Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Duh wabongo kingereza bado sanaa😂😂😂😂
Jitahidi ufanye mazoezi ya kukimbia unahema sana unaweza kazi ila pumz chache
Ayoub lakred mbona simwoni
Host anahema sijui ametoka kukimbia Toka tazara mpaka airport 😅
Kwani ndugu mtangazaji umekuja kwa miguu kutoka majohe? Mbona unahema sana 😂😂
oy timu yaubingwa iyoooo. simba
Wapambanaji
Yosa wapya wa simba
Na matola bado yupo?
Aende wapi utakapo wewe?
Sa unataka waondoke wote?
Mmmmmh Host hujambo iyo Pronunciation yako
Anaongea kwa kuhema kama anakimbia😂😂
Mbona bus ina rangi ya Pink ?
Nenden mkapambanie ajira zenu
Hahaha 😂 hivi matola huwa anakazi gn Simba mbona hata Simba ifukuze wote yeye inamsahau hahaha 😂 yn hata mgunda akiondoka yeye yupo TU 😅
Hawa wachezaji wote watatumika msimu ujao? Maana sio timu inagharamia wakati wataachwa. Kocha alitakiwa kuondoka wachezaji halisi ambao msimu ujao watakuwepo kikosini
Hujui mpira kaa kimya😅😅😅 hahaha aaaaww
😂😂duuh kwaiyo hao wengine hawana umuhimu sio!?kwan wee kina kuuma wakienda!?Okay hataivyo unaonekana huna unachojua kuhusiana na mpira wa miguu
Nendeni TU Tunawasubiri Kwa Hamu Tabu IPO Pale Pale
Aaa wapiiiii mapigo yenu yanawaenda mbio mtakoma mwaka huu🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪❤❤❤❤🤣🤣🤣
Duh wabongo kingereza bado sanaa😂😂😂😂
Jitahidi ufanye mazoezi ya kukimbia unahema sana unaweza kazi ila pumz chache
Ayoub lakred mbona simwoni
Host anahema sijui ametoka kukimbia Toka tazara mpaka airport 😅
Kwani ndugu mtangazaji umekuja kwa miguu kutoka majohe? Mbona unahema sana 😂😂
oy timu yaubingwa iyoooo. simba
Wapambanaji
Yosa wapya wa simba
Na matola bado yupo?
Aende wapi utakapo wewe?
Sa unataka waondoke wote?
Mmmmmh Host hujambo iyo Pronunciation yako
Anaongea kwa kuhema kama anakimbia😂😂
Mbona bus ina rangi ya Pink ?
Nenden mkapambanie ajira zenu
Hahaha 😂 hivi matola huwa anakazi gn Simba mbona hata Simba ifukuze wote yeye inamsahau hahaha 😂 yn hata mgunda akiondoka yeye yupo TU 😅
Hawa wachezaji wote watatumika msimu ujao? Maana sio timu inagharamia wakati wataachwa. Kocha alitakiwa kuondoka wachezaji halisi ambao msimu ujao watakuwepo kikosini
Hujui mpira kaa kimya😅😅😅 hahaha aaaaww
😂😂duuh kwaiyo hao wengine hawana umuhimu sio!?kwan wee kina kuuma wakienda!?Okay hataivyo unaonekana huna unachojua kuhusiana na mpira wa miguu
Nendeni TU Tunawasubiri Kwa Hamu Tabu IPO Pale Pale
Aaa wapiiiii mapigo yenu yanawaenda mbio mtakoma mwaka huu🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪❤❤❤❤🤣🤣🤣
Duh wabongo kingereza bado sanaa😂😂😂😂