendo km marehemu magu anachukia sana rushwa na akikukamata umekura rushwa utaoza jera
Utafikili gari inaludi umo Kwa umo kutokana na mazingira yake yalivyo mazuli
Tanzania mnamtaka democracy hamtaki maendeleo endeleeni kutafuta democracy muone kama mtafika popote pale.
Rwanda
Hapa wale Wenye Povu litawatoka Motif Rwanda Niinchi ndogo lakini wanasahawu Hata Qatar Niinchi Kuliko Rwanda lakini Qatar Sometimes Wanatowaga Misada kwa Inchii ya Tanzania Tunakumbushana Maendeleo ya Inchii Siyo Ukubwa wainchi
Acha kelele ndugu.. sema Nchi ✔️sio Inchi ✖️
Pia Sisi tuna miji mingi, Manispaa nyingi pia Majiji mengi. Zanzibar hiyo hapo njoo baada ya miaka 10 utadhani upo Oman. Misaada tunatoa kijeshi, Ki-siasa, Kijamii kwa Huduma za kijamii.. n.k. Nchi zilizonufaika na msaada wa kijeshi toka Tanzania ni Namibia, Angola, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, R.S.A Rwanda, visiwa vya Comoro n.k. Misaada ya Kijamii Mozambique (Chakula na Madawa), Malawi (Chakula, Madawa, tent, Magodoro, Ujenzi wa miundombinu, Uokozi), Comoro-(Chakula), Sudan Kusini (Chakula), Haiti (Mafunzo ya Madaktari), Sudan (Mafunzo ya Madaktari), Turkey (Fedha USD). Misaada yetu ni utu sio Misaada ya vifungo vya mitego.
Ramadhan Juma Usikose kufika mitaa ya Remera.
Uone upanuzi wa Uwanja wa Amahoro kwa gharama ya Dola Miliyoni 165.
Pembeni yake ndio kuna Kigali Arena kwasasa BK Arena.
Umesahau... Bodaboda zote zinafuata sheria zote za barabarani
Dah
Is the beautfull city
Mnakaz ya kusifia Kwa wenzenu mala Dubai mala uturki mala South na Sasa Rwanda
Younger fc fnz❤
🎉🎉🎉 yapi Ayo boss 🎉🎉🎉
Uyo ndio paul kagame mtu wa maendeleo
Siku zote kidogo kukimiliki ni rahisi Sana kuliko kikubwa kwa kweli kama wakiamua hivyo hata Zanzibar wakiamua wanaweza ila Tz ni ngumu sana
Yaani, ina maana kwamba Canada ni ndogo, Japan ni ndogo, Marekani ni ndogo, China ni ndogo.... ao sio?
Magufuli pekee angeweza kuijenga Tanzania katika kiwango kikubwa kabisa japokuwa da alikuwa kauzu sana😀
Kidumu chama cha revolution
Kigari❤❤❤❤❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Tanzania Nchi yangu ,Kuna kiongozi Mkuu wa chama Flani alisema Kwan Bodaboda akibeba hata abiria watatu shida iko wap
Hukundiokwetu bro city safikabisa
Karibu tena rwanda hio ndio RWANDA sisi tunasema ni RWANDA yenye maziwa na hasali tofauti sana na buguluni 🤣🤣🤣
Ila Saivi jamaa anauza Chai sana...Maelezo yanajirudia sana
Ss tumeshashindikana juu ya uvunjaji sheria.hatuendi sharti kwa viboko
nmezipenda hzo road lkn huku kwetu mpk leo wanang'ang'ania mfumo wa road mbili wkt kila sku watu wana nunua magar alafu wew bado unamfumo wa road mbili na parckng humo humo na unategemea folen mjin icwepo
congrats Rwandese, i don't see dustbin from start to end of the video, where did u put then trash?
Usifananishe Tanzania na Ruwanda apo ni mjini nenda vijijini ukapige picha alafuututumie Tanzania tuko juu sana kuliko uko Ruwanda
Nk vizur sana
Karibu Kigali Rwanda Juma.
Kumbe wewe sio mwana habari michezo tu unaweza umesaidia watu ambao hawajafika Rwanda.
Pia nchi nzima ya Rwanda hakuna nyuma iliyoezekwa nyasi, mafuti, udongo!
Mmmh china yenyewe Kuna nyumba za nyasi sembuse apo Rwanda
Kwani kuezekwa makuti au nyasi ni umasikini?
@@J4UPro ndo hapo sasa
@@Chettymlambalipsi-lb9km China ni dude kubwa duniani.
Tanzania holela hakuna order pembezoni mwa barabara kuna kila aina ya takataka mara kibanda cha mpesa, mahindi ya kuchoma, mama ntilie, ujenzi holela wa fremu yaani fujo
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤❤ M13 ulizotaja ni wanyarwanda wote kwa ujumla ila Jiji lenyewe la Kigali si zaidi ya miliyoni 1.5 za wakazi maana Mimi nipo hapa tangu 2006
Duh ni kweli eh
Hongera zao
Wasafi sana
NYUMBA ZA NYASI MARA YA MWISHO KULIONA RWANDA ILIKUWA 2010.
SERIKALI YA RWANDA ILITENGA MABILIONI YA PESA KUJENGEA NYUMBA ZA BATI WASIO NA UWEZO KUPITIA KWA WAKUU WA WILAYA.
Zipo nyingi tu vijijini huko
@@mcback4384Hamna!
Nchi ndogo sana na mji wao ni mdogo sana ku control ni rahisi sana
Wanangu Hamjafika Rusumo Hapo Kuna Jamaa Namdai Falanga Yangu 😀
Baada ya ajali nyingi zilizo ua watu wengi.
Rwanda hata mikoani kuna Camera nyinyi za kutosha Spidi mwisho ni 80.
Sio rahisi kuona gari zinasimamishwa na Askari wa barabarani.
Mambo vipi Kazungu Claver Kigali mnaendeleaje ?
Hii mji, nafananisha na mji wa hapa Mbulu tu! Hahahahaha!! Msitutishie na haka kamji tu!!
Nchi hii tunahitaji kina Magufuli tu ndio wenye uwezo wa kunyoosha mji na nchi ikawa inchi kweli
Rais magufuli alitujazia Wamachinga kila kona ya mji,na taka kila kona
uyo magafuli ndo alikuwa anaharibu miji
Labda Tanzania viongozi wabadilike na kujifunza na kuzidisha uzalendo ili nchi ipate maendeleo na miundo mbinu mpya
Daresalaam wakifunga Kamera Trafick watahasi upolisi nakuwa majambazi maana wamezoea rushwa
Nchi ya watu na serikali ya watu wanaojiejielewa.. Kizuri chajiuza, kubaya chajtembeza!
Haswaa tz hovyo kweli maovu Tu ndo yanakithiri
Wanaoicahafua tz ni watanzania wenyewe hizo sheria za usafi za rwanda zikiletwa tz watu watapiga nduru waseme wanaonewa maana washazoea uchafu kutupa takataka ovyo inshort not responsible citizens
👍
Tanzania ni nnchi ya hovyo sana
Hahaha hata Burundi watatuzidi
Sijui wangekuwa na bandari ingekuwaje.
Tulifurah sana
Tuonyeshe na Sweka,Cio UBUNGO,POSTA NA MASAKI