ALIKO KIBU DENIS SIRI YAFICHUKA!! MENEJA WAKE AWEKA WAZI KWANINI HAJAJIUNGA NA KAMBI YA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 35

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Месяц назад

    Hapo sawa ume tuweka wazi k

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 Месяц назад +5

    Iarewa hera dogo huyo mpira haupo hivyo

  • @BabaDutchBabaDucth
    @BabaDutchBabaDucth Месяц назад

    Acha akatafte Maisha bhana. Tatzo la simba yetu maneno mengi Bila vitendo

  • @user-mc2zl1gj6u
    @user-mc2zl1gj6u Месяц назад

    Ppt ni siku 7 tu unapata nyingine hapo naongelea kwa watu wasiokuwa na majina makubwa kibu ni mtu maalufu ni siku 2 tu MPYA semeni Saba u nyingine

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Месяц назад +1

    Akatwe mshahara wake kwa muda wote atakao chelewa asituletee umama wakati haki zake zote kesha pewa

  • @ClaudeMichaely
    @ClaudeMichaely Месяц назад

    Mlipeni hela yake oya kibu usiludi mbaka wakulipe pumbavu zao

  • @wazirimagayuka9681
    @wazirimagayuka9681 Месяц назад

    Viongozi kuweni wakweli juu ya malipo ya Kibu, tusije kumpoteza

  • @zakaria924
    @zakaria924 Месяц назад

    Hii ndiyo staili ya wachezaji wa bongo plus waandishi wa bongo aka bahasha

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Месяц назад

    Sasa hapa mzembe ni CEO ambaye ameshindwa kumsaidia mchezaji kupata pasport na viza ya kwenda Misri.
    La pili nadhani kuna communication problems ndani ya timu. Kwanini Msemaji Ahmed ameshindwa kutoa maelezo yaliyonyooka kama hayo wakati mchezaji yuko nchini. Akiulizwa na Mashabiki anababaisha tu kama hajui kinachoendelea kwa Kibu. Huyu CEO anazingu kwa juwa anataka kuondoka? Yafaa afukuzwe basi kwani kazi hiyo imemshinda.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    KIBU USISIKILIZE MANENO YA UPANDE WA PILI UTAPOTEA KIJANA. MENEJA UPO SAHIHI SANA TUNAKUAMINI

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Passport kujaaa amesafiri mara ngapi jamani

  • @user-dj8ik2he5y
    @user-dj8ik2he5y Месяц назад +1

    Passport kama imejaa amekwendaje marekani je marekani akupewa viza

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 Месяц назад +1

    Huyo Kashiba, hafai Tena Simba kwa sasa

  • @SamwelMwaineto
    @SamwelMwaineto Месяц назад

    Huyo bondia kama anazinguwe acheni aend

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Месяц назад

    Hivi uyo kibu anajikuta Nani Kwan hovyoo

  • @jonasnzemya7700
    @jonasnzemya7700 Месяц назад

    Kama anazingua mwacheni huyo atawasumbua,mbona kuna wachezaji wazuri kwa sasa

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 Месяц назад +1

    Simba imekufikisha hapo,unadai peke yako wewe ?

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 Месяц назад

    Mwandishi jiongeze mbona unarudia maswali ambayo umeshajibiwa.

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Месяц назад

    Yuko Marekani anafatilia Passport....kwani alipataje visa na kwani ni raia wa Marekani? mmh haya!

  • @pontianjohnkahwa
    @pontianjohnkahwa Месяц назад

    Kibu bado ni Mrundi kiuraia

  • @user-kq8fp2ex2i
    @user-kq8fp2ex2i Месяц назад

    Huna lingine la uongo umebakia km paka mwizi kakosa mchuzi

  • @MwanahamisHussein-dp2if
    @MwanahamisHussein-dp2if Месяц назад

    Aanaakwende

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Waandishi uchwara wanapenda ungo sana mpaka aibu.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Месяц назад

    ATAKUWA JEMEDARI HUYO

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 Месяц назад

    Kibu changamka vinginevyo utapoteza ubora wako kimpira

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd Месяц назад

    😂😂😂😂atapoteza kipaj Chak

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Месяц назад

    Kibu endelea kula Bata madunduka wako bize na propaganda za kuichafua yanga wanasahau Yao kama Siri kumbe wanayanga walishahama kwenye mpira wafiti za wazee njaa wapo kwenye mpira wa kisasa mpaka kapeleka familia marekani mtapa shida kweli

    • @makamelila
      @makamelila Месяц назад

      Mjinga wewe ukisikiliza sikikiza vizuri usiwe unatukana tu ndunduja mwenyewe mjinga ww Simba siowajinga kama wewe

  • @user-uu8zi1dd2o
    @user-uu8zi1dd2o Месяц назад

    Mbona mnampa milage huyo mrundi??? Tatizo kashajiona cake mwache aende yanga huyo kaiga tabia za chamba huyo. Kwanza anacheza kwakutumia nguvu bila Akili. Nikama litembo

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      Yanga aje kufanya nn msimu mzima goli moja😂😂😂tumewaingiza chaka kwa kibu huku lengo lilikuwa chama

    • @athmanimkangara9290
      @athmanimkangara9290 Месяц назад

      ​@fettiemagan@
      Mzee chama

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s Месяц назад

      Yaani leo ndo mnajua kama kibu hana akili ila anatumiaga tu nguvu😅😅😅😅

    • @idrisa598
      @idrisa598 Месяц назад

      Kibu ana mpira wa kutulingia ngoja uone vipaji vipya utajua km kibu mchezaj wa kawaida sana Tena anauchiz Fran