Tazama Watu Wanauza Nyanya Barabarani Huku Marekani | Kazi Ni Kazi Huku Yues

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Nilitembelea mtaa unaitwa "Chinatown' uliopo Los Angeles, California huku USA. Unaweza kujionea shughuli mbalimbali zilizokua zikiendelea maeneo hayo.
    Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Thank you for watching. Nakupenda sana!
    My previous video;
    • Hii ni 'TOUR' ya Venic...
    🔸FOLLOW ME ON;
    INSTAGRAM: / jacchalz
    #hukuyues #losangeles #mtaani

Комментарии • 218

  • @jackwausa
    @jackwausa  Год назад +1

    Please SUPPORT me by joining here;
    patreon.com/JackWaUSA

  • @EmanuelMayombo1982
    @EmanuelMayombo1982 2 месяца назад +1

    Kazi poa sana safi ndugu Songa mbele

  • @vestinedusabe4285
    @vestinedusabe4285 Год назад +3

    Wekaka huwezi ukajua navyokupenda yaani umenisaidia kwavitu nilivyokua nafikilia kumbe so kweli love you from 🇷🇼🇹🇿

  • @victorjoseph3128
    @victorjoseph3128 Год назад +8

    Nachopenda kwako una muda wakupoteza unaenda moja kwamoja kwenye tukio sio kama wale wanotuibia mb zetu story nying alafu mwisho inakua tofauti na kichwa cha abari , ongera sana

  • @upendolema3323
    @upendolema3323 Год назад +1

    Asante kutujuza,nimeipenda sana hii❤️🥰😘from🇧🇼

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA Год назад +3

    Mashallah 🥰 nimependa kipindi chako kaka yangu....Nami niwe Tu shahidi jamani🌝miaka ya nyuma nilikuwa na fikra kwamba ughaibuni watu hawana shida,hakuna maskeen,wala hawali njaa.Mmh! Si ndio mungu akanifungulia rizki bhana alhamdulillah 🙏🏻 Niko Oman sasaa miaka minne mmh jamani 😔 kuna waokota makopo,kuna omba omba tena wanapita kila nyumba kuomba,hawa maboss wangu wenyewe ushwara Tu yaani Mimi ndio nimekuja kutafuta eti wananikopa🤭mmh! Jamani 😔 maisha ya nje ya kawaida saana jamani hata awe boss veep dukani anakopaaa na kwenye daftari anaandikwa eeh nimeshangaa Hadi wauza nyanyaa km haoo huku Oman wapo

  • @rosemarykuhanwa9861
    @rosemarykuhanwa9861 Год назад +1

    Asante kaka kutuelimisha tumekusoma maisha kupambana tu 👍

  • @hussainsikander9357
    @hussainsikander9357 Год назад +1

    Asante kwa video yako ni nzuri sana

  • @Amobizzy_OG
    @Amobizzy_OG Год назад +6

    DUUH....china street HUU MTAA UPO kwenye (GTA LIBERTY CITY) .upo hivyo hivyooo
    Machizi game tujuane jmn km tumeukumbuka🤣🤣🤣

    • @daisythetech
      @daisythetech Год назад

      Kabisa Mzee...alafu mwamba anaingia ndan kuchukua mission

  • @athmansadiki6341
    @athmansadiki6341 Год назад +2

    Bro umetisha sana nimekubali video zako safi sana tunajifunza kuona American kupitia wewe brother uko juu bro nimefurahia

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Год назад +1

    Wooow mashallah tabarakallah shukran kwa kukujuza maisha ya huko

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Год назад

      Sema kutujuza na sio kukujuza unamaansha ww ndo unampa habar sasa

  • @rashidialiuwali939
    @rashidialiuwali939 Год назад +25

    nimekukubali Sana wewe Hua unasema ukweli katika wote wafanya video America watanzania wewe ni mkweli kudang'anya watu sio vizuri

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад +8

      Nimefurahi kama umependa hizo video. Nitaendelea kuwaonesha ukweli wa mambo yanayoendelea huku katika mitaa mbali mbali!

    • @berthatz
      @berthatz Год назад

      @@monicahovda5890punguza makasiriko dada

    • @estherwanjiku927
      @estherwanjiku927 Год назад +1

      @@jackwausa Jack ni ukweli ati USA kuna kazi mingi ati unafanya kazi per 2hrs unalipwa $500....tujue ukweli before tukuje huko tujipange mapema ndie Best.

