VITU 3 VITAKAVYOKUACHA MDOMO WAZI KIGALI RWANDA KAMA UMEZOEA KUISHI DAR ES SALAAM, ITAZAME VIZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 348

  • @stonetown578
    @stonetown578 Год назад +34

    Kiongozi wake anajielewa na anajua anachokifanya, usafi ndo usiseme 😍 big up Mr Kagame.

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 Год назад

      @stonetown578 UKISEMA NENO HEBU FIKIRIA SIO UNASEMA TU UNASIFIA KIONGOZI WAKATI SIE TUKIAMBIWA NA VIONGOZI JAMANI TUSITUPE TAKATAKA BARABARANI,TUSIFANYE BIASHARA BARABARANI MNAIBUKA KUMSEMA HUYO KIONGOZI OOH UNATUKATAZA TUSIFANYE BIASHARA MNAJUA TUNASOMESHA WATOTO TUNALIPA MIKOPO MNAMTAKA TUONDOKE TWENDE WAPI NA HII NDIO NCHI YETU HEBU TEMBELEA KARIAKOO NANI HASA WANAOCHAFUA MJI ?? SASA HAPO KIONGOZI HAJITAMBUI?? BODABODA WANAVUNJA SHERIA WAKIKAMATWA HAKI ZA BINAADAMU HAO MNAWAONEA WAACHENI HAYO YOTE HUYAONI NA MENGI MENGINEYO WEWE KAMA UNAMCHUKIA KIONGOZI WEWE SEMA TU LAKINI SIO KUMSINGIZIA

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +39

    Rwanda is a developed country in Africa Congrats to Kagame 🎉

  • @nemestesha7784
    @nemestesha7784 Год назад +20

    RWANDA KUNA VIONGOZI WA KWELI....MAMBO YANAJIELEZA YENYEWE, BIG UP FROM tz

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Год назад +2

      Sisi tuko busy na katiba mpya na uchaguzi , kule Ni mkono wa chuma

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Год назад +3

      @@ndukulusudikucho_ Kila mtu ni msemaji wa serikali. Kule msemaji ni mmoja tu. Rais. Waliobakia wote hawana sauti. Ishini maisha yenu.

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 11 месяцев назад +1

      ​@@TamuzaKalenakubali

  • @ntarejohn1843
    @ntarejohn1843 Год назад +12

    Thank you Ayo tv for visiting my lovely country

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 Год назад +31

    Congratulations to Rwandese people for your patriotism!

  • @islamrashid5451
    @islamrashid5451 Год назад +7

    Maa Shaa Allaah kusafi sana hongera zao....hakuna hata vibanda banda njiani wala miamvuli ya kuchoka

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад +21

    The jewel of East Africa. Kwa usafi, nidhamu na mipangilio bora ya matumizi ya ardhi. Rwanda iwe kigezo kwetu na wengine. Africa tunaweza, iwe mwisho kulinganisha miji yetu na miji ya ulaya/USA. Wao waje kujifunza kwetu. Nashauri makao makuu ya EA yahamie Kigali.

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 Год назад

      Bro hujuiii tuu uko no amaniii

    • @BarakababaRama
      @BarakababaRama Год назад

      Ni ushauri mzuri sana

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du Год назад +2

      @@liberatusjackson5045 Sijakufahamu, unakusudia Rwanda hakuna amani?

    • @niniarutek7257
      @niniarutek7257 Год назад

      ​@@Ali-nl2duAmani tunayo brother

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du Год назад

      @@niniarutek7257 Asante, amani idumu kwa uwezo wa Mungu.

  • @appolonation
    @appolonation Год назад +17

    Hapa ndio kwetu Rwanda 🇷🇼♥️ karibuni Watanzania .

    • @mohdloushmoney9994
      @mohdloushmoney9994 Год назад +3

      Naomba namba zako nije nitembee Rwanda

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 11 месяцев назад

      Ntakja ku visit Rwanda nasikia pako vzr

    • @reginaldmushi9784
      @reginaldmushi9784 11 месяцев назад

      Namimi nataman sana kuja kuposa Rwanda ,❤ Wadada wa huko warembo kama nini ❤❤❤I appreciate those lady

    • @ButoyiThierryve
      @ButoyiThierryve 8 месяцев назад

      Pazuli

  • @gilbertzachariah4970
    @gilbertzachariah4970 Год назад +7

    Usafi ni tabia, inaanzia kwa viongozi inaambukizwa kama ugonjwa na kushuka hadi kwa wananchi wake.
    Hongera Kagame, una vichache Lakini unajua kuvitumia ipasavyo.
    Kigali is Super clean.

