Sasa hapa mzembe ni CEO ambaye ameshindwa kumsaidia mchezaji kupata pasport na viza ya kwenda Misri. La pili nadhani kuna communication problems ndani ya timu. Kwanini Msemaji Ahmed ameshindwa kutoa maelezo yaliyonyooka kama hayo wakati mchezaji yuko nchini. Akiulizwa na Mashabiki anababaisha tu kama hajui kinachoendelea kwa Kibu. Huyu CEO anazingu kwa juwa anataka kuondoka? Yafaa afukuzwe basi kwani kazi hiyo imemshinda.
Kibu endelea kula Bata madunduka wako bize na propaganda za kuichafua yanga wanasahau Yao kama Siri kumbe wanayanga walishahama kwenye mpira wafiti za wazee njaa wapo kwenye mpira wa kisasa mpaka kapeleka familia marekani mtapa shida kweli
Hapo sawa ume tuweka wazi k
Iarewa hera dogo huyo mpira haupo hivyo
Acha akatafte Maisha bhana. Tatzo la simba yetu maneno mengi Bila vitendo
Ppt ni siku 7 tu unapata nyingine hapo naongelea kwa watu wasiokuwa na majina makubwa kibu ni mtu maalufu ni siku 2 tu MPYA semeni Saba u nyingine
Akatwe mshahara wake kwa muda wote atakao chelewa asituletee umama wakati haki zake zote kesha pewa
Mlipeni hela yake oya kibu usiludi mbaka wakulipe pumbavu zao
Viongozi kuweni wakweli juu ya malipo ya Kibu, tusije kumpoteza
Hii ndiyo staili ya wachezaji wa bongo plus waandishi wa bongo aka bahasha
Sasa hapa mzembe ni CEO ambaye ameshindwa kumsaidia mchezaji kupata pasport na viza ya kwenda Misri.
La pili nadhani kuna communication problems ndani ya timu. Kwanini Msemaji Ahmed ameshindwa kutoa maelezo yaliyonyooka kama hayo wakati mchezaji yuko nchini. Akiulizwa na Mashabiki anababaisha tu kama hajui kinachoendelea kwa Kibu. Huyu CEO anazingu kwa juwa anataka kuondoka? Yafaa afukuzwe basi kwani kazi hiyo imemshinda.
KIBU USISIKILIZE MANENO YA UPANDE WA PILI UTAPOTEA KIJANA. MENEJA UPO SAHIHI SANA TUNAKUAMINI
Passport kujaaa amesafiri mara ngapi jamani
Passport kama imejaa amekwendaje marekani je marekani akupewa viza
😂😂Wanatufanya sisi maboya hatujui lolote
Huyo Kashiba, hafai Tena Simba kwa sasa
Huyo bondia kama anazinguwe acheni aend
Hivi uyo kibu anajikuta Nani Kwan hovyoo
Kama anazingua mwacheni huyo atawasumbua,mbona kuna wachezaji wazuri kwa sasa
Simba imekufikisha hapo,unadai peke yako wewe ?
Mwandishi jiongeze mbona unarudia maswali ambayo umeshajibiwa.
Yuko Marekani anafatilia Passport....kwani alipataje visa na kwani ni raia wa Marekani? mmh haya!
Kibu bado ni Mrundi kiuraia
Huna lingine la uongo umebakia km paka mwizi kakosa mchuzi
Aanaakwende
Waandishi uchwara wanapenda ungo sana mpaka aibu.
ATAKUWA JEMEDARI HUYO
Kibu changamka vinginevyo utapoteza ubora wako kimpira
😂😂😂😂atapoteza kipaj Chak
Kumbe kibu ana kipaji!?😅😅😅😅
Kibu endelea kula Bata madunduka wako bize na propaganda za kuichafua yanga wanasahau Yao kama Siri kumbe wanayanga walishahama kwenye mpira wafiti za wazee njaa wapo kwenye mpira wa kisasa mpaka kapeleka familia marekani mtapa shida kweli
Mjinga wewe ukisikiliza sikikiza vizuri usiwe unatukana tu ndunduja mwenyewe mjinga ww Simba siowajinga kama wewe
Mbona mnampa milage huyo mrundi??? Tatizo kashajiona cake mwache aende yanga huyo kaiga tabia za chamba huyo. Kwanza anacheza kwakutumia nguvu bila Akili. Nikama litembo
Yanga aje kufanya nn msimu mzima goli moja😂😂😂tumewaingiza chaka kwa kibu huku lengo lilikuwa chama
@fettiemagan@
Mzee chama
Yaani leo ndo mnajua kama kibu hana akili ila anatumiaga tu nguvu😅😅😅😅
Kibu ana mpira wa kutulingia ngoja uone vipaji vipya utajua km kibu mchezaj wa kawaida sana Tena anauchiz Fran