AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 мар 2023
  • JAMBO LA NCHI Ni zoezi la Uchangiaji Tiketi kwaajili ya kuipa Sapoti Timu ya Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye Mechi ya Marudiano ya Kufuzu Afcon dhidi ya Uganda Siku ya Jumanne Saa 1:00 Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
    Cliford Ndimbo Ofisa Habari wa TFF,amewakutanisha Maofisa wengine kutoka Simba Sc Ahmed Ally,Yanga Sc Ally Kamwe na Azam Fc Hasheem Ibwe ili kuendesha Harambee hiyo kwenye Mkutano na Wanahabari uliofanyika Leo Dar es salaam.
    Jumla ya Ticket 10500 zimekusanywa kwenye Hatua ya Awali,Zoezi ilo likiwa ni endelevu Mpaka kufikia siku ya Mechi.
  • СпортСпорт

Комментарии • 116

  • @user-dz1me6mt9e
    @user-dz1me6mt9e 9 месяцев назад +4

    Mpira uliharibiwa na manara ona hawa vijana wanafnya kazi kwa weredi mkubwa presconference za kuvutia wanatufundisha mpira ni urafiki wenye utani wa kujenga nmefurahi sana sana hawa vijana ni wanafaa kuigwa❤❤

  • @akwinobenarddy
    @akwinobenarddy Год назад +23

    Simba na Yanga tumepata wasemaji wa mpira hii ndo napenda bravo Ahmed bravo Ally kamwe🎉

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад +24

    Ukifanya kazi na brand kubwa utakuwa mkubwa tu na utajulikana na utakuwa karibu na wakubwa pia, hongera ahmed ally kwa kuichagua simba kuwa ndio klabu yako ya kuisemea

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Год назад +4

    Daaaaah aiseeee nimefurahi SN Hawa. Vijana AA HIZI ALLY KAMWE NA AHMED

  • @noahkajinga7599
    @noahkajinga7599 Год назад +8

    Tumepata semaji la Caf Bravo Hamed Ally

  • @Elizabeth-fu3ze
    @Elizabeth-fu3ze Год назад +7

    Hongereni sana mmenifulahisha sana leo usimba na yanga pembeni,4000, kupitia kwa Ahmed,🤗💕

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Год назад +2

    Naam!! Soka sio uadui.Soka hujenga umoja na mshikamano.Kongole kwa Hashim Ibwe,Ahmed Ally na Ally Kamwe.Kinachopendeza zaidi wote watatu ni matunda ya AZAM MEDIA

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Год назад +17

    Hongereni sana sana sana wasemaji wetu wa club zetu mmetisha mme vibe hii ni kwa mara ya kwanza kusupport hivi 👏 lkn Ahmed Ally ndio umpigie waziri mkuu kweli 😂 na mguu ukaweka juu eti ukimaanisha kazi umemaliza 🤣 sawa bhaana umeshinda 😂🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪

    • @kennethnyahoza1806
      @kennethnyahoza1806 Год назад +2

      Hongereni sana Wasemaji wa timu zetu Simba, Yanga na Azam kazi nzuri sana. Matumaini yetu makubwa tutapata ushindi kwenye mchezo huo wa tarehe 28/03/2023 Bip Up pia TFF

    • @user-me2mu2ub7y
      @user-me2mu2ub7y 11 месяцев назад

      Uhakika tumepata wasemaji kweli syo masiala wa ndo wasemaji Sasa utani mwingi d safi sana Aise siyo kina hajiz manala lopopot utani hajui ila sifatu ndomaana wakamufungua asijishilikishe na mpila miaka miwali na faini mana hajielewi

  • @rizikijustin4747
    @rizikijustin4747 Год назад +11

    Haya ndy mambo tunayataka kwenye mpira wetu siyo waropokaji mpira umepata wasemaji

  • @kingsulyemani2559
    @kingsulyemani2559 Год назад +7

    hawa wasemaji wa simba na yanga ni watu wa michezo sana kazi wanaiweza

  • @ibrahimmsula201
    @ibrahimmsula201 Год назад +3

    I like this, hongereni sana Azam Kwa upendo mlioujenga Kwa hao vijana,wanaongeza hamasa na kuvunja uadui, nimefurahi walivyofanya na wanavyotaniana