  • @louisrudasingwa3367
    @louisrudasingwa3367 Год назад +3

    Thank you so much for sharing this video, onwards and upwards rwanda 🇷🇼 and Africa.

  • @machumujuma6399
    @machumujuma6399 Год назад +3

    Kumbe uzuri wa mji sio kuwa na majengo marefu tu, mpangilio wa mji wa kigari na mandhari ya miti inaifanya kuwa sehemu nzuri sana huchoki kuitazama. Safi sana nchi ndogo ila imepangwa vizuri natamani Mwanza iwe hivyo one day maana nature yake kama kigali

  • @MaaneML
    @MaaneML Год назад +13

    Hata makazi yameboreshwa Sana Kigali. Kujenga kwa mpangilio wa nyumba mpaka rangi. Huyo ndiyo kidume Paul Kagame. Ninampenda Sana Kagame.

  • @ntarejohn1843
    @ntarejohn1843 Год назад +13

    HE Paul Kagame is behind all this proud to be 🇷🇼❤️

  • @sambiaj
    @sambiaj Год назад +8

    nimependa sana njia za watembea kwa miguu,hakuna bodaboda au bajaj inatembea njia za waenda kwa miguu

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn Год назад +3

    hongera zake kwa waziri wa miundombinu na waziri wa mazingira,,yani barabara hazina hata punje ya mchanga

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 Год назад +37

    viongozi wazur watajenga nchi yao vzr na kua na uchungu hongela kagame nchi ndogo lakn inapendeza

    • @kesterkanyala7718
      @kesterkanyala7718 Год назад +5

      HAPA KWETU,WENGI NI MATUMBO YAO KWANZA,NCHI HAPANA

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Год назад +3

      Sasa ndugu embu usilinganishe tz na vitu vya kijinga nchi mikoa miwili we unashindwaje kupiga lami mapaka choooni hv uchukuwe mikoa mitatu mikubwa tz tufanye ndio sawa na rwanda alafu uchukuwe maendeleo ya mikoa yote uhamishe kwenye kwenye mikoa mitatu c lami mpaka bafuni mzee au we unaonaje tz kubwa

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Год назад +4

      Kwan sisi ukubwa wa mikoa yetu si karibia kila mkoa unageweza kujitegemea kilimanjaro kuna mlima mwanza ina ziwa dar kuna frusa kibao kila mkoa wetu una neema yake; au bachii😏😏😏

    • @razackndeze-pv5bm
      @razackndeze-pv5bm Год назад +1

      ​@@shubebunyesi542Kwani unapingana na maendeleo ya nchi ya Singapole?!? Kwa sababu ukubwa wa Singapole ni nudu ya mkoa wa Morogoro, lakini nchi imepiga hatua sana.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Год назад +3

      @@shubebunyesi542 Ndiyo maana tunahitaji serikali za majimbo, kila Jimbo lipiganie maendeleo yake kulingana na mapato na matumizi ya raslimali zao. Kila Jimbo litapambana kushindana na Jimbo jingine.

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 10 месяцев назад

    Hata Dar zipo sehemu safi,peleka uswahilini tuone kama kusafi pia...

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 11 месяцев назад

    Hongera sana kagame kwa maendeleo makubwa Rwanda ni mfano wa kuigwa lakini kwa ukubwa wa Tz bado nchi imepiga hatua kulinganisha na Rwanda ciwezi beza maendeleo tuliyo fikia from Tz

  • @King_186
    @King_186 Год назад +9

    This is beautiful

  • @alexaudax-rm8sz
    @alexaudax-rm8sz Год назад +3

    Dah mji mzuri msafi ❤Tanzania 🇹🇿 tushaachwa mbali sana hongera sana kagame wew ndo president of Rwanda 🇷🇼 wa kweli na kiongozi wa kweli

  • @ernestbanda2702
    @ernestbanda2702 Год назад

    Asante kbs

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm Год назад +3

    Nimeipenda Bustani nzurii

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Год назад +8

    Kula maisha kwa macho na kuzunguka na kamera Kigali ndo Raha ye2 mliotuacha hapa! Kumbe Kigali nzur!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +4

