AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"
HTML-код
- Опубликовано: 22 мар 2023
- JAMBO LA NCHI Ni zoezi la Uchangiaji Tiketi kwaajili ya kuipa Sapoti Timu ya Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye Mechi ya Marudiano ya Kufuzu Afcon dhidi ya Uganda Siku ya Jumanne Saa 1:00 Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Cliford Ndimbo Ofisa Habari wa TFF,amewakutanisha Maofisa wengine kutoka Simba Sc Ahmed Ally,Yanga Sc Ally Kamwe na Azam Fc Hasheem Ibwe ili kuendesha Harambee hiyo kwenye Mkutano na Wanahabari uliofanyika Leo Dar es salaam.
Jumla ya Ticket 10500 zimekusanywa kwenye Hatua ya Awali,Zoezi ilo likiwa ni endelevu Mpaka kufikia siku ya Mechi. - Спорт
Mpira uliharibiwa na manara ona hawa vijana wanafnya kazi kwa weredi mkubwa presconference za kuvutia wanatufundisha mpira ni urafiki wenye utani wa kujenga nmefurahi sana sana hawa vijana ni wanafaa kuigwa❤❤
Simba na Yanga tumepata wasemaji wa mpira hii ndo napenda bravo Ahmed bravo Ally kamwe🎉
Kuhusu manara vip
Ukifanya kazi na brand kubwa utakuwa mkubwa tu na utajulikana na utakuwa karibu na wakubwa pia, hongera ahmed ally kwa kuichagua simba kuwa ndio klabu yako ya kuisemea
Daaaaah aiseeee nimefurahi SN Hawa. Vijana AA HIZI ALLY KAMWE NA AHMED
Tumepata semaji la Caf Bravo Hamed Ally
Hongereni sana mmenifulahisha sana leo usimba na yanga pembeni,4000, kupitia kwa Ahmed,🤗💕
Naam!! Soka sio uadui.Soka hujenga umoja na mshikamano.Kongole kwa Hashim Ibwe,Ahmed Ally na Ally Kamwe.Kinachopendeza zaidi wote watatu ni matunda ya AZAM MEDIA
Hongereni sana sana sana wasemaji wetu wa club zetu mmetisha mme vibe hii ni kwa mara ya kwanza kusupport hivi 👏 lkn Ahmed Ally ndio umpigie waziri mkuu kweli 😂 na mguu ukaweka juu eti ukimaanisha kazi umemaliza 🤣 sawa bhaana umeshinda 😂🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Hongereni sana Wasemaji wa timu zetu Simba, Yanga na Azam kazi nzuri sana. Matumaini yetu makubwa tutapata ushindi kwenye mchezo huo wa tarehe 28/03/2023 Bip Up pia TFF
Uhakika tumepata wasemaji kweli syo masiala wa ndo wasemaji Sasa utani mwingi d safi sana Aise siyo kina hajiz manala lopopot utani hajui ila sifatu ndomaana wakamufungua asijishilikishe na mpila miaka miwali na faini mana hajielewi
Haya ndy mambo tunayataka kwenye mpira wetu siyo waropokaji mpira umepata wasemaji
hawa wasemaji wa simba na yanga ni watu wa michezo sana kazi wanaiweza
I like this, hongereni sana Azam Kwa upendo mlioujenga Kwa hao vijana,wanaongeza hamasa na kuvunja uadui, nimefurahi walivyofanya na wanavyotaniana
Semaji la migoli mingi mingi semaji la caf mimi niwaombe wanasimba wenzangu tumuunge mkono semaji letu wachezaji viongozi na bechi la ufundi kwa ujumla wake kwa hakika tutafika mbali kwa umoja wetu
Jeri muro na manara walileta uadui🙆 na Hawa wasasa wameleta utani😋 hongeleni sana vijana wenzangu🙏🤝📌🔨
Tatizo shule Ahmed na aliy kamwe ni wasomi
Ally Kamwe bhana,ninamkubali sana.Ibwe na Ahmed Ally pia ni wasemaji wazuri.Hongereni vijana kwa kulisogeza mbele soka la Bongo.
Syo soka la bongo soka la tanzania wew bwege nini
Good improvement ya football ad wasemaj wanakaa pamoja
Nimecheka sana ally kamwe balaaa
Kiukweli kama mimi nashukuru sana kutokana mwenye kiti wa simba ❤
Mama katoa ahadi waziri mkuu mfuate kwa mawaziri muanze na waziri wa michezo pia ahamed usisahau spiker wa bunge ni Simba yule
AZAM TV hapa ilizaa sana
Hawa ndio wasemaji sasa angekuwepo Ashura cheupe kingenuka jamaa mshari sana uropokaji kwa sasa wangeondonga hapo wamejazana vifua hongereni sana uongozi wa timu zote kwa kuchagua wasemaji wenye kujielewa
Napenda sana hali hii nchini kwangu.mpira sio vita jamani
Semaji la CAF umetisha
Na hapo tumefany kumshtukiza mwenyekiti 😅😅tungempanga mngefurah😅😅
Naomba Muunganiko huu, muwe nao hata kwa ngazi ya clab hususan vinapo kuja vilabu tuka nje ya nchi ni vizuri kama uzalendo utakuwa mbele kuliko usimba na uyanga.