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Год назад +4

    Semaji la migoli mingi mingi semaji la caf mimi niwaombe wanasimba wenzangu tumuunge mkono semaji letu wachezaji viongozi na bechi la ufundi kwa ujumla wake kwa hakika tutafika mbali kwa umoja wetu

  • @thomaskulwa425
    @thomaskulwa425 Год назад +7

    Jeri muro na manara walileta uadui🙆 na Hawa wasasa wameleta utani😋 hongeleni sana vijana wenzangu🙏🤝📌🔨

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Год назад +3

    Ally Kamwe bhana,ninamkubali sana.Ibwe na Ahmed Ally pia ni wasemaji wazuri.Hongereni vijana kwa kulisogeza mbele soka la Bongo.

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 Год назад

      Syo soka la bongo soka la tanzania wew bwege nini

  • @Football-ze9du
    @Football-ze9du Год назад +3

    Good improvement ya football ad wasemaj wanakaa pamoja

  • @MathiasMatteo-tl8xn
    @MathiasMatteo-tl8xn Год назад +8

    Nimecheka sana ally kamwe balaaa

  • @drogbalodrigue9550
    @drogbalodrigue9550 Год назад +4

    Kiukweli kama mimi nashukuru sana kutokana mwenye kiti wa simba ❤

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Год назад +4

    Mama katoa ahadi waziri mkuu mfuate kwa mawaziri muanze na waziri wa michezo pia ahamed usisahau spiker wa bunge ni Simba yule

  • @sniper93999
    @sniper93999 Год назад +5

    AZAM TV hapa ilizaa sana

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Год назад +5

    Hawa ndio wasemaji sasa angekuwepo Ashura cheupe kingenuka jamaa mshari sana uropokaji kwa sasa wangeondonga hapo wamejazana vifua hongereni sana uongozi wa timu zote kwa kuchagua wasemaji wenye kujielewa

  • @championtv255
    @championtv255 Год назад +6

    Napenda sana hali hii nchini kwangu.mpira sio vita jamani

  • @laurentbabu153
    @laurentbabu153 Год назад +6

    Semaji la CAF umetisha

  • @shabanirajabu251
    @shabanirajabu251 Год назад +10

    Na hapo tumefany kumshtukiza mwenyekiti 😅😅tungempanga mngefurah😅😅

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 Год назад +3

    Naomba Muunganiko huu, muwe nao hata kwa ngazi ya clab hususan vinapo kuja vilabu tuka nje ya nchi ni vizuri kama uzalendo utakuwa mbele kuliko usimba na uyanga.

  • @abelmussa5061
    @abelmussa5061 Год назад +1

    Huu ndiyo Mpira tunaoutaka Tanzania Nchi yenye Amani furaha iliyoje kuwa na Wasemaji mahiri kama hawa big Up kwenu vijana🤣😂😂💪💪💪

  • @zakiaabubakar7446
    @zakiaabubakar7446 Год назад +3

    Well done
    Keep it up

  • @elishamatulanya5539
    @elishamatulanya5539 Год назад +3

    mmetisha sana wasemaji wetu

  • @alexjohn-ff6kb
    @alexjohn-ff6kb Год назад +6

    Matunda ya Azam hao wote nawakubali sana

  • @Elizabeth-fu3ze
    @Elizabeth-fu3ze Год назад +5

    Great moment's 🙏

  • @pastormartinshija374
    @pastormartinshija374 8 месяцев назад

    Hili jambo zuri sana liendelee tafadhali!
    Pia ni vema liwe linafanyika kwa ngazi ya vilabu!