    Amakuru from Tanzania 🇹🇿

  • @aubreychuma5449
    @aubreychuma5449 Год назад +3

    Nice Rwanda

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Год назад +17

    Nchi ilokuwa na mapigano nuda wote asaivi ipo nzuri sisi tuna miaka laki 😢 hakuna nidhamu

    • @fredinandcharles7598
      @fredinandcharles7598 Год назад +2

      Kila mkoa ukijitegemea Kama ilivyo marekan tutapiga hatua mm nimwana uchumi ambae sijulikan

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      @@fredinandcharles7598 sio kweli Tanzania hamna nidhamu na mnachekeana sana uzembe mtupu

  • @Emmythebaber
    @Emmythebaber Год назад +1

    RWANDA nchi yetu, Paul KAGAME our true president❤

  • @nkubitodennis843
    @nkubitodennis843 Год назад +8

    Beaufull and cleanest cities in africa

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Год назад +10

    Bongo kila sehemu picha za samia,na dampo za takataka,

    • @LindaMbilinyi-p8s
      @LindaMbilinyi-p8s Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @emmanueljoseph3812
      @emmanueljoseph3812 Год назад

      Kule nikuchafua mazingira tu wala sioni Faida zake AMKENI WATZ ., IPO SIKU TUJIKUTA TUKO UARABUNI!

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Год назад +3

    Safi sana hongera raisi kagame

  • @youngstone60
    @youngstone60 Год назад +1

    Thanks kigali kwani usafi ❤

  • @herrwin.
    @herrwin. 9 месяцев назад

    i love the fact that they are driving on the right side,, i don't know who established this left(wrong) side in Tanzania

  • @lastkingrwanda8066
    @lastkingrwanda8066 Год назад +1

    I love RWANDA system

  • @abdulaabdula2631
    @abdulaabdula2631 Год назад +4

    Inge kuwa bongo njiani viband vya mpesa vitupu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Год назад +8

    Hatakama ni mkoa mmoja Tanzania ingekuwa chafu tu sababu usimamizi mbovu wizi wa pesa zamiladi mpaka aibu

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Год назад +1

      Kagame ndo angekuwa Rais wa bongo na maliasili zote tulizonazo tungekuwa levo za s Africa cc nakwambia.

    • @dieudonnemushimiyimana9206
      @dieudonnemushimiyimana9206 Год назад

      Kwa ukweli ukubwa wa nchi ndio utajiri. Kwa hiyo kwa kuwa Rwanda ni nchi ndogo sio inaifanya kua safi lakini ni kutokana na mstari wa serikari inayoongoza

  • @deogratiuskweka8488
    @deogratiuskweka8488 Год назад +6

    N’chi bila kufwata sheria pamoja na ubinafsi ,haya tutabaki kusimulia ya wengine!!!

  • @MultiKasuku
    @MultiKasuku Год назад +7

    Ukikuta shimo barabarani (pot hole) uje uchukue hela kwangu

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 Год назад

      Rwanda ni moja ya sehem nzuri sana kimaisha especially kigali

  • @yasiniyamamoto8174
    @yasiniyamamoto8174 Год назад +1

    Best in east africa

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 Год назад +2

    Napafananisha na mji wa Moshi Tanzania nao pia ni msafi sana na madereva wanatii sheria kinoma yan sijawahi ona kwingine Tanzania hii hasahasa wanapofika kwenye zebra lines

  • @NambajimanaAnastase-mf7sm
    @NambajimanaAnastase-mf7sm 11 месяцев назад

    Inchi ya Rwanda ndo number moja Kwa usafi in Africa yote kbx .

  • @Niyiturinda
    @Niyiturinda Год назад

    Karibu kwetu Rwanda ndugu zeru

  • @GadNkurunziza-kg1uc
    @GadNkurunziza-kg1uc Год назад +2

    My lovely city KGL ❤️ fire burn 🔥

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. Год назад +4

    bodaboda rwanda 🙌🙌 yan wote wamevaa helmet

    • @shamismith8083
      @shamismith8083 11 месяцев назад

      Police wakikushika usipo vaa helmet unalipa fine

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 Год назад +1

    Nchi safi kabisa sio kama dar mavi matupu

  • @ganzaalex5462
    @ganzaalex5462 Год назад

    Karibuni kwetu rugha ya taifa ni Kinyarwanda ❤

  • @elyse991
    @elyse991 Год назад +4

    Green city Rwanda 🇷🇼 vist Rwanda we love president pk

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 9 месяцев назад

    Naipenda rwanda yaani boda boda zimefungwa nini sijui yaani ziki fanya movement mwenye boda anajua usafi na mazingira uko juu sheria zao ziko vizuri na watu wana tii sheria naipenda rwanda

