‘Ushamba’ wa Anko Charles wakati akipita barabara ya juu Ubungo
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- “Ninakwambia…sasa sijui usiku itakuwaje…hizi taa si itabidi ziwashwe..!”- Charles Hilary, akiwa mmoja ya watumiaji wa kwanza wa barabara za juu daraja la Ubungo.
#DarajaLaUbungo #UbungoFlyOver #FlyOver #Ubungo #AzamTV #CharlesHilary #MkwangaBwana
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Asante sana Anko Charles kwa kuongesha mambo mazuri hayo
Mungu ambariki ampe Maisha marefu hekima na akili nyingi.Amen
kazi kweli kweli
Eti sina kazi yakufanya nani kasikia hapo😀
Moja moja
Ahahahaaaa safi kabisa
Jembe limefanya Kazi
Hahaha mzee bb anafuraisha
😆😆😆😆😆 na mm nitakuja2
Kweri ushamba mzuri
😂😂😂😂 Sawa mzee baba
Hahahahahahhahaaaaaa kweri raha mzee
Ahahahahahah dah huishiw vtuko mzee
Ya tazara boda boda walipiga round za kutosha
😀😀😀
Anko Charles bhna ha ha ha klla la kheyr gwiji letu fakhri yetu...
😂😂😂😂😂😂
KWA MATUKIO /HABARI ZA MICHEZO .... HISTORIA NA MAISHA YA WACHEZAJI KOTE DUNIANI... FUATILIAruclips.net/video/kM7wkD_eSGs/видео.html
video iliyo vuja muda huu, mambo motooo !
ruclips.net/video/RVeDU5XKy00/видео.html
Kwel n ushamba maana kidaraja tuu hiko je ingekuwa njia ya juu ndefu cjui ingekuwaje
Hivi kwa fikra zako anko charles ni mshamba ile hali wajua amewahi kuishi mpaka uzunguni
Katengeneze nyumbani kwako hiyo unayoona itakuwa ya maana tujifunze kuridhika na tulichopata
Angejenga ndefu Bado ungesema bora ungejenga fupi
@@abubakarayubu8938 shoga ww
Kuna watanzania wana roho ngumu hata hili huungi mkono du Mungu anakuona
Anko Charles bhna ha ha ha klla la kheyr gwiji letu fakhri yetu...