Tazama Watu Wanauza Nyanya Barabarani Huku Marekani | Kazi Ni Kazi Huku Yues
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Nilitembelea mtaa unaitwa "Chinatown' uliopo Los Angeles, California huku USA. Unaweza kujionea shughuli mbalimbali zilizokua zikiendelea maeneo hayo.
Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Thank you for watching. Nakupenda sana!
My previous video;
• Hii ni 'TOUR' ya Venic...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
#hukuyues #losangeles #mtaani
Please SUPPORT me by joining here;
patreon.com/JackWaUSA
Kazi poa sana safi ndugu Songa mbele
Wekaka huwezi ukajua navyokupenda yaani umenisaidia kwavitu nilivyokua nafikilia kumbe so kweli love you from 🇷🇼🇹🇿
Nakupenda pia!!
Nachopenda kwako una muda wakupoteza unaenda moja kwamoja kwenye tukio sio kama wale wanotuibia mb zetu story nying alafu mwisho inakua tofauti na kichwa cha abari , ongera sana
Asante kutujuza,nimeipenda sana hii❤️🥰😘from🇧🇼
Mashallah 🥰 nimependa kipindi chako kaka yangu....Nami niwe Tu shahidi jamani🌝miaka ya nyuma nilikuwa na fikra kwamba ughaibuni watu hawana shida,hakuna maskeen,wala hawali njaa.Mmh! Si ndio mungu akanifungulia rizki bhana alhamdulillah 🙏🏻 Niko Oman sasaa miaka minne mmh jamani 😔 kuna waokota makopo,kuna omba omba tena wanapita kila nyumba kuomba,hawa maboss wangu wenyewe ushwara Tu yaani Mimi ndio nimekuja kutafuta eti wananikopa🤭mmh! Jamani 😔 maisha ya nje ya kawaida saana jamani hata awe boss veep dukani anakopaaa na kwenye daftari anaandikwa eeh nimeshangaa Hadi wauza nyanyaa km haoo huku Oman wapo
Asante kaka kutuelimisha tumekusoma maisha kupambana tu 👍
Asante kwa video yako ni nzuri sana
DUUH....china street HUU MTAA UPO kwenye (GTA LIBERTY CITY) .upo hivyo hivyooo
Machizi game tujuane jmn km tumeukumbuka🤣🤣🤣
Kabisa Mzee...alafu mwamba anaingia ndan kuchukua mission
Bro umetisha sana nimekubali video zako safi sana tunajifunza kuona American kupitia wewe brother uko juu bro nimefurahia
Wooow mashallah tabarakallah shukran kwa kukujuza maisha ya huko
Sema kutujuza na sio kukujuza unamaansha ww ndo unampa habar sasa
nimekukubali Sana wewe Hua unasema ukweli katika wote wafanya video America watanzania wewe ni mkweli kudang'anya watu sio vizuri
Nimefurahi kama umependa hizo video. Nitaendelea kuwaonesha ukweli wa mambo yanayoendelea huku katika mitaa mbali mbali!
@@monicahovda5890punguza makasiriko dada
@@jackwausa Jack ni ukweli ati USA kuna kazi mingi ati unafanya kazi per 2hrs unalipwa $500....tujue ukweli before tukuje huko tujipange mapema ndie Best.
Kweli kbs jamaa anasema ukwel sana
Bora umefungua macho vijana wenzio wenye mtazamo hasi kwa nchi zilizoendelea, big up dogo
Very educative!! We really appreciate it!!
Shukran sana kwa hizi video, zako. Sasa bas weee ulifanyaje ukaingi Marekani na unaishi vizuri? Tafadhali nKuomba jibu
Ningependa kujua pia uliendaje endaje Marekani @Jack
Yaan jak nakukubali sana kak yaan mwaaaaaaaaaa
Nakubal mwane2 unatuwakilixha
Isitufanye kubweteka kwa kuseama " aaaah kumbe hata Marekani wamechoka" 🤔😁😁😁
@jackwausa tuleleke kwenye magali ya tesla tuone bei zake huko!!
Duuuuh hiyo kali
Watching from kenya ..nice content ndugu
unanifurahisha unavouliza bei kama mteja vile af unasema ok nice hahah
Hongera kwa kazi nzuri.
content safi kaka lets go road to 1k subs
Thanks, I'm glad that you like it!!
@@jackwausaJust came across this video after a year & look what happened, just found we on 50k plus subscribers, congratulations G 👏🏾
Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
youtube.com/@Jackchalz
Jaq naomba tuwasiliane nikija Huko nipokee mwamba Mimi Ni Msukuma wa Mwanza broo
Jaq naomba tuwasiliane Basi nikija huko nipokee mwamba Mimi Niko Mwanza broo
Nishaanza kuielewa USA kabla hata sijafika
Nawea pata adress na contract zako charlz manake i hope kupitia wewe very soon ntkuwa huko usa
Safi Sana good job Bro
Nilisha fika hapo aisee,one love
Duh kumbe adi uko Kuna soko mjinga vitu vya mafungu kama vyote 😂😂😂🙌🏻
Hakuna mahali kusipokuwa na wakulima wanaouza vitu vyao vidogo vidogo jamani
Bro nakukubali Sana Sasa naanza kufanya promo na kuwaambia watu waingie you tube waone america live bro unayusaidia kujua vitu ambavyo tulikuwa tumedanganywa
Asante saa mwana
Habari yangu ni nzuri, kweli Marekani kuna watu wanauza nyanya barabarari kama Kariakoo, Dar es Salaam?
Nmependa saana idea yako bro huwa tunaaminishwa USA ni half paradise
Yea, kuna mengi sana ambayo watu hawajui kuhusu marekani. I hope video zangu zitasaidia kuonesha uhalisia wa mambo!
