USIJE DUBAI NA VISA YA MWEZI MMOJA NA USIKUBALI AGENT AKUKATIE VISA YA MWEZI MMOJA.....
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Usije dubai na visa ya mwezi mmoja na usikubali agent akukatie visa ya mwezi mmoja, ukija na visa ya mwezi mmoja ni hatari katika kutafuta kazi..
JAMANI ANAENIITAJI ANIFUATE INSTAGRAM APA SIWEZI KUWEKA NAMBA ZANGU, instagram.com/minas_bussnessstore?igsh=OGQ5ZDc2ODk2ZA==
Kweli nakupenda sana 💖
Nakubal umetsha xan
Captain ✌️✌️✌️
Ushauri mzuri sana
Allha akulip kwa nia yak tunapat maarifa
Aamina yarabi 🙏
Asante my best kwa kutujuza❤ I love you
✌️✌️
Asante sana dada
Ooh kazi za Ujenzi zinapatikana dada naona hizi hazimzungumziw sana
Jitaidi kufuatilia video tu zipo lkn pia mimi sizungumzii sana kazi
Ahsante bibie kwa kuendelea kutujuza
Karibu
Dada naomba namna ya kukupata mimi tayari nina passport na pesa mkononi ila nahitaji direction zaidi tafadhali....
Amina kunja Facebook au Instagram
Minq naomba mawasiliana yako, nataka unipe direction nataka kuja kutfuta nipo full kwa yote uliyoelekeza.
Facebook Amina kunja
Nipe number zak nkusaidie
Au uta ntafut FB jina mamyc
Unisaidie nini?? Nitafute wewe Instagram Mina's _bussnessstore
Dada mbona nakutafuta xana inta haifunguki fb sikuoni naitaji mawasiliano yako
Amina kunja
Facebook Amina kunja
Ntafute FB mamyc nikusaidie
Una Grou La WhatsApp
Hapana vipi mnataka group?
Ndio Hi ita kusaidia wewe na Sisi pia mana itakuwa kwaza inafahamisha video zako kwa watazamaji na hapo utapata Views na Subscribe wengi kupitia Group
Oky nitalifanyia kazi
Tunaomba WhatsApp Group dada