MKUTANO MKUU WA SIMBA 2024: Mzee Dalali aupongeza uongozi Simba SC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • MKUTANO MKUU WA SIMBA 2024: “Wanaendesha mikutano hii kwa mujibu wa katiba” maneno ya Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC, Hassan Dalali akitoa pongezi kwa uongozi uliopo madarakani hivi sasa kwa kuheshimu katiba.
    Ni kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024 wa Simba SC, ambao unafanyika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere.
    #MkutanoMkuuWaMwakaSimba2024 #SimbaSC #MkutanoMkuu #AGM

Комментарии • 2