Safi sana bloo
Uko sawa bro
Uko vizuri sana kijana sasa wewe unafanya kazi gani na saangapi
Mwenzako hapo anapiga kazi, maake tunapoview video zake zinakuwa zimeambatana na matangazo ko ana earn kupitia matangazo yanayoplay ktk video zake.
Ningependa kujua uliendaje endaje Marekani @Jack
Safi.babu.tumesoma.somo.moja.zuri.sana.maisha.ni.kupambana
Uko safi sana kaka kutufu.bua macho
jack hapa bongo ww n wawap bro
Sawa best nakupenda
Asante sana kaka
Asante bro kwakutujuza hiyo ni china kweli
Hatari sana
Pamoja BAHARIA Endelea kutuonesha mitaa
kazi nzuri kaka yangu
Hizo rangi kichwani sijaipenda
Nakubali mtu kazi saluti
Hapo sawa kamanda nimekubali
Pamoja sana!
Aisee hapo Chaina napapata vizur mno nilikujaga na Don yen wakati anaigiza muvi ya Ip man 4 waliigizia hapo kipande Tukiwa wote, maana Mimi napenda mambo ya kungfu The wing Chun
Umetisha bro hakika unatueleza ukweli ambao tulikuwa atuujui endlea hivo hivo kaka napenda video zako sana 🙏🙏
Pamoja sana!🙏🏾
Safi
Km kariakoo ya bongo🤣🤣🥰
Big progress Man 💪
Thanks for sharing this video.
My pleasure!🙏🏾
Yeah ManshaAllah Ata na uku South Africa ipo China Town
0y
From Kenya
Very true
SAFI SANA ILA MBONA WATU SIO WENGI KAMA BONGO SHIDA NINI?
Uko vizuri blood
Pole na kazi
Hapo Sawa tunataka Kiswahili Safi Sana endelea kututoa matongotongo maana wabongo tunapenda kusifia miji ya watu mbona kwetu kuzur zaidi ya huko
Mji gani hapa Tanzania mzuri kuliko LA bro
Acha uongo ndugu sehemu gani Tanzania ni nzuri kuliko USA
Napenda jinsi unatupa ukweli kwa kilakitu✌✌
Mwanangu unaakili sana
🙏🏾🙏🏾
Mtoto wangu alikuwa na kiranga cha Kwenda.nchi za ulaya. Tangu afatilie video.zako hataki tena kwenda nchi yoyote zaidi ya kukaa.nchini mwake
Bora uonyeshe uhalisia ili watu wapende cha kwao kwanza, Ubarikiwe kuna watu watatengeneza marekani yao kwenye inchi zao na sio kupenda vya watu ingawa sio dhambi ili isiwe ndio kuona wao ndio Kila kitu Kila kitu kinaanzia kwako 🙏
Duhh mpaka ndizi mshale!!
Twashukuru sana bro
Huku yues, Ibrahim onami, nipo huku kwa mwamba Jack, acha nisapoti mbongo mwenzangu
0y
jack unanifurahisha sana
Nakubal ndugu yangu
Camera yko nzuri
Bigup kamazote mzee tupe ukwelibana wa USA maana kudanganywa nikwingi.
First time watching ur content...lit bro, imebidi nisubscribe💥
Welcome aboard! 🙏🏾
kazi nzuri
Safi sana😍
Wew helen
@@paulshilangi abeee Nan ww
Safi sn kaka aisee tukisikia stori za huko watu waitukana nchi Yako kumbe Bora nilizaliwa Tanzania
Jamii zote duniani zina watu wake u.s.A
Sasa uko umefika mitaa ya manzese 🤣🇹🇿🇬🇷
Kwetu huku watu wakiuzia barabarani, viongozi wanasema wanachafua miji, wazungu watakuta pachafu wakati kwa wazungu huko huko wanauzia barabarani, Yani wazungu wenyewe wakija kwetu wanaona sisi ni wazembe sana coz tunaacha nafasi zabure kabisa ambazo mfanya biashara mdogo mdogo anaweza kufanya biashara yake na kupata kipato.
Huko kuna kusajili laini kama huku bro?
Hapana!
Mamboz vp mze. Naomba video na intervie ya (Hood) BLACK COMMUNITY mze
One love
Ningependa ufike ubarozi wetu wa Tanzania utuonyeshe wanavyo hudumia watu.
Dah! kweli nmeamini hata marekan hawajajitosheleza kwa kila kitu, had kuuza nyanya barabaran!!
✌👊
Wewe ni mkali kaka kumbe hata marekan kumbe wamachinga kama kawaida dah! Usilolijua ni sawa na giza
Sawa tuzungushe
Jack mhola ndugu wane
Saf san bro mi nmekubali sn coz vjana weng wanataman kwenda nchi za watu halaf hawajui wanakwenda kufany nn
Namba yako mwna
Good work bro Jack
Thanks!!🙏🏾
Nimekuelewa broo endelea kitupa elimu kuhusu marekani
Tembea sehemu za Compton, Watts na South Central LA.
tofauti ya wamachinga wa marekani na wabongo wakwetu wanaishi kama wako Afghanistan mguu nje mguu ndani mda wowote kinanuka mixer kupigwa sanaa🤣😂🤣😂🤣
😆 😂 😆 😂 😆
Video ikiazia kuna pull trolley inavutwa na machina. Ebu tuoneshe more about it ?
Unatufungua wakaaa vijijin
Ninavyoona zile nguo za dada zetu zilzoandikwa CHINA TOWN najuaga ni MJINI CHINA huko huko
Afadhali .Fungua macho ya wa Tz
Nouma sana
Good work. Broo
Ivi kaka hakuna Tanzanians town huko?