  • @LindaMbilinyi-p8s
    @LindaMbilinyi-p8s Год назад +5

    Njoo kwetu sasa nchi nzima mabango ya ccm😂😂😂😂

    • @Onesmoboyz
      @Onesmoboyz Год назад

      😅😅😅😅😅😅umesema kwel kabisaaa

  • @nyiramugiranezaariela4907
    @nyiramugiranezaariela4907 Год назад +2

    My country ❤❤

  • @KarambiziMartin-xv8op
    @KarambiziMartin-xv8op Год назад +2

    Tumejipanga kimaendeleo bro tunawakalibisha tena kalibuni Kigali Rwanda 🇷🇼

    • @khamicysele
      @khamicysele Месяц назад

      naomba namba yako Basi ili nije nikusalimie huko Rwanda

  • @peterkanamugire7216
    @peterkanamugire7216 Год назад

    Nice video

  • @josephstephen1079
    @josephstephen1079 Год назад +8

    Wanaosema Rwanda safi kisa ni ndogo niwaulize tu Burundi ni kubwa? je, unaweza kufananisha Burundi na Rwanda?

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Год назад

      pisi kali sizioni huyu AYO vip

    • @lazzR1935
      @lazzR1935 Год назад

      ​@@athumanfuko199ni Burundi 🎉

    • @lazzR1935
      @lazzR1935 Год назад

      Usiwe na mapepe huyo ni mkopo wachina hata sisi warundi tukikopa tutajenga ila sisi tungali tunajipenga ili tujitengenezee bila madeni

    • @sadikigatera4808
      @sadikigatera4808 Год назад +2

      ​@@lazzR1935Hhhhh nakucheka sana nani kakwambia ivio izi nipesa zawanainshitu mkopo wawapi nyinyi mulaletu musubiri mutazipata hhhh nabado Rwanda hii nimwanzo hatujafika

    • @OmarRwamakuba
      @OmarRwamakuba Месяц назад

      Wewe ivi unawezajye kufananisha Kigali na Bujumbura. Mjiwabujumbura nimdogosana kigalinikubwa tena safi

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 Год назад +1

    Dah! Viongozi wa Serikali ya Tz wakimbiwa ukweli wanasema wanatukanwa Jifunzene hata kwa Nchi ndogo hizi za ZA KIAFRICA BASI ACHENI UBINAFSI WA MALI ZA UMMA!

  • @misheckmrk8848
    @misheckmrk8848 Год назад +1

    Warwanda wako vizuli sana❤

  • @TheMacdonald230
    @TheMacdonald230 Год назад +3

    Nchi ndogo, watu wachache, rasilimali kidogo ila think tankers wanafanya mambo makubwa. Viongozi wanajitambua, wananchi wamejengewa nidhamu kwa mfumo rasmi. Viongozi, Viongozi, Viongozi, wa mataifa mengine ndo kikwazo. Huko hamna uchawa

  • @herrschmidt4814
    @herrschmidt4814 Год назад

    Mukuje muone watoto mache awo wa hamissa mobeto wakudanganya daganya nawa kajala 😂😂😂 lakini tunawapenda wa Tanzania, respect diamond Platnumz 💎❤️❤️❤️❤️😍🙏🙏🙏please respect him 🌹💯💯🙌

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Год назад +2

    Kagame ni mzalendo km marehemu magu anachukia sana rushwa na akikukamata umekura rushwa utaoza jera

  • @khamismohd7344
    @khamismohd7344 Год назад +4

    Utafikili gari inaludi umo Kwa umo kutokana na mazingira yake yalivyo mazuli

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Год назад +2

    Tanzania mnamtaka democracy hamtaki maendeleo endeleeni kutafuta democracy muone kama mtafika popote pale.

