VIDEO: UKIINGIA DUBAI HIZI NDIZO SEHEMU ZA KUANZA NAZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 ноя 2019
  • Ayo TV, millardayo.com inakuonesha baadhi ya Vivutio vinavyopatikana Dubai wageni wengi kutoka ulimwenguni hupendelea kutembelea maeneo hayo mara tu wanapoingia kwenye mji wa Dubai.

Комментарии • 75

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine7906 3 года назад +4

    Natamani sana na Tz tungeanza kuplani mji mmoja wa kisasa da .Wenzetu wamewezaje

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 4 года назад +6

    Duuuh kuna watu matajiri duniani asee kama watu duniani wanaishi kifahari namna hiyo je pepon tutaishije !!

    • @valentineevarist5628
      @valentineevarist5628 4 года назад

      hhah na kuna watu wana teseka duniani na peponi hawato ingia haha

  • @theodoremilenzo9420
    @theodoremilenzo9420 4 года назад +5

    Mnavyopenda kushabikia vitu vya watu wengine lakini ikija vya kwenu inabakia oh Magu anabana hela. Mnafikiria hivyo ving'amuzi vya Nchi za Watu vilikuja hivi hivi tu. Wenzetu walijibana na walikuwa na mipango thabiti ya kuvikamilisha hivyo mnavyoviona sasa. Hawakuwa na muda wa kuzichezea hovyo hovyo fedha zao kwa mambo ya kipumbavu pumbavu kama kufanya Umalaya ama kukesha kwenye MaBar na kunywa mipombe. Na ndio maana wamefika hapo walipo. Na wala hujawahi kuwasikia waki post mambo ya Nchi kama Tanzania. Wao wamekazana na maendeleo yao. Sasa hilo liwe fundisho kwetu sisi tunaojiita Watanzania. Badala ya kukalia kushabikia vitu vya watu. Tuanze na sisi kuvishabikia vitu vyetu

    • @henrysobrill386
      @henrysobrill386 4 года назад

      Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani

    • @henrysobrill386
      @henrysobrill386 4 года назад

      Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani

    • @henrysobrill386
      @henrysobrill386 4 года назад

      Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani

  • @ahmedelalawi6143
    @ahmedelalawi6143 4 года назад +3

    Sio mti wa mnazi . Unapotangaza kitu lazima uwe na sifa za brdcast, ni mti wa mtende

  • @omarshaaban1387
    @omarshaaban1387 4 года назад +2

    Maa shaa Allah

  • @user-fx5gu6xs5o
    @user-fx5gu6xs5o 10 месяцев назад

    Umetumia muda mchache kwenye mambo mengi ilitakiwa uende talatibu sio kwahalaka hio kaka😮😮😮

  • @nahianahia2635
    @nahianahia2635 4 года назад +1

    Ma'shaallh

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd7466 4 года назад +1

    umesema kweli nashukuru Mungu nimepata boss ananitembeza Dubaï yote nayaona kwa macho Dubaï

  • @imkitailend9843
    @imkitailend9843 4 года назад +3

    Sio mnazi bna ni mfano wa mtende

    • @valentineevarist5628
      @valentineevarist5628 4 года назад

      hahaha watanzania bwana hadi mwandishi wa habari msanii hahah

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 4 года назад +1

    Acha mzeee magu awe na hasira tu, ata nasi ndo tunajaribu jaribu lau tufanane nao

  • @adamismailly1784
    @adamismailly1784 4 года назад +3

    Malizia abu Dhabi huko ndo nouma

  • @lilymammpayo8299
    @lilymammpayo8299 2 года назад

    Dubai is amazing 😍

  • @biancaomari6918
    @biancaomari6918 4 года назад +1

    Yaani ni shida watching from Qatar nawish kuwa hio place yarabi

    • @mudathirhussein2670
      @mudathirhussein2670 4 года назад

      Tukaze buti huku huku Qatar... Huko tutafika tu 😂

    • @biancaomari6918
      @biancaomari6918 4 года назад +1

      @@mudathirhussein2670 InshaAllah

    • @mudathirhussein2670
      @mudathirhussein2670 4 года назад

      @@biancaomari6918 Una Miaka mingapi huku??

