SIMBA WAMEONDOKA NCHINI FREDY KOUBLAN AFUNGUKA "SIWEZI KUAHIDI CHOCHOTE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024

Комментарии • 22

  • @StevenKapugi
    @StevenKapugi 11 дней назад

    Duh wabongo kingereza bado sanaa😂😂😂😂

  • @johnjingo8124
    @johnjingo8124 12 дней назад +1

    Jitahidi ufanye mazoezi ya kukimbia unahema sana unaweza kazi ila pumz chache

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 11 дней назад

    Ayoub lakred mbona simwoni

  • @Official_manlizy
    @Official_manlizy 13 дней назад +3

    Host anahema sijui ametoka kukimbia Toka tazara mpaka airport 😅

  • @sinemazakorea
    @sinemazakorea 11 дней назад

    Kwani ndugu mtangazaji umekuja kwa miguu kutoka majohe? Mbona unahema sana 😂😂

  • @JohnMreno-fg5rr
    @JohnMreno-fg5rr 12 дней назад

    oy timu yaubingwa iyoooo. simba

  • @rasymb6190
    @rasymb6190 12 дней назад +1

    Wapambanaji

  • @user-ct3gj5hf4v
    @user-ct3gj5hf4v 12 дней назад

    Yosa wapya wa simba

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 13 дней назад +4

    Na matola bado yupo?

  • @Saki930
    @Saki930 13 дней назад +2

    Mmmmmh Host hujambo iyo Pronunciation yako

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 13 дней назад

    Mbona bus ina rangi ya Pink ?

  • @SeifNassoro-g9r
    @SeifNassoro-g9r 12 дней назад

    Nenden mkapambanie ajira zenu

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 12 дней назад

    Hahaha 😂 hivi matola huwa anakazi gn Simba mbona hata Simba ifukuze wote yeye inamsahau hahaha 😂 yn hata mgunda akiondoka yeye yupo TU 😅

  • @frolidahaule2941
    @frolidahaule2941 12 дней назад +1

    Hawa wachezaji wote watatumika msimu ujao? Maana sio timu inagharamia wakati wataachwa. Kocha alitakiwa kuondoka wachezaji halisi ambao msimu ujao watakuwepo kikosini

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda 12 дней назад +1

      Hujui mpira kaa kimya😅😅😅 hahaha aaaaww

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 12 дней назад +1

      😂😂duuh kwaiyo hao wengine hawana umuhimu sio!?kwan wee kina kuuma wakienda!?Okay hataivyo unaonekana huna unachojua kuhusiana na mpira wa miguu

  • @AkramIbrahim-c8w
    @AkramIbrahim-c8w 12 дней назад

    Nendeni TU Tunawasubiri Kwa Hamu Tabu IPO Pale Pale

    • @khadijahussein5298
      @khadijahussein5298 12 дней назад

      Aaa wapiiiii mapigo yenu yanawaenda mbio mtakoma mwaka huu🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪❤❤❤❤🤣🤣🤣

  • @StevenKapugi
    @StevenKapugi 11 дней назад

    Duh wabongo kingereza bado sanaa😂😂😂😂