Mambo SABA ya kushangaza kuhusu Ikulu ya Marekani (White House)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #BarrackObama #MichelleObama #WhiteHouse #Usa #Ikulu #Marekani #MasanjaMkandamizaji
    Kuna mambo ukielezwa hutoamini lakini haimaanishi kutokuamini kwako hayapo. Unajua Ikulu ni kulala tu, gharama nyingine ziko juu yako? Makala hii iliyoandaliwa na Ombeni Utembele na kusomwa kwako na Janeth Mesomapya inakuletea mambo saba ya kushangaza kuhusu White House

Комментарии • 52

  • @Mokiwa
    @Mokiwa 5 лет назад +8

    Kwa hiyo dada hayo mambo saba ni yepi kwa muhtasari tu!!!!!! Usipewe tu na kusoma jifunze kujisomea na kusoma... 🤗🤗🤗

    • @issasulleman8573
      @issasulleman8573 5 лет назад +1

      Dominic Mokiwa jamaa una akili sana hata Mimi nilitaka niulize hivyo hivyo

    • @augustinomwamasinga2200
      @augustinomwamasinga2200 5 лет назад

      Akili ipi!? Tatizo mmezoea kutafuniwa kila kitu, ninyi ndo wavivu kufikiri, mambo hayo nikama rais kujilipia umeme,usafiri n.k,,, au ulitaka aseme namba1,2,3...7???

    • @Mokiwa
      @Mokiwa 5 лет назад

      Augustino Mwamasinga kwa hiyo rais kujilipia umeme ni jambo la kushangaza???? 🤣🤣🤣🤣🤣 pale wenye akili mnapoamua kukop kila kitu na kutulazimisha tusio na akili kuamini ni AJABU

  • @paulmabiki8719
    @paulmabiki8719 5 лет назад +1

    Noma sana

  • @hbomy974
    @hbomy974 5 лет назад +4

    Duuh km ndio hivo ctk ata kuenda kutembea white jail

  • @justinejoseph1701
    @justinejoseph1701 5 лет назад +1

    Duh aisee

  • @eliamugini8494
    @eliamugini8494 5 лет назад +4

    Hayo mahesabu rafiki yangu

  • @meritinakashaba968
    @meritinakashaba968 5 лет назад +3

    Ninesikia jambo moja tu mambo 7 ni yapi?

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 5 лет назад +5

    Hiyo hesabu NO

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 4 года назад +1

    Ww mwanamke jipange tena unapoleta habar ufahamu wapo watu wenye uelewa mpana juu ya mambo hayo so jitahid.

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 года назад

    Itaendelea Sehemu ya pili Eeeee ?
    Mbona hayajafika saba !!!
    Ila Stori ni Nzuri hongera

  • @jonathandulle628
    @jonathandulle628 5 лет назад +2

    Ikulu ya white house😂🤣😂🤣

  • @nuhuchengelela8207
    @nuhuchengelela8207 5 лет назад +1

    duuuu ndio saba hayoo🌝🌝🌝

  • @goddykessy3217
    @goddykessy3217 4 года назад

    Goten
    Dada vp ulikuwa umsoma au? Embu try to be series.
    Ila xtorry nzur

  • @samoy5481
    @samoy5481 5 лет назад +7

    Mwalim wako wa hesabu alikwama wap!

  • @rodrickmtey4847
    @rodrickmtey4847 5 лет назад

    mhmmh mbona kawaida sana sijaonaaa maajabu

  • @kulwaabdulrahman6196
    @kulwaabdulrahman6196 5 лет назад +1

    mbona hakuna maajabu sasa

  • @jumaamfalme9572
    @jumaamfalme9572 5 лет назад +5

    Dollar💰 bil 2.228 sawa na bil 5.8tsh hahahaha hesabu hizi umejifunzia wapii ndugu mwandishi

    • @josephchakusaga3474
      @josephchakusaga3474 5 лет назад

      Miaka hiyo ilikuwa ni pesa nyingi ndg

    • @Mokiwa
      @Mokiwa 5 лет назад

      Jumaa Mfalme 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Mokiwa
      @Mokiwa 5 лет назад +1

      Jumaa Mfalme itakuwa alikokop walikuwa wameipost kwa kizungu

  • @ckeynnoor2919
    @ckeynnoor2919 5 лет назад

    kawaida mzee bibi kacheze kwenu

  • @stephenndoli3798
    @stephenndoli3798 4 года назад

    We umejua?

  • @bwana_ya_mtu
    @bwana_ya_mtu 4 года назад

    Kwani ilikua unasomea kwamutu nyumbani wapi mambo Saba🤐🤐🤐

  • @nisilesanga3602
    @nisilesanga3602 4 года назад

    Hahahahaah kajipange upyaaaa

  • @kingasfinnest5947
    @kingasfinnest5947 5 лет назад

    Sauti ya Janeth mesomapyaaa mekusika mwananguuu

  • @christianmoto7555
    @christianmoto7555 4 года назад

    Hakuna maajabu hapo ni vitu kawaida sana tu

  • @damianlugendo9161
    @damianlugendo9161 5 лет назад

    Hakuna kitu kama hiko!

  • @jumajonh22
    @jumajonh22 4 года назад

    elezeeni na ikulu za nchini zenu basi sio za wenzenu tu

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 5 лет назад +1

    The lady is right what are you arguing guys????

  • @sharqs_the_cracker7500
    @sharqs_the_cracker7500 5 лет назад

    kwa hiyo usafili unamaanisha wanaojilipia ni upi hivi kwa msafara wa Rais wa Marekani wa lundo la magari na siyo yake ni magari ya Urais anawezeje kujilipia story yingine ukiambiwa changaya na zako kabla ya kuziweka hewani

  • @jihalethegreat8807
    @jihalethegreat8807 4 года назад

    ndiyo saba hizo hamko makini

  • @barnabasmakilika1721
    @barnabasmakilika1721 5 лет назад

    Sio manamba watumwa

  • @salimmahdi1530
    @salimmahdi1530 5 лет назад +1

    Wewe no ukajifunze ukiongea unampangowewe

  • @godfreyms8005
    @godfreyms8005 4 года назад

    Unasoma ovyooo...!!

  • @malaikaalex3600
    @malaikaalex3600 4 года назад

    Fala wewe rud shulee

  • @aladinho1352
    @aladinho1352 5 лет назад

    Hapo ndo walipotupiga gape

  • @shanyangijackson994
    @shanyangijackson994 4 года назад

    dj musati

  • @chidiboy5815
    @chidiboy5815 4 года назад

    Yeye kwaza angaline ya kwenu halafu niyo mutizame ya wtu..upumbafu mtupu

  • @karimjunior9399
    @karimjunior9399 5 лет назад

    Duuuuuuuuuu

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 года назад

    Hamna lolote

  • @tootumsifu6926
    @tootumsifu6926 5 лет назад

    kumrudisha mpenzo siku alipo baada ya tiba0658535229

    • @Mokiwa
      @Mokiwa 5 лет назад +1

      toO Tumsifu umrudishe unajua nilikomtoa???

    • @babaabdul-qadir7409
      @babaabdul-qadir7409 5 лет назад

      Hakuna cha kushangaza

    • @samwelkajuna3342
      @samwelkajuna3342 4 года назад

      toO Tumsifu hujielewiiii wew unamrudishaaa wap

  • @adrianostephen545
    @adrianostephen545 5 лет назад

    White house ya Jefferson???

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 5 лет назад

    Ujinga huo hakuna atake subscribe kwa ujinga wenu