  • @TAYALITV
    @TAYALITV Год назад

    Rwanda

  • @abdulfazb9808
    @abdulfazb9808 Год назад +4

    Hapa wale Wenye Povu litawatoka Motif Rwanda Niinchi ndogo lakini wanasahawu Hata Qatar Niinchi Kuliko Rwanda lakini Qatar Sometimes Wanatowaga Misada kwa Inchii ya Tanzania Tunakumbushana Maendeleo ya Inchii Siyo Ukubwa wainchi

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Год назад

      Acha kelele ndugu.. sema Nchi ✔️sio Inchi ✖️
      Pia Sisi tuna miji mingi, Manispaa nyingi pia Majiji mengi. Zanzibar hiyo hapo njoo baada ya miaka 10 utadhani upo Oman. Misaada tunatoa kijeshi, Ki-siasa, Kijamii kwa Huduma za kijamii.. n.k. Nchi zilizonufaika na msaada wa kijeshi toka Tanzania ni Namibia, Angola, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, R.S.A Rwanda, visiwa vya Comoro n.k. Misaada ya Kijamii Mozambique (Chakula na Madawa), Malawi (Chakula, Madawa, tent, Magodoro, Ujenzi wa miundombinu, Uokozi), Comoro-(Chakula), Sudan Kusini (Chakula), Haiti (Mafunzo ya Madaktari), Sudan (Mafunzo ya Madaktari), Turkey (Fedha USD). Misaada yetu ni utu sio Misaada ya vifungo vya mitego.

  • @kazunguclaver2539
    @kazunguclaver2539 Год назад +3

    Ramadhan Juma Usikose kufika mitaa ya Remera.
    Uone upanuzi wa Uwanja wa Amahoro kwa gharama ya Dola Miliyoni 165.
    Pembeni yake ndio kuna Kigali Arena kwasasa BK Arena.

  • @hurumakaaya1150
    @hurumakaaya1150 Год назад +2

    Umesahau... Bodaboda zote zinafuata sheria zote za barabarani

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig Год назад

    Dah

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 Год назад +2

    Is the beautfull city

  • @RichardJailo-pp7kj
    @RichardJailo-pp7kj Год назад +1

    Mnakaz ya kusifia Kwa wenzenu mala Dubai mala uturki mala South na Sasa Rwanda

  • @peterkanamugire7216
    @peterkanamugire7216 Год назад

    Younger fc fnz❤

  • @laurentwilson-db4ir
    @laurentwilson-db4ir Год назад +2

    🎉🎉🎉 yapi Ayo boss 🎉🎉🎉

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Год назад +3

    Uyo ndio paul kagame mtu wa maendeleo

  • @KhaRadha
    @KhaRadha Год назад +3

    Siku zote kidogo kukimiliki ni rahisi Sana kuliko kikubwa kwa kweli kama wakiamua hivyo hata Zanzibar wakiamua wanaweza ila Tz ni ngumu sana

    • @1nesoch
      @1nesoch Год назад +1

      Yaani, ina maana kwamba Canada ni ndogo, Japan ni ndogo, Marekani ni ndogo, China ni ndogo.... ao sio?

  • @williamtawete4600
    @williamtawete4600 Год назад +4

    Magufuli pekee angeweza kuijenga Tanzania katika kiwango kikubwa kabisa japokuwa da alikuwa kauzu sana😀

  • @philipkomba5525
    @philipkomba5525 Год назад +1

    Kidumu chama cha revolution

  • @ThereseMUKANTABANA
    @ThereseMUKANTABANA Год назад

    Kigari❤❤❤❤❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @michaelboniphace3685
    @michaelboniphace3685 Год назад +1

    Tanzania Nchi yangu ,Kuna kiongozi Mkuu wa chama Flani alisema Kwan Bodaboda akibeba hata abiria watatu shida iko wap

  • @niyonshutiplacide2693
    @niyonshutiplacide2693 Год назад

    Hukundiokwetu bro city safikabisa

  • @NiyomugaboAdrien
    @NiyomugaboAdrien Год назад +1

    Karibu tena rwanda hio ndio RWANDA sisi tunasema ni RWANDA yenye maziwa na hasali tofauti sana na buguluni 🤣🤣🤣

  • @japhetkakwezi9497
    @japhetkakwezi9497 Год назад

    Ila Saivi jamaa anauza Chai sana...Maelezo yanajirudia sana

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Год назад

    Ss tumeshashindikana juu ya uvunjaji sheria.hatuendi sharti kwa viboko

  • @abdulkadirramadhan
    @abdulkadirramadhan Год назад

    nmezipenda hzo road lkn huku kwetu mpk leo wanang'ang'ania mfumo wa road mbili wkt kila sku watu wana nunua magar alafu wew bado unamfumo wa road mbili na parckng humo humo na unategemea folen mjin icwepo

  • @KaluluEnock-k1k
    @KaluluEnock-k1k Год назад

    congrats Rwandese, i don't see dustbin from start to end of the video, where did u put then trash?