    • @omarymahege4793
      @omarymahege4793 3 года назад

      @@mudathirhussein2670 kwan qatar na dubai wapi pazuri ni nchi gan imeendelea kati ya hizo

  • @hemedyyusuf4973
    @hemedyyusuf4973 3 года назад

    Hatuna uwezo wakufika huko lakini sikatii tamaaa iko siku mungu atanipa uwezo wakufika huko

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 года назад +1

    Nashukuru nimepata kuiona hiyo mijengo kwa macho yangu

  • @asiajuma8330
    @asiajuma8330 4 года назад

    Me niko dubai mwaka wa pili sehemu niliyofika ni dubai mall tu hizo zingine sijajaliwa kufika natamani sana sema ubize wa kazi inshaallah nitafika kabla sijarudi tz

  • @user-sw6wu7rp6h
    @user-sw6wu7rp6h Год назад

    Karibuni dubai tuje tupambane

  • @tinamwasekaga9571
    @tinamwasekaga9571 Год назад

    Kwahiyo umeenda Dubai?

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 4 года назад +3

    Sasa wenze2 ndo wpo dunian,, sisi tukifikia uko tutajua tupo pepon

  • @anitasamson7850
    @anitasamson7850 2 года назад

    Nchi yoyote inayotumia dhahabu na almasi zao vizuri lazima itaendelea

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 4 года назад

    Dubai ya ki international duniani

  • @johnbahame4794
    @johnbahame4794 4 года назад

    Kwa nini usingeanza na uzuri wa Tanzania

  • @nurudovino288
    @nurudovino288 4 года назад

    Kweli hujakosea hata junzi mm nilikuwa huko kwenye hio mijengo

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 4 года назад +1

    Sehem zote mm nishaenda izo mbona na kulala hotel zote moll na sehem jengine zote

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 года назад

    Aya tunaenda

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 4 года назад +2

    Dulla asante sana kwa ufafanuzi mzuri ila nikuweke sawa tu ni burji khalifa ndio jina sahihi,

    • @manyotaskipper5765
      @manyotaskipper5765 4 года назад

      Hilo jina la BURJI KHALIFA LIMEKUFA BAADA YA DUBAI KUPATA MTIKISIKO WA KIUCHUMI NA KUSHINDWA KUENDELEA KULIJENGA SHEKH KHALIFA MFALME WA ABUDHABI AMBAE KWA SASA NI MGONJWA AKATOA PESA HILO JENGO LIENDELEE KUJENGWA ZAMANI LILIKUWA LINAITWA BURJ DUBAI

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад

    Watu wanakula bata sana

  • @janethmakyao8168
    @janethmakyao8168 4 года назад

    Mtangazaji unakwama anza Na mlima Kilimanjaro

  • @ali_ford
    @ali_ford Год назад

    baada ya kuweka maduka ya chimbo we unaeka upuuzi.tuna beach free hapa kwetu.acha upuuzi

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 4 года назад

    Kaka nimekuelewa

  • @ahmedmwembo99
    @ahmedmwembo99 4 года назад

    Hapa bongo kivutio cha kwanza kipo KIVULE

  • @niaanthony9588
    @niaanthony9588 4 года назад

    Na Oman je tuonyeshe maana mm najua City center tu😆😆😆labda kunasehemu nyingine nipate kwenda

    • @swaumukareemu9247
      @swaumukareemu9247 4 года назад

      🤣🤣🤣ukimalizia na murtah

    • @niaanthony9588
      @niaanthony9588 4 года назад

      @@swaumukareemu9247 😂😂😂😂😂Umeona eee maana ndo sehemu zangu hizo

    • @marryngaa3195
      @marryngaa3195 Год назад

      Oman hawajaruhusu kujenga majengo marefu lakini wapo vizuri kuna mall nyingi kubwa kuna oman mall pia nzuri sana hotel kubwa nyingi nzuri kuna Al mono ni sehemu nzuri sana ina kila kitu

  • @omaniallybakari2372
    @omaniallybakari2372 4 года назад

    IPO sku Tanzania itakuwa Kama huko mungu ibaliki Tanzania

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 4 года назад

    Si kama Dar tu

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 4 года назад

    Tanzania sisi tunajenga sisa za chuki wenzetu wanajenga miji yao

  • @yasertaleb4162
    @yasertaleb4162 4 года назад +1

    Sio mnazi mtendee

  • @mwanaidizumo6364
    @mwanaidizumo6364 3 года назад

    M

  • @moussababanla399
    @moussababanla399 4 года назад

    Sio suala dogo ujuw

  • @mwanaidyibrahimu3207
    @mwanaidyibrahimu3207 4 года назад

    tuliopo PALM jumeira tujuane