    • @josephsteven3928
      @josephsteven3928 Год назад

      Kweli kbs jamaa anasema ukwel sana

  • @rehemamwandemani5182
    @rehemamwandemani5182 Год назад +5

    Bora umefungua macho vijana wenzio wenye mtazamo hasi kwa nchi zilizoendelea, big up dogo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Very educative!! We really appreciate it!!

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Год назад +5

    Shukran sana kwa hizi video, zako. Sasa bas weee ulifanyaje ukaingi Marekani na unaishi vizuri? Tafadhali nKuomba jibu

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 Год назад

      Ningependa kujua pia uliendaje endaje Marekani @Jack

  • @bahatiserafini9790
    @bahatiserafini9790 Год назад +1

    Yaan jak nakukubali sana kak yaan mwaaaaaaaaaa

  • @khloecherry7579
    @khloecherry7579 6 месяцев назад

    Nakubal mwane2 unatuwakilixha

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Год назад +3

    Isitufanye kubweteka kwa kuseama " aaaah kumbe hata Marekani wamechoka" 🤔😁😁😁

  • @davidgibsonadhero275
    @davidgibsonadhero275 Год назад +1

    @jackwausa tuleleke kwenye magali ya tesla tuone bei zake huko!!

  • @SaideAbdala-it8qq
    @SaideAbdala-it8qq Год назад +1

    Duuuuh hiyo kali

  • @fatmasaid4381
    @fatmasaid4381 Год назад +2

    Watching from kenya ..nice content ndugu

  • @justinemasweta2877
    @justinemasweta2877 Год назад +1

    unanifurahisha unavouliza bei kama mteja vile af unasema ok nice hahah

  • @chachamakenge8367
    @chachamakenge8367 Год назад

    Hongera kwa kazi nzuri.

  • @tetzoul4942
    @tetzoul4942 Год назад +4

    content safi kaka lets go road to 1k subs

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Thanks, I'm glad that you like it!!

    • @tetzoul4942
      @tetzoul4942 Месяц назад

      @@jackwausaJust came across this video after a year & look what happened, just found we on 50k plus subscribers, congratulations G 👏🏾

  • @jackwausa
    @jackwausa  Год назад +8

    Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
    youtube.com/@Jackchalz

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 Год назад

      Jaq naomba tuwasiliane nikija Huko nipokee mwamba Mimi Ni Msukuma wa Mwanza broo

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 Год назад

      Jaq naomba tuwasiliane Basi nikija huko nipokee mwamba Mimi Niko Mwanza broo

    • @stanslausmushi9919
      @stanslausmushi9919 Год назад

      Nishaanza kuielewa USA kabla hata sijafika

    • @yunusjohnson4170
      @yunusjohnson4170 Год назад

      Nawea pata adress na contract zako charlz manake i hope kupitia wewe very soon ntkuwa huko usa

    • @calvinsosthenes6133
      @calvinsosthenes6133 Год назад

      Safi Sana good job Bro

  • @kingwilliam1807
    @kingwilliam1807 Год назад +1

    Nilisha fika hapo aisee,one love

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +2

    Duh kumbe adi uko Kuna soko mjinga vitu vya mafungu kama vyote 😂😂😂🙌🏻

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 Год назад +1

      Hakuna mahali kusipokuwa na wakulima wanaouza vitu vyao vidogo vidogo jamani

  • @ramadhanjuma2909
    @ramadhanjuma2909 Год назад +1

    Bro nakukubali Sana Sasa naanza kufanya promo na kuwaambia watu waingie you tube waone america live bro unayusaidia kujua vitu ambavyo tulikuwa tumedanganywa

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa Год назад

    Asante saa mwana

  • @WaluyaDar
    @WaluyaDar Год назад +4

    Habari yangu ni nzuri, kweli Marekani kuna watu wanauza nyanya barabarari kama Kariakoo, Dar es Salaam?

  • @ramadhankisila452
    @ramadhankisila452 Год назад +5

    Nmependa saana idea yako bro huwa tunaaminishwa USA ni half paradise

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад +2

      Yea, kuna mengi sana ambayo watu hawajui kuhusu marekani. I hope video zangu zitasaidia kuonesha uhalisia wa mambo!

  • @galatiaastonimparazo1255
    @galatiaastonimparazo1255 Год назад +1

    Safi sana bloo

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz Год назад

    Uko sawa bro

  • @ngusekisu6746
    @ngusekisu6746 Год назад +1

    Uko vizuri sana kijana sasa wewe unafanya kazi gani na saangapi

    • @mhchannel1317
      @mhchannel1317 Год назад +2

      Mwenzako hapo anapiga kazi, maake tunapoview video zake zinakuwa zimeambatana na matangazo ko ana earn kupitia matangazo yanayoplay ktk video zake.

