RASMI HARMONIZE ATANGAZA KUHAMIA SIMBA,HARMONIZE KUPAFORM SIMBA DAY,NAIPENDA SIMBA KUANZIA LEO
HTML-код
- Опубликовано: 9 июл 2024
- eat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #numeroyapastorntambabazi0788554028 #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #news #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #jdg #utchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague ##afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimbatg #africanfootballleague
- Спорт
wasanii wengi wanafik mnatazama pesa hamuna mapenzi na team, msanii wetu wa kwel SIMBA dam ni TUNDA MAN
Ndy nikweli kabisa
basiiii!!!
Tena icho ndoknafk kkubwa nasraa kama nyani akaimbee ccm Simba hatuitaji mnafik ama wanafk
Kwel kbsaa
Tunda man ndiye simba damu wote wanahama yeye yupo tu
Sijaskia sehemu alo taja simba au maskio yangu😊
Wasanii wanafk nyie mnazingatia maokoto ttu,lkn ukirud kwenye uhalisia msanii wetu wana lunyasi asiye na konakona ni TUNDA MAN tu💪
Na Kiba
Usimsahau na roma mkatoriki mzee wa panya nae simba damu
Kabsaaaaaa❤❤
Simba ni ya Tundamani ila wengine ni umbea tu na unafiki
Kalibu konde unyamani unyama mwingiii ❤❤❤SIMBA NGUVU MOJA🦁🦁
Ni kwel Yan ❤tunda man Hana ushabiki maandaz mungu mpe miaka mia Moja 2nda man we2 sio kama hao wengine
Elewa wasanii ni bendera hufuata upepo, hawana timu hwa ni unafik tu bas. Simba nguvu moja 💪
Karibu sana Simba konde boy wewe ni mtu wa maana sana na umejuwa timu nzuri ni simba
Simba nguvumoja ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Frm Vanuatu we're watching u boy konde,frm southern pacific ocean beach 🇫🇯🌊🏖️🏖️
Kwel TUNDA Ndo mwamba wa Simba hao wengi wapishe njia
Karibu sana simba konde, tunakupenda sana wana simba
Mbona soon sehemu kasema anakuja simba
❤❤karibu sana simba yetu. Lakini usiwe mtu wa kuhama timu
Kabisa, mwishowe atakuwa msanii malaya malaya ivi
Nilisha waambia kua konde atahamia Simba siku moja
Simba tunataka watu walio nyooka🎉
2nakupenda sana ❤❤harmonize kalibu sana msimbazi
Abaki hukohuko utopwax
Unampenda ww peke yako
@@SalomePaul-zm6je sio shida angu mm kumpenda na ww kya
Hamkutuamby km harmonize nae atakuja kuwa shabiki wa simba hamkutuamby ss
Tunda mani ndo msanii Pekee wa simba wengine ni tamaatu ❤
Kweli kalibu sana konde boy simba nguvu mojaaaaaa msimu uhuuuu simba itafourm vizuli
Mafahaliwali hawawez kukaaziz1 very good welcome 🦁👊
Hongera hamonaz kwa kua na msimamo❤❤❤❤❤❤
Karibu Sana konde boy Simba nguvu moja✊✊
Abaki zake utopoloni anaona Simba day iko karibu anaanza kujipendekeza ili apate shoo apige pesa kisha aende zake hatutaki
😂😂😂😂😂
Kalibu sana Simba nguvu moja
Ndo maana naichukiaga RUclips mbona harmonize kaongea mwanzo mwisho sijasikia ata akiitaja simba yani waga ni manyoko sanaa
Mbn mnakua na laana ndugu zng m2 ka amependa kua mwanalunyasi mwachen moyo n wake: karibu sana kijan a wetu
Karibu msimbaz tunakupenda san
Karbu sana kutumbuiza simba ila msanii wetu n TUNDA MANN
Nakubali kk kalibu sana msimbazi
Boos kaludi simba atasomba kilakitu mo hatareee ww
MWAMBIENI KUWA SISI SIMBA HATUTAKI SHOBO KUTOKA KWA WAVUTA BANGI
Jeshiiiiiii welcome msimbazi ❤
Karibu nyumbani kumenoga❤❤❤
Karibu sn simba
Mmmmmmh toka rini akaja Simba uyoo
@Tunda man ndy mwenye msimamo kongore kaka @Tunda Man
Simba nguvumoja tushikane namsimu mpya
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 kalibu Tim ya wakubwa
Tundaman ndio Simba damu damu wengine nikama Malaya kaona elfu 10000
Mbona hakuna sehem kaitaja simba
KWANI ALIKIBA NA TUNDA MAN WAPO WAPI?JAMANI KWANI VP?
