VIDEO: UKIINGIA DUBAI HIZI NDIZO SEHEMU ZA KUANZA NAZO
HTML-код
- Опубликовано: 30 ноя 2019
- Ayo TV, millardayo.com inakuonesha baadhi ya Vivutio vinavyopatikana Dubai wageni wengi kutoka ulimwenguni hupendelea kutembelea maeneo hayo mara tu wanapoingia kwenye mji wa Dubai.
Natamani sana na Tz tungeanza kuplani mji mmoja wa kisasa da .Wenzetu wamewezaje
Duuuh kuna watu matajiri duniani asee kama watu duniani wanaishi kifahari namna hiyo je pepon tutaishije !!
hhah na kuna watu wana teseka duniani na peponi hawato ingia haha
Mnavyopenda kushabikia vitu vya watu wengine lakini ikija vya kwenu inabakia oh Magu anabana hela. Mnafikiria hivyo ving'amuzi vya Nchi za Watu vilikuja hivi hivi tu. Wenzetu walijibana na walikuwa na mipango thabiti ya kuvikamilisha hivyo mnavyoviona sasa. Hawakuwa na muda wa kuzichezea hovyo hovyo fedha zao kwa mambo ya kipumbavu pumbavu kama kufanya Umalaya ama kukesha kwenye MaBar na kunywa mipombe. Na ndio maana wamefika hapo walipo. Na wala hujawahi kuwasikia waki post mambo ya Nchi kama Tanzania. Wao wamekazana na maendeleo yao. Sasa hilo liwe fundisho kwetu sisi tunaojiita Watanzania. Badala ya kukalia kushabikia vitu vya watu. Tuanze na sisi kuvishabikia vitu vyetu
Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani
Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani
Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani
Sio mti wa mnazi . Unapotangaza kitu lazima uwe na sifa za brdcast, ni mti wa mtende
Maa shaa Allah
Umetumia muda mchache kwenye mambo mengi ilitakiwa uende talatibu sio kwahalaka hio kaka😮😮😮
Ma'shaallh
umesema kweli nashukuru Mungu nimepata boss ananitembeza Dubaï yote nayaona kwa macho Dubaï
Mambo vp
Sio mnazi bna ni mfano wa mtende
hahaha watanzania bwana hadi mwandishi wa habari msanii hahah
Acha mzeee magu awe na hasira tu, ata nasi ndo tunajaribu jaribu lau tufanane nao
Malizia abu Dhabi huko ndo nouma
Dubai is amazing 😍
Yaani ni shida watching from Qatar nawish kuwa hio place yarabi
Tukaze buti huku huku Qatar... Huko tutafika tu 😂
@@mudathirhussein2670 InshaAllah
@@biancaomari6918 Una Miaka mingapi huku??
@@mudathirhussein2670 kwan qatar na dubai wapi pazuri ni nchi gan imeendelea kati ya hizo
Hatuna uwezo wakufika huko lakini sikatii tamaaa iko siku mungu atanipa uwezo wakufika huko
Nashukuru nimepata kuiona hiyo mijengo kwa macho yangu
Mashallah, hongera
Mashallaah kumbe umefika
Me niko dubai mwaka wa pili sehemu niliyofika ni dubai mall tu hizo zingine sijajaliwa kufika natamani sana sema ubize wa kazi inshaallah nitafika kabla sijarudi tz
InshaaAllah
@EXTRA PLUS jafiliya
Inshallah.. Mi natamani sana kufika dubai. Ipo cku inshallah..
Karibuni dubai tuje tupambane
Kwahiyo umeenda Dubai?
Sasa wenze2 ndo wpo dunian,, sisi tukifikia uko tutajua tupo pepon
hahhahahahhahahahahhahahahha
Nchi yoyote inayotumia dhahabu na almasi zao vizuri lazima itaendelea
Dubai ya ki international duniani
Kwa nini usingeanza na uzuri wa Tanzania
Kweli hujakosea hata junzi mm nilikuwa huko kwenye hio mijengo
Sehem zote mm nishaenda izo mbona na kulala hotel zote moll na sehem jengine zote
bas wewe tajiri boss wangu mie hata kenya sjawahi fika
Aya tunaenda
Dulla asante sana kwa ufafanuzi mzuri ila nikuweke sawa tu ni burji khalifa ndio jina sahihi,
Hilo jina la BURJI KHALIFA LIMEKUFA BAADA YA DUBAI KUPATA MTIKISIKO WA KIUCHUMI NA KUSHINDWA KUENDELEA KULIJENGA SHEKH KHALIFA MFALME WA ABUDHABI AMBAE KWA SASA NI MGONJWA AKATOA PESA HILO JENGO LIENDELEE KUJENGWA ZAMANI LILIKUWA LINAITWA BURJ DUBAI
Watu wanakula bata sana
Mtangazaji unakwama anza Na mlima Kilimanjaro
baada ya kuweka maduka ya chimbo we unaeka upuuzi.tuna beach free hapa kwetu.acha upuuzi
Kaka nimekuelewa
Hapa bongo kivutio cha kwanza kipo KIVULE
😂😂😂
Na Oman je tuonyeshe maana mm najua City center tu😆😆😆labda kunasehemu nyingine nipate kwenda
🤣🤣🤣ukimalizia na murtah
@@swaumukareemu9247 😂😂😂😂😂Umeona eee maana ndo sehemu zangu hizo
Oman hawajaruhusu kujenga majengo marefu lakini wapo vizuri kuna mall nyingi kubwa kuna oman mall pia nzuri sana hotel kubwa nyingi nzuri kuna Al mono ni sehemu nzuri sana ina kila kitu
IPO sku Tanzania itakuwa Kama huko mungu ibaliki Tanzania
Mashudu
Aa subutuu
Si kama Dar tu
Tanzania sisi tunajenga sisa za chuki wenzetu wanajenga miji yao
Sio mnazi mtendee
M
Sio suala dogo ujuw
tuliopo PALM jumeira tujuane
@EXTRA PLUS pamoja sana
Mwanaidy Ibrahimu weka namba niutafute from Abu dhabi