EXCLUSIVE: SAIDI AKIELEZA MAISHA NA CHANGAMOTO ZA KAZI NA MIKATABA DUBAI.....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Exclusive interview na saidi akieleza maisha na changamoto za kazi za dubai,, saidi ni mzoefu na amewapa ushauri wanaokuja kutafuta kazi/maisha Dubai..

Комментарии • 25

  • @user-ey4tb1sq7p
    @user-ey4tb1sq7p 3 месяца назад

    Asante

  • @SleepyBoardGame-gf6gm
    @SleepyBoardGame-gf6gm 4 месяца назад

    Kazkaz dadaake,naona leo umetuletea bwana said saf sana naendelea kuinjoi kaz zako

  • @user-eg2zt4di2p
    @user-eg2zt4di2p Месяц назад

    Mi nipo fujairah msahada jamani natafuta kazi ya cleaner au jikoni

  • @user-fm4tc6eh8g
    @user-fm4tc6eh8g 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @user-ex4rk2yx4s
    @user-ex4rk2yx4s 4 месяца назад

    Mm ninakijana wangu amekuja dubai na kampuni ila kampuni haikua ikilipa ilimbid aache kazi yuko kwa rafik yako bado anatafuta kazi je mtanisaidia vip ili apate kazi

  • @user-jb6wk5od6j
    @user-jb6wk5od6j 4 месяца назад +1

    Salamu dada kijana wangu ako huko Dubai kampuni alifanyia kazi haikuwapea visa unaeze mwelekeza kupata kazi huko Bado ako huko bed space,Asante dada

    • @OfficialMinasvlog-xz7en
      @OfficialMinasvlog-xz7en  4 месяца назад

      Nikiskia inshallah

    • @maryamnjagila3896
      @maryamnjagila3896 4 месяца назад +1

      @user-jb6wk5od6j habari yako mdogoako anatakiwa achangamke hakuna atakaye mtafutia kazi asilale akatulia bedspace anatakiwa atamak daily tena adrop Cv. Sana sana cv awe anapeleka main offices, madukan waphilipino wengi hutia kwenye dusturbin

    • @OfficialMinasvlog-xz7en
      @OfficialMinasvlog-xz7en  4 месяца назад

      Yeah umemsaidia sana shukran

  • @user-gl8ij6mn6e
    @user-gl8ij6mn6e 4 месяца назад

    Huo mkataba au offer letter unapewa kurudi nao nyumbani au unapewa palepale uusome kwa muda wa kutosha???ili apate nafasi ya kusoma na kujua yote hayo???

    • @OfficialMinasvlog-xz7en
      @OfficialMinasvlog-xz7en  4 месяца назад

      Sasa apo ni wewe na mwajiri wako mtakavyopatana dear lkn muhimu kusoma tu

  • @OmariKuhanga
    @OmariKuhanga 4 месяца назад

    Mm nikinyozi nitafutie kazi

  • @HUSTLE_GANG_255
    @HUSTLE_GANG_255 4 месяца назад +1

    Sema me naona kilamtu na bahati yake jamn au

  • @AbdifatahAlew-gd7zr
    @AbdifatahAlew-gd7zr 4 месяца назад +1

    Dada nikumbuke

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z 4 месяца назад

    Poa bhna

  • @user-yc4cb4rz6c
    @user-yc4cb4rz6c 4 месяца назад +1

    KWANI YEYE SAID ANA FANYA KAZI GANI HUKO MBONA ANA TUTISHA?

    • @OfficialMinasvlog-xz7en
      @OfficialMinasvlog-xz7en  4 месяца назад

      Ajawatisha ila ametoa ushauri kwa anavyoona yeye,, kwaiyo akili kichwani kwako ukipambana kila kitu kinawezekana

    • @alimuhamed1830
      @alimuhamed1830 4 месяца назад

      Hakutishi bro kazungumza ukweli mtupu mmi sijadka dudbai ila nafahm kiasi tu kwasababu kunamdogo wangu anamiaka miwili ila ashapitia izochangamoto kubwa kuliko aliozungumzia huyojamaa

    • @fortunatah
      @fortunatah 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂🙌🙌

  • @Salehabdallah881
    @Salehabdallah881 4 месяца назад

    Dada soon nakuja ila mi sifahamu chochote uko inakuaje.