  • @ramadhanimtatifikolo7735
    @ramadhanimtatifikolo7735 Год назад +1

    Safi sana wasemaji sio manala alikua kaziyake kugombanisha watu,

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад +7

    Kiufupi ally kamwe amelowa

  • @massoudaly5154
    @massoudaly5154 Год назад +3

    Nimefrah sana hii ndo tunaipenda sana ktk soka nyny mashujaaa wasemaji wetu watatu nawapenda sanaaaaaaaa

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Год назад +7

    Ally kamwe ni comedian san an!!!🤣🤣🤣🤣

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Год назад +3

    Hongereni nyote wakuu wa simba,yanga,azam .pia komed kwawingi😅😅😅

  • @dannyjacob4618
    @dannyjacob4618 Год назад

    Yeah,I appreciate

  • @Ndalolusulo-yt2ol
    @Ndalolusulo-yt2ol Год назад +3

    Safi sana wote hapo mezani

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha Год назад +5

    Hahahaha hawa jamaa wehu sana Ila kicheko cha ally kamwe cha kikuda

  • @francemumba5323
    @francemumba5323 Год назад +7

    Eti nahapo tumemshitukiza daah

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад +7

    Umekuja na silaha nzito kaka kudadadeki🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mengijose17
    @mengijose17 Год назад +5

    Nimecheka huo mguu hapo mezani siyo powa

  • @SalumMballa-tu8lk
    @SalumMballa-tu8lk Год назад +2

    Thank you

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Год назад +2

    Shiikamoo Ahmed Aly

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Год назад +2

    Ali kamwe ndo kanogesha press 🔋

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 Год назад +2

    Good moments

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад +6

    PM wetu ni simba fan,anajulikana

    • @segeospatialtechnology7482
      @segeospatialtechnology7482 Год назад

      Namungooo😂😂

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +1

      @@segeospatialtechnology7482 ni mlezi wa namungo, anayo mapenzi na simba toka ujana wake

    • @mwajumaseifu216
      @mwajumaseifu216 8 месяцев назад

      ​@@segeospatialtechnology7482Namungo na Simba hipi ya kwanza kuzaliwa

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 Год назад +2

    So funny...mmetisha sana

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 Год назад +9

    Naskia wivu kabisa Tanzania muko mbeleee kwaani nchi zingine za Eac usingizini tuuu

  • @yakobontigwambukwa
    @yakobontigwambukwa Год назад +3

    Ali kamwe anakalibia levo ya ahmed ko akazane😃😂

  • @francemumba5323
    @francemumba5323 Год назад +4

    Simba mfumo wake mgumu sana yanga hers akisema imeisha

  • @francemumba5323
    @francemumba5323 Год назад +7

    Muheshimiwa kupitia kupga kwa ahmedi imetia nguvu kwake

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Год назад +2

    Ahmed alicheza faulo mwanzo...alipiga mwenyewe ahmed

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Год назад +4

    ahmed ndiye aliyempigia majaliwa rudia tena uangalie

  • @doktmtanga7303
    @doktmtanga7303 Год назад +3

    Kasimu majaliwa nimnyama piwa na nikocha na nimtu wasoka anaujuwa mpila

  • @sanityonline4512
    @sanityonline4512 Год назад +5

    Ahmed anapigia majalia apo 😂😂

  • @zainabmikidad791
    @zainabmikidad791 Год назад +2

    Ila Ahmed jamani mpole

  • @doktmtanga7303
    @doktmtanga7303 Год назад +3

    Hongera Sana

  • @livinuskamugisha5296
    @livinuskamugisha5296 Год назад +3

    Huu ndo upendo unaotakiwa kwetu watanzania.

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад +1

    Mbona niwatu wasimba tu wanao changia hatujasikia mmewapigia watu wa azam na yanga nyinyi nikuwapigia wasimba tu

  • @mariamchiga846
    @mariamchiga846 Год назад +2

    Kama ndo mm Ahmed Ally ningempiga kwel kbao

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Год назад

    kiukweli raha sanaa,

  • @FaridiMohamed-ou9eq
    @FaridiMohamed-ou9eq Год назад +2

    Hapa angekuwepo kenge mmoja ivi angejifanya msemaji peke yake

  • @user-xu4cm5wn6k
    @user-xu4cm5wn6k 4 месяца назад

    ❤❤

  • @Elizabeth-fu3ze
    @Elizabeth-fu3ze Год назад +1

    🤣🤣mpigie amedi ali kamwe vp tulia semaji la kafu lazima lipigiwe kwanza si mkubwa 🤣💕🤗

  • @wildofworld100
    @wildofworld100 Год назад +3

    SILAHA NZITO 😅😅😅

  • @mohamedsuleiman5356
    @mohamedsuleiman5356 Год назад +1

    Kuna io sehem ally anateta na ibwe tangu babra aondoke

  • @welsonleonad1743
    @welsonleonad1743 Год назад +2

    😂😂😂 wajua kabsa kuchekesha

  • @egbartjosephat-gf4oc
    @egbartjosephat-gf4oc Год назад +3

    Mamb Tanzania
    Kwa ushind!