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 Год назад

    Ningependa kujua uliendaje endaje Marekani @Jack

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 Год назад

    Safi.babu.tumesoma.somo.moja.zuri.sana.maisha.ni.kupambana

  • @mdmahammad3278
    @mdmahammad3278 Год назад +1

    Uko safi sana kaka kutufu.bua macho

  • @justinemasweta2877
    @justinemasweta2877 Год назад +1

    jack hapa bongo ww n wawap bro

  • @zainakapenda2486
    @zainakapenda2486 Год назад

    Sawa best nakupenda

  • @vitymteysemere4777
    @vitymteysemere4777 Год назад +1

    Asante sana kaka

  • @cecilykimani4400
    @cecilykimani4400 Год назад +1

    Asante bro kwakutujuza hiyo ni china kweli

  • @paulshilangi
    @paulshilangi Год назад +1

    Hatari sana

  • @petronjowela6670
    @petronjowela6670 Год назад +2

    Pamoja BAHARIA Endelea kutuonesha mitaa

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад +1

    kazi nzuri kaka yangu

  • @hildapaul5422
    @hildapaul5422 Год назад

    Hizo rangi kichwani sijaipenda

  • @juliasedward9884
    @juliasedward9884 Год назад +1

    Nakubali mtu kazi saluti

  • @prdicksongryson1650
    @prdicksongryson1650 Год назад +1

    Hapo sawa kamanda nimekubali

  • @eliyakitundu5267
    @eliyakitundu5267 Год назад +2

    Aisee hapo Chaina napapata vizur mno nilikujaga na Don yen wakati anaigiza muvi ya Ip man 4 waliigizia hapo kipande Tukiwa wote, maana Mimi napenda mambo ya kungfu The wing Chun

  • @akimjuma2026
    @akimjuma2026 Год назад +4

    Umetisha bro hakika unatueleza ukweli ambao tulikuwa atuujui endlea hivo hivo kaka napenda video zako sana 🙏🙏

  • @NASSORMUYUGUMBI
    @NASSORMUYUGUMBI 4 месяца назад

    Safi

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +1

    Km kariakoo ya bongo🤣🤣🥰

  • @elibarickmanonga7229
    @elibarickmanonga7229 Год назад +1

    Big progress Man 💪

  • @mosesmofficial
    @mosesmofficial Год назад +2

    Thanks for sharing this video.

  • @adijashaban4793
    @adijashaban4793 Год назад +2

    Yeah ManshaAllah Ata na uku South Africa ipo China Town

  • @AlfredLusimba
    @AlfredLusimba Год назад

    From Kenya

  • @annnjoroge4158
    @annnjoroge4158 Год назад +1

    Very true

  • @rizikiramadhani7986
    @rizikiramadhani7986 Год назад

    SAFI SANA ILA MBONA WATU SIO WENGI KAMA BONGO SHIDA NINI?

  • @hamisiramadhan7722
    @hamisiramadhan7722 Год назад

    Uko vizuri blood

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Год назад

    Pole na kazi

  • @sukisa1234
    @sukisa1234 Год назад +2

    Hapo Sawa tunataka Kiswahili Safi Sana endelea kututoa matongotongo maana wabongo tunapenda kusifia miji ya watu mbona kwetu kuzur zaidi ya huko

    • @charlesmtesigwa2923
      @charlesmtesigwa2923 Год назад +1

      Mji gani hapa Tanzania mzuri kuliko LA bro

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 Год назад +1

      Acha uongo ndugu sehemu gani Tanzania ni nzuri kuliko USA

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад

    Napenda jinsi unatupa ukweli kwa kilakitu✌✌

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Год назад +1

    Mwanangu unaakili sana

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад +4

    Mtoto wangu alikuwa na kiranga cha Kwenda.nchi za ulaya. Tangu afatilie video.zako hataki tena kwenda nchi yoyote zaidi ya kukaa.nchini mwake

  • @neemamarko176
    @neemamarko176 Год назад +1

    Bora uonyeshe uhalisia ili watu wapende cha kwao kwanza, Ubarikiwe kuna watu watatengeneza marekani yao kwenye inchi zao na sio kupenda vya watu ingawa sio dhambi ili isiwe ndio kuona wao ndio Kila kitu Kila kitu kinaanzia kwako 🙏

  • @mkwalumonabinmkwalumona3822
    @mkwalumonabinmkwalumona3822 Год назад +1

    Duhh mpaka ndizi mshale!!