mubaki ukouko msitichanganyeee tunda man yupo simba dam dam
Me nataka t uje umuache uyo domo kaya mana anataka t kuharibu Kipaji chako usionekane wkt unapafrm ukiwa yanga akin simba njoo kk simba yako karibu san ata usjal kaa mbali na uyo mbka nakufa uyo mpnzan simpendi welcome bro 🙏🙏
Aaa aondoke zake wa Nini unyamani huyo,Sie anatosha tunda man yule ni Simba dam
Karibu mwamba unyaman
TUNDA MAN SIMBA DAMU FINISH WENGINE WANAFKI 2
Konde boy welcome to Simba group
Mimi ni mshabiki wa harmonize mm uyouyo mxhaniki wa Simba ila konde anatak kuja kupg hela tu Simba day
Kama unataka kupata mashabiki wa Simba tu nakutaka kutuburudisha sawa Ila sio ushabiki njoo utuburudishe Ila Kama mashabiki hapana
Karibu sana konde mnyama unyaman
Karibu sana unyamani
Aondoke tuu kwani vina mudaaa sasa! Vitamshinda😢
Hatutak nyie ni fis 😢😢😢 mbwa nyie wasalit wakubwa tamaa tu ushabik aku 1:28
Karb br konde msimbazi❤
Harmonize hawezi kuhama yanga. Never!
Hatumtaki huyo aende huko kwenye timu yake
Mimi mwenyewe nilijua tu. Alipo Diamond wasnii wenzake hasa Konde Boy na King Kiba huwezi kuwa nao.Na kwa sasa Harmonizer na Ali Kiba ni friends.
Safi mapenzi kwa timu ya nini sasa cha msingi pesa
Wewe ni yangu simba ufata maokoto😮😮😮
Tundamani simba dam
Hatukutaki simba, ulitamba sana na watotp kaa huko huko usituletee utoto
wasanii wengi waongo wanataka fedha tu wao hawana ukweli
Atacheza na mbangapi
Nljibu ni mzee mlitucheka simba wachezaji ni wazee ss leo mmemchukua mzee
Huyu ameona kuwa Mo amerudi pale simba kama miaka minne ya nyuma
Kwendraaa ukoo napenda nyimbo zako tyuu xo uje simba yetu
Kazi kwa kweli, atafanya tufungwe tu, akae mbali yupo kiba anatosha.
Kiba amerudi yanga
Duuh mbna sijasikia hata simba yenyewe
Huyu mwezi ulopita ndio kaamwambia Aziz ki asiondoke na atafanya kila njia abaki simba hawa sio wakuwaamini yeye na diamond kamkimbia diamond kwakua kahamia yanga
Huyu jamaa kuma kwel anafoc kupatq views nyingi kupitia cc
Simba dam no tunda man basi ila nyie mhhh
mm simtaki jama aje unyamani
Hat yeye ni Simba acheni kumzonga
Hamonie ni ametambua kua simba ni team bora huwezi kua mkubwa bila kupitia simba spoart club
Karb jeshii huk kwetu simbaaa mnyamaaa
Mxanii wetu wa wanaximba ni tuda wengine matapeli 2
Hatukutaki huku Simba kwedaaaaaa huko huko🐍
Nanyie mnakubali eti ni Simba huyu yupo kazin na huu ndo wakat wake wa maokoto
Yaan RUclips mmeona tumalize MB zetu kuangalia ujinga simba imegusiwa wp
Wakwazamashabikiwautoporo washable sana ndiomana niriwapajinaeboebo vilaza
Amehama ynga kwa vile yupo modi au amafta maokoto
Anatafuta mashabik wengi uyoooo
Jesh kama kweli karibu team ya wakubwa! Lakn jaman apewe tu ushirikiano! Mond mbona alikua simba lakn cha ajabu alisalti simba na kurud yanga kwa baba ake manara
Kuweni kama tunda mnyama xo nyinyi wanafk
Tundaman tupe kitu simba dey hawa wengine mizinguo2 tunajua konde anamkimbia mond
Kalib
Hatuwatak mamluki sis na wanafki kwenye team yet ya SIMBA SC wanaoipenda SIMBA sis na TUNDA MAN TU bac hao wenge. Ni mamluki tuu kwanza atakuwa ametumwa kuja kuharbu sinba yetu mchaw huyooooo🍪🕹️⚒️
Uwo ni uwongo man atuachiye simba yetu bana asituvuruge akili
Chama mzee
Tundaman ndo simba peke yake wengine ni wakina manara
Mtu wa maana kabisa kwenye timu ya Maana kabisa
Mwanzo alikuw ni Kiba na Hamo. Alipo hamia Diamond Kiba akaenda Simba now hamo kwan mnamkimbia simba mtu na kuja kwa simba munyama??? 😂😅
Tunadangaywa😮😮
Ayo mambow ya simba yametoka wapi bwan
toa ma"song ya simba kaka
Jamani mchukuen tunda miaks yote
Wala bado niko na TUNDA MANI
Yanga wametuletea shushu
Hawaaa wasini hawana team, wanafata pesaa
Ila harmonize
Aje kufanya nini huyo kenge simba hao ndo machawa wanao ichafua simba