  • @kibonamalugu
    @kibonamalugu 9 месяцев назад

    💪💪💪💪

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Год назад +2

    Kamwe anasema kaja na slaaa nzito duu

  • @mckombe7200
    @mckombe7200 Год назад +2

    Mpira siyoo uwadui tutoee izoo zana ongereni wa semaji wote kazi yenu njema utani usiyoo umiza ongera shirikisho la mpira pia, @mc kombe

  • @samwelkakintwa9702
    @samwelkakintwa9702 9 месяцев назад

    Nimefurai sana na sprained ya semaji la kafu.

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Год назад +5

    Wabongoi badilikeni hiliniswala la TAIFA u SIMBA na uYANGA wekeni pembeni tupambanie inchikwanza msituletee usimba na yanga kwenye comment.

    • @onekisstv8412
      @onekisstv8412 Год назад

      Hawa wapo kwa ajili ya uhamasishaji wote wanatetea taifa

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Год назад +2

    Mbona wa azam wanamtenga

  • @zeddymourice4249
    @zeddymourice4249 Год назад +2

    Naaa naaahapo tumemshtukiza🤣🤣🤣🤣🤣

  • @DanielIsaack-mx4fc
    @DanielIsaack-mx4fc Год назад +3

    So funny😂😂😂

  • @charleschao9809
    @charleschao9809 Год назад +3

    Kamwe amekaa kinafki sana 😂

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Год назад +3

    Hiii ndio sokaaa sio kelele

  • @stephennyangi2403
    @stephennyangi2403 Год назад +1

    Hawa majamaaa hapana aisee😂😂😂😂

  • @denis-km9a3ro6k
    @denis-km9a3ro6k Год назад

    Yan dah

  • @abdullymaruzuku-uy8rb
    @abdullymaruzuku-uy8rb Год назад +4

    Ali kamwe anajipendekeza

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад +4

    Kaka kaka ameshinda🤣🤣🤣🤣🤣

  • @charleselasto3067
    @charleselasto3067 Год назад +3

    Kwahiyo uwanjani ni bure

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 Год назад +3

    Watoto utawajua na wakubwa utawajua mwisho wametahayari

  • @rickcash701
    @rickcash701 Год назад

    Ndo ile mechi tuliokanyangwa

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 Год назад +1

    Yaani SIMBA tulishazoea kuonea onea tu madunduka Loosers haya 😂😂😂😂... THIS IS SIMBAAAA ❤❤❤💪💪💪🦁🦁🦁🦁

  • @michaelbulyalism3553
    @michaelbulyalism3553 Год назад

    @Ahmedally

  • @bosscomedy1534
    @bosscomedy1534 Год назад +1

    Ali kamwe nipenambayako

  • @josephmgimwa3141
    @josephmgimwa3141 Год назад +1

    Aly kamwe, 🤣🤣🤣ananifahamu

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr Год назад

    Ali Kamwe🤣🤣🤣🤣🫶🫶🫶

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Год назад +1

    Mbilinge za watani wa jadi katika kuinuaa nchi😂😂😂

  • @erasmsreonard4237
    @erasmsreonard4237 Год назад +2

    Ally 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fulgencefortunatus6845
    @fulgencefortunatus6845 Год назад

    Na huo uchachari wenu mmeua, wasemaji wa tim kubwa. Kuanzia leo nimeanza kumuelewa ally kamwe.

  • @pauloloningo117
    @pauloloningo117 Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @DanielIsaack-mx4fc
    @DanielIsaack-mx4fc Год назад

    So funny😂😂😂

  • @hanceraphael5455
    @hanceraphael5455 Год назад +1

    Huu ndio uzalendo sasa

  • @sarahjoseph5411
    @sarahjoseph5411 Год назад +7

    alikamwe 🤣🤣🤣 akicheka lazima ucheke

  • @nishimwejames83
    @nishimwejames83 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