  • @alicias2487
    @alicias2487 Год назад +1

    Twashukuru sana bro

  • @musaguga
    @musaguga Год назад +1

    Huku yues, Ibrahim onami, nipo huku kwa mwamba Jack, acha nisapoti mbongo mwenzangu

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Год назад

    jack unanifurahisha sana

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Год назад

    Nakubal ndugu yangu

  • @arafahassan9350
    @arafahassan9350 Год назад +2

    Camera yko nzuri

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo7150 Год назад +1

    Bigup kamazote mzee tupe ukwelibana wa USA maana kudanganywa nikwingi.

  • @t.y593
    @t.y593 Год назад +1

    First time watching ur content...lit bro, imebidi nisubscribe💥

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Welcome aboard! 🙏🏾

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Год назад

    kazi nzuri

  • @helenhenerick
    @helenhenerick Год назад +1

    Safi sana😍

  • @rozanyansambo8856
    @rozanyansambo8856 Год назад

    Safi sn kaka aisee tukisikia stori za huko watu waitukana nchi Yako kumbe Bora nilizaliwa Tanzania

  • @MsafiriMatumla-ik1dt
    @MsafiriMatumla-ik1dt Год назад +1

    Jamii zote duniani zina watu wake u.s.A

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Год назад +3

    Sasa uko umefika mitaa ya manzese 🤣🇹🇿🇬🇷

  • @JIWEtv6484
    @JIWEtv6484 Год назад

    Kwetu huku watu wakiuzia barabarani, viongozi wanasema wanachafua miji, wazungu watakuta pachafu wakati kwa wazungu huko huko wanauzia barabarani, Yani wazungu wenyewe wakija kwetu wanaona sisi ni wazembe sana coz tunaacha nafasi zabure kabisa ambazo mfanya biashara mdogo mdogo anaweza kufanya biashara yake na kupata kipato.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +1

    Huko kuna kusajili laini kama huku bro?

  • @felixleon1535
    @felixleon1535 Год назад

    Mamboz vp mze. Naomba video na intervie ya (Hood) BLACK COMMUNITY mze

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Год назад +1

    One love

  • @chachamakenge8367
    @chachamakenge8367 Год назад

    Ningependa ufike ubarozi wetu wa Tanzania utuonyeshe wanavyo hudumia watu.

  • @glorychrizostom3611
    @glorychrizostom3611 Год назад

    Dah! kweli nmeamini hata marekan hawajajitosheleza kwa kila kitu, had kuuza nyanya barabaran!!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    ✌👊

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Год назад +1

    Wewe ni mkali kaka kumbe hata marekan kumbe wamachinga kama kawaida dah! Usilolijua ni sawa na giza

  • @omamomanhelena9433
    @omamomanhelena9433 Год назад +1

    Sawa tuzungushe

  • @josiahonesmo800
    @josiahonesmo800 2 дня назад

    Jack mhola ndugu wane

  • @bonphacearon2428
    @bonphacearon2428 Год назад +1

    Saf san bro mi nmekubali sn coz vjana weng wanataman kwenda nchi za watu halaf hawajui wanakwenda kufany nn

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa Год назад

    Namba yako mwna

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Год назад +1

    Good work bro Jack

  • @bakarikitatile4853
    @bakarikitatile4853 Год назад

    Nimekuelewa broo endelea kitupa elimu kuhusu marekani

  • @chairman76
    @chairman76 Год назад +1

    Tembea sehemu za Compton, Watts na South Central LA.

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Год назад +1

    tofauti ya wamachinga wa marekani na wabongo wakwetu wanaishi kama wako Afghanistan mguu nje mguu ndani mda wowote kinanuka mixer kupigwa sanaa🤣😂🤣😂🤣

  • @mlionea
    @mlionea Год назад

    Video ikiazia kuna pull trolley inavutwa na machina. Ebu tuoneshe more about it ?

  • @praisemodern1514
    @praisemodern1514 Год назад +1

    Unatufungua wakaaa vijijin

  • @gannzy-tvoline9277
    @gannzy-tvoline9277 Год назад +1

    Ninavyoona zile nguo za dada zetu zilzoandikwa CHINA TOWN najuaga ni MJINI CHINA huko huko

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Afadhali .Fungua macho ya wa Tz

  • @CarvinMichael
    @CarvinMichael 11 месяцев назад +1

    Nouma sana

  • @lillianachieng8968
    @lillianachieng8968 Год назад

    Good work. Broo

  • @yohanslulley1264
    @yohanslulley1264 Год назад

    Ivi kaka hakuna Tanzanians town huko?