Huu ndiyo Mpira tunaoutaka Tanzania Nchi yenye Amani furaha iliyoje kuwa na Wasemaji mahiri kama hawa big Up kwenu vijana🤣😂😂💪💪💪
Well done
Keep it up
mmetisha sana wasemaji wetu
Matunda ya Azam hao wote nawakubali sana
Great moment's 🙏
Hili jambo zuri sana liendelee tafadhali!
Pia ni vema liwe linafanyika kwa ngazi ya vilabu!
Safi sana wasemaji sio manala alikua kaziyake kugombanisha watu,
Kiufupi ally kamwe amelowa
Nimefrah sana hii ndo tunaipenda sana ktk soka nyny mashujaaa wasemaji wetu watatu nawapenda sanaaaaaaaa
Ally kamwe ni comedian san an!!!🤣🤣🤣🤣
Hongereni nyote wakuu wa simba,yanga,azam .pia komed kwawingi😅😅😅
Yeah,I appreciate
Safi sana wote hapo mezani
Hahahaha hawa jamaa wehu sana Ila kicheko cha ally kamwe cha kikuda
Eti nahapo tumemshitukiza daah
Umekuja na silaha nzito kaka kudadadeki🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka huo mguu hapo mezani siyo powa
Thank you
Shiikamoo Ahmed Aly
Ali kamwe ndo kanogesha press 🔋
Good moments
PM wetu ni simba fan,anajulikana
Namungooo😂😂
@@segeospatialtechnology7482 ni mlezi wa namungo, anayo mapenzi na simba toka ujana wake
@@segeospatialtechnology7482Namungo na Simba hipi ya kwanza kuzaliwa
So funny...mmetisha sana
Naskia wivu kabisa Tanzania muko mbeleee kwaani nchi zingine za Eac usingizini tuuu
Warifika wapi?
We unatokea nchi gani kaka?
Ali kamwe anakalibia levo ya ahmed ko akazane😃😂
Simba mfumo wake mgumu sana yanga hers akisema imeisha
Tulia mwana utopolo
Muheshimiwa kupitia kupga kwa ahmedi imetia nguvu kwake
Ahmed alicheza faulo mwanzo...alipiga mwenyewe ahmed
ahmed ndiye aliyempigia majaliwa rudia tena uangalie
Ni kweli
Kasimu majaliwa nimnyama piwa na nikocha na nimtu wasoka anaujuwa mpila
Ahmed anapigia majalia apo 😂😂
Ila Ahmed jamani mpole
Hongera Sana
Huu ndo upendo unaotakiwa kwetu watanzania.
Mbona niwatu wasimba tu wanao changia hatujasikia mmewapigia watu wa azam na yanga nyinyi nikuwapigia wasimba tu
Kama ndo mm Ahmed Ally ningempiga kwel kbao
kiukweli raha sanaa,
Hapa angekuwepo kenge mmoja ivi angejifanya msemaji peke yake
Yule Loooooooooooooser!!!
❤❤
🤣🤣mpigie amedi ali kamwe vp tulia semaji la kafu lazima lipigiwe kwanza si mkubwa 🤣💕🤗
SILAHA NZITO 😅😅😅
Kuna io sehem ally anateta na ibwe tangu babra aondoke
😂😂😂 wajua kabsa kuchekesha
Mamb Tanzania
Kwa ushind!
B
💪💪💪💪
Kamwe anasema kaja na slaaa nzito duu
Mpira siyoo uwadui tutoee izoo zana ongereni wa semaji wote kazi yenu njema utani usiyoo umiza ongera shirikisho la mpira pia, @mc kombe
Nimefurai sana na sprained ya semaji la kafu.
Wabongoi badilikeni hiliniswala la TAIFA u SIMBA na uYANGA wekeni pembeni tupambanie inchikwanza msituletee usimba na yanga kwenye comment.
Hawa wapo kwa ajili ya uhamasishaji wote wanatetea taifa
Mbona wa azam wanamtenga
Naaa naaahapo tumemshtukiza🤣🤣🤣🤣🤣
So funny😂😂😂
Kamwe amekaa kinafki sana 😂
Hiii ndio sokaaa sio kelele
Hawa majamaaa hapana aisee😂😂😂😂
Yan dah
Ali kamwe anajipendekeza
Kaka kaka ameshinda🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo uwanjani ni bure
Watoto utawajua na wakubwa utawajua mwisho wametahayari
Ndo ile mechi tuliokanyangwa
Yaani SIMBA tulishazoea kuonea onea tu madunduka Loosers haya 😂😂😂😂... THIS IS SIMBAAAA ❤❤❤💪💪💪🦁🦁🦁🦁
@Ahmedally
Ali kamwe nipenambayako
Aly kamwe, 🤣🤣🤣ananifahamu
Ali Kamwe🤣🤣🤣🤣🫶🫶🫶
8
Mbilinge za watani wa jadi katika kuinuaa nchi😂😂😂
Ally 🤣🤣🤣🤣🤣
Na huo uchachari wenu mmeua, wasemaji wa tim kubwa. Kuanzia leo nimeanza kumuelewa ally kamwe.
😂😂😂😂😂
So funny😂😂😂
Huu ndio uzalendo sasa
alikamwe 🤣🤣🤣 akicheka lazima ucheke
😂😂😂😂😂😂