  • @SeneniSara-kg6xl
    @SeneniSara-kg6xl 11 месяцев назад

    Usifananishe Tanzania na Ruwanda apo ni mjini nenda vijijini ukapige picha alafuututumie Tanzania tuko juu sana kuliko uko Ruwanda

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Год назад

    Nk vizur sana

  • @kazunguclaver2539
    @kazunguclaver2539 Год назад +8

    Karibu Kigali Rwanda Juma.
    Kumbe wewe sio mwana habari michezo tu unaweza umesaidia watu ambao hawajafika Rwanda.
    Pia nchi nzima ya Rwanda hakuna nyuma iliyoezekwa nyasi, mafuti, udongo!

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад +1

    Tanzania holela hakuna order pembezoni mwa barabara kuna kila aina ya takataka mara kibanda cha mpesa, mahindi ya kuchoma, mama ntilie, ujenzi holela wa fremu yaani fujo

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252

    😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤❤ M13 ulizotaja ni wanyarwanda wote kwa ujumla ila Jiji lenyewe la Kigali si zaidi ya miliyoni 1.5 za wakazi maana Mimi nipo hapa tangu 2006

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr Год назад

    Hongera zao

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Год назад

    Wasafi sana

  • @kazunguclaver2539
    @kazunguclaver2539 Год назад +4

    NYUMBA ZA NYASI MARA YA MWISHO KULIONA RWANDA ILIKUWA 2010.
    SERIKALI YA RWANDA ILITENGA MABILIONI YA PESA KUJENGEA NYUMBA ZA BATI WASIO NA UWEZO KUPITIA KWA WAKUU WA WILAYA.

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 11 месяцев назад

    Nchi ndogo sana na mji wao ni mdogo sana ku control ni rahisi sana

  • @MichaelMgawe-zb6oz
    @MichaelMgawe-zb6oz Год назад

    Wanangu Hamjafika Rusumo Hapo Kuna Jamaa Namdai Falanga Yangu 😀

  • @kazunguclaver2539
    @kazunguclaver2539 Год назад +9

    Baada ya ajali nyingi zilizo ua watu wengi.
    Rwanda hata mikoani kuna Camera nyinyi za kutosha Spidi mwisho ni 80.
    Sio rahisi kuona gari zinasimamishwa na Askari wa barabarani.

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Год назад

    Hii mji, nafananisha na mji wa hapa Mbulu tu! Hahahahaha!! Msitutishie na haka kamji tu!!

  • @williamtawete4600
    @williamtawete4600 Год назад +5

    Nchi hii tunahitaji kina Magufuli tu ndio wenye uwezo wa kunyoosha mji na nchi ikawa inchi kweli

    • @salmanmagwe222
      @salmanmagwe222 Год назад

      Rais magufuli alitujazia Wamachinga kila kona ya mji,na taka kila kona

    • @adamally5908
      @adamally5908 Год назад

      uyo magafuli ndo alikuwa anaharibu miji

    • @jimmyromani1339
      @jimmyromani1339 Год назад

      Labda Tanzania viongozi wabadilike na kujifunza na kuzidisha uzalendo ili nchi ipate maendeleo na miundo mbinu mpya

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Год назад +1

    Daresalaam wakifunga Kamera Trafick watahasi upolisi nakuwa majambazi maana wamezoea rushwa

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад +3

    Nchi ya watu na serikali ya watu wanaojiejielewa.. Kizuri chajiuza, kubaya chajtembeza!

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      Haswaa tz hovyo kweli maovu Tu ndo yanakithiri

    • @oklahommy9838
      @oklahommy9838 Год назад +1

      Wanaoicahafua tz ni watanzania wenyewe hizo sheria za usafi za rwanda zikiletwa tz watu watapiga nduru waseme wanaonewa maana washazoea uchafu kutupa takataka ovyo inshort not responsible citizens

  • @abdoabakar3261
    @abdoabakar3261 Год назад

    👍

  • @ibramayno8447
    @ibramayno8447 Год назад

    Tanzania ni nnchi ya hovyo sana

  • @magrethmmari8713
    @magrethmmari8713 Год назад

    Sijui wangekuwa na bandari ingekuwaje.

  • @RobertAssa
    @RobertAssa Год назад

    Tulifurah sana

  • @mgalatinojengo3663
    @mgalatinojengo3663 Год назад

    Tuonyeshe na Sweka,Cio UBUNGO,POSTA NA MASAKI