Mambo SABA ya kushangaza kuhusu Ikulu ya Marekani (White House)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #BarrackObama #MichelleObama #WhiteHouse #Usa #Ikulu #Marekani #MasanjaMkandamizaji
Kuna mambo ukielezwa hutoamini lakini haimaanishi kutokuamini kwako hayapo. Unajua Ikulu ni kulala tu, gharama nyingine ziko juu yako? Makala hii iliyoandaliwa na Ombeni Utembele na kusomwa kwako na Janeth Mesomapya inakuletea mambo saba ya kushangaza kuhusu White House
Kwa hiyo dada hayo mambo saba ni yepi kwa muhtasari tu!!!!!! Usipewe tu na kusoma jifunze kujisomea na kusoma... 🤗🤗🤗
Dominic Mokiwa jamaa una akili sana hata Mimi nilitaka niulize hivyo hivyo
Akili ipi!? Tatizo mmezoea kutafuniwa kila kitu, ninyi ndo wavivu kufikiri, mambo hayo nikama rais kujilipia umeme,usafiri n.k,,, au ulitaka aseme namba1,2,3...7???
Augustino Mwamasinga kwa hiyo rais kujilipia umeme ni jambo la kushangaza???? 🤣🤣🤣🤣🤣 pale wenye akili mnapoamua kukop kila kitu na kutulazimisha tusio na akili kuamini ni AJABU
Noma sana
Duuh km ndio hivo ctk ata kuenda kutembea white jail
Duh aisee
Hayo mahesabu rafiki yangu
Ninesikia jambo moja tu mambo 7 ni yapi?
Hiyo hesabu NO
Ww mwanamke jipange tena unapoleta habar ufahamu wapo watu wenye uelewa mpana juu ya mambo hayo so jitahid.
Itaendelea Sehemu ya pili Eeeee ?
Mbona hayajafika saba !!!
Ila Stori ni Nzuri hongera
Ikulu ya white house😂🤣😂🤣
Mmmh hujasikiliza vzr mzeee, mesema yaani white house
duuuu ndio saba hayoo🌝🌝🌝
Goten
Dada vp ulikuwa umsoma au? Embu try to be series.
Ila xtorry nzur
Mwalim wako wa hesabu alikwama wap!
mhmmh mbona kawaida sana sijaonaaa maajabu
mbona hakuna maajabu sasa
Dollar💰 bil 2.228 sawa na bil 5.8tsh hahahaha hesabu hizi umejifunzia wapii ndugu mwandishi
Miaka hiyo ilikuwa ni pesa nyingi ndg
Jumaa Mfalme 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jumaa Mfalme itakuwa alikokop walikuwa wameipost kwa kizungu
kawaida mzee bibi kacheze kwenu
We umejua?
Kwani ilikua unasomea kwamutu nyumbani wapi mambo Saba🤐🤐🤐
Hahahahaah kajipange upyaaaa
Sauti ya Janeth mesomapyaaa mekusika mwananguuu
Hakuna maajabu hapo ni vitu kawaida sana tu
Hakuna kitu kama hiko!
elezeeni na ikulu za nchini zenu basi sio za wenzenu tu
The lady is right what are you arguing guys????
kwa hiyo usafili unamaanisha wanaojilipia ni upi hivi kwa msafara wa Rais wa Marekani wa lundo la magari na siyo yake ni magari ya Urais anawezeje kujilipia story yingine ukiambiwa changaya na zako kabla ya kuziweka hewani
ndiyo saba hizo hamko makini
Sio manamba watumwa
Wewe no ukajifunze ukiongea unampangowewe
Zzzzz zz6izgzzzzzzz
Unasoma ovyooo...!!
Fala wewe rud shulee
Hapo ndo walipotupiga gape
dj musati
Yeye kwaza angaline ya kwenu halafu niyo mutizame ya wtu..upumbafu mtupu
Duuuuuuuuuu
Hamna lolote
kumrudisha mpenzo siku alipo baada ya tiba0658535229
toO Tumsifu umrudishe unajua nilikomtoa???
Hakuna cha kushangaza
toO Tumsifu hujielewiiii wew unamrudishaaa wap
White house ya Jefferson???
Adriano Stephenmmmm
@@merymadundo9113 niambie
Ujinga huo hakuna atake subscribe kwa ujinga wenu